Wengi wetu humu tunalea ama watoto wetu ama watoto wa ndugu jamaa na marafiki.
Tumekuwa na mada maalum nyingi za mambo tofauti kama urembo magari simu n.k. lakini hatujawahi kuwa na mada hii...
Salaam sana Wakuu
Inavyoonekana siku hizi japo kweli kuna tatizo la upungufu wa nguvu za kiume haswa kwa mazingira ya mijini, Lakini hili tatizo linaonekana kukuzwa kuliko lilivyo hadi...
Mjini mipango. Chungulia fursa piga promo.
Nyomi kama lote. Inayoitwa kitchen party gala ni mpango wa Mshangazi kumwagia ndimu single mothers kwa ujira wa kitenge
Kaka mmoja hapa mtaani alioa mwanamke mwenye Watoto Wawili wa Baba Mmoja, huyo mwanamke Aliachana Na MUME Wake kipindi Watoto Wakiwa Wakubwa tayari wameanza shule, baada ya kuachana na mume wake...
Hali hii inatokea pale ambapo upendo wa dhati unapofika mwisho na hisia zinapokoma kabisa kati ya wanandoa.
Wakati huu, kile chumba kilichokuwa chemchemi ya mahaba kinageuka kuwa uwanja wa...
Aliandika Marry Diana
Shikamoon wakubwa, wadogo zangu hamjambo.
Siwezi kuwa mnafiki,ndoa ni moja ya nguzo ya lazima,na napenda sana niwe na mtu sahihi ambaye tutaheshimiana.
Mapenzi ni kama...
Mates;
Binaadamu tumeumbwa kwa matabaka tofauti tofauti sio wa rangi wala jinsia, katika upande wa Personalites binaadamu yupo katika makundi mabalimbali. Kuna Makundi makuu mawili ya...
Ipo hivi...
Kuna siku nilikuwa napita mahali nikamuona mtoto wa kike jina alikuwa skola nilikuja kumjua baadae ametulia kwao hio asubuh juani akawa ananiangalia sikumsemesha nikapita zangu...
Habari wasee!
Ni Dakika Chache tu before sijaandika uzi huu mshikaji wangu ametoka Kugombana na Manzi wake kisa tu Hampigii simu mara kwa mara. Mshikaji anaishi Mwanza na Demu wake yuko Chuo huko...
Oya
Nimekuja huu mji wa arusha kikazi.mwenyeji wangu kanileta hapa kwenye hii bar..wakuu kuna pisi sio za nchi hii.
Asante for your attention on this matter.
Aina za ndoa...
1. NDOA YA MKEKA
Inatokana na kufumaniwa na Binti wa watu. Ndoa hii huwa Haina mahari. Hii huvunjika mwaka mmoja tu baada ya wanandoa kugundua hawakuwa wakipendana!
2. NDOA YA...
A woman shares her heartbreak after her boyfriend of five years introduced her to his mother as “a friend” despite the couple having two children and living together as a family. The incident...
Kwanini mara nyingi wanaume wanaopewa limbwata ni waswahili au waafrika? na unashangaa wazungu wanawapenda waafrika wanawake lakin hawapewi limbwata?
Au tafsiri ya limbwata ndo tunakosea, au...
Yani kuna wakati najisikia niringe au nijivune kwa attention ninayopata, lkn kuna wakati naona kama mwisho wa hili hautakua mwema. nimekua nikitongozwa sana tangu nianze kazi, na wengine ni watu...
Mkurugenzi wa Mbezi Garden Hotel Bi Haika Lawere jana kwenye Kitchen Party Gala amewafundisha Wanawake kuficha mali zao Wanaume wao wasizijue kwa sababu wanaume ni matapeli hivyo wakizijua...
Ni swali tu, maana nahis JF ni forum ya wagumu, haitoi fursa kutangaza uzuri wa mtu kwa sura, au Amber ruti yake,
Katika mawazo Nawaona wadada wa JF kama wale wadada waliokuwa wanaongoza masomo...
Kipindi cha nyuma 1985-2000 simu zilikuwa nadra sana,
Lakin pamoja na uchache wa simu, watu walitia maneno mpaka wenza wao wakawaelewa,
Kwa wale wa juzi juzi mmerahisishiwa kazi sana,
Mtu...
Katika kitu kimenishindaga kwenye mahusiano ni kurudiana na ex wangu yeyote yule. Mimi roho yangu ni ndogo sana mtu akinikosea huwa inaniwia vigumu kumsamehe na kurudiana nae.
Niliwahi kujaribu...
Katika harakati za ujana unaweza jikuta unatunukiwa tunda na binti kama utani vilee. Hii hutokea pale binti anapokuwa na hasira, jamaa yake amecheat so anataka kulipiza kisasi na kipindi manzi ana...
Kila nikutanapo na majina haya
1. kapeace
Nadhania kichwani kwamba ni mdada wa makamo ambaye ni mrefu si sana ila ana mguu fulani wa bia, ambaye natambua fika kwamba kaolewa na mumewe ndo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.