sana

The Syrian Arab News Agency (SANA) (Arabic: الوكالة العربية السورية للأنباء (سانا)‎, al-Wakālah al-ʿArabīyah as-Sūrīyah lil-ʾAnbāʾ (SĀNĀ)) is a Syrian state-controlled news agency. It is a Syrian state media organization linked to the Ministry of Information. It was established in June 1965.

View More On Wikipedia.org
  1. idiomer

    JamiiForums Tanzania Inasikitisha sana kuona watu wanaweka matumbo mbele na kuiacha Tanzania nyuma.

    Yaani unatumia fedha za walipakodi kumfurahisha mtu ambaye kesho atatoka madarakani. Hebu fikiria kuisaidia shule ambayo vizazi na vizazi vinasema, hospital ambayo wananchi watatibiwa. Kumtumikia kiongozi wa juu ni utumwa tumikiwa wananchi.
  2. Nyankurungu2020

    JamiiForums Tanzania Inasikitisha sana. Ujenzi wa SGR Makutupora ni 14%, Kama angelikuwepo hayati Magufuli Ujenzi wa SGR ungekuwa umefika mwanza kwa 100%

    Kuna janjajajanja tu tu wafanyabiasha wanaomiliki mbasi na malori hawataki ujenzi wa Sgr ukamilike kufikia 100% kwa sababu ya manufaa ya biashara zao. Hayati JPM aliwadhibiti .Leo hii Sgr ingekuwa imeshakamilika.
  3. Brother Depo

    JamiiForums Tanzania Israel Inatisha, Inaogopesha. Wairan Watoa Ya Moyoni Kwa Nini Israel Inaogopwa Sana na Iran

    Baada ya Watu wengi kuhoji uoga wa Iran kuigusa Israel, wairan walipo ndani ya Iran wale ambao hawataki tawala ya Hawa mamullah wametoa ya moyoni. Wanasema Marekani hata ashambulie vipi bado hawaoni kama vita imerudi, wanaamini na wanatamani Israel iingie kati sababu Israel huwa hawana utani...
  4. T

    JamiiForums Tanzania Naomba mwenye ushahidi na orodha ya matusi ambayo lissu amewahi kumtukana Rais ayaweke hapa ili tusaidiane kumkanya mi nimeyatafuta sana siyaoni

    Kila mara nawasikia watu wanasema lisu anastahili anachopitia kwa sababu alimtukana Rais, ila kiukweli nimesikiliza hotuba zake na kusoma machapisho yake mbalimbali, sijawahi kukutana na tusi labda kama matusi siyajui vizuri basi kwa kuwa jf tuna utajiri wa kila namna hebu wajuvi wa mambo...
  5. Fbn

    JamiiForums Tanzania, JamiiForums Uganda TANZIA Mbunge Mkongwe wa Uganda na Jenerali Mstaafu Moses Ali Afariki Dunia akiwa na Miaka 87

    Uganda imepoteza mmoja wa wanasiasa wake wakongwe zaidi baada ya taarifa kuthibitisha kuwa Jenerali mstaafu Moses Ali, Mbunge wa Adjumani West County na aliyewahi kuwa Naibu Waziri Mkuu wa Pili wa Uganda, amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 87. Moses Ali alizaliwa tarehe 5 Aprili 1939 katika...
  6. Yoda

    JamiiForums Tanzania Kwanini watu weusi matajiri popote duniani wanapenda kuonyesha maburungutu ya pesa kuonyesha mafanikio yao?

    Celebrities na matajiri weusi kuanzia Marekani, Nigeria, South Africa, Kenya mpaka Tanzania wote tabia zao zinafanana, wanapenda kuonyesha maburungutu ya pesa kwenye matukio kama harusi, birthday n.k au hata pasipo matukio. Sijawahi kuona hii tabia kwa Wachina, Wahindi, Wajapan, Wakorea au...
  7. Minjingu Jingu

    JamiiForums Tanzania Wavulana wa Dar Es Salaam wanasikitisha sana. Hasa ambao wamekulia Kinondoni, Ilala na Magomeni

    Usije ukawa na mtoto ukakaa naye maeneo haya.... Huwa hawakui, hawawi wanaume. Mi hata nikipata rafiki akiwa amekulia hayo maeneo huwa namwona kuwa bado hajawa mwanaume kamili Sisi wanaume wa mikoani tunawadhatau sana watu wa Daa ambao wanajiita wanaume mfano huyu Tid nasikia bado anafugwa...
  8. Nikifa MkeWangu Asiolewe

    JamiiForums Tanzania Je, umewahi kula mnyama ama wadudu gani Hadi ukajisemea nilikuwa wapi siku zote hizo? Nimekula wanyama wengi sana.

    Kuishi kwingi kuona mengi wakuu. Habari za Leo ninyi nyote wakuu! Ninaudhoefu kadhaa wa kuishi porini kulingana na kupenda Nature ama kuwa na Hobby ya kilimo na kufuga. Nimeishi maporini Kwa nyakati tofauti tofauti na kukuta jamii zikila wanyama ambao kikwetu ni mwiko na hawaliwi ila jamii...
  9. M

    JamiiForums Tanzania Wakulima karibu wote wana msiba wa bei za mazoa yao, ila wakulima wa kahawa wana furaha sana

    Mimi ni mkulima wa Muda mrefu kidogo nalima viazi kama zao la urithi, parachichi na sasa nimeanza kulima kahawa( sijafanikiwa kulima kahawa kwenye kiwango kizuri) nadili na nafaka kwa kununua na kuuza. Nimejaribu kufuatilia trend ya Bei ya mazao kwa Miaka kadhaa hadi nikamua kuanza kulima...
  10. Magayor Mongolian

    JamiiForums Tanzania Nimekumbuka sana Miss Chaga wa JF

    Mzuka wana jamvi ... Jf kitambo na hiko alikuwa member anayependwa sana hapa jamvini , muda mrefu sasa amepotea miss Chaga , baada ya kuona post yake Leo katika Uzi wa zamani nimekumbuka sana . Watu wanakuja Jf na wanapotea kimyakimya
  11. min -me

    JamiiForums Tanzania Ila wanawake ni shida sana

    Leo bi mkubwa kanicheki , kakuta naongea kilevi levi kazingua kinouma, nikafanya kumtumia 200k kimya kimya, baada ya muda , akaandika yaani ungekua hapa mwanangu , tungefurahi mno, leo tumechinja kuku mkubwa hatari 🤣
  12. L

    JamiiForums Tanzania Rais Samia Anafanya Kazi Kwa Taifa Hili Hadi Huruma Zinanishika na Kumuonea Huruma Sana. Mungu Aendelee Kumlinda na Kumpatia Maisha Marefu

    Ndugu Zangu Watanzania, Pamoja na Ukweli ya Kuwa Mama yetu Mpendwa Mama Samia Suluhu Hasssan ni Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania. Ni Ukweli kuwa Rais Wetu Mpendwa ni Binadamu kama Tulivyo Sisi wengine , ni Binadamu Mwenye Moyo wa Nyama , Ni Binadamu Anayejisikia na kupatwa na uchovu...
  13. M

    JamiiForums Tanzania Shekh Walid viatu vilimbana sana hadi vikamtoa sugu kwenye ncha za vidole

    Napendekeza apewe cheo Cha juu zaidi (Nakinzana na nyote mnaong'ang'ania arudishwe kwenye cheo chake) Kwa nini ? Utendaji wake kiufanisi utashuka kiwango chini ya wastani (35%) kutokana na misukosuko aliyopitia. PENDEKEZO; 1. Awe shekh wa mikoa (Mashekh wote wa mikoa wawe chini yake) 2...
  14. Brother Depo

    JamiiForums Tanzania Marekani Waleta Maafa Iran, Waanza Kuvunja Madaraja na Miundombinu Mingine. Iran Hali Ni Mbaya Sana

    Marekani wameanza kushambulia Miundombinu ndani ya Iran. Hali ni mbaya sana, Iran imeshindwa kutoa upinzani wowote. Marekani wanajipiga popote wanapotaka bila presha. Kwa muda mrefu Trump alikua akitishia kuvunja Miundombinu, hatimaye ameanza na baadhi tu kama mfano kiwaonyesha Iran kuwa ana...
  15. Traxtion

    JamiiForums Tanzania Bongo Zozo amempost Humphrey Polepole, anadai amemmiss sana rafiki yake

    Leo nimeona Bongo Zozo amepost video ameweka na Caption "Nimemkumbuka sana rafiki yangu jamani 🥲🥲" Imefanya niwaze, ndugu, jamaa na marafiki wa Humphrey Polepole watakuwa wanaumia sana. Tunakoelekea Watanzania wataanza kuikimbia nchi yao wataanza kudhalilika kwenye nchi za watu kama Wanigeria...
  16. A

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Watoto chini ya miaka mitano na Wajawazito wamekuwa wakitozwa pesa katika Kituo cha Afya Mundindi

    Naomba kuwasilisha malalamiko kuhusu changamoto zinazowakabili wananchi wanapopata huduma za afya katika Kituo cha Afya Mundindi. Kuna madai kwamba watoto walio chini ya umri wa miaka mitano na wanawake wajawazito wamekuwa wakitozwa fedha za matibabu, licha ya utaratibu wa Serikali kutoa huduma...
  17. Robert Heriel Mtibeli

    JamiiForums Tanzania Wanaume chatterbox; mwanaume gani unaongea sana kama mwanamke bhana

    WANAUME CHATTERBOX; MWANAUME GANI UNAONGEA SANA KAMA MWANAMKE BHANA Anaandika, Robert Heriel Mtibeli. Zamani kulikuwa na dhana nyingi potofu ndani ya jamii hasa kuwahusu wanawake. Na mpaka sasa dhana hizo zipo. Dhana potofu kama; 1. Wanawake ni wambea kuliko wanaume. Ukweli ni kuwa wanaume...
  18. Ramtz Jr

    JamiiForums Tanzania Ni member yupi mpya unaona ana trend sana JF

    Wakuu habarini..? je ni member gani unaona ana trend sana ambae amejiunga mwezi wa 6 kunendelea?
  19. Chizi Maarifa

    JamiiForums Tanzania Fetty nisamehe sana huko uliko. Kweli naapa sikukusudia kukutendea vile. Mpaka leo roho inaniuma.

    Naumia maana yeye aliamini kabisa kuwa nlimfanyia kusudi. Sikumfanyia kusudi wallah wabillah... Ilitokea tu bahati mbaya. Sikupanga kumkomoa kikatili namna ile. Ni kweli kwa miaka kadhaa alinisumbua hakutaka kabisa kunipa mbusii yake. Miaka 8 kama sikosei. Na alikuwa ananiambia tu Chidy siku...
  20. Traxtion

    JamiiForums Tanzania Nimeangalia video mpya ya Bertin ya Arusha CBD, ni pazuri sana

    Nilikuwa naangalia video mbili za Bertin zinazoonesha maeneo ya Arusha hasa City Centre, kwa kweli ni pazuri sana Kuna very high level ya ustaarabu, ukiangalia unaona kabisa haya ndio mazingira ambayo yanatakiwa kuwepo Tanzania nzima Paved roads, bustani, miti mingi sana, utulivu na usafi wa...
Back
Top Bottom