haya

Hidaj (Persian: هيدج; also Haiyeh (Persian: هَيا), also Romanized as Hayā and Khiya) is a city in the Central District of Abhar County, Zanjan Province, Iran. At the 2006 census, its population was 11,798, in 3,011 families.

View More On Wikipedia.org
  1. Manyanza

    JamiiForums Tanzania Haya yalikuwa makosa ya kimkakati-Yametupokonya fursa

    Anaandika Askofu Bagonza Kalikawe Lwakalinda Taifa linahitaji Maridhiano. Yawe ya kweli au ya hila, ni muhimu kutambua makosa matatu ya kimkakati yaliyotupokonya fursa na sifa nzuri ya taifa letu. Kwa uwazi au kwa siri tujutie haya: 1. Kumfunga Freeman Mbowe kwa miezi 8. Ndani ya CDM na CCM...
  2. secretarybird

    JamiiForums Tanzania Tuliposema kuwa 'fundi Mayco' akipewa mkataba wa kudumu pale Man U mlitoana vilopolopo, haya oneni sasa!

    Hakika Kila klabu pale EPL itakuwa inaidinya tu hii Mantesa. Scars.
  3. S

    JamiiForums Tanzania Mahakama ya ICC itakuja kuponya majereha yote haya japo inachukua muda

    Ni swala la muda tu na wao wanajua hilo. Hivyo, waacheni watambe ila wakati wao unakuja wakati ambao mahakama hii itakuja kuponya majeraha ya watanzania wengi. Uzuri ICC haingalii cheo cha mtu na wote watawajibika tu. ICC bila shaka wanasubiri maigizo ya humu ndani yaishhe kisha waingie...
  4. youngkato

    JamiiForums Tanzania Unataka kuanzisha Driving School? Haya ndio mambo ya kuzingatia ili ujenge biashara yenye wateja na faida

    Fikiria kijana anayemaliza shule, anapata kazi inayohitaji awe na driving licence, au mfanyabiashara anayehitaji dereva mwenye uwezo mzuri wa kuendesha gari. Kitu cha kwanza anachotafuta ni Driving School yenye uaminifu, walimu wazuri, magari salama na inayoweza kumsaidia kujifunza kuendesha...
  5. Roving Journalist

    JamiiForums Tanzania Haya hapa majibu ya MWAUWASA kuhusu kukosa maji kwa Wakazi wa Nyamhongolo

    Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Mwanza (MWAUWASA) imemjibu Mdau aliyeandika ~ Wakazi wa Nyamhongolo, tunapitia shida kubwa ya maji, ni wiki ya 3 maji hayatoki na MWAUWASA hatuambiwi tatizo ni nini? UFAFANUZI WA MWAUWASA... Habari Mdau wetu, pole kwa changamoto iliyojitokeza katika...
  6. bless on

    JamiiForums Tanzania Japan Yajaribu 6G kwa Kasi ya 112Gbps!

    Japan Inajaribu Mtandao wa 6G wenye Kasi ya 112Gbps: Unaoweza Kushusha Faili la 10GB kwa Chini ya Sekunde Moja. Japan imefanya jaribio linaloweza kuwa hatua muhimu kuelekea kizazi kijacho cha teknolojia ya mawasiliano. Watafiti nchini humo wamefanikiwa kusafirisha data kwa kasi ya 12Gbps kupitia...
  7. F

    JamiiForums Tanzania Haya mambo yasipopigwa marufuku, tutakua na kizazi cha ujinga sana

  8. Dr. Zaganza

    JamiiForums Tanzania Magonjwa haya 10 yanasumbua watanzania wengi, Jifunze kutibu tatizo mojawapo husaidie jamii na kujipatia kipato

    1.UTI 2. PID 3.Vidonda vya tumbo 4.Bawasiri 5.Presha 6.Kisukari 7.Maumivu ya viungo na ganzi 8.Ngozi ya mafuta na chunusi 9.Ngozi kavu na mikunjo 10.Nywele kukatika au kutorefuka Tuma ujumbe whatsapp 0713 039 875 kuungwa kwa darasa BURE
  9. KanyeWest_Tz

    JamiiForums Tanzania Haya haters wa Jux kiko wapi?

  10. Zirconium

    JamiiForums Tanzania Sikuona haya mabadiliko kabla , Nimeshangaa sana

    Jana usiku nilikuwa namsindikiza rafiki yangu Tabata Segerea, nikitokea Kijitonyama . Binafsi, ni miezi sita tangu nifike Tabata, na njia zangu za kawaida zilikuwa hazinipeleki upande huo. Lakini kila tulipokuwa tukikata kona, nilikuwa nashangaa kuona jinsi mji ulivyobadilika. Si ule mji...
  11. Pascal Mayalla

    JamiiForums Tanzania Baada ya Machawa Majinga Fulani Kumkufuria Kaka, Akayapuuza kwa Kuyanyamazia Aka..., Sasa Yameanza Kumkufuria Dada!, Ayapuuze, Ayanyamazie au Akemee?.

    Wanabodi, Angalizo. Simple minds discuss people, great minds discuss ideas, hili sio bandiko la kudiscuss people, ndio maana hakuna jina la mtu yeyote limetajwa humu, hivyo nakuomba hata kama wewe ni simple mind, ukajisikia unawashwa washwa kutaja majina, nakuomba jifanye great mind kwa...
  12. Vien

    JamiiForums Tanzania Watu wengi wanachanganya haya maneno mawili: best & favorite

    Moja ya vitu vinavyoleta mkanganyiko mkubwa kwenye mijadala ya watu ni matumizi ya maneno mawili “Best” na “Favorite.” Unapaswa kuelewa kwamba kitu kinaweza kuwa Best kwa maana kwamba unakikubali kuwa ndicho bora zaidi, lakini kisiwe Favorite chako. Vivyo hivyo, kitu kinaweza kuwa Best na...
  13. H

    JamiiForums Tanzania Ben Pol: Ukikutana na mazingira haya kwa mtu unayetaka kuanzisha nae mahusiano, ni bora uwe single

    Msanii wa bongo fleva Ben Pol ameanika mambo matatu kwenye account yake ya Instagram ambayo ukiyaona hauna budi uachane na hayo mahusiano 1. Kila unapompanga unaetaka kuwa nae kwenye mahusiano ukutane nae anakuambia Yuko busy bila kukupa alternative mfano umempanga ukutane jumamosi alafu...
  14. mwehu ndama

    JamiiForums Tanzania Kwani kuna ulazima kwenye haya matamasha kila mchezaji ACHEZE?

    Yaan kuanzia Jana mechi ya Simba na Leo Yanga wanacheza kama timu za shule ya msingi sababu yakulazimisha kila mchezaji acheze, yaan hivi vitoto haviko serious na MPIRA
  15. idiomer

    JamiiForums Tanzania Mabaya haya yana faida gani?

    Mtu anatesa mtu Mtu anamuua Mtu Mtu anamdhulumu Mtu Mtu ananyanyasa Mtu Mtu anamtesa Mtu kwa sababu ya mtu
  16. O

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mashimo bado yapo, lakini njia za baiskeli zinajengwa—Je, haya ndiyo maendeleo?

    Ukarabati unaoendelea kwenye Barabara ya Kasarani–Mwiki umeibua maoni tofauti kutoka kwa wakazi, huku wengi wakitaka serikali kuweka kipaumbele katika kutengeneza barabara yenyewe kabla ya kuwekeza katika miundombinu mingine. Wakazi wanasema licha ya kazi za ujenzi kuendelea, changamoto kuu...
  17. bless on

    JamiiForums Tanzania Usiyoyajua Unapokuwa Mwanaume

    Maisha ya mwanamume si mepesi, na kadiri unavyokua ndivyo unavyogundua kuwa ulimwengu haujali unavyojisikia unajali unachoweza kuleta mezani. Upendo Wako Unategemea Unachotoa Kama mwanamume, hakuna upendo wa bure chini ya jua. Watoto, wanawake, na hata wanyama wa kufuga ndio wanaopendwa bila...
  18. Bujibuji Simba Nyamaume

    JamiiForums Tanzania Je, unayafahamu maneno haya? Ni lugha gani?

    Kinyengo Mafyulisi Mang'ang'a Matombolilo Posolo Katapera Nguniani Mapululilo Mkambokambo Mapohora Mang'ela Mabangayeye Migagi Vitindi/ kitindi Kipumilo
  19. Idugunde

    JamiiForums Tanzania Kwa kuto maoni kama haya huyu mwandishi nae atapotezwa kama Azory Gwanda?

    Kama kuna umuhimu wa maridhiano basi Lissu aachiwe.👇
  20. Dogoli kinyamkela

    JamiiForums Tanzania Ndugu yangu epuka mambo haya (7) kiroho sio mazuri

    NDUGU YANGU EPUKA MAMBO HAYA (7) KIROHO SIO MAZURI 1)USIPENDE KUFAGIA USIKU 🌘kufagia usiku kiroho nikutupa baraka za mafanikio gizani 2)KUSHIKWA KICHWA 💆ukiona nafasi yako ya mafanikio ipo sawa epuka kabisa mtu kushika kichwa chako mtu anaweza kukugeuzia mambo kupitia kichwa chako 3)SEHEMU...
Back
Top Bottom