dar

Darkənd (also, Dər, Dar, and Der) is a village and municipality in the Ordubad District of Nakhchivan, Azerbaijan. It is located in the south of the Ordubad-Nakhchivan highway, 15 km in the south-west from the district center, on the right bank of the Gilanchay River. Its population is busy with gardening, vegetable-growing, animal husbandry. There are secondary school and a medical center in the village. It has a population of 500. The ruins of the historical and architectural monuments is in the territory of the village. The tomb, the mosque's minaret, etc. is attracting attention.

View More On Wikipedia.org
  1. Zack Abdul

    JamiiForums Tanzania Samia Kubadili Dar & Dodoma: Miundombinu Mipya

    Dkt. Samia Suluhu Hassan kubadili majiji, Dar es Salaam na Dodoma. 📌Atatandaza Flyover Tabata, Morocco, Mwenge hadi Kongowe 📌Zitafuata pia za makutano ya Fire, Magomeni na eneo Kamata 📌Dar, Mkoa Pwani kushuhudia barabara njia 8, Dodoma njia 6
  2. BigTall

    JamiiForums Tanzania Watafiti wa Bodi ya Maji ya Wami Ruvu (WRWB) wapanga kuja na mwarobaini wa kero ya Maji Dar na Pwani

    UTAFITI uliofanywa na Bodi ya Maji ya Wami Ruvu (WRWB) umeonesha kuwepo wa maji lita bilioni 21 za maji chini ya ardhi zitakazotumika kama mbadala wakati wa kipindi cha ukosefu wa maji katika mikoa ya Dar es salaam na Pwani. Hatua hii muhimu ya WRWB ni sehemu ya utekelezaji wa awamu ya kwanza...
  3. Meja Jenerali Isamuhyo

    JamiiForums Tanzania Mapokezi ya Rio Ferdinand hapo Airport ya Dar, yamenipa maswali mengi kuliko majibu

    Watu wamejitokeza kwa wingi lakini wananipa mashaka kama wameenda kwa hiyari yao au wamekusanywa kwa malipo. Rio Ferdinand alishastaafu mpira miaka hiyo. Hakuwa na ushawishi mkubwa sana ukizingatia alikuwa anacheza nafasi ya beki. Sasa kwa nyomi iliyojitokeza imenipa maswali maana hata wengi...
  4. A

    JamiiForums Tanzania KERO Mashine ya Empty Handler pale Chuo cha Bandari Dar ni mbovu, inatukwamisha, tunashindwa kujifunza kwa vitendo

    Kero yangu ni kuhusu Chuo cha Bandari kilichopo Tandika Jijini Dar es Salaam, sisi tunaosoma kozi fupi ya Reach Stacker tunapokwenda kwenye mafunzo kwa vitendo pale NASACO Bandarini hukuta mashine moja, pia mashine yenyewe ni mbovu na chakavu. Tunaishia kufundishwa kwa maneno na kubadilishiwa...
  5. Forrest Gump

    JamiiForums Tanzania Nimelipia hostel Dar kwa wanaojiita manabii, nimesomewa vifungu na shehe, nimechanjwa sana usukumani, nimefanya online remedies. Yote haya batili

    NIkupe tu taarifa wewe unae hangaika na vitu vya kufikirika kuwa huu ni uchezaji tu wa akili yako. PESA HUZAA PESA. BAHATI NI PALE FURSA IKUKUTE UKIWA NA UTAYARI. Hakuna cha nyota wala aura, hakuna cha mikosi wala nuksi. Kama umefulia umefulia tu, patabadilika pale utakapo chukua na panaweza...
  6. B

    JamiiForums Tanzania Mkopo ili gati 10 zaidi kujengwa kupanua bandari ya Dar es salaam 2026

    05 May 2026 Tanzania yapanua miundombinu ya bandari ya Dar es Salaam ili kukabiliana na ongezeko la mizigo Tanzania yapanua bandari ya Dar es Salaam ili kuimarisha biashara ya kikanda kwa kujenga gati 10 mpya https://m.youtube.com/watch?v=5KZlgZiaEhM Upanuzi huo utasaidia bandari kushughulikia...
  7. Troll JF

    JamiiForums Tanzania DAR: Tanzania Na Marekani Kuimarisha ushirikiano katika sekta ya Afya

    Serikali ya Marekani na Tanzania kuimarisha ushirikiano katika sekta ya Afya Tanzania na Marekani mambo safi Dar es Salaam, 14 May 2026 The Minister of Health, Hon. Mohamed Mchengerwa, today met with Chargé d’Affaires of the United States Embassy in Tanzania, Andrew Lentz, to discuss a new...
  8. Driz de Mafwele

    JamiiForums Tanzania Lamine Yamal kaonekana Dar es Salaam

    hydroxo adriz de mbusii
  9. A

    JamiiForums Tanzania KERO Kituo cha SGR – Dar kitengewe sehemu ya madereva kuchukua abiria wao, kulipia buku hata kama unapita tu si sawa

    Madereva tunapata changamoto kubwa pale kwenye Kituo cha SGR kilichopo Stesheni, Dar es Salaam, wanatukamata tukienda kubeba abiria, wanataka tuingie ndani ili tulipie shilingi 1,000, wakati sisi ni madereva wa mtandaoni na pale tunapita tu siyo kwamba tunaenda kuegesha vyombo vyetu. Namaanisha...
  10. M

    JamiiForums Tanzania Pesa zinazokusanywa ni kwajili ya kuendeleza Dar, Dodoma na Zanzibar ? mikoa mingi imekuwa vyanzo vya mapato bila kupewa umuhimu kwenye maendeleo

    Kuna mikoa huchangia mamia ya mabilioni ya kodi kila mwaka kupitia biashara, kilimo, madini na shughuli nyingine za kiuchumi. Lakini ukifika hata makao makuu na majiji ya mikoa hiyo, maendeleo hayaendani kabisa na mchango wao, Inasikitisha kuona kuwa sehemu kubwa ya mapato hayo yanaelekezwa...
  11. McLaren

    JamiiForums Tanzania Watu wa Dar na Pwani kesho maji ya DAWASA yatakatwa kwa saa 10. Kuna matengenezo kinga kwa miundombinu ya umeme

    akazi wa maeneo mbalimbali ya Dar es Salaam na Mkoa wa Pwani wanatarajiwa kukumbwa na ukosefu wa huduma ya maji kwa wastani wa saa 10 kesho Jumapili, Mei 10, 2026, kufuatia matengenezo kinga ya miundombinu ya umeme. Taarifa iliyotolewa kwa umma na Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar...
  12. Hornbil

    JamiiForums Tanzania Natakiwa kufika Dar kesho jioni, nipo Simiyu Bariadi mda huu.Kama Kuna dereva yeyote anapita njia hii naombeni msaada wakuu nina 40k tu mfukoni

    Wakuu natakiwa siku ya kesho niwe Dar ila nauli ya kufika Dar Sina nina 40k tu, naombeni kama Kuna dereva anapita hii njia ya Bariadi - dar anipe rift nifike dar wakuu. Naombeni sana madereva 🙏
  13. A

    JamiiForums Tanzania KERO Chemba zilizo wazi Posta (Dar) zifunikwe, zinasababisha ajali

    Maeneo ya Posta – Dar es Salaam chemba nyingi hazina mifuniko, juzi nimeshuhudia Bodaboda kaingia kwenye chemba wote na abiria waliumia. Tukio lingine imekuwa zamu yangu, nimepigisha kichwa kwenye kioo🥲, ni hapa Samora karibu na Kituo cha Mafuta.
  14. Pfizer

    JamiiForums Tanzania Austin Pillado - Kocha bingwa wa michezo ya uogeleaji atua Dar, kuweka kambi ya siku 10

    HATIMAYE Kocha maarufu kutoka Marekani, Austin Pillado ambaye pia ni Naibu Kocha Mkuu wa timu ya kuogelea kutoka Chuo Washington State, ametua nchini jana Jumapili kwa ajili ya kuendesha kambi maalumu ya mafunzo ya kuogelea kwa muda wa siku 10. Kambi hiyo inayofanyika jijini Dar es Salaam...
  15. jimama26

    JamiiForums Tanzania RC Chalamila, Dar es Salaam imekushinda, inakuwaje kuna foleni kiasi hiki huchukui hatua?

    Inasikitisha sana kuona hali ya foleni jijini Dar es Salaam imefikia kiwango hiki. Haiwezekani mtu kukaa sehemu moja kwa zaidi ya saa moja bila kusogea. Njia ya kutoka Morocco kuelekea mjini, kupita Serena Hotel hadi uwanja wa ndege, imekuwa ni mateso makubwa – asubuhi na jioni. Kwa wiki nzima...
  16. Isenye

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ingawa Dodoma pamejaa wanawake wanaojiuza, ila ni watamu kuliko Dar

    Habari zenu Nimefika Dodoma nikaopoa kipoozeo flani hivi hapa mitaa ya nkuhungu. Oya,hiki kitoto cha kihehe kina mbunye ya moto na tamu balaa,kinakata mauno kama feni. Kwa kweli wanawake wa Dar inabidi mjitafakari sana kwa huu upinzani ulioibuka huku Dodoma.
  17. figganigga

    JamiiForums Tanzania Dar: Jesh la Zimamoto na Uokoaji, limeopoa miili miwili iliyokua inaelea kwenye Maji huko Stakishari

    Jesh la Zimamoto na Uokoaji Mkoa wa Ilala jijini Dar es Salaam, limeopoa miili miwili iliyokua inaelea kwenye Maji katika eneo la Stakishari Ukonga na daraja la Sarenda na kuikabidhi kwenye vyombo vingine vya Ulinzi na Usalama kwa uchunguzi. Kamanda wa Jeshi hilo Mkoa wa Ilala ,SACF Mabusi...
  18. JanguKamaJangu

    JamiiForums Tanzania Matukio mbalimbali ya ziara ya Rais Paul Kagame nchini Tanzania, Mei 3, 2026

    Matukio mbalimbali katika Ziara ya Kikazi ya Rais wa Jamhuri ya Rwanda, Paul Kagame, Ikulu Jijini Dar es Salaam tarehe 03 Mei, 2026. Rais wa Jamhuri ya Rwanda, Paul Kagame akizungumza na Waandishi wa Habari kufuatia Ziara yake ya Kikazi Jijini Dar es Salaam, tarehe 03 Mei, 2026. Rais wa...
  19. Zack Abdul

    JamiiForums Tanzania Samia na Kagame Wakutana Dar

  20. Idugunde

    JamiiForums Tanzania Nakupongeza Sana Mr Sugu kumzuia mkuu wa Mkoa wa Dar mpenda sifa kupanda jukwaani ili alete siasa uchwara

    Kwanza nakupongeza kuandaa concert ya maana kwa ajili ya MwanaChadema Prof Jay. Nilikuwa nije Dar ili niweze kuhudhuria . Kuna dharula ilitokea na nikafika dar nimechelewa sana. Hivyo sikuweza kuhudhuria. Lakini nakupongeza sana kumzuia huyu kada wa CCM ambaye huwa ni mpenda sifa zisizo na...
Back
Top Bottom