samia

Samia Suluhu Hassan[a] (born 27 January 1960) is a Tanzanian politician who is serving as the sixth and the first female president of Tanzania since 2021. She is a member of the ruling social-democrat Chama Cha Mapinduzi (CCM) party and the third female head of government of an East African Community (EAC) country.

A native of Zanzibar,[2] Suluhu served as a minister in the semi-autonomous region during the administration of President Amani Karume. She served as the Member of Parliament for the Makunduchi constituency from 2010 to 2015 and was the Minister of State in the Vice-President's Office for Union Affairs from 2010 to 2015. In 2014, she was elected as the vice-chairperson of the Constituent Assembly tasked with the drafting of the country's new constitution.

Suluhu became Tanzania's first female vice-president following the 2015 general election, after being elected on the CCM ticket with President Magufuli. Suluhu and Magufuli were re-elected to a second term in 2020. She briefly served as the second female interim Head of State in the EAC – 27 years after Sylvie Kinigi of Burundi, spanning a period around the end of the year 1993.

View More On Wikipedia.org
  1. figganigga

    JamiiForums Tanzania Samia Suluhu Hassan kajikaanga kwa mafuta yake

    Salaam Watanzania. Kwa ufupi ni kwamba Nchi imekwama. Watanzania wanabaki wameduwaa. Samia Suluhu Hassan amebaki na Mamlaka ya Urais kama taasisi tu ila kapoteza Mvuto. Kageuka kituko kila mtu anamshangaa. Na Watanzania msitegemee kuna kitu chochote kitafamyika kwa mika 4 iliyobakiza ya...
  2. Idugunde

    JamiiForums Tanzania Tatizo lilianza pale Nchimbi alipomchana ukweli Rais Samia.

    Ukweli huu unauma.👇
  3. Msanii

    JamiiForums Tanzania Swala la Nchimbi limeongeza moto kwenye mageuzi. Sasa sio CHADEMA tu wanaogombana na Samia

    Kung'atuka kwa Nchimbi ni taswira ya mashindano na mapambano ya mageuzi ndani ya CCM, ambapo ni dhahiri wananchi na CHADEMA wanaungwa mkono na kundi la vigogo ndani ya CCM wenye kiu ya mabadiliko ya kweli. Sisi wananchi madai yetu ni pamoja na:- Katiba itokanayo na maoni na utashi wa...
  4. Sifi Leo

    JamiiForums Tanzania Ni MABADILIKO Gani Samia alitaka kuyafanya Nchimbi akawa kikwazo? Au ni kukataa kutoa katiba? Kuamulu Tundu Lissu auawe?

    Tuanzie kwenye kichwa cha habari hapo juu, ni MABADILIKO Gani alitaka kuyafanya mama na akuzuiliwa na Nchimbi? Kumteua mbowe kuwa waziri mkuu? Kumuuua Tundu Lissu? Kuamua yakuwa katiba mpya haitotokea kamwe hata akiuuwa? Ni yapi hayoo?
  5. lord atkin

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Jinsi Dk Nchimbi alivyogundua Rais Samia anatamani mabadiliko

    Katika barua yake kwa umma Mhe Dk Emmanuel Nchimbi amesema kwamba nanukuu "... nimejiridhisha pasipo shaka kuwa Mhe. Rais anatamani mabadiliko, hivyo nimeamua kutimiza ahadi yangu...." Alipoona baadhi ya viongozi na wabunge wa ccm wanasimama hadharani na kumuita Yuda alidhani wanajituma...
  6. Carlos The Jackal

    JamiiForums Tanzania Daah kwa hakika Mungu ana namna yake ya kufanya kazi!!.

    Daah kwa hakika Mungu ana namna yake ya kufanya kazi!!. Hakuna Mwanadamu alitegemea Anguko ka CCM lingekuja kwa style hii R.I.P in Advance !!.
  7. Hance Mtanashati

    JamiiForums Tanzania Tuweni makini kuna CCM team Samia watajifanya Chadema damu ili kusudi kumpaka matope Nchimbi asikubalike na wananchi

    Kuna maccm team Samia yanapata tabu sana kipindi hiki. Wengi wanakuja na gia eti Nchimbi asipokelewe na wananchi na pia kama atataka kujiunga na chadema pia asipokelewe. Binafsi mtu anayemzungumzia kwa mabaya Nchimbi kipindi hiki namuona punguani. Nchimbi ameamua ku sacrifice maisha yake ...
  8. F

    JamiiForums Tanzania Napendekeza Samia ateue aidha Mchengerwa, Wanu siyo Tulia

    Nimependa kujiuzulu kwa Nchimbi ili kupisha utawala wa kifalme . Afanye hivyo kama mfadhili na rafiki yake Museveni kieleweke. Sasa naamini Tanzania ni shamba la bibi tena mwenyewe kiziwi na kipofu. Kwa ufupi, hao hapo juu ndo napendekeza wateuliwe mmojawapo tumalizane na kianze kuumana kwenye...
  9. Zack Abdul

    JamiiForums Tanzania TUPUUZE UPOTOSHAJI

  10. Mi mi

    JamiiForums Tanzania Samia ni Jiang Qing wa Kizanzibari

    Samia ni Copycat ya Jiang Qing aliyekuwa mke wa Chairman Mao Zedong wa China. Harakati za kisiasa za sasa za Samia ni copy ile ile ya moves za kisiasa alizokuwa akifanya Jiang Qing wakati wa Cultural revolution China. Ubaya Cultural revolution period ni moja ya nyakati mbovu kuwahi kupita...
  11. K

    JamiiForums Tanzania Tujiulize: Je, Samia ni mzalendo kweli au mfanyabiashara?

    Utakuwa mzalendo kama 1. Hupendi watu wanaotaka katiba mpya 2. rushwa imejaa serikalini 3. Utekaji unajulikana waziwazi 4. Unateka watu wanaopiga uvunjaji wa sheria 5. Unaiba kura Sasa huyu ni mzalendo na mpiga deal?
  12. mrxtz2026

    JamiiForums Tanzania Rais Samia Tafadhari tafakari haya.

    Mfululizo wa viongozi kujiuzulu katika awamu yako umeongezeka na unatishia sana Usalama wa kidemokrasia wa taifa, mheshimiwa rais nakushauri kataa Barua yake hii ni aibu kwa taifa letu. Orodha ya walio jihudhuru kwenye muhula wako. 1. tulia 2. ndugai 3.majaliwa 4. mpango 5. polepole 6. Nchimbi...
  13. mirindimo

    JamiiForums Tanzania PICHA: WALIOSHINDWA KUFANYA KAZI NA RAIS SAMIA

  14. mirindimo

    JamiiForums Tanzania MTOTO WA RAIS SAMIA AKIWA KWENYE BIASHARA YAKE YA MATAIRI NA RAIS WA UGANDA

  15. S

    JamiiForums Tanzania Tunajua Dr. Nchimbi kalazimishwa kujiuzulu na hili linaweza kuwa ndio chanzo cha mpasuko mkubwa ndani ya CCM utakaomwondoa Samia madarakani

    Kama kuna jambo moja ambalo Samia linamshinda katika uongozi wake, ni kuwa na uwezo wa kuona mbali katika baadhi ya maamuzi yake na kuletea kujijengea maadui wengi sana wa kisiasa. Kwa mfano, hadi sasa, hawa huwezi tena kuwaita watu wa Samia, pamoja na wale wanaowaunga mkono Dr. Nchimbi...
  16. Waterloo

    JamiiForums Tanzania Rais Museveni hii leo akutana na Ujumbe wa Abdul Hafidh mtoto wa Samia ikulu ya Entembe. Hivi huyu dogo ana cheo Gani serikalini?

    Kuna maswali yanakuja kichwani kwangu bila majibu. Rais wa Uganda anampokea kwa itifiki ipi je ni ya kiserikali au huyo bwanamdogo ni mfanyabishara au mwanasiasa au balozi wa hii Serikali? Mwenye ufahamu tafadhali maana nachanganyikiwa.
  17. M

    JamiiForums Tanzania Mtoto wa Rais Samia, Abdul Hafidh Ameir na Ujumbe wake afika Ikulu ya Entebbe kujadili sekta binafsi zinavyoweza kunufaisha Tanzania na Uganda

    Mtoto wa Rais Samia, Abdul Hafidh Ameir na Ujumbe wake akaribishwa Ikulu ya Entebbe kujadili sekta binafsi zinzvyoweza kunufaisha nchi hizi Mbili
  18. thegreat1510

    JamiiForums Tanzania Huenda Abdul mtoto wa Samia akachukua nafasi ya Nchimbi

    Nawaza tu.
  19. polokwane

    JamiiForums Tanzania Swala la kumfukuza nchimbi sio la CCM ni la Samia na genge lake na ni kwa maslahi ya genge hilo tu sio taifa elewa hivyo.

    Na kwakuwa CCM wengine ni fuata upepo ukweli upo mioyoni mwao, Hiyo ndiyo habari iliyopo mezani
  20. G Sam

    JamiiForums Tanzania Samia mpe tu hiyo nafasi Mbowe kama ulivyodhamiria ili mpango wako ukamilike

    Nimedokezwa kuwa upo mpango mahususi unaandaliwa ili bwana Mbowe apewe ile nafasi. Mpeni tu maana hamna tena aibu kuficha mauchafu yenu. Litakuwa ni pigo kwa yule bwana kuondoka.
Back
Top Bottom