Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Threads
7.8K
Posts
220.9K
Threads
7.8K
Posts
220.9K
  • Sticky
Salaam sana Wakuu Inavyoonekana siku hizi japo kweli kuna tatizo la upungufu wa nguvu za kiume haswa kwa mazingira ya mijini, Lakini hili tatizo linaonekana kukuzwa kuliko lilivyo hadi...
98 Reactions
1K Replies
865K Views
  • Sticky
Wengi wetu humu tunalea ama watoto wetu ama watoto wa ndugu jamaa na marafiki. Tumekuwa na mada maalum nyingi za mambo tofauti kama urembo magari simu n.k. lakini hatujawahi kuwa na mada hii...
148 Reactions
1K Replies
297K Views
Kwa ufupi ni kwamba huyu binti tumejuana miaka kumi na moja imepita, Mimi nilikua advance yeye alikua madarasa ya chini, offcourse tumepitia vingi sana kuzinguana hapa na pale, kuna kipindi hapo...
4 Reactions
30 Replies
398 Views
Mimi nipo kwenye ndoa,Nina takribani ten years nimebahatika kupata watoto pia.napenda sana kuhudumia familia yangu kulingana na kipato changu. Mwanzoni nilipooa mwenzangu hakuwa na kazi hivyo...
52 Reactions
367 Replies
6K Views
Haya haya sasa March ndio hii Swali kama mmeliona hapo Msaidieni mwenzenu Mpenzi wake ni mweupe, mwanaume Mbongo na mweupe sio mzungu Ila ana kibamia na hatoi hela Afanyaje?
6 Reactions
87 Replies
1K Views
Wakubwa wenzangu habarini za weeekend kwangu mimi weekend yangu haiko powaa kabisaa Mke wangu ni mzuri ana hofu ya mungu ana kazi pia ananipenda ila huwa ana tabia ya kununa hovyo yaani hataki...
18 Reactions
318 Replies
28K Views
Wakuu Katika maisha ya mahusiano tunapitia mengi,unaweza ukapendwa sana mpaka ukawa unahisi ni kero sasa Mtu kila saa anakutafuta,anakutumia text,anakupigia,ukimjibu au ukichelewa kumjibu...
26 Reactions
305 Replies
4K Views
Wakuu nipokisiwani ukanda wa ujitani,naomba nikili wazi kwa bongo bongo kama hujawai umana na penzi la kijita wewe Bado sana,wakuu hizi jita's ladies ni mtu na nusu,zinajua si kitoto Wakuu...
0 Reactions
2 Replies
44 Views
Kumekuwa na uvumi mtaani kuwa ukienda kupima DNA kwa mkemia mkuu huwa wanataka uanzie USTAWI WA JAMII NA KWA MWANASHERIA AMA ORDER kutoka mahakamani ambapo unasikilizwa kwanza nia yako na uamuzi...
16 Reactions
83 Replies
1K Views
Unaenda kikazi au kibiashara unafika mji mpya mfano Dodoma unapanga chumba halafu unaenda reception unaomba utafutiwe mwanamke wakulala nawewe hujui kama ni jambazi, muuaji au anamagonjwa wewe...
30 Reactions
164 Replies
3K Views
Ma brother wa kuanzia 35+ najua nyinyi tayari ni watu wazima na mme pitia mengi kwenye haya maisha. Hebu tupeni ushauri wowote iwe kwa uzoefu au Kama angalizo litakalo tufaa wadogo zenu. Iwe...
22 Reactions
245 Replies
3K Views
Wakuu hii story nimeikuta huko FB kwa famous account ya iddi makengo je zinakuwaga na ukweli wowote!? Nifanye nini nimetembea na mchumba wa wifi yangu kajaua lakini haongei chochote! Ndoa...
5 Reactions
22 Replies
357 Views
  • Poll
Kati ya mwanaume na mwanamke, nani hupitia maisha ya tabu zaidi ndoa inapovunjika? tukitazama hali halisi ya maisha ya Watanzania, ukweli unauma: wanawake wengi wanakosa uhuru wa kiuchumi...
6 Reactions
41 Replies
640 Views
1. Mke anayekaa nyumbani: Huyu anajitolea muda wake wote kuhudumia familia, kulea watoto, na kuhakikisha nyumba iko sawa kila siku. 2. Mke mwajiriwa: Huyu anafanya kazi na anaingiza kipato cha...
2 Reactions
36 Replies
657 Views
Hebu tusaidiane kujua tatizo hili linalonisumbua wapendwa. Nina mwanaume yupo vizuri. (Ana sifa zote za mwanaume) Tatizo linakuja nampenda pindi nikiwa na hamu naye ya kukutana kimwili. Baada...
44 Reactions
586 Replies
8K Views
Kumekuwa na mijadala mingi kuhusu mchango wa mwanamke kifedha ndani ya ndoa. Wengine wanasema ni lazima awe na mchango ili ndoa iwe na usawa, wengine wanaamini kuwa majukumu ya kifedha ni jukumu...
10 Reactions
410 Replies
3K Views
Wanajamvi, habari zenu. Naomba niende kwenye mada. Nilikuwa na rafiki yangu wa kike ambaye nilikutana naye kwa mara ya kwanza mwezi wa tisa mwaka jana nikiwa katika mizunguko yangu ya...
9 Reactions
41 Replies
805 Views
Ni kwa muda mrefu kiasi gani unaweza kukaa bila mpenzi ama kutojihusihsa na mapenzi? Unafanya nini kustahimili muda mrefu?
18 Reactions
505 Replies
20K Views
Ukishiriki tendo na mtu humwelewi afya yake zingatia haya 1. Tumia condom 2. Tumia condom 3. Tumia condom Ikiwa kwa sababu yoyote ile imeshindikana kutumia condom, basi hakikisha unaenda...
13 Reactions
28 Replies
548 Views
Habar wakuu Nauliza mke akiwa ananyonyesha mtoto wa mwaka moja anaweza chepuka Hali ananyonyshe, Maana mke hutoka na mtoto mida ya mchana kwenda kwa ndgu zake,Sasa kama mara mbili hivi siku...
19 Reactions
207 Replies
3K Views
Wanaume wenzangu msiombe hii iwakute. Nimekuwa namwamini wife wangu kipindi chote, tumeoana mwaka 2020 na sasa tumejaaliwa watoto wawili tena wazuri sana. Huwa namwacha wife dukani mimi nikitoka...
21 Reactions
405 Replies
7K Views
Wakuu za usiku, Asee tembea uone leo niliwasili kwenye ofisi fulani posta kwa ajili ya shughuli zangu binafsi za kiofisi sasa kama mnavyojua utaratibu huwa ni lazima ukutane na secretary ndo...
19 Reactions
171 Replies
3K Views
Back
Top Bottom