kijana

Michael Christopher Kijana Wamalwa (25 November 1944 – 23 August 2003) was a Kenyan politician and, at the time of his death, served as the eighth Vice-President of Kenya.

View More On Wikipedia.org
  1. Miss Halima

    JamiiForums Tanzania Kutana na Kijana Anaishi Kwenye Maji Muda Wote Kama Mamba, Kisa Kizima Hichi Hapa

    Katika kijiji cha Beldanga, kilichopo Wilaya ya Murshidabad nchini India, kuna kisa cha kusikitisha na kinachovuta hisia cha kijana mwenye umri wa miaka 16, Iqbal Sheikh. Kwa miaka mitano sasa, Iqbal anajikuta katika hali isiyo ya kawaida inayomfanya atumie siku kadhaa akikaa ndani ya mabwawa...
  2. Yoda

    JamiiForums Tanzania Kuna uwezekano wa kijana wa mjini asiye na pesa katika zama hizi kumiliki mwanamke mzuri

    Jinsi mapenzi yalivyogeuka kuwa commercial vijana wa mjini makapuku wasio na pesa wanaweza kumiliki mabinti wazuri kama ilivyokuwa zamani?
  3. RRONDO

    JamiiForums Tanzania Pongezi kwenu Single Mothers

    Today I would like to celebrate single mothers. I may not have been raised by one but the burden of single motherhood is not lost on me. One of my ex is a single mother. She has one lovely boy! From what i see her go through, my admiration and respect for her goes higher each day. Single...
  4. Megalodon

    JamiiForums Tanzania Kijana, talaka ukiwa na Umri zaidi ya miaka 40 ni kukosa maturity

    Kijana ambao tunaitafuta 40 na wale ambao wapo kuanzia 40 ..na tayari upo kwenye ndoa au unaishi na mwanamke kama familia na mna watoto jifunze kuelewa kwamba age kama hiyo kufanya divorce ni kukosa ukomavu wa akili . Taarifa za RITA zinaonesha divorce ya vijana imekuwa kubwa hii inatafsiri...
  5. S

    JamiiForums Tanzania D Rax ajifananisha na Marioo kimavazi

  6. Eli Cohen

    JamiiForums Tanzania Kama kijana kabla haujafika miaka 35 tambua haya mambo kumi na moja yafuatayo ili usiishie mhanga wa kulalamika na kujutia

    HAYA NI MAONI YANGU BINAFSI, KAMA YATAKUFAA BASI KARIBU, KAMA UTAONA BATILI, THEN LIVE YOUR LIFE 1: Hakuna jambo lolote la kiroho linalo control maisha yako. Maombi na swalah ni njia za kujifariji ila sio za kumuokoa mnyonge au kubadili mwelekeo wako 2: Hakuna utajiri kwa mganga. Utaishia...
  7. min -me

    JamiiForums Tanzania Katika mda ambao kijana unatakiwa utafute pesa nini sasa.

    Ukikosa hela kwenye sirikali hii ya wagaikoko , tambua wewe ni kiazi Mbwa takataka. Yani mzazi wako alitakiwa avae kondom usizaliwe kabisa, takataka na mpumbavu kama wewe ,gademitt.
  8. Yoda

    JamiiForums Tanzania Makamu kijana ni mkakati wa 2030 unaoendelea kusukwa ?

    Ndejembi anaweza kudumu kwenye umakamu kwa miaka 9 au 14 kwa kigezo cha katiba mpya ambapo itasemwa rais aliyepo ataendelea mpaka 2035 au 2040 katika mfumo wa katiba mpya. Soma pia Deogratius Ndejembi ateuliwa kuwa Makamu wa Rais Kama rais wa CCM mwaka 2030 atakuwa Rizimoko wa Msoga au...
  9. Zack Abdul

    JamiiForums Tanzania Wanaharakati, kabla ya kudai-ulizeni kwanza! Deogratius John Ndejembi ni kijana wa Dodoma

    WANAHARAKATI, KABLA YA KUDAI-ULIZENI KWANZA! DEOGRATIUS JOHN NDEJEMBI NI KIJANA WA DODOMA. Wanaharakati, kama hamjui jambo fulani, ni vyema kuuliza. Kuna watu wako tayari kuwasaidia kupata taarifa sahihi badala ya kukurupuka na kutoa hitimisho lisilo na msingi. Jambo dogo kama kutokujua asili...
  10. M

    JamiiForums Tanzania Hizi hasira za baadhi ya vijana wa Tanganyika ni wivu na chuki ya kuona kijana kama wao kapewa cheo chenye uhakika wa maisha mazuri hadi kifo

    Ni kijana mdogo tu kisiasa na kaweza kupata cheo namba 2 kikubwa nchini kinachomuhakishia uhakika wa maisha safi hata baada ya kustaafu MAFAO BAADA YA KUSTAAFU Pensheni ya kila mwezi: 80% ya mshahara wa Makamu wa Rais aliye madarakani. Kiinua mgongo: 50% ya jumla ya mishahara yote aliyopokea...
  11. R

    JamiiForums Tanzania Hapa tulipofikia hata kijana wa IJA anaweza kuandika hukumu ya haki-Reasoned Judgement

    Hii kesi ilipofikia hata kijana anayesoma Diploma ya sheria IJA (Institute of Judicial Administration, Lushoto anaweza kuandika hukumu ya KWELI. Reasoned judgement! Naishia hapa
  12. mcTobby

    JamiiForums Tanzania Kijana anajua huyu.

    Yeah .. kauvaa uhusika haswa.ni hayo tu.. kijana apewe support😜😜😄🤣
  13. K

    JamiiForums Tanzania Ccm na mamayao kuzomewa kila kona hadi na Dr. Ndlozi wa Africa Kusaini kijana mdogo wa Julius Malema inatoa picha gani.

    Kwa mtazamo wangu Samia na genge lake la watekaji,wauwaji, mafisadi na ma-cartels ya mafuta nimegundua kuwa ccm ni genge ambalo limefikia damu ya kunguni kiasi kwamba hakuna mtu anayetaka kusogelewa nalo hadi Dr. Ndlozi amewaonya SADEC kutomruhusu Samia kukaa naye kama mkuu wa Nchi kwasababu...
  14. Manyanza

    JamiiForums Tanzania Kijana wa Kiume, Njoo Tuzungumze Kiume

    Kuna kosa ambalo vijana wengi huwa tunalifanya tunapoanza mahusiano. Tunakutana na msichana leo, kesho tayari tunaanza kuishi kama mume na mke kiakili. Kila muda ni simu hasa nyakati za usiku,video calls, passwords za mitandao ya kijamii tunabadilishana,tunaanza na mipango ya majina ya watoto...
  15. mirindimo

    JamiiForums Tanzania Jackson wa Oysterbay Polisi, atambuliwa kwenye CCTV footage ya utekaji wa Kijana Kariakoo

  16. de Gunner

    JamiiForums Tanzania Ni kheri nimelijua hili nikiwa bado kijana

    Kuna stage katika maisha, universe itakupitisha katika tanuri la moto ili tu ikuamshe. Yaani utaona kama Mungu alikosea kukuumba ilihali amekufanya wa tofauti ili uje uje utimize mambo makubwa. Katika maisha nilikuwa najiuliza sana mbona kuna mifumo? Like watu wanaishi kufuata protocol na...
  17. mirindimo

    JamiiForums Tanzania Kijana Peter Richard Mushi {Tosh} wa Kariakoo apotea kusikojulikana baada ya kupigiwa simu na mteja wake akampokee

    TAARIFA YA MTU ANAYETAFUTWA JINA: Peter Richard Mushi (Tosh) UMRI: Miaka 35 KAZI: Fundi Simu ENEO LA KAZI: Kariakoo, Mtaa wa Agrey, karibu na Akiba Bank. TAARIFA ZA KUPOTEA: Peter Richard Mushi (Tosh) alionekana kwa mara ya mwisho tarehe 13 Agosti 2026, majira ya mchana. Alipigiwa simu na mtu...
  18. Mzee makoti

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Kijana aua askari wa JW/kunduchi

    Wakuu HABARI! Hii tabia ya police au mahakama kuwaachia hawa wahalifu ambao hadi kweny jamii wanafahamika ni mbaya sana, kisa tu ushaidi au mashaidi hawajitokezi wakati wa kesi,unakuta kibaka mzoefu anakamatwa baada ya siku mbili tatu katoka jela au police, Sasa kunduchi kule kuna kijana...
  19. Idugunde

    JamiiForums Tanzania Kagera: Familia yadai kijana wao kupigwa na Polisi, na kulazwa Bugando hospital Mwanza

    Familia ya Frank Stanley, mkazi wa Rwamishenye Manispaa ya Bukoba, mkoani Kagera, imelalamikia tukio la mwanao kudaiwa kupigwa akiwa mikononi mwa Polisi na kulazwa katika Hospitali ya Rufaa ya Kanda ya Bugando jijini Mwanza. Familia hiyo inasema ilipata wakati mgumu kumpata kijana wao tangu...
  20. polokwane

    JamiiForums Tanzania Tufanye ufuatiliaji kwa kijana aliye ongea na RC. Dar leo kujua usalama wake wakati wote

    Nimewaza tu hilo na hasa kwa historia na tabia ya serikali hii ya sasa tuliyo nayo.
Back
Top Bottom