Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Threads
7.9K
Posts
231.8K
Threads
7.9K
Posts
231.8K

On JF:

  • Sticky
Wengi wetu humu tunalea ama watoto wetu ama watoto wa ndugu jamaa na marafiki. Tumekuwa na mada maalum nyingi za mambo tofauti kama urembo magari simu n.k. lakini hatujawahi kuwa na mada hii...
148 Reactions
1K Replies
314K Views
  • Sticky
Salaam sana Wakuu Inavyoonekana siku hizi japo kweli kuna tatizo la upungufu wa nguvu za kiume haswa kwa mazingira ya mijini, Lakini hili tatizo linaonekana kukuzwa kuliko lilivyo hadi...
100 Reactions
1K Replies
891K Views
Mjini mipango. Chungulia fursa piga promo. Nyomi kama lote. Inayoitwa kitchen party gala ni mpango wa Mshangazi kumwagia ndimu single mothers kwa ujira wa kitenge
24 Reactions
145 Replies
2K Views
Kaka mmoja hapa mtaani alioa mwanamke mwenye Watoto Wawili wa Baba Mmoja, huyo mwanamke Aliachana Na MUME Wake kipindi Watoto Wakiwa Wakubwa tayari wameanza shule, baada ya kuachana na mume wake...
38 Reactions
134 Replies
1K Views
Hali hii inatokea pale ambapo upendo wa dhati unapofika mwisho na hisia zinapokoma kabisa kati ya wanandoa. Wakati huu, kile chumba kilichokuwa chemchemi ya mahaba kinageuka kuwa uwanja wa...
8 Reactions
23 Replies
223 Views
Aliandika Marry Diana Shikamoon wakubwa, wadogo zangu hamjambo. Siwezi kuwa mnafiki,ndoa ni moja ya nguzo ya lazima,na napenda sana niwe na mtu sahihi ambaye tutaheshimiana. Mapenzi ni kama...
9 Reactions
79 Replies
706 Views
Mates; Binaadamu tumeumbwa kwa matabaka tofauti tofauti sio wa rangi wala jinsia, katika upande wa Personalites binaadamu yupo katika makundi mabalimbali. Kuna Makundi makuu mawili ya...
104 Reactions
922 Replies
108K Views
Ipo hivi... Kuna siku nilikuwa napita mahali nikamuona mtoto wa kike jina alikuwa skola nilikuja kumjua baadae ametulia kwao hio asubuh juani akawa ananiangalia sikumsemesha nikapita zangu...
6 Reactions
15 Replies
136 Views
Habari wasee! Ni Dakika Chache tu before sijaandika uzi huu mshikaji wangu ametoka Kugombana na Manzi wake kisa tu Hampigii simu mara kwa mara. Mshikaji anaishi Mwanza na Demu wake yuko Chuo huko...
6 Reactions
48 Replies
4K Views
Oya Nimekuja huu mji wa arusha kikazi.mwenyeji wangu kanileta hapa kwenye hii bar..wakuu kuna pisi sio za nchi hii. Asante for your attention on this matter.
19 Reactions
71 Replies
2K Views
Aina za ndoa... 1. NDOA YA MKEKA Inatokana na kufumaniwa na Binti wa watu. Ndoa hii huwa Haina mahari. Hii huvunjika mwaka mmoja tu baada ya wanandoa kugundua hawakuwa wakipendana! 2. NDOA YA...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
A woman shares her heartbreak after her boyfriend of five years introduced her to his mother as “a friend” despite the couple having two children and living together as a family. The incident...
3 Reactions
2 Replies
76 Views
Kwanini mara nyingi wanaume wanaopewa limbwata ni waswahili au waafrika? na unashangaa wazungu wanawapenda waafrika wanawake lakin hawapewi limbwata? Au tafsiri ya limbwata ndo tunakosea, au...
4 Reactions
23 Replies
3K Views
Yani kuna wakati najisikia niringe au nijivune kwa attention ninayopata, lkn kuna wakati naona kama mwisho wa hili hautakua mwema. nimekua nikitongozwa sana tangu nianze kazi, na wengine ni watu...
7 Reactions
20 Replies
319 Views
Mkurugenzi wa Mbezi Garden Hotel Bi Haika Lawere jana kwenye Kitchen Party Gala amewafundisha Wanawake kuficha mali zao Wanaume wao wasizijue kwa sababu wanaume ni matapeli hivyo wakizijua...
23 Reactions
281 Replies
4K Views
Ni swali tu, maana nahis JF ni forum ya wagumu, haitoi fursa kutangaza uzuri wa mtu kwa sura, au Amber ruti yake, Katika mawazo Nawaona wadada wa JF kama wale wadada waliokuwa wanaongoza masomo...
11 Reactions
199 Replies
17K Views
NINA DEMU WAKATI WA KUFANYA MAPENZI HUWA ANATAKA NIMTIE DOLE NYUMA, NAPATA WASIWASI ISIJEKUWA TAYARI ANATOA NYUMA?
2 Reactions
30 Replies
252 Views
Kipindi cha nyuma 1985-2000 simu zilikuwa nadra sana, Lakin pamoja na uchache wa simu, watu walitia maneno mpaka wenza wao wakawaelewa, Kwa wale wa juzi juzi mmerahisishiwa kazi sana, Mtu...
13 Reactions
121 Replies
9K Views
Katika kitu kimenishindaga kwenye mahusiano ni kurudiana na ex wangu yeyote yule. Mimi roho yangu ni ndogo sana mtu akinikosea huwa inaniwia vigumu kumsamehe na kurudiana nae. Niliwahi kujaribu...
8 Reactions
22 Replies
250 Views
Wanawake wana malingo ila wadada wenye makebo makubwa wana malingo PRO MAX. Ni wabinafsi mno. Nimekata tamaa sasa. Huyu ni wa pili ananifanyia vituko.
8 Reactions
39 Replies
553 Views
Katika harakati za ujana unaweza jikuta unatunukiwa tunda na binti kama utani vilee. Hii hutokea pale binti anapokuwa na hasira, jamaa yake amecheat so anataka kulipiza kisasi na kipindi manzi ana...
300 Reactions
54K Replies
21M Views
Kila nikutanapo na majina haya 1. kapeace Nadhania kichwani kwamba ni mdada wa makamo ambaye ni mrefu si sana ila ana mguu fulani wa bia, ambaye natambua fika kwamba kaolewa na mumewe ndo...
11 Reactions
102 Replies
14K Views
Back
Top Bottom