mapenzi

  1. Alexido jz instagram

    JamiiForums Tanzania Mapenzi pesa kaka, akadai si kweli

    Nilikua napita napita insta kama kawa kwenye shughuli zangu, za kila siku, nikakutana na jamaa Mmoja, kashare stori yake. Jamaa anadai tangu 2017 hajawahi ishiwa kwenye acc yake ya bank chini ya milioni 50. Yani NYUMBA, gari, pesa si kitu kwake Alisha tafuta akapata, ila cha kushangaza mapenzi...
  2. Panctuality

    JamiiForums Tanzania Anusuriwe kabla kesi haijawa ngumu, mapenzi shikamoo!

    Habari na poleni na uwajibikaji! Kuna jirani yangu (Mtanzania) ndoa ya miaka 3 mpaka sasa, na alimuoa huyo mwanamke (raia wa Zambia) tayari mke akiwa na mtoto aliyezalishwa akiwa nyumbani kwa wazazi na mwanaume mwingine. Wakiwa wameoana mtoto aliachwa kwa wazazi wa mwanamke, kufikia mwanzoni...
  3. K

    JamiiForums Tanzania Kisa cha Msanii aliyesafiri kwa Baiskeli kutoka India hadi Ulaya kwa Mapenzi

    Msanii wa India, PK Mahanandia, alikutana na Charlotte Von Schedvin katika jioni ya baridi mjini Delhi mwaka 1975, baada ya Charlotte kumwomba amchoree picha yake ya uso. Kilichoanza kama ombi la mchoro wa dakika chache baadaye kiligeuka kuwa simulizi la kipekee la mapenzi, lililomfanya...
  4. M

    JamiiForums Tanzania Wakuu naumwa sasa sababu ya mapenzi

    Jumapili njema wakuu, nimeenda church Leo kidogo. Nimetoa sadaka ya laki sita baada ya kupiga diesel ⛽ za kutosha kwenye skavetaa yangu kwa ajili ya kufutiwa dhambi maana hali mbaya sana, baada ya kuachwa na Mwanamke wa ndoto yangu Khadija, nikafanya kila mbinu ya kumrudisha ila zote zimefelii...
  5. Baba mtakatifu91

    JamiiForums Tanzania Kwa mwezi nifanye mapenzi mara ngapi?

    Shikamoni wakubwa............. .leo tena mnaobeti mpeni England uhakika. Sasa nimekuja na swali dogo ivi kiafya nichakate mbususu mara ngapi kwa mwezi? Nimeona nilete huu huzi maana kuna binti kwa sasa tunaenda wiki ya tatu tunakulana ila jana nilianza kuwa na hali ya kukinai, Yaani...
  6. Isenye

    JamiiForums Tanzania Hivi mpenzi wako akikuuliza “Una lengo gani na mimi” unamjibuje?

    Habari Kama kichwa cha habari kinavyosomeka... Nimeamka hapa asubuhi nimekutana na huo ujumbe kutoka kwa manzi flani huwa najipigia tu. Sasa hapo natakiwa kumjibu nini wakuu?
  7. waser

    JamiiForums Tanzania Mapenzi ni hisia ya kufikirika

    Mapenzi sio hisia iliyo dhahiri ni jambo la kufikirika ambalo binadamu anahisi kuna ukweli juu ya hisia hiyo lakini kumbe ni kama kijicho ama mazingaombwe na siyo hisia iliyo ktk uhalisia.
  8. venchwa

    JamiiForums Tanzania Siku mkija gundua kwamba mapenzi si ya kuendekeza mtakuwa mmechelewa sana

    Yaan zama hizi si za kupenda mtu! Nipe nikupe baasi, Hakuna ku attach hisia zako kwa mtu, katika kazi unazofanya hakikisha kipato chako unakigawa hivi Let say unapata 20,000$ monthly Kwanza kabisa tenga 1,000$ akiba dharula Invest . Kuwekeza Muhimu 5000$ Pili wazazi au walezi. 500$...
  9. AXIOM APEX VERBOSE

    JamiiForums Tanzania Ukimwi hauui ila Mapenzi yanaua.

    Tumia KONDOMU. Usiseme sijakwambia. Sirudii mara 2 nikipita nimepita. Vaa Condom.
  10. min -me

    JamiiForums Tanzania Kwenye mapenzi

    Kama unajiamini kama mimi na unayo pesa , kamwe usiseme kumpata mwanamke mzuri, kunategemea tabia yake Ukweli ni kwamba hatuna mwanaume anapenda mwanamke m baya wa sura ni ukosefu wa pesa tu bwashee
  11. Samia atosha tukutane2030

    JamiiForums Tanzania Kijana usikubali kuwa kwenye mapenzi na binti mpumbavu

    Mtu mpumbavu hupimwa kwa yale yamtokayo moyoni mwake. Au hupimwa kwa chatting stylist yake. Binti unachat naye kidogo anaanza kuandika njaa inaniuma. Hajala anasema , anahitaji umtumie elfu 5 ya kula. Huyu ni binti mpumbavu, ukimwoa mtazaa watoto wajinga wenye mtindio wa akili. Elfu 2 anaomba...
  12. MFALME WETU

    JamiiForums Tanzania Wadada wa kichaga acheni usela kwenye mapenzi

    Ciao.! Tushakubali kuwa hamko romantic ila punguzeni usela kwenye mapenzi. Yan ukiwa na pisi ya kichaga inakuchanganya mpaka unashindwa kuelewa wewe ni mshikaji wake, kaka yake au mpenzi wake. Pisi ya kichaga kukuita "oi" ni kawaida sana au text inaingia ukifungua unakuta imeandika "vipi man"...
  13. Equation x

    JamiiForums Tanzania Mapenzi ya kutafutana mwisho wa mwezi siyataki

    Mambo ya kuitana switii, bebiii, asaliii...sitaki, najua mnavizia hiki kimshahara kangu. Mshahara ni wa kwangu, nimeupata baada ya kuchomwa na jua pamoja na kumaliza soli ya kiatu kwa kutembea; achilia mbali manyanyaso ya huko kazini. Sasa ni muda wa kujipongeza mimi mwenyewe na nafsi yangu...
  14. ndege JOHN

    JamiiForums Tanzania Mapenzi ya Instagram, Facebook na TikTok ni kituko kinachostahili kufundishwa darasani

    Mapenzi ya siku hizi yanafurahisha kama hujawahi kuwa muhanga wa michezo. Uko zako Insta au Facebook ama TikTok unavinjari zako tu, ghafla unaona demu ka like comment au post yako na kaku follow kabisa. Unasema, Ngoja nitest zali nijioenee nisikae kinyonge unakaaje mwezi mzima hutongozi na...
  15. Tuagize

    JamiiForums Tanzania Usaliti wa mapenzi unaumiza sana 🥹

    Usaliti wa mapenzi niliofanyiwa unanifanya nazidi kudhoofika sana, kuna muda nalia pekee yangu kuona wapi nilipokosea kwanini napitia kipindi hichi kigumu katika maisha yangu Sikuwahi kupitia kabla msongo wa mawazo niliokuwa nao hivi sasa eeh mwenyezi mungu ninusuru kwa haya ninayopitia...
  16. Clark cian

    JamiiForums Tanzania Mapenzi suala linaloninyima usingizi

    Kwa sasa naona kabisa mapenzi yameshanishinda ila napata shida Sana kuwaambia hawa mabinti kuwa siwahitaji Kwa sasa napata shida Sana kuwaambia ukweli. Naombeni ushauri wenu aisee nataka niachane na wanawake wote Kwa sasa nianze kujitafuta na huu udaktari wangu wa mifugo Hadi nijipate .
  17. M

    JamiiForums Tanzania Mapenzi yanauma party 2; misheni ya kumrudisha Khadija wangu

    Wanazengo naombeni msaada, huyo kwenye picha ndo Khadija wangu nampendaaa sana, huyu Binti ndo kila kitu kwenye maisha yangu, Tangu ameniacha mara kadhaa nimejaribu kujfanya kila namna ili nimsahau nashindwa inauma sana,hapa TU sijaenda kazini na mchina anataka kunisimamisha kazi ,sababu ya...
  18. Fbn

    JamiiForums Tanzania Mimi kama mjomba wenu maana umri wa ujomba tayari. Uhusiano kwa karne hii yamegeuzwa kitega uchumi na ajira za vificho kimaisha

    Napata kesi nyingi kwa vijana na malalamiko kuhusu mahusiano. Ni kweli kwa dunia ya sasa mtu akiniambia ana kwenda kuoa au kuolewa nawaza sana kama kubeti ukaweka GG. Tunapoteza pesa kuchangia michango mwisho wa siku talaka. Kwa dunia ya sasa na maisha ya sasa mapenzi yamegeuzwa kitegauchumi...
  19. Yoda

    JamiiForums Tanzania Wanawake ombaomba pesa kwenye mapenzi wana tofauti gani na wanaojiuza kibiashara?

    Wanawake wanaojiuza kimboka, kwenye bar na clubs wanaosemwa na kuchukuliwa vibaya sana na jamii lakini mimi nafikiri hao wako wazi zaidi, sio wanafiki na wanafanya biashara rasmi. Wanawake wanaoingia au kuwa kwenye mahusiano kwa sababu ya pesa tofauti yao ni kwamba wao wanakuwa wanafanya...
  20. P

    JamiiForums Tanzania Mapenzi ni hisia na si kuhudumia kwa kutoa hela

    Hisia zitakuua bila kutoa sasampa kwa hawa watoto wa alfu mbili
Back
Top Bottom