dar

Darkənd (also, Dər, Dar, and Der) is a village and municipality in the Ordubad District of Nakhchivan, Azerbaijan. It is located in the south of the Ordubad-Nakhchivan highway, 15 km in the south-west from the district center, on the right bank of the Gilanchay River. Its population is busy with gardening, vegetable-growing, animal husbandry. There are secondary school and a medical center in the village. It has a population of 500. The ruins of the historical and architectural monuments is in the territory of the village. The tomb, the mosque's minaret, etc. is attracting attention.

View More On Wikipedia.org
  1. Jaji Mfawidhi

    JamiiForums Tanzania Motel Agip Dar Inaoza!

    Motel Agip iliyopo Posta jijini Dar es Salaam ilifungwa rasmi tarehe 18 Desemba 1998 kutokana na mgogoro mkubwa wa kimkataba wa upangaji na ukodishaji kati ya uongozi wa hoteli hiyo na mmiliki wa jengo, kampuni ya mafuta ya Agip Tanzania Limited. Hoteli hiyo yenye vyumba 57 ilikuwa kitovu kikuu...
  2. under500

    JamiiForums Tanzania Mlioko Dar naombeni muongozo. Maisha yakoje huko?

    Habari za jion wakuu Kwanza kabisa Mimi ni mkazi wa mafinga ila kwa sasa Niko kwenye gar naelekea dar ila sjawai fika kabla i Hii ndo mara yangu ya kwanza kuenda Dar kwa hiyo naombeni mwongozo
  3. A

    JamiiForums Tanzania KERO Dar: Mgambo wa Jiji walikamata Spika zetu, wakasema tunalipe Faini Sh 200,000 kisha tulipe Sh 50,000 kila siku kama tunataka kuzitumia

    Mimi ni mfanyabiashara wa simu na vifaa vyake katika maeneo ya Machinga na Karume, Dar es Salaam, Tarehe 25 Juni 2026, siku ya Alhamisi, mgambo wa Jiji walifika ghafla katika maduka yetu na kuondoa spika zetu za kutangazia biashara. Hawakunipa maelezo ya kutosha wala hawakutoa hati yoyote ya...
  4. loose Nut

    JamiiForums Tanzania Mabilionea wa Dar wawajibu mabilionea wa katoro kwa mbwembwe.

    Baada ya bilionea mstaarabu wa Katoro Kahama Sylvester Buyamba na wenzake kuvunja Internet kwenye send off ya kufukuru na kutetemesha mitandao ya kijamii Africa mashariki, kati, kusini hadi magharibi huko, nakuwashikisha adabu mabilionea uchwara wa Dar nao eti wamewajibu kwa style ya ajabu na...
  5. M

    JamiiForums Tanzania Kumetolewa tahadhari ya El Niño ila hakuna elimu yoyote inatolewa kwa Wananchi, kwanini?

    Kutokana na tahadhari ya wataalamu wa hali ya hewa kuhusu uwezekano wa mvua kubwa za El Niño mwaka huu, tunaomba Serikali na mamlaka husika kuongeza juhudi za kutoa elimu na tahadhari kwa wananchi ili waweze kujiandaa mapema. Pia, kuna wasiwasi kuhusu hali ya miundombinu ya mifereji ya maji...
  6. A

    JamiiForums Tanzania KERO Stendi ya Segerea - Dar kimeo sana, miundombinu mibovu, mvua ikinyesha ndio balaa kabisa

    Miundombinu ya Kituo cha Segerea ni mibaya, kwa ufupi imeharibika, hii si mara ya kwanza Wadau tunawasilisha kero hiyo hapa JF lakini nadhani watakuwa wanachukulia poa na kuona wao haiwahusu kwa kuwa tunaoteseka ni sisi wa kipato cha chini tunaotumia daladala, wao wanatumia magari ya bei kubwa...
  7. CARIFONIA

    JamiiForums Tanzania Je Dar es salam ni jiji lenye fursa nyingi?

    Dar es Salaam ina vyanzo vya mapato ambavyo bado havijaguswa. Tatizo si ukosefu wa fedha, bali ukosefu wa ubunifu. Kila mwaka tunazungumzia namna ya kuongeza mapato ya halmashauri na kuboresha huduma za wananchi. Mara nyingi mjadala huishia kwenye kuongeza ushuru au kodi. Lakini je, tumeshawahi...
  8. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania Sheikh Walid aondolewa nafasi ya Sheikh wa Mkoa wa Dar kwa kukiuka misingi

    Baraza la Ulamaa BAKWATA limeazimia kumsimamisha Sheikh wa Mkoa wa Dar es Salaam Walid Omar Kawambwa kutokana na mienendeo inayokiuka misingi ya kiungozi ya Kibaraza. Soma: PreGE2025 - Rais Samia ameahidi kujenga Msikiti wa Kisasa Vigwaza/Migude wenye hadhi ya Rais. Sheikh Walid ampigia debe...
  9. Frank Wanjiru

    JamiiForums Tanzania Dotto Magari: Hakuna tajiri anaeishi porini,matajiri wanaishi mijini kama Dar.

    “Hakuna tajiri anakaa porini mi navyojua mtu akiwa na hela anatoka porini anakuja mjini uanza maisha mapya, hao sijui matajiri wa Nyamongo sijui Mwanza, Geita mnatuchosha, kwanini mnapenda kujisifia matajiri wako huko?" "Kuna tajiri sasa huko Geita? Huko kuna watu wa kushinda kwenye mashimo...
  10. goldcall

    JamiiForums Tanzania Fast food kwa wafanyakazi wa maofisini Dar es salaam, Karibuni sana

    Kichwa cha habari chahusika, Habari za kazi ndugu zangu, tunaitambulisha kampuni yetu ya usambazaji wa chakura maofisini kwa jiji la Dar es salaam, wadau wa JF- msije kupata shida kwenda kula katika vibanda umiza sisi tupo kwa ajili yenu. UBORA KATIKA KAZI: 1. Chakula kinaandaliwa na ma chef...
  11. Parabolic

    JamiiForums Tanzania Rais wa Zanzibar Dkt. Hussein Mwinyi atembelea Banda la GF katika Maonesho ya 50 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam

    Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, ametembelea banda la kampuni ya GF katika Maonesho ya 50 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam (Sabasaba), wakati wa hafla rasmi ya kufunga msimu wa maonesho ya mwaka 2026. Katika ziara hiyo ya heshima...
  12. Think2

    JamiiForums Tanzania Maisha ya machimboni ni ghali sana nashangaa dogo unatoka mikoa kanda ya ziwa unakimbilia Dar

    Kule wachimbaji kuchakaza milion 30 kwa siku ni kugusa tu Maisha ya machimboni ni ghali sana nashangaa dogo unatoka mikoa kanda ya ziwa unakimbilia dar kuchoma mahindi barabarani au kuuza supu za pweza huku unaacha madini utakuwa na akili kweli? 😂 Mwisho, Geita ngwengwe ipo tumia kinga mtu wangu
  13. Rede Nalisis

    JamiiForums Tanzania Top Best Mikumi Safari: 1 Day Safari from Dar es Salaam (2026–2027)

    Top Best Mikumi Safari: 1 Day Safari from Dar es Salaam (2026–2027) The Ultimate Wildlife Adventure in Just One Day Looking for the best safari experience from Dar es Salaam without spending several days on the road? The 1 Day Mikumi Safari from Dar es Salaam is the perfect choice for travelers...
  14. Rede Nalisis

    JamiiForums Tanzania 2 Days Mikumi Safari from Dar es Salaam (2026–2027)

    2 Days Mikumi Safari from Dar es Salaam (2026–2027) Experience Tanzania's Wildlife in Just Two Days Looking for a short yet unforgettable safari adventure from Dar es Salaam? The 2 Days Mikumi Safari from Dar es Salaam is the perfect getaway for travelers who want to experience Tanzania’s...
  15. Inside10

    JamiiForums Tanzania Padri Dkt Vicent Mpwaji Ateuliwa Kuwa Askofu Msaidizi Jimbo Kuu La Dar Es Salaam

    TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI Baba Mtakatifu Leo XIV amemteua Mheshimiwa Padre Vincent Lawrence Mpwaji wa Jimbo kuu la Dar es Salaam, kuwa Askofu Msaidizi wa Jimbo kuu la Dar es Salaam, leo Julai 11, 2026. Mhashamu Askofu mteule Padre Vincent Lawrence Mpwaji alizaliwa Juni 05 mwaka 1978 Jimbo...
  16. mwehu ndama

    JamiiForums Tanzania Kwanini watu wengi wa Dar wana umbo la mviringo?

    Watu wa Dar waume kwa wanawake ni kama watu wa familia moja. Walio wengi wanaumbo mviringo kama kiazi ulaya! Ningumu kujua kama mtu wa Dar anakwenda au anarudi, ngumu kujua mgongo ni upi na tumbo na kifua ni vipi .Miili Yao imeunganika kama matikiti maji. Shida ni nini hapo Daslamu?
  17. A

    JamiiForums Tanzania KERO Kelele za mitambo ya kiwanda cha Kerai Construction Ltd- Mbezi Jogoo (Dar) zinatutesa wakazi wa karibu

    Wakazi wa Mbezi Juu, Mtaa wa Jogoo, Jijini Dar es Salaam tunaathiriwa na kelele zinazotokana na kiwanda cha zege cha Kerai Construction Ltd, ambacho kinajihusisha na uzalishaji wa bidhaa za ujenzi. Kiwanda hicho, ambacho kipo karibu na maeneo ya makazi, kimekuwa kero kubwa kwa wakazi wa maeneo...
  18. A

    JamiiForums Tanzania HOJA Hivi haya masharti ya Bodi ya Ithibati ni kwa Media za Dar na zile kubwa pekee?

    Baadhi ya mikoa naona kama bado usimamizi upo chini kumekuwepo na baadhi ya Vyombo vya Habari vinavyoajiri watu wasio na sifa husika kwa kuwa tu wanajua watawalipa kiasi kidogo cha fedha. Wale wenye sifa stahiki inaonekana kama watakuwa na gharama kubwa, na kwa kuwa Wazee wa JAB wenyewe ni kama...
  19. Best home tutor

    JamiiForums Tanzania Chumba kimoja Dar chapangishwa kwa watu 30 bila wao kujijua mwenye nyumba atokomea kusikojulikana

    Hali ya taharuki imetawala katika Mtaa wa Mabibo Sahara Jijini Dar es salaam baada ya Watu zaidi ya 30 wakidai kupangishwa chumba kimoja na Mtu anayetajwa kuwa Mmiliki wa nyumba, ambaye kwa sasa anadaiwa kutoweka na hajulikani alipo. Camera za AyoTV zimefika eneo la tukio na kuzungumza na...
  20. dalali msumi

    JamiiForums Tanzania Chumba Masta na Sebule ipo Dar, Mbezi Beach

    CHUMBA MASTA NA SEBULE Location - Mbezibeach, Umbali wa Kutembea Kodi - Tshs 170,000/= Umeme wake, ndani ya fensi, Maji ndani. Piga - 0716442950
Back
Top Bottom