Pichani ni Mama Miriam Obote (90), mke wa Waziri Mkuu wa Kwanza wa Uganda, Hayati Apollo Milton Obote na Mama Maria Nyerere (95), mke wa Rais wa Tanganyika, Mwalimu Nyerere. Aliyekosekana hayo ni Mama Ngina (93), mke wa Rais wa Kwanza wa Kenya, Mzee Jomo Kenyatta. Mama Ngina anaelezwa kuwa yuko...