Vijana wa kisasa, anasoma chuo , akifika mtaani anataka kuoa, hapo hajapata kazi, annaza kusumbua watu wote wa phone boook yke. Kijana huyo , anataka harusi sawa na mtoto wa GSM, anaishia kupata sress na kugombana na ndugu, swali, je hawa vijana wanastahili kulaimisha kadi za double?
Michango...