harusi

  1. M

    JamiiForums Tanzania Ndoto ya harusi ya kila introvert,

    Hii ndio ndoto ya introvert hata kama ni bilionea Na hawa bado ni wengi kwa baadhi yao 😂 sh
  2. M

    JamiiForums Tanzania Ni jeuri ya pesa ? Gachuma, tajiri wa Mwanza kampeleka Diamond Tarime kwajili ya Birthday wakati angehitajika harusi ya mtoto wa tajiri wa Katoro

    Tajiri wa Katoro sio mtu wa kupenda unyonge! Hapana kabisa! hana dogo, anapenda kujulikana kwamba ana mkwanja mrefu kama mguu wa twiga! Na usidhani ni maneno tu, tuliona video wiki iliyopita zilizotuteka headlines mitandaoni. Kwenye sendoff ya mtoto wake alianza kwa kum book Ali Kiba na wala...
  3. FORBIDDEN HISTORY

    JamiiForums Tanzania Wadada ni wajanja sana, katika hizi sherehe za harusi lazima utakutana na wawili au watatu wanataka attention yote itoke kwa biharusi na ije kwao

    Kwenye mduara utamkuta amevaa nguo ya kubana na aanze kukatika kiasi kwamba bwana camera na wale wauzuliaji wote wanamgeukia. Kila muda ataaamka atembee tembee mara aende kwa DJ mara vinywaji
  4. Robert Heriel Mtibeli

    JamiiForums Tanzania Maelekezo ya vitisho kwa Bwana Harusi siku ya Harusi kutoka kwa Wakwe hasa Mama wakwe sisi Watibeli hatuyaruhusu hata kidogo

    MAELEKEZO YA VITISHO KWA BWANA HARUSI SIKU YA HARUSI KUTOKA KWA WAKWE HASA MAMA WAKWE, SISI WATIBELI HATUTAYARUSU HATA KIDOGO. Anaandika, Robert Heriel Mtibeli. Kila mtu akae kwenye mipaka yake. Huko ndiko kuheshimiana. Kuna familia ambazo Wamama ndio vichwa vya familia. Wao ndio wenye sauti...
  5. StoikKadi Express TZ

    JamiiForums Tanzania Unaandaa Harusi, Send-off, Sherehe au Corporate Event?

    Badili namna unavyosimamia wageni kwa kutumia Kadi Express, mfumo wa kisasa wa Mialiko ya Kidijitali Tanzania unaorahisisha usimamizi wa wageni kuanzia mwaliko hadi siku ya tukio. Kupitia Kadi Express unaweza kupata: ✅ Digital Invitations za Harusi, Send-off na Corporate Events ✅ RSVP...
  6. wa stendi

    JamiiForums Tanzania Sitokaa nihudhurie tena kwenye harusi ya dada au ndugu wa karibu upande wa kike

    Nineumia sana kuona dadangu anashikwa shikwa trako na kuchezewa mbele yetu ma kaka na wazazi ukumbini kisa wanacheza mziki wa bluez. Japo dada yetu katuheshimisha kutuletea shemela lakini binafsi nimeumia. Yaani baada ya kula na kunywa tukiwa ukumbini kuna mda kukawa hakuna shamra shamra...
  7. Red black

    JamiiForums Tanzania Kuna dada katumiwa kadi ya mwaliko wa harusi na mwanaume aliekuwa na malengo nae/future almanusra ajitie kitanzi

    Jamaa kamfinyia huyu dada vitendo vya kilusifa kamtumia kadi ya mwaliko wa harusi kwamba anaoa mwanamke mwingine. dada kawahiwa na marafiki zake kidogo ajitie kitanzi.
  8. Jayvpapa

    JamiiForums Tanzania Kwani Kuna ulazima wa watu kuchangia mchango wa harusi?

    Nimeshuhudia Kuna watu wanakosana na marafiki ndugu kisa alishindwa kutoa hela ya mchango wa harusi Kwani ni lazima kufanya harusi na hauna bajeti?
  9. X

    JamiiForums Tanzania Moja ya tukio la kijinga na la kitoto ni kufanya sherehe ya HARUSI, ujinga ujinga mtupu

    Events za harusi zinaboa sana. Miaka nenda miaka rudi ukumbini mambo ni yaleyale: Ingia ukumbini Cheza kidogo Kata keki Tambulisha ndugu Toa zawadi Nenda kwenye msosi Muziki Tuwaage maharusi wetu wakapumzike (wakaichape) Kweli miezi 3-4 watu wazima wanakaa vikao kwa ajili ya ujinga kama...
  10. Mr George Francis

    JamiiForums Tanzania Acha kusumbua watu wakuchangie kwenye harusi yako

    Harusi ni sherehe inayofanyika baada ya agano la ndoa. Unapowaza kufanya harusi usifikirie kuhusu pesa zilizopo kwenye mifuko ya watu. Angalia mfuko wako mwenyewe kama unaweza kumudu gharama za sherehe ya harusi au ufunge tu ndoa bila sherehe. Hakikisha huna deni kwa mtu yeyote baada ya...
  11. MK254

    JamiiForums Tanzania Jamaa ajilipua kwa bomu kwenye harusi huko Pakistan

    Kuwaelewa makobaz kunahitaji elimu isiyo ya kawaida. DERA ISMAIL KHAN, Pakistan – The death toll from a suicide bombing at a wedding near the Afghan border rose to seven on Jan 24, police said, as Pakistan struggles to deal with a rising wave of militant attacks The bombing tore through a...
  12. Kazanazo

    JamiiForums Tanzania Je nisipo hudhuria harusi ya rafiki huyu kuna lawama?

    Ni rafiki wa kushibana kwetu kama kwao na kwao kama kwetu, urafiki wetu ni zaidi ya undugu maana tunasaidiana kuliko hata hao ndugu zetu wanavyo tusaidia Urafiki wetu ulianza na kukua kwa kasi tukiwa school na kwa bahati nzuri kila tukivuka level moja kwenda nyingine tunajikuta tumepangiwa...
  13. Brightburn

    JamiiForums Tanzania Tunatengeneza kadi na website ya harusi yako

    Ifanye harusi yako iwe ya kisasa zaidi kwa kuwa na website ya harusi ambayo itakuwa na picha za matukio yote yaliyofanyika ukumbini na utaweza kushare na marafiki, ndugu au familia yako. Utapata website hii kutoka HAMIA DIGITAL na hosting ya miezi 6 bure kabisa! Unachotakiwa kufanya ni kununua...
  14. Damaso

    JamiiForums Tanzania Gharama za michango ya harusi na sintofahamu ya chakula

    Hivi karibuni kwenye mijadala ya harusi, gumzo limekuwa kadi za mchango. Ukitazama kadi, single unachangia elfu 50, double elfu 90. Hapo mtu anajisikia kama amenunua Tiketi ya Mechi fulani, kumbe unakwenda kuwapiga tafu watu katika harusi yao. Lakini ukifika, unakutana na ujumbe kuwa: “Chakula...
  15. Mad Max

    JamiiForums Tanzania Harusi za siku hizi za kipuuzi sana. Eti mtu unakodi hadi Maids waje kunogesha sherehe. Really?

    Aisee harusi zina vikorombwezo vya ajabu ajabu sana ndio vinapelekea kusumbuana na msg za michango na kuingia madeni wanandoa. Mfano: 1. Kukodi ukumbi - Mil 4 2. Mapambo - Laki 5 3. Music - Mil 1 4. MC - Laki 5 5. Cameraman - Laki 5 6. Kukodi magari ya maharusi Mil 1 7. Coaster za ndugu - Laki...
  16. Jaji Mfawidhi

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Ukumbi Wa Harusi Bethany Mikocheni-Kwa Warioba siri zavuja!

    Hongereni kwa kazi na wasomi poleni kwa Masomo, machawa tunawashukuru na wasanii pia kwa kutusimanga sisi wasomi ! Ukumbi wa Bethany unaomilikiwa na thehebu lisiloamini YEsu, wanamiliki ukumbi wa Harusi mikocheni kwa Warioba njia ya kwenda viwandani. MAUZA UZA YA UKUMBI:- Ukumbi ni ghali...
  17. Diaspora Messenger

    JamiiForums Tanzania Karibu kwa Huduma ya Ukodishaji wa Magari, | Harusi, shughuli binafsi n.k.

    KARIBU KWA HUDUMA YA UKODISHAJI MAGARI For Car Rental Services | Kwa Huduma ya Ukodishaji wa Magari Karibu! Tunatoa huduma bora za ukodishaji wa magari kwa harusi, shughuli binafsi, na matukio mengineyo. AINA YA MAGARI NA BEI ZETU: 1. Mercedes Benz - G Wagon: Tsh 2,300,000 - All Sedan...
  18. McLaren

    JamiiForums Tanzania Video: Kwa utaratibu huu uliopo kwenye harusi ya kabila hili la Kinigeria, wanaume wenzangu tungetoboa kweli?

    Wakuu, Nimekutana na video hii ya harusi ya watu wa kabila moja huko Nigeria, nimewaza sana kwa vyuma vilivyokaza sidhani kama wanaume wa Kitanzania hasa wa Daslam wangeweza. Huu utaratibu uko huko kwenye kabila moja la Nigeria linaitwa Ijaw ambapo mwanamke akiwa Bi Harusi kwenye harusi yake...
  19. Papillon 1906

    JamiiForums Tanzania Heshima kwa wageni kuendelea kuwepo eneo la tukio

    Wanandoa nchini Filipino wamewashangaza watu wengi ulimwenguni baada ya kuendesha shughuli za harusi yao katika kanisa ambalo limejaa maji kutokana na dhoruba na mafuriko. Bwana Newlyweds Jade Rick na Jamaica kiss - wanaeleza Maamuzi hayo kwao ni kama kujitoa sadaka katika jambo Lao, lakini...
  20. Brightburn

    JamiiForums Tanzania Kadi nzuri za harusi kwa Tsh 950 tu!

    Ofa ya kadi za harusi, send-off, michango, graduation, komunio, na mialiko mingine mbali mbali. Utapata ofa hii kuanzia leo hadi mwezi wa nane tarehe 29, gharama ya kawaida ni Tsh 1500 kwa kadi moja, pata kwa ofa ya Tsh 950 kwa kadi moja (kuanzia kadi 100). OFA inaambatana na; Kudesign kadi...
Back
Top Bottom