Wengi wetu humu tunalea ama watoto wetu ama watoto wa ndugu jamaa na marafiki.
Tumekuwa na mada maalum nyingi za mambo tofauti kama urembo magari simu n.k. lakini hatujawahi kuwa na mada hii...
Salaam sana Wakuu
Inavyoonekana siku hizi japo kweli kuna tatizo la upungufu wa nguvu za kiume haswa kwa mazingira ya mijini, Lakini hili tatizo linaonekana kukuzwa kuliko lilivyo hadi...
Kazi iendelee...
Jamani wanaume wenzangu, katika umri huu wa miaka 25 naamua kutoa leo kaliba yangu hii ambayo wengi inaweza kuwastaajabisha kidogo.
Sina hisia za wivu kabisa wala kupiga...
Usingizi unapaa nanga mpaka niwawaze wanawake wazuri wazuri wenye mikia au maziwa kama yale ya kwenye video za dawa za macho.
Humu kumejaa watalamu, naomba mnipe ushauri ni kwanini?
Ni wikiendi nyingine hebu tukumbushane stori za kale.
Mkoa wa singida nilipata nafasi kuutembelea kwa sababu zangu binafsi.
pia nilikumbuka kuna rafiki yangu anaishi huko.
nikamcheki hewani...
Mi binafsi nasema hata ziwa lilale kama banzoka iliyopitishiwa moto bado Robot hawawez ziba nafasi yetu wanawake.... especially kwenye vitu hiv:
1.Robot hatoi utelezi ila anawekewa
2.Robot hana...
Kijenetiki watoto wa kiume na kike huzaliwa kwa idadi sawa, lkn watoto wa kiume hufa wengi kabla ya kufikisha miaka 5.
Watoto wa kiume wakiwa wakubwa wengi huingia kwenye kazi ngumu au hatarishi...
Habarini za muda huu wadau,
Niende kwenye mada, mimi ni mwanaume nimeoa, ila nimemuacha mke wangu kwa takribani Kama mwaka hivi sjawah kukutana nae, ingawa ana mtoto mdogo wa miezi kadhaa.
Sasa...
Ukiachilia mbali kwamba idadi ya wanaume duniani inazidi kuporomoka, na kwamba katika hiyo hiyo idadi ndogo iliyopo bado kunawengine wengi wameamua kujikataa na kujifanya wanawake, Lakini bado...
ili upate mme haraka weka vitu vifuatavyo hapa
1.Picha
2.namba ya cm
3.umri
4.jinsia
5.dini na
6.mkoa ulipo
Nawaomben tumieni hii furusa watu mpate ndoa zenu,Dunia ya saiz ishakuwa Kijiji,ko...
Nahisi Kuna mambo mnapitia na yanawaumiza ila mmekosa pa kusemea. Wanawake tumepewa kipaumbele sawa, lakini nahisi wanaume wamesahulika kusikilizwa.
Hizi mambo naona ndo zinachangia;
1. Kuuua...
Huyu jamaa nimemfatilia kwa Zaid ya Miaka miwili ni MUISLAM haswaa naijua din vizur Sasa hivi anajitambulisha kama mkilisto ila ukifatilia mahubili yake utajua kama ni mkilisto au MUISLAM ndani ya...
Watu wengi wanakuja na polojo zao kuhusu kipimo Cha maisha,Leo mm nakuletea kipimo HALISI Cha maisha ya mafanikio.
Tukumbuke Kuna mafanikio ya aina tatu
1.kimwili.
2.kiroho.
3.Kinafsi.
1...
Chaguo ni lako dada. Amua uishi maisha duni kama mama na bibi yako kwa kupewa sifa za kijinga kuwa wewe ni wife material ama utafute hela kwa nguvu zote.
Wenzako hatutaki kufa kwa stress...
Habari,
Mimi na mwenzangu tumeishi miaka kama 13 kwenye ndoa yetu na tumebarikiwa na kuwa na watoto 2. Niseme ukweli hatujawahi kukorofishaba au kugombana tunapendana sana.
Sasa wiki mbili...
Ilikuwa mwaka jana mwezi wa 5.
Binti mmoja karibu na home alichumbiwa na kijana mmoja aliyekuwa mpenziwe kwa miaka 2 hivi.
Baada ya kulipa mahari taratibu za ndoa zikaanza, sasa siku moja...
Kwanza nianza kwa kuwalaumu waliogundua mapema hii siri kwa kukaa na hii (nywila) password kwa muda mrefu.
Iko hivi wewe mwanaume ukitaka kupendwa na watoto wazuri, wasafi wenye shape zao, watoto...
Habari za weekend, Jamani wanawake mwenzangu naombeni ushauri.
Mimi ni mama nina umri wa miaka 38 nina watoto 3.
Kwa ufupi mimi na mume wangu tulikuwa tunaishi kwa furaha sana, tena furaha sana...
Mahusiano yamekuwa na changamoto nyingi sana, leo unabwagana na huyu na kesho unaanzisha na mwingine.
Ndivyo asili ilivyo, hatuwezi kupingana nayo; muhimu ni kujua na kujiandaa mapema kwenye...
Ukitembea na pisi kali warembo wengine watakuwa wanajitongozesha wao wenyewe.
Jumamosi iliyopita, nilipata mwaliko kutoka kwa mpenzi wangu (mchepuko) tukutane katika kiwanja fulani, angalau...
Kwa miaka miwili iliyopita nimefanya kazi saana sana.
Nilikua nawaza nikipata pesa za kiasi filani nitaenjoy sana maisha.
Sasa hivi saa 6 na dakika 48 nipo macho thinking of mustarbating.
Pesa...