Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Threads
7.4K
Posts
199.3K
Threads
7.4K
Posts
199.3K
  • Sticky
Wengi wetu humu tunalea ama watoto wetu ama watoto wa ndugu jamaa na marafiki. Tumekuwa na mada maalum nyingi za mambo tofauti kama urembo magari simu n.k. lakini hatujawahi kuwa na mada hii...
141 Reactions
1K Replies
255K Views
  • Sticky
Salaam sana Wakuu Inavyoonekana siku hizi japo kweli kuna tatizo la upungufu wa nguvu za kiume haswa kwa mazingira ya mijini, Lakini hili tatizo linaonekana kukuzwa kuliko lilivyo hadi...
93 Reactions
1K Replies
798K Views
Kazi iendelee... Jamani wanaume wenzangu, katika umri huu wa miaka 25 naamua kutoa leo kaliba yangu hii ambayo wengi inaweza kuwastaajabisha kidogo. Sina hisia za wivu kabisa wala kupiga...
1 Reactions
32 Replies
190 Views
Usingizi unapaa nanga mpaka niwawaze wanawake wazuri wazuri wenye mikia au maziwa kama yale ya kwenye video za dawa za macho. Humu kumejaa watalamu, naomba mnipe ushauri ni kwanini?
10 Reactions
64 Replies
748 Views
Ni wikiendi nyingine hebu tukumbushane stori za kale. Mkoa wa singida nilipata nafasi kuutembelea kwa sababu zangu binafsi. pia nilikumbuka kuna rafiki yangu anaishi huko. nikamcheki hewani...
0 Reactions
2 Replies
14 Views
Mwanamke anayeomba pesa kwa jamaa ake ni kosa kubwa
8 Reactions
379 Replies
3K Views
Mi binafsi nasema hata ziwa lilale kama banzoka iliyopitishiwa moto bado Robot hawawez ziba nafasi yetu wanawake.... especially kwenye vitu hiv: 1.Robot hatoi utelezi ila anawekewa 2.Robot hana...
23 Reactions
281 Replies
2K Views
Kijenetiki watoto wa kiume na kike huzaliwa kwa idadi sawa, lkn watoto wa kiume hufa wengi kabla ya kufikisha miaka 5. Watoto wa kiume wakiwa wakubwa wengi huingia kwenye kazi ngumu au hatarishi...
14 Reactions
115 Replies
2K Views
Habarini za muda huu wadau, Niende kwenye mada, mimi ni mwanaume nimeoa, ila nimemuacha mke wangu kwa takribani Kama mwaka hivi sjawah kukutana nae, ingawa ana mtoto mdogo wa miezi kadhaa. Sasa...
8 Reactions
627 Replies
28K Views
Ukiachilia mbali kwamba idadi ya wanaume duniani inazidi kuporomoka, na kwamba katika hiyo hiyo idadi ndogo iliyopo bado kunawengine wengi wameamua kujikataa na kujifanya wanawake, Lakini bado...
7 Reactions
57 Replies
775 Views
ili upate mme haraka weka vitu vifuatavyo hapa 1.Picha 2.namba ya cm 3.umri 4.jinsia 5.dini na 6.mkoa ulipo Nawaomben tumieni hii furusa watu mpate ndoa zenu,Dunia ya saiz ishakuwa Kijiji,ko...
5 Reactions
25 Replies
455 Views
Nahisi Kuna mambo mnapitia na yanawaumiza ila mmekosa pa kusemea. Wanawake tumepewa kipaumbele sawa, lakini nahisi wanaume wamesahulika kusikilizwa. Hizi mambo naona ndo zinachangia; 1. Kuuua...
15 Reactions
157 Replies
3K Views
Huyu jamaa nimemfatilia kwa Zaid ya Miaka miwili ni MUISLAM haswaa naijua din vizur Sasa hivi anajitambulisha kama mkilisto ila ukifatilia mahubili yake utajua kama ni mkilisto au MUISLAM ndani ya...
0 Reactions
1 Replies
52 Views
Watu wengi wanakuja na polojo zao kuhusu kipimo Cha maisha,Leo mm nakuletea kipimo HALISI Cha maisha ya mafanikio. Tukumbuke Kuna mafanikio ya aina tatu 1.kimwili. 2.kiroho. 3.Kinafsi. 1...
3 Reactions
4 Replies
84 Views
Chaguo ni lako dada. Amua uishi maisha duni kama mama na bibi yako kwa kupewa sifa za kijinga kuwa wewe ni wife material ama utafute hela kwa nguvu zote. Wenzako hatutaki kufa kwa stress...
7 Reactions
136 Replies
3K Views
Habari, Mimi na mwenzangu tumeishi miaka kama 13 kwenye ndoa yetu na tumebarikiwa na kuwa na watoto 2. Niseme ukweli hatujawahi kukorofishaba au kugombana tunapendana sana. Sasa wiki mbili...
2 Reactions
13 Replies
408 Views
Ilikuwa mwaka jana mwezi wa 5. Binti mmoja karibu na home alichumbiwa na kijana mmoja aliyekuwa mpenziwe kwa miaka 2 hivi. Baada ya kulipa mahari taratibu za ndoa zikaanza, sasa siku moja...
4 Reactions
32 Replies
1K Views
Kwanza nianza kwa kuwalaumu waliogundua mapema hii siri kwa kukaa na hii (nywila) password kwa muda mrefu. Iko hivi wewe mwanaume ukitaka kupendwa na watoto wazuri, wasafi wenye shape zao, watoto...
3 Reactions
89 Replies
3K Views
Habari za weekend, Jamani wanawake mwenzangu naombeni ushauri. Mimi ni mama nina umri wa miaka 38 nina watoto 3. Kwa ufupi mimi na mume wangu tulikuwa tunaishi kwa furaha sana, tena furaha sana...
49 Reactions
757 Replies
16K Views
Mahusiano yamekuwa na changamoto nyingi sana, leo unabwagana na huyu na kesho unaanzisha na mwingine. Ndivyo asili ilivyo, hatuwezi kupingana nayo; muhimu ni kujua na kujiandaa mapema kwenye...
2 Reactions
15 Replies
135 Views
Ukitembea na pisi kali warembo wengine watakuwa wanajitongozesha wao wenyewe. Jumamosi iliyopita, nilipata mwaliko kutoka kwa mpenzi wangu (mchepuko) tukutane katika kiwanja fulani, angalau...
7 Reactions
87 Replies
1K Views
Kwa miaka miwili iliyopita nimefanya kazi saana sana. Nilikua nawaza nikipata pesa za kiasi filani nitaenjoy sana maisha. Sasa hivi saa 6 na dakika 48 nipo macho thinking of mustarbating. Pesa...
15 Reactions
35 Replies
699 Views
Back
Top Bottom