sana

The Syrian Arab News Agency (SANA) (Arabic: الوكالة العربية السورية للأنباء (سانا)‎, al-Wakālah al-ʿArabīyah as-Sūrīyah lil-ʾAnbāʾ (SĀNĀ)) is a Syrian state-controlled news agency. It is a Syrian state media organization linked to the Ministry of Information. It was established in June 1965.

View More On Wikipedia.org
  1. Magayor Mongolian

    JamiiForums Tanzania Nimekumbuka sana Miss Chaga wa JF

    Mzuka wana jamvi ... Jf kitambo na hiko alikuwa member anayependwa sana hapa jamvini , muda mrefu sasa amepotea miss Chaga , baada ya kuona post yake Leo katika Uzi wa zamani nimekumbuka sana . Watu wanakuja Jf na wanapotea kimyakimya
  2. min -me

    JamiiForums Tanzania Ila wanawake ni shida sana

    Leo bi mkubwa kanicheki , kakuta naongea kilevi levi kazingua kinouma, nikafanya kumtumia 200k kimya kimya, baada ya muda , akaandika yaani ungekua hapa mwanangu , tungefurahi mno, leo tumechinja kuku mkubwa hatari 🤣
  3. L

    JamiiForums Tanzania Rais Samia Anafanya Kazi Kwa Taifa Hili Hadi Huruma Zinanishika na Kumuonea Huruma Sana. Mungu Aendelee Kumlinda na Kumpatia Maisha Marefu

    Ndugu Zangu Watanzania, Pamoja na Ukweli ya Kuwa Mama yetu Mpendwa Mama Samia Suluhu Hasssan ni Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania. Ni Ukweli kuwa Rais Wetu Mpendwa ni Binadamu kama Tulivyo Sisi wengine , ni Binadamu Mwenye Moyo wa Nyama , Ni Binadamu Anayejisikia na kupatwa na uchovu...
  4. M

    JamiiForums Tanzania Shekh Walid viatu vilimbana sana hadi vikamtoa sugu kwenye ncha za vidole

    Napendekeza apewe cheo Cha juu zaidi (Nakinzana na nyote mnaong'ang'ania arudishwe kwenye cheo chake) Kwa nini ? Utendaji wake kiufanisi utashuka kiwango chini ya wastani (35%) kutokana na misukosuko aliyopitia. PENDEKEZO; 1. Awe shekh wa mikoa (Mashekh wote wa mikoa wawe chini yake) 2...
  5. Brother Depo

    JamiiForums Tanzania Marekani Waleta Maafa Iran, Waanza Kuvunja Madaraja na Miundombinu Mingine. Iran Hali Ni Mbaya Sana

    Marekani wameanza kushambulia Miundombinu ndani ya Iran. Hali ni mbaya sana, Iran imeshindwa kutoa upinzani wowote. Marekani wanajipiga popote wanapotaka bila presha. Kwa muda mrefu Trump alikua akitishia kuvunja Miundombinu, hatimaye ameanza na baadhi tu kama mfano kiwaonyesha Iran kuwa ana...
  6. Traxtion

    JamiiForums Tanzania Bongo Zozo amempost Humphrey Polepole, anadai amemmiss sana rafiki yake

    Leo nimeona Bongo Zozo amepost video ameweka na Caption "Nimemkumbuka sana rafiki yangu jamani 🥲🥲" Imefanya niwaze, ndugu, jamaa na marafiki wa Humphrey Polepole watakuwa wanaumia sana. Tunakoelekea Watanzania wataanza kuikimbia nchi yao wataanza kudhalilika kwenye nchi za watu kama Wanigeria...
  7. A

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Watoto chini ya miaka mitano na Wajawazito wamekuwa wakitozwa pesa katika Kituo cha Afya Mundindi

    Naomba kuwasilisha malalamiko kuhusu changamoto zinazowakabili wananchi wanapopata huduma za afya katika Kituo cha Afya Mundindi. Kuna madai kwamba watoto walio chini ya umri wa miaka mitano na wanawake wajawazito wamekuwa wakitozwa fedha za matibabu, licha ya utaratibu wa Serikali kutoa huduma...
  8. Robert Heriel Mtibeli

    JamiiForums Tanzania Wanaume chatterbox; mwanaume gani unaongea sana kama mwanamke bhana

    WANAUME CHATTERBOX; MWANAUME GANI UNAONGEA SANA KAMA MWANAMKE BHANA Anaandika, Robert Heriel Mtibeli. Zamani kulikuwa na dhana nyingi potofu ndani ya jamii hasa kuwahusu wanawake. Na mpaka sasa dhana hizo zipo. Dhana potofu kama; 1. Wanawake ni wambea kuliko wanaume. Ukweli ni kuwa wanaume...
  9. Ramtz Jr

    JamiiForums Tanzania Ni member yupi mpya unaona ana trend sana JF

    Wakuu habarini..? je ni member gani unaona ana trend sana ambae amejiunga mwezi wa 6 kunendelea?
  10. Chizi Maarifa

    JamiiForums Tanzania Fetty nisamehe sana huko uliko. Kweli naapa sikukusudia kukutendea vile. Mpaka leo roho inaniuma.

    Naumia maana yeye aliamini kabisa kuwa nlimfanyia kusudi. Sikumfanyia kusudi wallah wabillah... Ilitokea tu bahati mbaya. Sikupanga kumkomoa kikatili namna ile. Ni kweli kwa miaka kadhaa alinisumbua hakutaka kabisa kunipa mbusii yake. Miaka 8 kama sikosei. Na alikuwa ananiambia tu Chidy siku...
  11. Traxtion

    JamiiForums Tanzania Nimeangalia video mpya ya Bertin ya Arusha CBD, ni pazuri sana

    Nilikuwa naangalia video mbili za Bertin zinazoonesha maeneo ya Arusha hasa City Centre, kwa kweli ni pazuri sana Kuna very high level ya ustaarabu, ukiangalia unaona kabisa haya ndio mazingira ambayo yanatakiwa kuwepo Tanzania nzima Paved roads, bustani, miti mingi sana, utulivu na usafi wa...
  12. technically

    JamiiForums Tanzania Nimetoka kumzika rafiki yangu aliyefariki akiwa 33 years. Aisee, imeniuma sana

    Wakuu nimetoka kumzika rafiki yangu 33 years Mwanzo sikuwa najua Kama mtu wa miaka 33 anaweza kufa Tena kwa sukari. Aisee huu msiba umenipa fundisho kubwa Naomba Kama una nafasi ya kumrudia Mungu mrudie fanya ibada za kweli. Kama unaweza kusaidia watoto kwenye vituo vya watoto yatima...
  13. min -me

    JamiiForums Tanzania Vijana nyie wajinga sana

    Kuna kijana wa humu kanifuata , anataka nimuunganishie mchongo, nikavuta simu moja kwa mwanangu tajiri wa mwanza akampa dogo babashoap, dogo alikua anakula zaidi ya 400k bila wasiwasi kusimamia tu, yeye akusanye tu maokoto ya boss , now boss wake ananipigia simu dongo miyeyusho, analeta...
  14. A

    JamiiForums Tanzania KERO Stendi ya Segerea - Dar kimeo sana, miundombinu mibovu, mvua ikinyesha ndio balaa kabisa

    Miundombinu ya Kituo cha Segerea ni mibaya, kwa ufupi imeharibika, hii si mara ya kwanza Wadau tunawasilisha kero hiyo hapa JF lakini nadhani watakuwa wanachukulia poa na kuona wao haiwahusu kwa kuwa tunaoteseka ni sisi wa kipato cha chini tunaotumia daladala, wao wanatumia magari ya bei kubwa...
  15. M

    JamiiForums Tanzania Watanzania tukikubali maridhiano na CCM tutakuwa watu wa ajabu sana. Damu ya Polepole itatulilia hadi kaburini

    Watanzania wenzangu lazima tujitofautishe na wanyama ambao pengine hawana kumbukumbu wala utashi. Polepole alituambia kabisa kwamba kuna wazee wamepangwa kuja kufacilitate maridhiano baada ya uchaguzi wa 29 October 2025. Just imagine Balozi Humphrey Polepole alitufungua macho kuhusu script ya...
  16. venchwa

    JamiiForums Tanzania Ya leo kali Mtoto BBL kanitembelea kaniacha na uchovu balaa, nilimiss sana za Kiafrika Jotroo

    Hatari sana leo Nimetembelewa na mtoto heavy ndo mambo yangu Lakin tunamalizia niende viwanja Kwanza tuka swim , tukapunga upepo kwa pool , sasa hivi nimpeleke maeneo, Maana ni mgeni, nauli nimempa mimi kutoka Dubai hadi hapa maana anaishi Dubai Mimi Raha hizi Jamani
  17. A

    JamiiForums Tanzania KERO Halmashauri ya Mji wa Mbulu inatunyanyasa Watumishi wake kwa kutunyima haki zetu za msingi

    Watumishi wa Halmashauri ya Mji wa Mbulu, Mkoa wa Manyara, tunaomba msaada wenu kufichua changamoto na madai yanayoikabili halmashauri yetu. Tumekuwa tukikumbwa na uongozi usioridhisha kuanzia ngazi ya madiwani, Mkurugenzi hadi wakuu wa idara mbalimbali. Kwa mtazamo wetu, viongozi hawa...
  18. vivian

    JamiiForums Tanzania Ninaumia sana yanayoendelea Jumuiya ya Madola

    Ndugu Zangu. Ninaumia sana kwa yanayoendelea Tanzania kwasasa hususani suala la Jumiya ya Madola. Binafsi mimi sikubaliani na Mengi kuhusu serikali yetu. yaani ukiweka kwenye mizania ninayoyakataa kuhusu serikali ni mengi kuliko yale ninayo yakubali. Yapo mazuri yanayofanywa na yapo mambo...
  19. M

    JamiiForums Tanzania Watu wengi sana wanatamani biashara ya madini wanapowaona matajiri lakini wanafichwa mengi, hii ni biashara katili sana

    Ni moja kati ya biashara ambayo wabongo wanajihusisha sana na NDUMBA, hata uwe msomi kama utahitaji kujimix na hao watu, kwao ndumba kwanza vingine vitafuata, usipokuwa tayari ni ngumu kupewa ushirikiano Inahitaji uwekezaji mkubwa na bado hakuna gyarantee, unaweza kuwekeza milioni 100...
  20. baz kaiza

    JamiiForums Tanzania Wambieni Wenye uzuni tuulizeni Sisi mwenye majeraha Israel Bony anajua Sana

    Watawala wanakiwa kusikilizia sana hii ngoma
Back
Top Bottom