Naomba kuwasilisha malalamiko kuhusu ucheleweshwaji wa mishahara kwa watumishi wa Hospitali ya St. John Paul II iliyopo Kaliua, Tabora.
Kuna madai kwamba watumishi wa hospitali hiyo wamekuwa wakicheleweshewa mishahara yao bila sababu za msingi na bila kupewa taarifa kuhusu sababu za kuchelewa...
Anonymous
Thread
hospitali
john
kaliua
kuchelewa
mishaharamishahara kuchelewa
Kwa unyenyekevu mkubwa tunapenda kutoa kero yetu sisi watumishi wa MSF - Medecins Sans Frontieres tunaofanya kazi chini ya usimamizi wa Halmashauri ya Wilaya ya Liwale, Mkoa wa Lindi
Hadi leo tarehe 6/04/2026 mishahara yetu bado haijapatikana. Ucheleweshaji huu umetufikisha pabaya sana. Wenzetu...
Kwa unyenyekevu mkubwa tunapenda kutoa kero yetu sisi watumishi wa MSF - Medecins Sans Frontieres tunaofanya kazi chini ya usimamizi wa Halmashauri ya Wilaya ya Liwale, Mkoa wa Lindi
1. Hali ilivyo sasa
Hadi leo tarehe 5/04/2026 mishahara yetu bado haijapatikana. Ucheleweshaji huu umetufikisha...
Anonymous
Thread
chelewa
halmashauri
kero
liwale
malipo
mishahara
ucheleweshaji
watumishi
wilaya
KERO
Mimi kama mzazi na mdau wa elimu shule ya sekondari mchungaji mwema iliyoko chini ya dayosisi ya Kagera nakelwa na mambo kama haya
1. Walimu KUNYIMWA MKATABA ambao ni silaha ya kulinda ajira yao Kwa mujibu wa SHERIA.
2. Mishahara ya kusuasua Kwa WAFANYAKAZI na kulipwa kinyume na SHERIA...
Anonymous
Thread
changamoto
mchungaji
mishahara
mwema
sekondari
utawala
walimu
Kero yangu inahusu baadhi ya watumishi wa umma ambao tumekosa kupandishwa madaraja kutokana na changamoto zinazotokana na matumizi ya mfumo wa PEPMIS na uzembe wa baadhi ya wakuu wa vituo.
Baadhi yetu tulihama vituo vya kazi, lakini taarifa katika mfumo zinaendelea kuonesha vituo vya zamani...
Naomba SERIKALI ifuatilie maagizo kuhusu MSHAHARA KIMA CHA CHINI Kwa TAASISI binafsi hasa Kwa shule mbali mbali MFANO shule ya mchungaji mwema sec iliyoko NGARA KAGERA inalipa Watumishi TSH. 150000 badala ya 350000
Soma Pia Wafanyakazi kwenye Kampuni Binafsi tunapata shida sana kulipwa stahiki zetu
Anonymous
Thread
binafsi
ingilia kati
kati
mishahara
serikali
shule
shule binafsi
Naandika ujumbe huu kwa niaba ya wafanyakazi wenzangu wa Joshmal Hotel, Arusha, ili kuwasilisha changamoto kubwa tunayokabiliana nayo mahali pa kazi.
Sisi wafanyakazi tumekuwa tukifanya kazi kwa muda wa zaidi ya miezi sita hadi mwaka mmoja bila kulipwa mishahara yetu. Zaidi ya hayo, hatujawahi...
1. Utangulizi
i: Wimbi Jipya la Utumwa wa Kidijitali
Ulaghai Mtandaoni: Matangazo ya kazi feki yameshamiri kwenye mitandao ya kijamii.
Walengwa Wakuu:
Vijana wasomi, wanaojua kompyuta, na wanaozungumza Kiingereza vizuri.
Maeneo Hatari:
Nchi za Kusini-Mashariki mwa Asia (Cambodia, Myanmar...
Salamu Wakuu wa JamiiForums,
Sisi ni wauguzi wenye degree (Shahada ya kwanza) nchini Tanzania tunalalamikia hali yetu. Tunaandika ujumbe huu kwa sauti kubwa kwa sababu ukimya wetu unachukuliwa kuwa ni kukubali.
1. MSHAHARA HAULINGANI NA KIWANGO CHA ELIMU NA KAZI
Tunasoma miaka 4 ya degree kama...
Watumishi walioajiriwa mwezi Juni 2022 katika Halmashauri ya Wilaya ya Mpimbwe tunaomba haki yetu ya msingi itendeke. Pamoja na kutimiza wajibu wetu wa kazi kwa uaminifu, hadi sasa wengi wetu hatujafanyiwa utaratibu wa kupandishwa madaraja kama sheria na taratibu za utumishi wa umma...
Anonymous
Thread
haki
juni
kupandishwa madaraja
madaraja
malalamiko
malimbikizo ya mishaharamishahara
watumishi
Jeshi linalotumwa kuwalindia madaraka
Askari mwenye V tatu
Mshahara 625,000 /= baada ya makato
Huna V hata moja 228,000/=
Hii iliongezwa kutoka 215,000/=
Kupanda vyeo labda jeshini, polisi ni nadra
Mkataba wa ajira kama huna nyota moja ni miaka mitatu mitatu tu. Day waka !
Miaka 6 ya...
Ndugu zangu vita inayoendelea Irani imesababisha upandaji wa bei ya nishati kitu ambacho kimesababisha mfumuko wa bei kwenye bidhaa karibu zote,kwenye uchumi gharama za nishati/mafuta/gas zikipanda lazima bei ya bidhaa ipande.
Kwasasa hali ya maisha kwa upande wa wafanyakazi imekua mbaya zaidi...
Kwa wale tunaofanya kazi chini ya TAMISEMI kwakweli hii wizara inachosha yaani mtu unahama miaka miwili ila mshahara bado upo huko ulikotoka,unaanza kumbembeleza mkuu wa huko ulikotoka apitishe kazi zako,
Sasa hapa changamoto ni kwamba mkuu anakwambia mimi siwezi kukupitishia kazi zako ikiwa...
Naombeni ushauri maana humu kuna watu wengi wenye akili na experience tofauti tofauti ila naomba kufahamu namna nzuri ya KUDAI mshahara maana inaonekana BOSS Hana mpango wa kulipa mwezi mmoja na NUSU sasa na hatoi sababu.
Nimejishikiza katika kaajira flani private sasa boss watu wanadai ndiyo michezo yake wafanyakazi wakifanya kazi miezi kadhaa huwa anataka kuzurulumu.
Mwezi mmoja ili muondoke then alete wengine nao wakifanya anawadhurumu .
Trend huwa ipo ivyo Leo tumekaa kupanga jinsi gani Tu deal na BOSS ila...
kumekuwepo na chapisho ambalo limechapishwa na baadhi ya watumiaji wa mitandao ya facebookk wakiwa na ujumbe unao nukuu kuwa bunge la iran limetangaza kuongeza mishahara baada ya vita
katika chapisho hilo ambalo lina nukuu inayosomeka "Baada ya Bunge kuidhinisha sheria mpya ya Malipo kada ya...
Kwanza nawapongeza UTPC kwa kupata fedha ambazo pia zitatumika kulipa waratibu. Hilo ni jambo jema sana hakika mnstahili pongezi.
Lakini kilichonileta hapa ni baada ya kupokea barua kutoka UTPC ikitoa maelekezo kwa sisi viongozi wa Klabu tujaze fomu za maelezo (kama inavyoonekana hapo chini) na...
Walimu Ajira Mpya mwezi wa kwanza 2026 had leo hatujapewa pesa za kujikimu Halmashauri ya Wilaya ya Babati, tunateseka hatuna hela ya matumizi.
Pia Walimu wa Science na wa Arts huwa mishahara inatofautiana wa Science kwenye barua ya kazi tuliyopewa basic salary ni Shilingi 925,000 but...
Anonymous
Thread
arts
hii
lini
mishaharamishahara ya walimu
science
serikalini
tabia
walimu
Leo tarehe 28 zimesalia siku 3 hivi kumaliza mwezi wa 3. Sasa kuna wale tayari wameshapokea mishahara yao tangu 22 ambao wengi wao ni watumishi wa Umma.
Lakini private wengine tarehe 25 hadi leo wanapokea, halafu kuna wakina sisi hadi MUNGU AKIPENDA yani boss ajisikie kuingiza!
Ila ajira ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.