Samia Suluhu Hassan[a] (born 27 January 1960) is a Tanzanian politician who is serving as the sixth and the first female president of Tanzania since 2021. She is a member of the ruling social-democrat Chama Cha Mapinduzi (CCM) party and the third female head of government of an East African Community (EAC) country.
A native of Zanzibar,[2] Suluhu served as a minister in the semi-autonomous region during the administration of President Amani Karume. She served as the Member of Parliament for the Makunduchi constituency from 2010 to 2015 and was the Minister of State in the Vice-President's Office for Union Affairs from 2010 to 2015. In 2014, she was elected as the vice-chairperson of the Constituent Assembly tasked with the drafting of the country's new constitution.
Suluhu became Tanzania's first female vice-president following the 2015 general election, after being elected on the CCM ticket with President Magufuli. Suluhu and Magufuli were re-elected to a second term in 2020. She briefly served as the second female interim Head of State in the EAC – 27 years after Sylvie Kinigi of Burundi, spanning a period around the end of the year 1993.
Ndugu zangu Watanzania,
Ukiona na Unapoona Rais wetu Mpendwa anaunda Tume Kuchunguza Kila Tukiona linalohusu Kupoteza Uhai wa Mtanzania yeyote yule ni kwa sababu Rais wetu anajali Maisha ya watanzania na Mtanzania mmoja mmoja. Ni kwa sababu Anataka kila mmoja Aishi Mpaka pale Mungu atakapoamua...
Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassana akiapisha Majaji 9 wa Mahakama ya Rufani aliowateua leo Mei 26, 2026, amesema Serikali itaendelea kuchukua hatua kuimarisha uwezo wa Mahakama za Tanzania ili kusimamia ufanisi wa utoaji haki
"Tumefanya mengine mengi na nyinyi ni...
"Kwa kutambua umuhimu wa haki kama misingi ya amani, utulivu, lakini pia maendeleo ya taifa letu, na ustawi wa wananchi kwa ujumla. Haki ndiyo inayo-prevail katika hayo yote hayo. Nendeni mkae"
Hayo yamesemwa na Rais Samia Leo, Mei 26,2026 wakati akiwaapisha Majaji aliowateua hivi karibuni...
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan, leo tarehe 26 Mei, 2026, amewaapisha Majaji wa Mahakama Kuu ya Tanzania aliowateua hivi karibuni kuwa Majaji wa Mahakama ya Rufani.
Majaji walioapishwa ni
(i) Mhe. Imani Daud Aboud;
(ii) Mhe. Rabia Hussein Mohamed...
You were one of my favorite politician by whatever yard stick measure.
Je ungelikuwa umepewa nafasi za ULAJI CCM, je ungelitoka CCM kwa sababu ya kukelwa na ukiukwaji mkubwa wa haki za binadamu za CCM?
NAOMBA jibu
Mchungaji Peter Msigwa
Soma pia
Peter Msigwa: Baada ya mauaji ya Oktoba 29...
Huwezi kuacha kujiuliza hili swali.
Kwa matukio ya hivi karibuni, hasa hili la jaribio la kutekwa kwa kada wa CHADEMA aitwaye Jumbe, wengi tumejiuliza.
Watekaji inasemekana walikuwa na lafudhi isiyopingika ya watu wa visiwani.
Inaelekea ni vijana wa vyombo vya ulinzi na usalama , maana...
Mwaka jana 2025 alisimama bungeni kuitangazia Dunia kuwa Samia amemmwagia mabilioni kedekede kwaajili ya ujenzi wa barabara nk, kwahio (hamdai Samia) mbunge huyo huyo jana 21 Mei, 2026 kasimama kwenye bunge hilo hilo kusema kuwa jimbo lake halina lami hata kidogo
Wanavyozungumza wawe...
Magufuli alimtumbua Makonda ili kujitenge mbali na uchafu wake sidhani kama Samia atakubali kuwa mnyonge kwa Marekani kama mtangulizi wake.
Nategemea Samia badala ya kumtumbua Mafwele atamteua awe IGP kamili, kuonyesha jeuri kuwa hatuingiliwi na mtu, ili kuendeleza slogan yake ya 'Who are you'.
Watanganyika tunaonewa sana. Kwanza kabisa taifa letu lilimezwa na sasa halijulikani lilipo. Tanganyika imemezwa. Tunadanganywa eti kuna Tanzania bara na Zanzibar.
Alafu tunaumizwa sana. Maana utekaji umekuwa ukiumiza amani ya mioyo ya watu.
Angalia tukio la Sativa. Kwenda kutupwa porini na...
Dkt. Samia Suluhu Hassan kubadili majiji, Dar es Salaam na Dodoma.
📌Atatandaza Flyover Tabata, Morocco, Mwenge hadi Kongowe
📌Zitafuata pia za makutano ya Fire, Magomeni na eneo Kamata
📌Dar, Mkoa Pwani kushuhudia barabara njia 8, Dodoma njia 6
Hapa ni Mhongolo iliyopo Manispaa ya Kahama. Wananchi walijenga kizimba cha CHADEMA kikavunjwa, wakajenga tena Katibu Mkuu akakizindua nacho kimevunjwa tena.
Ni Aibu kwa CCM ya huyo wennu Samia.
Kizimba kinaandamana? Kinapiga kura? Kuua wanachama wa Chadema mumeona haitoshi?
Ila uchawa kazi jamaniii! sasa ilo jembe la ulaya limelima mashamba mangapi huko ulaya?
Bado tutaona mengi
==========
Wachezaji wa zamani wa soka wa Tanzania na wa kimataifa wamekabidhi jezi ya timu ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars) kwa mchezaji wa zamani na nahodha wa klabu ya Manchester...
Wizi wa kijinga wa kura umeharibu mahusiano ya watanzania wenyewe kwa wenyewe , majirani zetu kama Kenya, nchi za south Africa. Lakini imeharibu mahusiano na wadau wanao tusaidia kwenye afya, barabara, na uwekezaji. Kwasasa mfano hakuna visa tena zinatoka kwa wafanyabiashara wetu kwenda Marekani...
Wakuu nipo barabarani muda huu,
Ama kwa hakika maisha yamebadilika.
School buses zipo busy kuchukua wanafunzi.
Wazazi wanakwena makazini na watoto wao.
This is pure madness, there is no control.
Rais wangu, weka miongozo kupitia wizara ya elimu,
No child at this hour , wanahitaji kupata...
Tundu Lissu alikuwa active toka kipindi cha Hayati Magufuli, na Magufuli hakuwahi kuactivate Jinai kwa sababu alijua hawezi kufanikiwa na ni kitu ambacho kingempa adhabu kali sana.
Karudishwa nchini hapa akaona busara ni kitu cha kukichezea na uchizi ambao unathibitishwa hadi sasa kutokana na...
Mama Samia anaunda tume kila siku za kitapeli ambazo wanataka kutumika kusingizia matatizo ya vurugu wapinzani. Wameishiwa mbinu sasa tume zenyewe za mchongo kazi yake ni kuja na mapendekezo ya tume nyingine ni woga wanatoa mapendekezo ya kuundwa tume nyingine. Hii ni mbinu ya woga wa kusema...
TCRA ndio inatulea hivi, wanao present mambo ya maana media zao zinapewa onyo na kufungiwa, haya sasa leo EFM wanahamasishana kuwa wakifika kwenye Marathon ya tarehe 20 June wakishamaliza kukimbia wataenda kununua malaya Kahumba Morogoro.
Maudhui hayo yaliruka leo majira ya saa tano na dakika...
Tume iliyoundwa leo nina mashaka kama itakidhi haja. Haitaweza kumuhoji Samia Suluhu wa Makunduchi.
Mzee Mwanakijiji kasema;
1. Haiwezi kumhoji Rais kutokana na kuhusika kwake
2. Haina mwakilishi wowote (kwa sasa) toka Ofisi ya AG au DPP ili watengeneze kesi unless hawa nao wakitoa ripoti yao...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.