mapenzi

  1. AXIOM APEX VERBOSE

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ukimwi hauui ila Mapenzi yanaua.

    Tumia KONDOMU. Usiseme sijakwambia. Sirudii mara 2 nikipita nimepita. Vaa Condom.
  2. min -me

    JamiiForums Tanzania Kwenye mapenzi

    Kama unajiamini kama mimi na unayo pesa , kamwe usiseme kumpata mwanamke mzuri, kunategemea tabia yake Ukweli ni kwamba hatuna mwanaume anapenda mwanamke m baya wa sura ni ukosefu wa pesa tu bwashee
  3. Samia atosha tukutane2030

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kijana usikubali kuwa kwenye mapenzi na binti mpumbavu

    Mtu mpumbavu hupimwa kwa yale yamtokayo moyoni mwake. Au hupimwa kwa chatting stylist yake. Binti unachat naye kidogo anaanza kuandika njaa inaniuma. Hajala anasema , anahitaji umtumie elfu 5 ya kula. Huyu ni binti mpumbavu, ukimwoa mtazaa watoto wajinga wenye mtindio wa akili. Elfu 2 anaomba...
  4. MFALME WETU

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wadada wa kichaga acheni usela kwenye mapenzi

    Ciao.! Tushakubali kuwa hamko romantic ila punguzeni usela kwenye mapenzi. Yan ukiwa na pisi ya kichaga inakuchanganya mpaka unashindwa kuelewa wewe ni mshikaji wake, kaka yake au mpenzi wake. Pisi ya kichaga kukuita "oi" ni kawaida sana au text inaingia ukifungua unakuta imeandika "vipi man"...
  5. Equation x

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mapenzi ya kutafutana mwisho wa mwezi siyataki

    Mambo ya kuitana switii, bebiii, asaliii...sitaki, najua mnavizia hiki kimshahara kangu. Mshahara ni wa kwangu, nimeupata baada ya kuchomwa na jua pamoja na kumaliza soli ya kiatu kwa kutembea; achilia mbali manyanyaso ya huko kazini. Sasa ni muda wa kujipongeza mimi mwenyewe na nafsi yangu...
  6. ndege JOHN

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mapenzi ya Instagram, Facebook na TikTok ni kituko kinachostahili kufundishwa darasani

    Mapenzi ya siku hizi yanafurahisha kama hujawahi kuwa muhanga wa michezo. Uko zako Insta au Facebook ama TikTok unavinjari zako tu, ghafla unaona demu ka like comment au post yako na kaku follow kabisa. Unasema, Ngoja nitest zali nijioenee nisikae kinyonge unakaaje mwezi mzima hutongozi na...
  7. Tuagize

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Usaliti wa mapenzi unaumiza sana 🥹

    Usaliti wa mapenzi niliofanyiwa unanifanya nazidi kudhoofika sana, kuna muda nalia pekee yangu kuona wapi nilipokosea kwanini napitia kipindi hichi kigumu katika maisha yangu Sikuwahi kupitia kabla msongo wa mawazo niliokuwa nao hivi sasa eeh mwenyezi mungu ninusuru kwa haya ninayopitia...
  8. Clark cian

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mapenzi suala linaloninyima usingizi

    Kwa sasa naona kabisa mapenzi yameshanishinda ila napata shida Sana kuwaambia hawa mabinti kuwa siwahitaji Kwa sasa napata shida Sana kuwaambia ukweli. Naombeni ushauri wenu aisee nataka niachane na wanawake wote Kwa sasa nianze kujitafuta na huu udaktari wangu wa mifugo Hadi nijipate .
  9. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mapenzi yanauma party 2; misheni ya kumrudisha Khadija wangu

    Wanazengo naombeni msaada, huyo kwenye picha ndo Khadija wangu nampendaaa sana, huyu Binti ndo kila kitu kwenye maisha yangu, Tangu ameniacha mara kadhaa nimejaribu kujfanya kila namna ili nimsahau nashindwa inauma sana,hapa TU sijaenda kazini na mchina anataka kunisimamisha kazi ,sababu ya...
  10. Fbn

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mimi kama mjomba wenu maana umri wa ujomba tayari. Uhusiano kwa karne hii yamegeuzwa kitega uchumi na ajira za vificho kimaisha

    Napata kesi nyingi kwa vijana na malalamiko kuhusu mahusiano. Ni kweli kwa dunia ya sasa mtu akiniambia ana kwenda kuoa au kuolewa nawaza sana kama kubeti ukaweka GG. Tunapoteza pesa kuchangia michango mwisho wa siku talaka. Kwa dunia ya sasa na maisha ya sasa mapenzi yamegeuzwa kitegauchumi...
  11. Yoda

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wanawake ombaomba pesa kwenye mapenzi wana tofauti gani na wanaojiuza kibiashara?

    Wanawake wanaojiuza kimboka, kwenye bar na clubs wanaosemwa na kuchukuliwa vibaya sana na jamii lakini mimi nafikiri hao wako wazi zaidi, sio wanafiki na wanafanya biashara rasmi. Wanawake wanaoingia au kuwa kwenye mahusiano kwa sababu ya pesa tofauti yao ni kwamba wao wanakuwa wanafanya...
  12. P

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mapenzi ni hisia na si kuhudumia kwa kutoa hela

    Hisia zitakuua bila kutoa sasampa kwa hawa watoto wa alfu mbili
  13. karonga

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania NI UMRI UPI INATOSHA MTU HAWEZI KUUMIZWA NA MAPENZI

    Kuna changamoto kubwa Sana kwa mtu mzima kuumia au kuteswa na mpenzi, labda alichelewa kuanza mahusiano au changamoto za Kimaisha au kiafya, mimi binafsi kutokana na kujihusisha na mapenzj mapema, nimepitia mishale mingi Sana kiasi ambacho kwa Sasa haiwezekani tena kuumizwa na mpenzi, nishawahi...
  14. kindikinyer leborosier

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ulimwengu wa mapenzi ulikuacha na kumbukumbu ipi usiyoweza kuisahau?

    Habari Wana jamii!! Mpo salama? Mpo poa? . Niende Moja kwa moja kwenye habari, nimewaza hili nikikumbuka matukio mawili ambayo Siwezi kuyasahau, yanafundisha sana, na kuonyesha vile vile. . TUKIO LA KWANZA. nikikua na mpenzi mwanamke mzuri alieajiriwa jeshini ni daktari, alipata mafunzo yote ya...
  15. Yoda

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wanawake wanaoomba pesa kwenye mapenzi sasa hivi ndio wanaitwa TAMISEMI?

  16. and 998 others

    JamiiForums Tanzania Tupinge Mapenzi ya jinsia moja kwa vitendo

    Vijana wanakimbilia humo kama sifa vile. Haifai hata kidogo. Utuvwa mwanaume upo wapi?
  17. bless on

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ukweli Mchungu wa Mapenzi: Kutoka Dopamine Hadi Machungu

    Wanawake Ukiwanyima Tu pesa Kauli Inayofuata Ni "Wanaume Wote Ni Mbwa" Hii kauli Ilitokana Na Mapenzi Watu wanajiua Kisa mapenzi Laiti haya Mapenzi yangekuwa mtihani wa taifa wengi tungekuwa tunarudia darasa kila mwaka Na ndio maana wanakwambiya Mapenzi Hayana Mwenyewe. Wengine wakati Tumeingia...
  18. oldmind

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Hisia za mapenzi zimepotea

    Hello everybody, straight to the point. Mimi ni introvert na muda wangu mwingi nimekuwa nikiutumia kufanya mambo magumu, kama kusoma vitabu vyenye hard logics, kutengeneza complicated algorithms, and the rest. Nimejikuta hamu ya kufanya sex au kuwa na mpenzi imepotea kabisa, miaka kama mitatu...
  19. B

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wazee na uchawi wa mapenzi. Hii imekaaje?

    Jana mtaani kwetu kulikuwa na mechi ya timu ya mtaani kwetu vs timu kutoka Mbande. Sasa Upande nilio kuwa nimekaa kulikuwa na wazee wa kiislamu kadhaa wakawa wanapiga story kuhusu wanawake.. Mada ikawa kuhusu uchawi wa mapenzi.. Kati Yao kuna mmoja ana kama miaka 60 akawa anasema anawashangaa...
  20. ndege JOHN

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mapenzi ya Kununua Hayana Amani Kama Kuwa na Mke Wako

    Kadri vijana wengi wanavyoendelea kukua, wengi wanajikuta wakiingia kwenye mahusiano ya pesa yaani kununua malaya kuliko mapenzi ya kweli ya kuishi ndani na mwanamke. Wapo ambao kila wakitaka kuwa karibu na mwanamke lazima gharama ihusike tendo linakuwa kama kazi ya kulipia huduma badala ya...
Back
Top Bottom