Asalam alaykum warahmatullah wabarakatuhu.tupo katika mwezi bora katika miezi bora ile 4 katika uislam.kuna jambo napenda kuwakumbusha leo ambalo tumejisahau.
Kuna shule nyingi za za Islamic secondary zinawanafunzi wenye uhitaji wa FUTARI NA DAKU. Wanafunzi hawa wanapaswa kukumbukwa sana katika...
Binaadam yoyote akifa hana thamani tena ndani ya jamii
Hakuna anaekubali kulala na maiti ktk chumba kimoja hasa hio maiti iwe ya tajiri au kiongozi mkuu
Wakiondoka viongozi basi sisi wa chini tunatakiwa tuingie akili kwamba hatuna chetu ktk dunia.
1. Kiongozi kwa upande wa kiislam akifa nguo...
Najua Wenye vijicho,Visebengo,Visebusebu,Viherehere na Visununu mtavuta sana midomo na kusonya sana kwa hatua hii adhimu ambayo nimekuwa nikiiomba na kuipigania kwa muda mrefu!
Huyu mzee wetu alifanya kazi kubwa mno na iliyotukuka, huyu mzee atakumbukwa kwa mengi mazuri ikiwemo kutuheshimisha...
Ubalozi wa China nchini Marekani umefanya hafla ya kumbukumbu ya miaka 52 ya Diplomasia ya Ping-Pong, ambapo Balozi wa China nchini Marekani Xie Feng, alitoa wito kwa pande hizo mbili kutumia busara na msukumo wa tukio hilo la miongo kadhaa.
Wataalamu wa China wanaamini kuwa, tukio hilo sio tu...
Fanya utakalofanya, penda utakavyopenda lakini usisahau kuwapenda wazazi wako zaidi.
Mwanamke/Mwanaume unaempenda sasa hawezi kukupenda kuzidi wazazi wako, wathamini sana wazazi wako maana wao ndio watu pekee wanaokuthamini kuliko mtu yoyote ulimwengu.
Tafadhali usivunje uaminifu wa wazazi...
Tunajua
Ndani ya chama cha Mapinduzi CCM kunatofauti nyingi mno zinazotokana na uchu wa madaraka,makundi mengi yanazuka kulingana na nani ananipa nini pia nitapata nini?
unazani kwa mtu kama Samia Suluhu afanye kitu gani ili kudhibiti mwendendo huu mbaya ambao unatishia kukiangusha chama cha...
Salaam kwako!
Mwaka 2015 punde baada ya Hayati Rais Pombe Magufuli kushika madaraka alianza vizuri kwa kutekeleza/MADAI ya upinzani (CHADEMA) kwa kiasi na kasi kubwa sana.
- Kufuta baadhi ya desturi za kitaifa/chama ambazo zilifanywa na watangulize wake kwa mfano sherehe za uhuru(akapongezwa)...
Wafanyakazi wanaohudumia Michezo ya Olimpiki ya Majira ya Baridi ya Beijing kwa karibu mwezi mmoja walifurahia kwa kucheza kwenye theluji kwa mitindo mbalimbali tofauti katika uwanja wa mashindano kusherehekea baada ya michezo hiyo kumalizika kwa mafanikio wiki iliyopita. Na wakapiga picha ya...
Wafanyakazi na wanaojitolea zaidi ya elfu mbili wa Michezo ya Olimpiki ya Majira ya Baridi ya Beijing wamepiga picha ya pamoja ya ukumbusho tarehe 21 mwezi huu katika Uwanja wa Michezo wa Taifa mjini Beijing, China baada ya michezo hiyo kumalizika. Waliosimama kwenye barafu ni wahudumu...
Katika Kitabu cha Matendo ya mitume 13:6 tunasoma;
"Basi, Barnaba na Saulo walipokwisha tumwa na Roho Mtakatifu, walishuka hadi Seleukia, na kutoka huko walipanda meli hadi kisiwa cha Kupro (Cyprus) Walipofika Salama walihubiri neno la Mungu katika masinagogi ya Kiyahudi. Yohane alikuwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.