kijana

Michael Christopher Kijana Wamalwa (25 November 1944 – 23 August 2003) was a Kenyan politician and, at the time of his death, served as the eighth Vice-President of Kenya.

View More On Wikipedia.org
  1. Natafuta Ajira

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kijana wa kiume, yaangalie mahusiano kwa mtazamo wa kibiashara

    Wengi wenu humu ndani tayari mna ule uzoefu. Unaombwa kitu/msaada na mwanamke halafu unamkatalia labda sababu hautaki au hauwezi kumsadia kwa wakati huo. Baada ya hapa mwanamke anakughost na kukata mara moja ule urafiki/ukaribu wenu. Jaribu kuvuta kumbukumbu wanawake wote waliowahi kukuomba...
  2. Alexido jz instagram

    JamiiForums Tanzania INSHU YA TEMBA ALIEKATWA KICHWA, SIO YA KISIASA MSIPOTOSHE, KIJANA, ALIKUA UVCCM

    Nimeshangazwa mitandaoni watu wamekomalia kuwa inshu hiyo ni ya kisiasa, wengine wameenda mbali eti mganga anaetuhumiwa si mganga ni ka mchezo tu, kuikinga serikali. Kama tutaendelea hivi sioni haja ya kufatilia siasa mana naona imekua too much, tumeanza kuwa wajinga, watu wamekamatwa kichwa...
  3. Red black

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kijana unaetaka kuoa pita hapa usije kujutia badae

    Bro Mshana Jr jazia nyama.
  4. Idugunde

    JamiiForums Tanzania Neno moja kwa huyu kijana shupavu ambae amewatia moyo Gen Z kuwa sio wahuni wala majambazi wanaostahili kupigwa na kutekwa

    Kijana shujaa wa Chadema ya Lissu👇
  5. BabaMorgan

    JamiiForums Tanzania Hakuna kijana anakataa kazi yenye maslahi tatizo mabrother mnataka tuwasindikize kwenye utajiri

    Dr Toyota anadai vijana hawapo tayari kufanya kazi kitu ambacho si kweli kimsingi watu wanafanya kazi zenye kurisk afya hata maisha yao ila wanachopata hakimudu gharama muhimu za maisha. Mabrother waliojipata baadhi yao wanakuwa na roho za kishetani unakuta umeshiriki hata kwenye mchongo...
  6. ngara23

    JamiiForums Tanzania Nakataa kuihusisha serikali na mauaji ya Kijana James Temba

    Pamoja na uana Chadema wangu na kupenda haki kwangu ila haya mauaji ya Kijana mdogo mwanafunzi wa IFM Bado nagoma kwenye akili yangu kuyahusisha na serikali au Kisiasa Kijana James Temba hakuwa na threat yoyote Kwa watawala na inasemekana yeye na familia yake ni makada wa CCM Nadhani waharifu...
  7. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania Mama mzazi wa Damour aeleza kijana wake alivyochukiliwa na watu saba waliofika nyumbani kwao na Landcruiser Nyeupe

    Mama asimulia jinsi alivyoshuhudia kijana wake Damour Nyakairo akichukuliwa na watu saba waliofika nyumbani kwao na Landcruiser Nyeupe. Akizungumza na The Chanzo leo Mei 02, 2026, Lilian Swai ambaye ni mama mzazi wa Damour Nyakairo, ameeleza kuwa kijana wake amechukuliwa asubuhi ya leo na watu...
  8. mirindimo

    JamiiForums Tanzania Picha: Kijana adaiwa achukuliwa na wasiojulikama wakiwa wamevalia mask nyeusi

    Vijana tembeeni na Silaha na mlinde ndugu zenu. Mkishindea mtaisha wote
  9. mirindimo

    JamiiForums Tanzania PICHA: Madenge kijana aliejitoa mhanga kubadili upepo wa Oktoba 29

  10. B

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Jaji Chande: Kuna kijana Usariver alipewa shilingi 50,000 na kuahidiwa Tsh. Milioni 5 ili ashiriki (maandamano)

    "Kuna kijana mmoja, Usariva Harusha, mwenye umri wa miaka kumi na sita. Alishawishiwa, alipewa Shilingi elfu hamsini ashiriki, na walimuahidi—na kwa maneno yake—walimuahidi watampa Shilingi milioni tano akishiriki. Na kwa ushahidi wake, anasema 'walinipa mchongo utakaonitoa kwenye umaskini'...
  11. Masalu Jacob

    JamiiForums Tanzania Wazo bunifu kwa kijana wa Kitanzania linahitajika

    Mambo Vijana Tanzania !. Oooooh sasa hii sio ya kukosa; kikubwa ni mwendo wa kutembea na fursa. Kwa wale vijana ambao wanajitafuta; hawajui wanaanzaje kutoboa sasa mzigo huu hapa nimeambatanisha kipepetushi toka Wizara ya Vijana. Oya Kijana karibu sana. Mshtue na mwenzio chap kwa haraka.
  12. Zack Abdul

    JamiiForums Tanzania Kwako Kijanam, jenga utaratibu wa kujiuliza maswali magumu kuhusu maisha yako

    Jenga utamaduni wa kujiuliza mwenyewe maswali magumu kuhusu maisha yako!
  13. Red black

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kijana unaona umepata mafanikio kidogo channel zimeanza kufunguka unakimbilia kuoa unajichimbia kaburi mwenyewe

    Kijana unaona umepata mafanikio kidogo channel zimeanza kufunguka unakimbilia kuoa unajichimbia kaburi mwenyewe Stop this madness. Hilo kosa utalijutia maisha yako yote.
  14. Masalu Jacob

    JamiiForums Tanzania Wazo la uchumi kwa Tsh.50,000,000 kwa kijana: Uundaji wa kiwanda cha Nguo

    Habari Waziri wa Vijana Tanzania !. Nakuomba niweke hapa wazo langu wazi wazi endapo ukinipatia hiyo Milioni hamsini (Tsh.50,000,000/=). Nakusudia kuanzisha Kiwanda cha Uundaji wa nguo (Work on progree products) yaani kuchakata kitambaa kuwa nguo au vazi kamili( Finished products). Kupitia...
  15. D

    JamiiForums Tanzania Natafuta Kijana wa Insurance

    Habarini wakuu, Natafuta kijana au mtu yeyote aliyesomea Insurance (level yoyote), ambaye kwa sasa hana kazi lakini ana motivation, nidhamu, na utayari wa kufanya kazi kwa juhudi. Nina mpango wa kusajili Insurance Agency, hivyo nahitaji mtu sahihi atakayenisaidia kuanzisha na kuendesha...
  16. DR HAYA LAND

    JamiiForums Tanzania Kijana ambaye yupo na miaka 20+ anakuwa anaona miaka 30 ni mingi sana , vile vile kijana mwenye miaka 30+ anakuwa anaona miaka 40 ni mingi sana

    Huwa nikikaa na vijana hasa , ambao wapo early twenties na ambao wapo early thirties Ni kama wanaishi katika Dunia FAKE ambayo sio genuine. O.G Utakuta ana miaka 20+ ila anakuambia mpaka anaingia miaka 30 atakuwa amesha Fu-ck odds ana Nyumba , gari , biashara n.k Akiamini miaka 30 kuifikia ni...
  17. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania Mwigulu: Vijana watumie vyeti vya chuo kama dhamana ya mikopo baada ya kuhitimu

    Waziri Mkuu, Mwigulu Nchemba, ameweka wazi mpango mpya wa Serikali unaolenga kutatua changamoto ya mitaji kwa vijana wanaohitimu masomo yao nchini. Akizungumzia hali ya upatikanaji wa mikopo, Nchemba amebainisha kuwa Serikali imeanza mchakato wa kuangalia uwezekano wa kijana kutumia cheti chake...
  18. Jack Daniel

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Maisha mazuri ni lazima, ewe kijana wa kiume set standards zako kisha ishi

    Salaam jamiiforum forum. Kwa wakristo wenzangu , hususan Roman katoliki,Leo ni Alhamisi kuu, Ni bado saa chache tu mkombozi wetu aanze kupitia maumivu. Kwani tayari Yuda ana Vipande thelathini vya pesa. Kwa pesa ya Leo kibongobongo unaweza kuta ni milioni 300😂 maana kuuza roho ya mtu Kwa Kwa...
  19. N

    JamiiForums Tanzania Ni mikoa gani hapa Tanzania unaweza kumshauri kijana anayejitafuta akaishi na akipambana uwezekano wa kutoboa upo?

    Wakuu kama kijana tunapitia hali ngumu katika kuchagua jambo litakalotusaidia hapo baadae. je ni mkoa gani unaweza kumshauli kijana anayejitafuta kimaisha akaishi, ambapo akienda mkoa huo akipambana uwezekano wa kutoboa kimaisha upo?.ukitaja mkoa naomba utoe na sababu
  20. McLaren

    JamiiForums Tanzania Hivi ni sehemu gani hapa Dar ni ambayo ni nzuri zaidi kwa kijana kuanzia maisha? Naona kama Goba ni eneo zuri sana

    Wakuu, Kama wewe ni kijana unataka kuondoka nyumbani kwenu uanze maisha ushauri wangu uende ukaishi Goba Kwanza Goba nyumba nyingi ni mpya na ni bei ndogo. Ukiwa na 100k unapata chumba na sebule na jiko na choo tofauti na eneo kama Sinza au Mwenge ambako utapata single room Lakini vilevile...
Back
Top Bottom