Moja ya mambo yanayoua furaha, amani ya akili, na uwezo wa watu wengi leo si vita wala umaskini pekee bali ni tabia ya kujilinganisha na wengine.
Unapoanza kupima thamani ya maisha yako, hatua zako, au mafanikio yako kwa kutumia rula ya mtu mwingine, unajiingiza kwenye mtego unaoua uwezo wako...