nyerere

  1. Hance Mtanashati

    JamiiForums Tanzania Nyerere alishauriana na nani kuunganisha Tanganyika na Zanzibar?

    Suala la muungano sio suala la hitaji binafsi la mtu maana ni suala ambalo linagusa taifa vizazi na vizazi. Ninadhani mpaka kufika suala la kuungana au kutoungana ilibidi maoni yakusanywe kutoka kwa wananchi wa pande zote mbili . Yani kama ilivyo utaratibu wa kupiga kura za rais ilibidi iwe...
  2. Poppy Hatonn

    JamiiForums Tanzania Nataka kutoka familia ya Nyerere

    Unajua saying,Did he jump or was he pushed? Nataka kutoka familia ya Nyerere. How do I do it legally?
  3. T

    JamiiForums Tanzania CCM chini ya Samia ni maadui wa Nyerere nadhani wanatamani kumfuta uanachama. Hizi ni baadhi ya nukuu zisizofanana kabisa

    Nukuu hizi za Mwalimu Julius Kambarage Nyerere ni shahidi wa wazi wa jinsi genge la watawala lilivyogeuka na kuasi misingi na maono ya mwanzilishi wa taifa letu. Kwa kulegeza ulinzi wa Katiba na kupanda mbegu za nidhamu ya woga, kikundi hiki kimejenga ubaguzi mkubwa wa kitabaka—kikitengeneza...
  4. Frank Wanjiru

    JamiiForums Tanzania Mama Maria Nyerere na Mama Mariam Obote.

    Pichani ni Mama Miriam Obote (90), mke wa Waziri Mkuu wa Kwanza wa Uganda, Hayati Apollo Milton Obote na Mama Maria Nyerere (95), mke wa Rais wa Tanganyika, Mwalimu Nyerere. Aliyekosekana hayo ni Mama Ngina (93), mke wa Rais wa Kwanza wa Kenya, Mzee Jomo Kenyatta. Mama Ngina anaelezwa kuwa yuko...
  5. Idugunde

    JamiiForums Tanzania CHADEMA hii ya sasa inakubalika kuliko hata TANU ya mwl Nyerere iliyopigankia uhuru wa bendera. Sasa hivi watu wanataka ukombozi

    TANU haikuchangiwa kama inavyochangiwa Chadema hii ya Leo. Chadema ya leo imepata vizingiti vya kila aina. Kuwekwa ndani, kubambikiwa kesi za uhaini na kupowa mali zao. Tanu ilichangiwa na matajiri wachache ambao wlikuja kugawiwa magorofa yaliyopo Kariakoo kama shukrani na Mwalimu Nyerere...
  6. Hismastersvoice

    JamiiForums Tanzania Mwenye kujua kwanini rais Samia hataki kuzifuata nyayo za Ml. Nyerere na rais Mwinyi atufafanulie.

    Barabara ya kurukia ndege haina konakona, Rais amesema atafuata nyayo za Rais Mkapa, Kikwete na Magufuli, sasa kwanini hataki kufuata nyayo za watangulizi wa mwanzo yaani Ml. Nyerere na A.H. Mwinyi!
  7. Eli Cohen

    JamiiForums Tanzania Nyerere (RIP), Kanumba (RIP). Hivi kuna Watanzania wengine waliogusa kwa hisia kali mamilioni ya Watanzania kwa vifo vyao kama hawa?

    No one can cheat death but legends live forever.
  8. Fbn

    JamiiForums Tanzania Bwawa la nyerere limeishia wapi ?

    Kwa mtindo wa kila kiongozi kuanzisha chake na kukiuwa cha mwenzake ili yeye kuwa bora ni hatari kwa taifa. Zile elephant project kama sio magofu sasa naona zinelekea kuwa vyuma chakafu.
  9. Hismastersvoice

    JamiiForums Tanzania Heko mkoloni kwa kutomuona Mwanaharakati Mwl. Nyerere ni gaidi

    Busara zenu na uungwana wenu ndio uliotuwezesha kupata uhuru, nyie mlimuona ni mwanaharakati wa kudai uhuru wa nchi yake na si gaidi na hamkuona sababu ya kumvamia kwenye kakibanda kake ka pale Mwitongo Butiama na Magomeni Mikumi ili auawe, heko kwa hilo.
  10. Q

    JamiiForums Tanzania Askofu Bagonza: Nyerere na Karume walikuwa wanaharakati. Tunaanzaje kushetanisha uanaharakati wakati taifa letu limejengwa na Wanaharakati?

    Askofu wa Kanisa la KKKT Dayosisi ya Karagwe, Askofu Benson Bagonza leo Julai 09, 2026 amehoji kuwa Mwalimu JK Nyerere na Karume walikuwa wanaharakati au si wanaharakati. "Naomba niwaulize kwa unyenyekevu, Nyerere alikuwa Mwanaharakati au si Mwanaharakati?, Karume alikuwa mwanaharakati au si...
  11. LIKUD

    JamiiForums Tanzania Alie tunga wimbo " ALISEMA NYERERE VIJANA WOTE MLEGEA " ni Genius wa viwango vya juu sana. Wapinzani wanapaswa kujifunza kwa huyu mwamba.

    Wimbo uliimba " ALISEMA ALISEMA ALISEMA. NYERERE ALISEMA, VIJANA WOTE MLEGEA SHARTI TUANZE MCHAKAMCHAKA CHINJA CHUKUA CHINJA CHUKUA". This was a Diss to Nyerere Ila watu wengi hawajui kwa sababu they don't listen. Wakati Nyerere anatoa hiyo kauli wengi wetu hatukuwepo au hatukumsikia live...
  12. Candela

    JamiiForums Tanzania Nyerere ndiye katufikisha hapa

    Wwngi mmeaminishwa nyerere alikuwa mtakatifu ,mfano wa kuigwa. Ila niwaambie ukikaa na wazee waliopitia shuruba za nyerere ndio utajua alikuwa hafai. Kwanza wakati wa vita ya kagera kuna tajiri aligoma kutoa mabasi yake kubeba askari, hali hiyo ilifanya apigwe marufuku kuingiza gari nchini ndio...
  13. Mohamed Said

    JamiiForums Tanzania Peter Mbwimbo Mlinzi wa Mwalimu Nyerere na Maasi ya Tanganyika Rifles (TR) 1964

    https://youtu.be/kviafI7ro8I?si=vqeBCWGKxnDdri8j
  14. Sifi Leo

    JamiiForums Tanzania Taja mtoto wa waziri, au Rais au MBUNGE aliywai kuwa na akili kama Maria Sarungi,huyu hapa kamtaja Makongoro Nyerere Wa NCCR mageuzi, Sasa yu wapi?

    Taja watoto wa Rais, au waziri yoyote aliywai kuwa kama Maria Sarungi, Hahahaha Kuna kizee kimoja hapa butimba gerezani kimemtaja, Makongoro Nyerere, sijakishangaa maana kilifungwa miaka ya 1992. Kiliacha akiwa na akili Sasa kitakuwa huru kesho sijui kitamwelewa Makongoro? Haya na wewe uliye...
  15. Titicomb

    JamiiForums Tanzania Maandamano ya vijana tarehe 22 Oktoba 1966 dhidi ya 29 Oktoba 2025: Nyerere akili kubwa hakumwaga damu.

    Kwa mujibu wa rekodi za kihistoria, yalifanyika maandamano siku ya Jumamosi, 22 Oktoba 1966. Hapa chini kuna mfuatano wa matukio kwa tarehe: 4 Oktoba 1966: Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania lilipitisha sheria iliyofanya National Service (JKT) kuwa ya lazima kwa wahitimu wa Kidato cha...
  16. Stroke

    JamiiForums Tanzania Ogopa kufanya jambo ambalo Nyerere hakufanya

    Nyerere mwanzilishi wa Taifa huru la Tanzania toka Tanganyika na Zanzibar. Kama kuna jambo hakulifanya tukaja kulifanya sisi. Tufikiri mara mbili. Pamoja na kuwa mzaliwa wa Mkoa wa Mara, hakufikiri hata kujenga Airport Mbuga ya Serengeti. Ila sasa sisi wajanja kumzidi tunataka kujenga...
  17. MamaSamia2025

    JamiiForums Tanzania Je, Yericko Nyerere ni nabii? Mengi aliyotahadharisha ndo yanawakumba CHADEMA kwa sasa

    Hili jasusi la bamia ni nabii? Ninashangazwa karibu kila kitu alichotahadharisha kuhusu CHADEMA ndo kinatokea kwa wakati huu. CHADEMA wakampigie magoti ili awavushe. Jamaa ana kipawa kikubwa cha kiroho. Nitakumbushia machache aliyotahadharisha. Yeriko alikitahadharisha chama chake cha zamani...
  18. Fbn

    JamiiForums Tanzania Tuseme ukweli tu: Nyerere ndio chanzo cha matatizo. Hotuba zake za mwisho jua la jioni zinaonesha kuwa ni tatizo

    Baada ya kumaliza madaraka yake ndipo kasoro nyingi kuziona kwenye utawala na kuona mbeleni kutakuwa hivi. Ni kweli kwamba yeye ndio kafikisha hapo haya tunayo yaona. Wachambuzi wazuri waliona mengi sana.Someni
  19. Fbn

    JamiiForums Tanzania Sanaa wa waziri kombo kuvizia watu koridoni na kuwapa kale kakitabu cha Nyerere na picha za haraka ni aibu kwake

    Kuna mambo muelezwi wanao yaona huko. Huyu waziri kombo anaweza kukupa kile kitabu au kinyago kama zawadi mara kuomba picha na wewe. Mwisho wa siku habari tanzania kwenye vyombo vyetu vya hisabati tuna ambiwa kombo kapatana na mabeberu. Hii tabia ya huyu mtu hata CV yake nikiisoma naona tuna...
  20. R

    JamiiForums Tanzania Dhambi ya Ubaguzi wanayoifanya wazanzibari. Msikilize Mwalimu Nyerere

    Wao wazanzibari, sisi watanganyika, dhambi hii itawatafuna MILELE. Je ni kweli kauli hii bado inaishi au imeshakuwa overtaken by time and modern development Hilda Newton: Nimeona video ya Watanganyika wakizuiwa kuingia kazini huko Zanzibar, limetoka agizo kwamba kama mtu hana ID ya Zanzibar...
Back
Top Bottom