haya

Hidaj (Persian: هيدج; also Haiyeh (Persian: هَيا), also Romanized as Hayā and Khiya) is a city in the Central District of Abhar County, Zanjan Province, Iran. At the 2006 census, its population was 11,798, in 3,011 families.

View More On Wikipedia.org
  1. Bin Shaib

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kipi nianze nacho kati ya haya mawili

    Wapendwa wana JF ,,, habari ya uzima wenu habari za weekend,,, Mungu ni mwema sana namtukuza kwa wema wake. Nina mawazo mawili ambayo yananitatiza maana kuna jambo la kwanza "KUOA" au kununua computer kwaajili ya kurecord Gospel,,,,kazi yangu me nimchoraji wa picha na maandishi pia ni mwalimu...
  2. Eli Cohen

    JamiiForums Tanzania Its 2026, elon musk anatengeneza kifaa cha kusaidia vipofu kuona meanwhile bongo bado mambo ni haya

    Ukijaribu kusema unaambiwa hata wazungu wana uchawi wao😬 anyway, maisha yaendelee.
  3. instinct desire

    JamiiForums Tanzania Tanzania hata mwenyekiti wa mtaa anataka ashinde ofisini muda wote badala afanye kazi zingine haya sasa ToneTone imekoma leo rasmi.

    Hii mentality ya kuishi kupitia siasa kula kupitia mikutano ya Hadhara ifikie mahali iondolewe hasa kwa hawa wanasiasa wanaotegemea wale kupitia kapu la donation. Wewe mwanaume unaishije kwa kutembeza kikapu? Ipo siku utajiuza kwa mabeberu ila mostly mmeshajiuza Mfano wewe kama mwenyekiti wa...
  4. TheForgotten Genious

    JamiiForums Tanzania Anayepaswa kulaumiwa kwanza katika haya yanayoendelea katika Taifa ni Hayati Mwl. Nyerere

    Yes,wengi wanamsifia na kumuona mzalendo na aliyekuwa na nia ya dhati kwa Taifa,nakubari katika uzalendo lakini si katika nia ya dhata kuhusu mustakabali wa kesho wa taifa hili. Mambo mengi yanayotokea katika taifa hili kwa sasa chanzo chake kikubwa ni katika sheria mbovu zilizopo tangu mwanzo...
  5. Best home tutor

    JamiiForums Tanzania Haya mambo mambo gani na mimi niyajue nikonde?

    "Haya mambo ya nchi hii ukiyajua unaweza kufa kwa presha ndo maana mimi nakonda kila siku, kwasababu unawaangalia unasema hawa ni banadamu wa kawaida au wamelogwa alafu unakuta kamtu kanakonyonywa na wachache wenye nchi anashangilia mimi ni CCM unashangilia hapa ili matajiri wachache wafaidike "...
  6. Best home tutor

    JamiiForums Tanzania Kwa maneno haya tatizo sio katiba mpya !

    "Kuondolewa kwangu kama mnavyojua zilianza shida ndogo ndogo zile za Trilioni moja na nusu, halafu Spika Ndugai akaleta mazungumzo yale mpaka mwisho nikahisi tu mimi mwenyewe na unajua Tanzania hii ni Nchi ndogo sana, unapewa taarifa mapema kwahiyo kuna mtu akaniambia sasa hivi wameanza mchakato...
  7. Labani og

    JamiiForums Tanzania Tafakuri: Haya ndio mambo yangetokea kama watanzania wote wakiwa CCM

    Wakuu, maafande wi Baada ya kushiba kipolo cha wali na chai ya maziwa hapa nimewaza mambo mengi sana ... Hebu fikiria kama watanzania wote million 70s tungekuwa na ideology au tungesuport falsafa za chama tawala .....bila upinzani nafikiri Tanzania tungekuwa mbali zaidi kiuchumi hapa Africa Kwa...
  8. Room 28

    JamiiForums Tanzania Kumbe kuna nyuzi nimezuiluwa kuchangia?? Nini jf inakiogopa ni haya madini yangu😀😀

    Kuna uzi nimuuona unahusu Nchi ya Rwanda imeendelea kuliko Kagera” Nikajaribu kupitia nikaona analysis iliyofanyika ni yakitoto! Wakati nimeandaa madini yangu kumuelimisha huyu jamaa nikaambiwa SIRUHUSIWI KUCHANGIA” kuna shida kidogo Nikalog out nika log in kurudi ishu ile ile Kuufuatilia...
  9. SankaraBoukaka

    JamiiForums Tanzania Tunapoilaumu CCM tukumbuke na haya!

    Katika mijadala ya kisiasa hapa kwetu, mara nyingi lawama zote hupelekwa moja kwa moja kwa chama tawala, CCM. Wengi husema chama hiki ndicho chanzo cha matatizo ya kiuchumi, kisiasa na kijamii. Lakini kabla ya kufikia hitimisho hilo, ni muhimu kujiuliza: kwa nini tumefika hapa tulipo? Je...
  10. Solo Traveller

    JamiiForums Tanzania Haya Mafunzo ya udereva kwa wiki mbili yanaukweli?

    Kuna Haya mafunzo ya udereva kwa wale ambao ni wamiliki wa leseni kwa muda wa wiki mbili?? Je vyeti ambavyo vinatolewa vinatambulika na serikali?? Je vyeti hivyo vinaweza kutumika kama sehemu ya Fani?? Au ni sehemu ya upigaji tu na ujanja ujanja?? Naomba ambaye anajua anipe maelezo!! Au...
  11. mwehu ndama

    JamiiForums Tanzania Usioe, Fanya haya uishi kama peponi

    Wanawake kwa wanaume watagawa utamu wao wakati wowote kwa mtu yeyote wamtakae..Basi nawe kijana nenda uitazame mbuye kama kijiko cha mama ntilie. Ambacho mwenzako akimaliza kula kinaoshwa nawew unatumia.. Kamwe usifikirie kujimilikisha uchi mweusi wa binadamu mwenzako mwenye uhuru wake kwa...
  12. blogger

    JamiiForums Tanzania TCRA na Mamlaka nyingine husika. Kamateni haya matapeli

    Matapeli hayo...walinitext nikayapigia.. Usijaribu kutoa taarifa zako. Na yaliiblock cm yangu kabisa. Ikawa haitoi calls... CHUKUA TAHADHARI..
  13. Wong Fei

    JamiiForums Tanzania Sheikh Rusaganya: Peponi kuna pisi kali (warembo), utamani kuachana naye

    Waislamu ni kweli wapo hao? Angalia video =========== Yaani kama Mwenyezi Mungu angemruhusu mmoja akachungulia duniani basi dunia nzima inakuwa na nuru. Na kama ni usiku mwanga mtupu." "Hawa mah hawajawahi kuguswa hata kusalimiwa na mwanadamu au jini. Wazuri pisi mwanangu pisi imetulia."...
  14. A

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Trump Kainua Bendera Nyeupe Kama Kweli Kakubali Masharti Haya ya Iran

    Masharti ni haya yafuatayo 1 Aondoe sunction zote za Iran na aondoe maheshi yake karibu na Iran 2 Wasimamishe vita mpaa Lebanon (mimi naona hapo Israel akijidai mbabe wamwachilie Iran amtie adabu Israel hahaha) 3 Wasingile mambo ya ndani ya Iran 4 Waondoe sunction ya baharini 5 HORMUZ...
  15. chakii

    JamiiForums Tanzania Hatukuyazoea maisha ya Polisi na Wanajeshi kutapakaa mitaani, Nani ametufikisha hapa?

    Watanganyika hatukuzoea maisha haya ya askari polisi na wanajeshi kutapakaa mtaani saa 24 wakishinda kwenye vituo vya mwendokasi na makutano ya Barabara, wakiwa na mitutu ya Bunduki pamoja na magari ya kivita shida kubwa nini hasa? Tanganyika tumegeuka Somalia au Congo DRC pamoja na nchi...
  16. MakinikiA

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Muafrika mwenzetu huyu anatueleza haya

  17. M

    JamiiForums Tanzania Ukijenga nyumba ya zaidi ya million mia 200 fanya haya.

    Mtu ukiwa unauwezo wa kujenga nyumba ya zaidi ya million 200. Basi jitahidi kuwawapa kazi kampuni mzuri ya ujenzi. Pia Kuleta interior and external designer ili nyumba iwe na mvuto. Sio nyumba inakuwa ya gharama afu Iko ovyo. Haipendezi.
  18. Kazanazo

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Hivi hawa wadada wanaotumwa mitandaoni wakiwa utupu wana wazazi kweli! Malezi gani haya

    Huwa najiuliza huu mrundikano wa picha chafu mitandaoni hawa watu wana wazazi kweli? Kama wapo malezi gani ya namna hii au ndio sons of bitch wamejaa mtaani Binafsi sina dada wala ndugu alieko huko picha zote ni ngeni kwangu, je wewe una ndugu unaemjua au jamaa au rafiki picha zake zinatumwa...
  19. Kyenju

    JamiiForums Tanzania KERO Haya malori yanayopaki barabarani yamekuwa kero

    Hivi hawa jamaa wanajiamini sana! Kiasi kwamba wanaweza kuvunja sheria za mamlaka. Hapa maeneo ya Zakhem Mbagala kuna maroli yanapaki kuanzia service road, barabara ya waenda kwa miguu, mpaka njia moja ya barabara kuu. Hili jambo linasababisha foleni kuwa kubwa na kulazimisha magari ya kawaida...
  20. TheGreatest Of AllTime

    JamiiForums Tanzania Hivi ndivyo namna ya kutamka haya majina

    PHOEBE = fibi DEBORAH = debra YVETTE = ivet PAULA = pola CHARLOTTE = shalot
Back
Top Bottom