samia

Samia Suluhu Hassan[a] (born 27 January 1960) is a Tanzanian politician who is serving as the sixth and the first female president of Tanzania since 2021. She is a member of the ruling social-democrat Chama Cha Mapinduzi (CCM) party and the third female head of government of an East African Community (EAC) country.

A native of Zanzibar,[2] Suluhu served as a minister in the semi-autonomous region during the administration of President Amani Karume. She served as the Member of Parliament for the Makunduchi constituency from 2010 to 2015 and was the Minister of State in the Vice-President's Office for Union Affairs from 2010 to 2015. In 2014, she was elected as the vice-chairperson of the Constituent Assembly tasked with the drafting of the country's new constitution.

Suluhu became Tanzania's first female vice-president following the 2015 general election, after being elected on the CCM ticket with President Magufuli. Suluhu and Magufuli were re-elected to a second term in 2020. She briefly served as the second female interim Head of State in the EAC – 27 years after Sylvie Kinigi of Burundi, spanning a period around the end of the year 1993.

View More On Wikipedia.org
  1. D

    JamiiForums Tanzania Hivi ikitoe Samia akalifuta kanisa katoliki hapa tanzani kitatokea nini. Au ni kelele za muda mwisho mnalisahau

    Nawaza tu lakini
  2. figganigga

    JamiiForums Tanzania Sharon Julius ndo mshindi wa tatu wa Miss Elite World. Ole wake aseme ushindi wa Samia

    Tanzania kumtokea upumbavu fulani. Mtu tunamshika mkono huku chini. Akifika juu anaanza kujimaliza. Sijui ushindi huu ni zawadi ya Mzanzibar Samia sijui bila yeye tusingefika hapa. Ukome na ukisema tunakutia mimba unakuwa singo maza. Japo ni nafuu kuliko mjane. Ipo hivi,Sharon amefanikiwa...
  3. figganigga

    JamiiForums Tanzania Kufuru ya Samia Suluhu kukopa Hela za El-nino, ila tunaishia kujengewa madaraja ya Miti. Hela anazipeleka wapi?

    Mzanzibar Samia Suluhu Hela anazokopa za El nino anazipeleka wapi? Wakikopa wanatafuta kama 10% wanawapa Vyombo vya habari viongelee Mvua za El nino, wanaagiza Wakuu wa Walaya na Mikoa kukagua Miundombinu na kutisha watu kuhusu Mvua za El nino. Utawaona barabarani na Mifagio eti wanafanya...
  4. C0000-5068-428-1

    JamiiForums Tanzania Tuunge mkono Uongozi wa Rais Samia Suluhu Hassan, mipango na vipaumbele

    Tukiacha Mihemko, Ukiangalia Tanzania ya leo, kuna mambo mengi yanaendelea. Kuna miradi inajengwa, huduma zinaendelea kuboreshwa na mipango ya maendeleo inaendelea kuwekwa kwa ajili ya miaka ijayo. Hakuna mradi uliosinama Tukumbuke pia maendeleo ya nchi si jukumu la Serikali pekee. Sisi...
  5. F

    JamiiForums Tanzania Sina shaka Samia ameonja waliyopitia wale wa Oktoba 29

    Duniani kila kumbe kiishicho kitakufa. Kila auawe ima atauawa au atakufa tu. Kila afurahiaye maumivu ya wenzake ataumia Kila asababishaye au kushabikia mateso ya wenzake atateseka Namuonea huruma Samia Anatia huruma Sina shaka, kama kiongozi ameonja kile ambacho ndugu za wahanga wa Oktoba 29...
  6. L

    JamiiForums Tanzania Rais Samia Mgeni Rasmi Mkutano wa Kimataifa Wa Wabunge Wanawake Ukanda wa Maziwa Makuu November 2 Hadi 5 Mwaka Huu Ikiwa Atapata Nafasi

    Ndugu Zangu Watanzania, Rais wetu Mpendwa na Jemedari wetu kipenzi cha watanzania Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan Mama wa shoka, chuma cha reli, shujaa wa Afrika,jasiri muongoza njia,nuru ya Wanyonge na nyota ya Matumaini. Anatarajiwa kuwa Mgeni Rasmi katika mkutano wa Kimataifa...
  7. THE FIRST BORN

    JamiiForums Tanzania Kabla Mama hajamaliza Mda wake kingai atapandishwa Cheo

    Kwa ile kauli aliyoitoa Kingai leo, Na kwa Elimu na Ufahamu wa Mwongoza njia wetu natumai amefurahi sana ile kusema kua atafurahi Lissu akikutwa na kosa ana akahukumiwa.. Yale hayakua maneno ya kingai tu bali ya Samia na Serikali yake ya CCM. Na kwa kua Kingai amejitoa Mhanga kwenda Mahakamani...
  8. Zack Abdul

    JamiiForums Tanzania President Samia to Grace FP-ICGLR Women's Conference

    The Forum of Parliaments of the International Conference on the Great Lakes Region (FP - ICGLR), in collaboration with the Parliament of the United Republic of Tanzania, is honoured to announce that H. E. Dr. Samia Suluhu Hassan, President of the United Republic of Tanzania, will grace the...
  9. Zack Abdul

    JamiiForums Tanzania Rais Samia UNGA81: Afya Mama na Mtoto Afrika

    Tukutane New York!!!!!! Tanzania ikiendelea kuongoza juhudi za kuimarisha afya na ustawi wa mama na mtoto barani Afrika. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, Bingwa wa AU wa Afya ya Mama na Mtoto, atakuwa mwenyeji wa tukio la UNGA81 kuhusu - Malengo matatu...
  10. K

    JamiiForums Tanzania Can business mogul Rostam Aziz survive President Samia?

    As much as Aziz is trying to dissuade the president, it would seem that his era of influence is over The resignation of Vice President Emanuel Nchimbi and his subsequent expulsion from Tanzania’s ruling party could mark the collapse of the country’s most powerful political faction which...
  11. The Palm Beach

    JamiiForums Tanzania Adv. Alute Mughway Lissu (kaka wa Lissu) akanusha tuhuma za rushwa ya Abdul na Samia kulazwa Sea Cliff Hotel chini ya ushenga wa Godbless Lema

    https://youtu.be/mSwjE0vLsH4?si=3rPplPdtVQr3X7j- Anasema: 1. Mara ya mwisho yeye kuwa DSM kwenye kesi ya mdogo wake ni tarehe 10 - 15/8/2026, akarudi Arusha nyumbani kwake na toka wakati huo amekuwa anaumwa na kuhudhuria matibabu ikiwemo kulazwa kwa siku 6 hospitalini... 2. Amemtaka mtu...
  12. kavulata

    JamiiForums Tanzania Kama kauli hii ingetolewa na Rais Samia ingekuwaje, Walaka?

    Kuna wakati naona watanzania hawako fair kwa Rais Samia, maana yeye hajafika hata robo ya mabaya ya watangulizi wake. Hebu msikilize Rais mstaafu Mkapa hapa. https://youtu.be/a4c3MQwGD0g?si=qis68AY3vgTvu9Lj
  13. Zack Abdul

    JamiiForums Tanzania Rais Samia Aongoza Maadhimisho Miaka 60 ya Jeshi la Polisi

    LEO KATIKA KUMBUKUMBU 📌 17 Septemba 2024 — Maadhimisho ya Miaka 60 ya Jeshi la Polisi Tarehe 17 Septemba 2024, Rais Samia Suluhu Hassan akiwa Amiri Jeshi Mkuu, alihudhuria na kuongoza hafla ya kuhitimisha maadhimisho ya miaka 60 ya Jeshi la Polisi Tanzania, yaliyofanyika Shule ya Polisi...
  14. Boss la DP World

    JamiiForums Tanzania Samia anataka kutuachia David Kafulila 2030

    Kuna mambo yanachekesha kwelikweli, kumeibuka nyuzi kibao hapa jukwaani zikimwonesha Kafulila kama mtu smart sana😂. Kumbe mama yenu anataka kumwachia kiti. Mwambieni amefeli, hata yeye yupo kiharamu, tumekaa palee tunasubiri uchaguzi.
  15. M

    JamiiForums Tanzania SAMIA NA MAPINDUZI YA BANDARI ZA TANZANIA

    SAMIA NA MAPINDUZI YA BANDARI ZA TANZANIA Kuna uwekezaji ambao unaonekana kwenye majengo, magati, reli na mitambo. Lakini kuna uwekezaji mwingine ambao thamani yake kubwa haionekani mara moja kwa macho, ni uwekezaji unaobadilisha namna nchi inavyounganishwa na biashara ya kikanda, namna mizigo...
  16. figganigga

    JamiiForums Tanzania Rekodi Mbaya ya Utawala wa Samia Suluhu Hassan: Tanzania imegeuka Nchi ya Misiba, Kesi za Uongo na Uteuzi za hovyo

    Cha kwanza alichofanya ni kuhakikisha anajipachipa au anapachikwa udaktari ili aonekane Msimi. Sisi tunamchora tu🤣 Salaam Wakuu, Hivi mumegundua jinsi Uongozi ikishalaniwa unavyofanya kazi? Haijawahi kutokea, hii ni rekodi Mbaya Nchini Tanzania ya Uongozi wa Samia Suluhu na Rekodi mpya kwa...
  17. ngara23

    JamiiForums Tanzania Makonda afika Barcelona, akabidhi jezi yenye jina la SAMIA na lake

    Ila TANZANIA
  18. figganigga

    JamiiForums Tanzania Jezi ya Barcelona imeandikwa Samia badala ya Serengeti, Ngorongoro nk. CCM kifo cha Mende

    Jezi ya Barcelona imeandikwa Samia 10 badala ya Serengeti, Ngorongoro nk. CCM wametepeta. Hajali Nchi tena. Halafu tunaionea wivu vist Rwanda
  19. Zack Abdul

    JamiiForums Tanzania Laporta Atuma Rambirambi kwa Rais Samia

    Lapotra Atuma Salam za Rambirambi Kufuatia Kifo cha Mwenza wa Rais Samia Na Mwandishi wetu - MAELEZO Rais wa Klabu ya Barcelona FC, Joan Lapotra amemkabidhi Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Mhe. Paul Makonda barua maalum ya rambirambi kwa ajili ya kumfikishia Rais wa Jamhuri ya...
  20. Zack Abdul

    JamiiForums Tanzania Rais Samia Azindua Hospitali ya Rufaa Kanda ya Kusini

    15 Septemba 2023 — Mtwara Mhe.Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan alizindua Hospitali ya Rufaa ya Kanda ya Kusini, iliyopo Mikindani, Mkoani Mtwara. Hospitali hiyo ililenga kuongeza upatikanaji wa huduma za matibabu ya kibingwa kwa wananchi wa Mtwara, Lindi na Ruvuma. Katika hafla hiyo, Rais Samia...
Back
Top Bottom