The Syrian Arab News Agency (SANA) (Arabic: الوكالة العربية السورية للأنباء (سانا), al-Wakālah al-ʿArabīyah as-Sūrīyah lil-ʾAnbāʾ (SĀNĀ)) is a Syrian state-controlled news agency. It is a Syrian state media organization linked to the Ministry of Information. It was established in June 1965.
Yaani unatumia fedha za walipakodi kumfurahisha mtu ambaye kesho atatoka madarakani.
Hebu fikiria kuisaidia shule ambayo vizazi na vizazi vinasema, hospital ambayo wananchi watatibiwa.
Kumtumikia kiongozi wa juu ni utumwa tumikiwa wananchi.
Kuna janjajajanja tu tu wafanyabiasha wanaomiliki mbasi na malori hawataki ujenzi wa Sgr ukamilike kufikia 100% kwa sababu ya manufaa ya biashara zao.
Hayati JPM aliwadhibiti .Leo hii Sgr ingekuwa imeshakamilika.
Baada ya Watu wengi kuhoji uoga wa Iran kuigusa Israel, wairan walipo ndani ya Iran wale ambao hawataki tawala ya Hawa mamullah wametoa ya moyoni.
Wanasema Marekani hata ashambulie vipi bado hawaoni kama vita imerudi, wanaamini na wanatamani Israel iingie kati sababu Israel huwa hawana utani...
Kila mara nawasikia watu wanasema lisu anastahili anachopitia kwa sababu alimtukana Rais, ila kiukweli nimesikiliza hotuba zake na kusoma machapisho yake mbalimbali, sijawahi kukutana na tusi labda kama matusi siyajui vizuri basi kwa kuwa jf tuna utajiri wa kila namna hebu wajuvi wa mambo...
Uganda imepoteza mmoja wa wanasiasa wake wakongwe zaidi baada ya taarifa kuthibitisha kuwa Jenerali mstaafu Moses Ali, Mbunge wa Adjumani West County na aliyewahi kuwa Naibu Waziri Mkuu wa Pili wa Uganda, amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 87.
Moses Ali alizaliwa tarehe 5 Aprili 1939 katika...
Celebrities na matajiri weusi kuanzia Marekani, Nigeria, South Africa, Kenya mpaka Tanzania wote tabia zao zinafanana, wanapenda kuonyesha maburungutu ya pesa kwenye matukio kama harusi, birthday n.k au hata pasipo matukio.
Sijawahi kuona hii tabia kwa Wachina, Wahindi, Wajapan, Wakorea au...
Usije ukawa na mtoto ukakaa naye maeneo haya.... Huwa hawakui, hawawi wanaume. Mi hata nikipata rafiki akiwa amekulia hayo maeneo huwa namwona kuwa bado hajawa mwanaume kamili
Sisi wanaume wa mikoani tunawadhatau sana watu wa Daa ambao wanajiita wanaume mfano huyu Tid nasikia bado anafugwa...
Kuishi kwingi kuona mengi wakuu.
Habari za Leo ninyi nyote wakuu!
Ninaudhoefu kadhaa wa kuishi porini kulingana na kupenda Nature ama kuwa na Hobby ya kilimo na kufuga.
Nimeishi maporini Kwa nyakati tofauti tofauti na kukuta jamii zikila wanyama ambao kikwetu ni mwiko na hawaliwi ila jamii...
Mimi ni mkulima wa Muda mrefu kidogo nalima viazi kama zao la urithi, parachichi na sasa nimeanza kulima kahawa( sijafanikiwa kulima kahawa kwenye kiwango kizuri) nadili na nafaka kwa kununua na kuuza.
Nimejaribu kufuatilia trend ya Bei ya mazao kwa Miaka kadhaa hadi nikamua kuanza kulima...
Mzuka wana jamvi ...
Jf kitambo na hiko alikuwa member anayependwa sana hapa jamvini , muda mrefu sasa amepotea miss Chaga , baada ya kuona post yake Leo katika Uzi wa zamani nimekumbuka sana .
Watu wanakuja Jf na wanapotea kimyakimya
Leo bi mkubwa kanicheki , kakuta naongea kilevi levi kazingua kinouma, nikafanya kumtumia 200k kimya kimya, baada ya muda , akaandika yaani ungekua hapa mwanangu , tungefurahi mno, leo tumechinja kuku mkubwa hatari 🤣
Ndugu Zangu Watanzania,
Pamoja na Ukweli ya Kuwa Mama yetu Mpendwa Mama Samia Suluhu Hasssan ni Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania.
Ni Ukweli kuwa Rais Wetu Mpendwa ni Binadamu kama Tulivyo Sisi wengine , ni Binadamu Mwenye Moyo wa Nyama , Ni Binadamu Anayejisikia na kupatwa na uchovu...
Napendekeza apewe cheo Cha juu zaidi (Nakinzana na nyote mnaong'ang'ania arudishwe kwenye cheo chake)
Kwa nini ?
Utendaji wake kiufanisi utashuka kiwango chini ya wastani (35%) kutokana na misukosuko aliyopitia.
PENDEKEZO;
1. Awe shekh wa mikoa (Mashekh wote wa mikoa wawe chini yake)
2...
Marekani wameanza kushambulia Miundombinu ndani ya Iran. Hali ni mbaya sana, Iran imeshindwa kutoa upinzani wowote. Marekani wanajipiga popote wanapotaka bila presha.
Kwa muda mrefu Trump alikua akitishia kuvunja Miundombinu, hatimaye ameanza na baadhi tu kama mfano kiwaonyesha Iran kuwa ana...
Leo nimeona Bongo Zozo amepost video ameweka na Caption "Nimemkumbuka sana rafiki yangu jamani 🥲🥲"
Imefanya niwaze, ndugu, jamaa na marafiki wa Humphrey Polepole watakuwa wanaumia sana.
Tunakoelekea Watanzania wataanza kuikimbia nchi yao wataanza kudhalilika kwenye nchi za watu kama Wanigeria...
Naomba kuwasilisha malalamiko kuhusu changamoto zinazowakabili wananchi wanapopata huduma za afya katika Kituo cha Afya Mundindi.
Kuna madai kwamba watoto walio chini ya umri wa miaka mitano na wanawake wajawazito wamekuwa wakitozwa fedha za matibabu, licha ya utaratibu wa Serikali kutoa huduma...
Anonymous
Thread
kijiji
ludewa
msaada
mwananchi
njombe
sana
viongozi
wananchi
wilaya
wilaya ya ludewa
WANAUME CHATTERBOX; MWANAUME GANI UNAONGEA SANA KAMA MWANAMKE BHANA
Anaandika, Robert Heriel
Mtibeli.
Zamani kulikuwa na dhana nyingi potofu ndani ya jamii hasa kuwahusu wanawake. Na mpaka sasa dhana hizo zipo.
Dhana potofu kama;
1. Wanawake ni wambea kuliko wanaume.
Ukweli ni kuwa wanaume...
Naumia maana yeye aliamini kabisa kuwa nlimfanyia kusudi. Sikumfanyia kusudi wallah wabillah... Ilitokea tu bahati mbaya. Sikupanga kumkomoa kikatili namna ile.
Ni kweli kwa miaka kadhaa alinisumbua hakutaka kabisa kunipa mbusii yake. Miaka 8 kama sikosei. Na alikuwa ananiambia tu Chidy siku...
Nilikuwa naangalia video mbili za Bertin zinazoonesha maeneo ya Arusha hasa City Centre, kwa kweli ni pazuri sana
Kuna very high level ya ustaarabu, ukiangalia unaona kabisa haya ndio mazingira ambayo yanatakiwa kuwepo Tanzania nzima
Paved roads, bustani, miti mingi sana, utulivu na usafi wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.