dar

Darkənd (also, Dər, Dar, and Der) is a village and municipality in the Ordubad District of Nakhchivan, Azerbaijan. It is located in the south of the Ordubad-Nakhchivan highway, 15 km in the south-west from the district center, on the right bank of the Gilanchay River. Its population is busy with gardening, vegetable-growing, animal husbandry. There are secondary school and a medical center in the village. It has a population of 500. The ruins of the historical and architectural monuments is in the territory of the village. The tomb, the mosque's minaret, etc. is attracting attention.

View More On Wikipedia.org
  1. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania Ulega: Taa za bilioni 40 kumulika Dar na Arusha, maandalizi AFCON

    WAZIRI wa Ujenzi, Abdallah Ulega, amesema Serikali itaendelea kufunga taa katika barabara mbalimbali nchini ili kupunguza ajali za usiku na kuendana na kasi ya maendeleo ya kijamii na kiuchumi. Akizungumza Mei 21, 2026 jijini Dodoma kabla ya kuingia bungeni, amesema hatua hiyo pia inalenga...
  2. mirindimo

    JamiiForums Tanzania Mkurugenzi wa Bandar Dar ana Ukwasi usio wa kawaida

    Mkurugenzi anamiliki majumba ya kifahari maeneo tofauti tofauti jijini Dar huku akitumia vijana wake kadhaa kuchuma pesa kwenye bandari hiyo. Bado tunatafuta file lake, likikamilika tutalimwaga hapa
  3. RRONDO

    JamiiForums Tanzania Kuendesha Gari Jijini Dar Kumeanza Kuwa Changamoto Kwangu

    Wakuu sijui ni uzee au nini. Ila kuendesha Dar sasa hivi kunanishinda. Madereva wanaendesha magari hovyo sana. Si daladala ,bodaboda au bajaj hata magari binafsi ndio balaa. Asubuhj na jioni ndio kabisa. Ole wako uwe unaenda uelekeo tofauti na wengi wanaotoka au kwemda kazini. Wanatanua njia...
  4. A

    JamiiForums Tanzania KERO Waziri wa Ujenzi na RC wa Dar tusaidieni Wafanyakazi BCEG Mbezi Beach tunakatwa NSSF lakini hazipelekwi

    Kero yetu sisi wafanyakazi wa Kampuni ya BCEG Construction. Tunaomba Waziri wa Ujenzi au Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam afike kwenye mradi wetu uliopo Mbezi Beach, karibu na Ramada au Whitesands—ni mradi wa waste water treatment. Kuna mambo mengi yanayoendelea hapa ambayo siyo sahihi, na hatuna...
  5. Mohamed Said

    JamiiForums Tanzania TAAZIA: Khadija Said: Mtangazaji wa Sauti ya Dar es Salaam 1955

    https://youtu.be/zONxQNP3D4M?si=Eq8WdIr4a8JXqdTE
  6. M

    JamiiForums Tanzania Ulega: Kwa ajili ya AFCON, kuna mpango wa kuweka Taa za Barabarani Dar na Arusha za Bilioni 40

    Tutajenga na kuweka Barabara nyingi Taa za barabarani kwa ajili ya maandalizi ya AFCONMkwa mfano hii Dar na Arusha tu peke yake matarajio yetu ni taa za karibu Bilioni 40, na hii ni mipango tu, na hii itafanikiwa kwa kupitishiwa bajeti hapa bungeni. Hii ndiyo Mipango ya Wizara ya Ujenzi...
  7. Zack Abdul

    JamiiForums Tanzania Samia Kubadili Dar & Dodoma: Miundombinu Mipya

    Dkt. Samia Suluhu Hassan kubadili majiji, Dar es Salaam na Dodoma. 📌Atatandaza Flyover Tabata, Morocco, Mwenge hadi Kongowe 📌Zitafuata pia za makutano ya Fire, Magomeni na eneo Kamata 📌Dar, Mkoa Pwani kushuhudia barabara njia 8, Dodoma njia 6
  8. BigTall

    JamiiForums Tanzania Watafiti wa Bodi ya Maji ya Wami Ruvu (WRWB) wapanga kuja na mwarobaini wa kero ya Maji Dar na Pwani

    UTAFITI uliofanywa na Bodi ya Maji ya Wami Ruvu (WRWB) umeonesha kuwepo wa maji lita bilioni 21 za maji chini ya ardhi zitakazotumika kama mbadala wakati wa kipindi cha ukosefu wa maji katika mikoa ya Dar es salaam na Pwani. Hatua hii muhimu ya WRWB ni sehemu ya utekelezaji wa awamu ya kwanza...
  9. Meja Jenerali Isamuhyo

    JamiiForums Tanzania Mapokezi ya Rio Ferdinand hapo Airport ya Dar, yamenipa maswali mengi kuliko majibu

    Watu wamejitokeza kwa wingi lakini wananipa mashaka kama wameenda kwa hiyari yao au wamekusanywa kwa malipo. Rio Ferdinand alishastaafu mpira miaka hiyo. Hakuwa na ushawishi mkubwa sana ukizingatia alikuwa anacheza nafasi ya beki. Sasa kwa nyomi iliyojitokeza imenipa maswali maana hata wengi...
  10. A

    JamiiForums Tanzania KERO Mashine ya Empty Handler pale Chuo cha Bandari Dar ni mbovu, inatukwamisha, tunashindwa kujifunza kwa vitendo

    Kero yangu ni kuhusu Chuo cha Bandari kilichopo Tandika Jijini Dar es Salaam, sisi tunaosoma kozi fupi ya Reach Stacker tunapokwenda kwenye mafunzo kwa vitendo pale NASACO Bandarini hukuta mashine moja, pia mashine yenyewe ni mbovu na chakavu. Tunaishia kufundishwa kwa maneno na kubadilishiwa...
  11. Forrest Gump

    JamiiForums Tanzania Nimelipia hostel Dar kwa wanaojiita manabii, nimesomewa vifungu na shehe, nimechanjwa sana usukumani, nimefanya online remedies. Yote haya batili

    NIkupe tu taarifa wewe unae hangaika na vitu vya kufikirika kuwa huu ni uchezaji tu wa akili yako. PESA HUZAA PESA. BAHATI NI PALE FURSA IKUKUTE UKIWA NA UTAYARI. Hakuna cha nyota wala aura, hakuna cha mikosi wala nuksi. Kama umefulia umefulia tu, patabadilika pale utakapo chukua na panaweza...
  12. B

    JamiiForums Tanzania Mkopo ili gati 10 zaidi kujengwa kupanua bandari ya Dar es salaam 2026

    05 May 2026 Tanzania yapanua miundombinu ya bandari ya Dar es Salaam ili kukabiliana na ongezeko la mizigo Tanzania yapanua bandari ya Dar es Salaam ili kuimarisha biashara ya kikanda kwa kujenga gati 10 mpya https://m.youtube.com/watch?v=5KZlgZiaEhM Upanuzi huo utasaidia bandari kushughulikia...
  13. Troll JF

    JamiiForums Tanzania DAR: Tanzania Na Marekani Kuimarisha ushirikiano katika sekta ya Afya

    Serikali ya Marekani na Tanzania kuimarisha ushirikiano katika sekta ya Afya Tanzania na Marekani mambo safi Dar es Salaam, 14 May 2026 The Minister of Health, Hon. Mohamed Mchengerwa, today met with Chargé d’Affaires of the United States Embassy in Tanzania, Andrew Lentz, to discuss a new...
  14. Driz de Mafwele

    JamiiForums Tanzania Lamine Yamal kaonekana Dar es Salaam

    hydroxo adriz de mbusii
  15. A

    JamiiForums Tanzania KERO Kituo cha SGR – Dar kitengewe sehemu ya madereva kuchukua abiria wao, kulipia buku hata kama unapita tu si sawa

    Madereva tunapata changamoto kubwa pale kwenye Kituo cha SGR kilichopo Stesheni, Dar es Salaam, wanatukamata tukienda kubeba abiria, wanataka tuingie ndani ili tulipie shilingi 1,000, wakati sisi ni madereva wa mtandaoni na pale tunapita tu siyo kwamba tunaenda kuegesha vyombo vyetu. Namaanisha...
  16. M

    JamiiForums Tanzania Pesa zinazokusanywa ni kwajili ya kuendeleza Dar, Dodoma na Zanzibar ? mikoa mingi imekuwa vyanzo vya mapato bila kupewa umuhimu kwenye maendeleo

    Kuna mikoa huchangia mamia ya mabilioni ya kodi kila mwaka kupitia biashara, kilimo, madini na shughuli nyingine za kiuchumi. Lakini ukifika hata makao makuu na majiji ya mikoa hiyo, maendeleo hayaendani kabisa na mchango wao, Inasikitisha kuona kuwa sehemu kubwa ya mapato hayo yanaelekezwa...
  17. McLaren

    JamiiForums Tanzania Watu wa Dar na Pwani kesho maji ya DAWASA yatakatwa kwa saa 10. Kuna matengenezo kinga kwa miundombinu ya umeme

    akazi wa maeneo mbalimbali ya Dar es Salaam na Mkoa wa Pwani wanatarajiwa kukumbwa na ukosefu wa huduma ya maji kwa wastani wa saa 10 kesho Jumapili, Mei 10, 2026, kufuatia matengenezo kinga ya miundombinu ya umeme. Taarifa iliyotolewa kwa umma na Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar...
  18. Hornbil

    JamiiForums Tanzania Natakiwa kufika Dar kesho jioni, nipo Simiyu Bariadi mda huu.Kama Kuna dereva yeyote anapita njia hii naombeni msaada wakuu nina 40k tu mfukoni

    Wakuu natakiwa siku ya kesho niwe Dar ila nauli ya kufika Dar Sina nina 40k tu, naombeni kama Kuna dereva anapita hii njia ya Bariadi - dar anipe rift nifike dar wakuu. Naombeni sana madereva 🙏
  19. A

    JamiiForums Tanzania KERO Chemba zilizo wazi Posta (Dar) zifunikwe, zinasababisha ajali

    Maeneo ya Posta – Dar es Salaam chemba nyingi hazina mifuniko, juzi nimeshuhudia Bodaboda kaingia kwenye chemba wote na abiria waliumia. Tukio lingine imekuwa zamu yangu, nimepigisha kichwa kwenye kioo🥲, ni hapa Samora karibu na Kituo cha Mafuta.
  20. Pfizer

    JamiiForums Tanzania Austin Pillado - Kocha bingwa wa michezo ya uogeleaji atua Dar, kuweka kambi ya siku 10

    HATIMAYE Kocha maarufu kutoka Marekani, Austin Pillado ambaye pia ni Naibu Kocha Mkuu wa timu ya kuogelea kutoka Chuo Washington State, ametua nchini jana Jumapili kwa ajili ya kuendesha kambi maalumu ya mafunzo ya kuogelea kwa muda wa siku 10. Kambi hiyo inayofanyika jijini Dar es Salaam...
Back
Top Bottom