Nukuu ya Steve Nyerere kwa Maandishi
"Tukiikubaliane kwamba yaliyopita si ndio yetu, tugange yajayo.
Laiti pili, mimi sizani, na hili ninawaomba kwa wenyeviti wa Chama cha Mapinduzi wa mikoa yote, sizani kama kuna afya sana kuendelea kutoa matamko. Kwa sababu tamko limeshatolewa na Kamati Kuu...
Tunapojadili leo kwamba Rais ana mamlaka makubwa hivyo Tanzania inahitaji Katiba Mpya ni muhimu sana kurudi nyuma na kujiuliza
Kwa nini Mwalimu Julius Kambarage Nyerere alichagua mfumo wa Rais mwenye mamlaka ya kiutendaji baada ya Tanganyika kuwa Jamhuri mwaka 1962?
Tanganyika ilipojipatia...
Utangulizi: Mtikisiko wa Kitaifa Juu ya Kumiliki Ardhi
Sakata la hivi karibuni la kutangazwa "kuuzwa" kwa Kisiwa cha Lupita kilichopo Ziwa Tanganyika na bilionea wa Kimarekani, Tim Draper, limeibua mjadala mzito na hisia kali nchini Tanzania. Ingawa Wizara ya Ardhi ilifanya jitihada za haraka...
UZALENDO HAUNA VIPANDE
Uzalendo ni kuipenda nchi yako hata pale ambapo hakuna cheo cha kupata, hakuna pesa ya kupewa na hakuna maslahi binafsi yanayokusubiri.
Lakini uzalendo huu unaweza kuyeyuka haraka sana pale ambapo nchi yenyewe inaanza kugawanywa katika hisia, utambulisho na maslahi...
Ikikumbukwa Mwalimu mwenyewe alituasa tusifanye fikra zake kuwa msahafu au Biblia. Kwenye hotuba zake za mwishoni mwa miaka ya 80 na 90, yeye mwenyewe alikiri kwamba mfumo wa chama kimoja ulikuwa umeanza kuoza na kulewa madaraka.
Kuhoji Katiba ya 1977 siyo kumdharau Nyerere, bali ni kuendeleza...
Eti Ndejembi ndiye kapendekezwa! Heri hiyo nafasi ingebaki wazi au kupewa Abduli kama siyo Wanuu au Mchengerwa.
Tumefikishwa hapa? Natamani huyu awe mzanzibari wa mwisho kuwa rais wetu.
Inauma na kuumiza kuona nchi inakwenda kwa mafisi na mafisadi.
Kwa nini Nyerere aliwanyamazisha kimabavu Watanganyika walioitaka Tanganyika yao ?
Kwanini G55 walionekana sana wakosefu kisa kuidai na kuipigania nchi yao ?
Nyerere alikuwa ni nani hasa hapa nchi kuwaamulia Watanganyika wote kuhusu hatima ya nchi yao iwe hai au iuawe bila hata kujua...
Katika mazingira yenye wingi wa taarifa kutoka vyombo vya habari na tofauti za mitazamo, mafanikio halisi na miradi mikubwa ya maendeleo hubaki kuwa kigezo cha kuaminika zaidi cha kutathmini asili ya mahusiano kati ya mataifa. Hii ni kwa sababu huakisi ukweli uliopo ardhini na kiwango cha...
Amid the diversity of media messages and differing orientations, real achievements and major development projects remain the most credible criteria for assessing the nature of relations between countries. They reflect the true extent of cooperation and partnership on the ground, away from any...
Naibu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu – Kazi, Ajira na Mahusiano, Dkt. Evaline Munisi, amesema kukamilika kwa Bwawa la Kufua Umeme la Mwalimu Julius Nyerere (JNHPP) ni fursa kubwa ya kiuchumi itakayogusa maisha ya Watanzania wote, wakiwemo wakazi wa mijini na vijijini.
Dkt. Munisi...
HAYA makabila ni Malaya kama Malaya wengine,
Leo mbowe anaenda DSM kwenye uzinduzi wa bwawa la umeme na anadai ana haraka kuondoka anawai ndege anashindwa kwenda ukonga kumwona mwenyekiti wake wa CHADEMA?
Hawa ni Malaya kama Malaya wengine .
Nyerere aliacha kuangalia maendeleo ya taifa lake. Akabaki kupigana vita Msumbiji , Afrika kusini Zimbabwe N.k
Magufuli akafunga mkanda bwawa limejengwa na leo hii linakwenda kuzalisha Mw 2115.
Mwinyi, Mkapa na Kikwete hawakuweza hata kidogo. Hili bwawa linapaswa kuitwa MHJPP.
Wakati sisi leo mwaka 2026 tunasherehekea kwa shughuli kubwa uzinduzi wa bwawa la Nyerere, Wakoloni wazungu wa Uingereza walishajenga bwawa kama hilo miaka 60 iliyopita kwa jirani zetu Zambia ( Kariba Dam), 1960 na Wareneo walijenga kama hilo Msumbiji (Cahora Bassa Dam) mwaka 1979 !
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan amezindua rasmi Kituo cha Kuzalisha Umeme cha Julius Nyerere (JNHPP) chenye uwezo wa kuzalisha megawati 2,115 leo, tarehe 22 Agosti 2026, katika eneo la mradi lililopo Rufiji, mkoani Pwani.
Viongozi mbalimbali wameungana na Rais...
Kwenye simulizi ya Mohamed Said kuhusu kukutana kwake na Profesa Ahmed Mohiddin nyumbani kwake Kikambala, Mombasa, kuna maelezo ya kusisimua kuhusu tepu za hotuba za Mwalimu Julius Nyerere.
Hizi hapa ni nukuu muhimu kuhusu tepu hizo:
Kuhifadhiwa Ndani ya Friji Profesa Mohiddin alizihifadhi tepu...
Kwa munaofahamu Tanzania Ni, Nini Hasa tangu 1985
Au tangu Uhuru Munakaribishwa Kujibu
You can mention at least one leader of Nyerere caribre if he was a good leader or we are just passing through a historical propaganda about him
Wakati tunakabidhiwa uhuru 1961 hatukuwa na huu mfumo wa siasa na utawala kama tulionao sasa wa Rais kuhodhi madaraka makubwa kupitiliza.
Tulikuwa na mfumo wa kibunge naweza kusema hivyo kama uliokuwepo Singapore ambao hupo mpaka sasa na hapa Waziri mkuu wa zamani wa Singapore Lee Hsien Loong...
Wengi tunakubali Nyerere alikuwa kiongozi mzuri ila kuna mengi mabaya sana pia aliyafanya na anayolalamikiwa nayo ikiwemo ukandamizaji wa wapinzani wake, katiba mbovu inayotutesa, experiments katili za vijiji vya ujamaa, mapinduzi ya Zanzibar yaliyosababisha mauaji makubwa na kuvunjwa kwa chama...
Baadhi ya Watanzania wanataka viongozi wa Serikali waishi maisha ya kimasikini wakidai Mwl Nyerere aliishi hivyo ingawa si kweli alikuwa masikini
Watanzania wanadai kuwa Mwl Nyerere ndiye raisi wa mfano kuigwa kuishi maisha duni ya kimasikini na kuwataka viongozi wote waishi maisha sawa na yake...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.