Tangu aingie madarakani Serikali yake imekumbwa na matukio mengi makubwa mabaya.
Kila inachofanya lazima kiwe na ukakasi, Bandari, Loliondo, Uchaguzi, nk.
Ni serikali iliyoua raia wake wengi kuliko serikali yeyote.
Serikali yake imekuwa ni ya kujitetea zaidi kuliko kuwatetea wananchi.
Kila...