bongo

Neno lisilo rasmi / la mtaani likimaanisha Tanzania. Linatumika badala ya neno Tanzania.
  1. Smartkahn

    JamiiForums Tanzania Game Theory na Ufahamu(Bongo)

    Game theory; Ni mkakati maalumu wa kupata matokeo uyatakayo kwa kutumia, kufanya au kushawishi maamuzi kabambe. Mfano. mchakato wa kuwapata viongozi nani anapendekeza kuwa fulani akagombee na kwa nini? Ufahamu/conciousness; Kitu pekee cha muhimu kwa mwanadamu hapa duniani na ndio siri msingi...
  2. Quinton Canosa

    JamiiForums Tanzania Bongo mambo mengi sana

  3. papag

    JamiiForums Tanzania Na bongo tufanye hivi ?

    Ila uwe na .........
  4. Stability

    JamiiForums Tanzania Najua unaweza bisha ila kuna baadhi ya jamii hapa bongo kuzalia nyumbani ni kama sifa na normality

    Kanda ya ziwa, wajita. Kanda ya kaskazini, wairaq Kanda ya kati wanyamwezi na wanyaturu Kanda ya pwani
  5. Eli Cohen

    JamiiForums Tanzania Its 2026, elon musk anatengeneza kifaa cha kusaidia vipofu kuona meanwhile bongo bado mambo ni haya

    Ukijaribu kusema unaambiwa hata wazungu wana uchawi wao😬 anyway, maisha yaendelee.
  6. idiomer

    JamiiForums Tanzania Utapeli upo huu upo? Ama kweli Bongo Dar es Salaam

    Siku kadhaa zimepita niliona jambo akili yangu ikawaza sanaaa. Je wajua jambo gani tiririka na uzi huu mwenetu. Bongo Dar es Salaam Jiji la watu wapatao milioni 6 na ushee wakubwa kwa wadogo lakini wote wakubwa. Jiji maarufu la vyakula vitatu wali, chips na ugali. Jiji lenye vyanzo...
  7. Sir MGAX

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Bongo Hip Hop

    Uzuri wa huu mchezo kuwe na distrac ya kundi na kundi, ama mtu na mtu. Unadhani ipi iliwaka sana hadi mchezo wa live ukatace place….
  8. Teknolojia ni Yetu sote

    JamiiForums Tanzania Google yawapa nguvu content creators wasiojulikana!

    Google imeamua kuwapa Nguvu waandaji maudhui wa mitandaoni 😲. Kama ulikua unasoma tu profile za watu maarufu ulimwenguni kupitia Wikipedia Sasa ni zamu ya Content creator bhana 👋. 🔍 Google imezindua rasmi Mfumo mpya unaitwa Creator Search Profiles!, ambapo watengeneza maudhui (Creators)...
  9. S

    JamiiForums Tanzania D RAX MSANII WA BONGO FLAVA ANAEKUJA KWA KASI NCHINI TANZANIA MWENYE ZAIDI YA WAFUASI LAKI TATU

  10. Saint Anne

    JamiiForums Tanzania Bongo Star Search Season 16 Special Thread

    Bongo Star Search 2026 - Msimu wa 16 🔥 Sasa inaitwa CRDB Bank Bongo Star Search 2026 Mambo muhimu ya msimu huu: 1. Theme & Zawadi Theme: "Next Level Revolution" + "Beyond Borders" Mshindi anaenda na milioni 50+ na gari jipya 2. Sio uimbaji tu tena Msimu huu umepanuka. Sasa wanakubali...
  11. Alexido jz instagram

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Seanolson Mzungu: Wanawake wa bongo ni omba omba

    Katika mahojiano yake na wasafi MZUNGU huyo ameoneshwa kukerwa na tabia ya mademu wa bongo kuomba omba hela, MZUNGU huyo amedai ni OMBA OMBA sana, katika kipindi CHA wasafi the switch, akiwa na Aaliyah na mchaga og.
  12. Alexido jz instagram

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kombe la Arsenal, EPL lapelekwa Kenya, bongo tunafeli wapi?

    Kuelekea juma tatu ambapo, parade Lita happen uingereza jijini London tayari losha Anza kizungushwa nchi tofauti, ambapo limepita Kenya na litaendelea kwingineko sidhani kama bongo litakuja. Jamaa yangu Mmoja kanijuza wakenya wana connection kubwa hapa duniani na ndo mana hawakuhitaji...
  13. M

    JamiiForums Tanzania Kwanini harrier anaconda used hapa bongo zinauzwa sana

    Habari za weekend Team, Nimegundua harrier anaconda zinauzwa sana yani ile mtu ananunua anakaa nayo miaka miwili mitatu anaiuza kwani zina changamoto gani pia hata mitandaon kwenye zile page wanazouza magari lazima utazikuta anaconda zinauzwa ambazo zimetumika hapa bongo miaka miwili,tatu mtu...
  14. K

    JamiiForums Tanzania Miaka 13 Bila Albert Mangweah: Bongo Flavour Artists wamejipangaje kumuenzi 2026

    28 Mei 2013 Msanii Maarufu enzi hizo wa Bongo Flavour alitutoka Duniani akiwa kwenye Matibabu huko nchini Afrika Kusini. Wasanii wa Bongo Flavour wamejipangaje kumuenzi? Naona kimya sisikii watu wakimzungumzia namna ya kumuenzi mwaka huu wa 2026. Kwangu Binafsi nitamkumbuka kwa nyimbo ya ni...
  15. bless on

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mapenzi Bongo vs Ulaya: Mizengwe yote hii?

    Kule ulaya ukimfuata Demu ukamuambia unampenda jibu utalipata kabla hata dakika Tano hazijaisha. Akikupenda atakujibu I like you too na mazungumzo yataendelea akiona humvutii atakuambia I'm not interested kwa heshima. Hakuna Ile habari ya ngoja nifikirie ambayo itachukua mwezi mzima. Kwao, muda...
  16. DodomaTZ

    JamiiForums Tanzania Kipi kipo nyuma ya shamrashamra za mastaa wa Kimataifa wanaokuja Bongo: Kuna jambo, au tunatolewa kwenye reli?

    Katika kipindi cha hivi karibuni, Tanzania imeshuhudia ujio wa watu maarufu duniani kama Didier Drogba na Rio Ferdinand ikielezwa kuwa ni kwa mwaliko wa Serikali kupitia Wizara ya Habari, Utamaduni na Michezo inayoongizwa na Paul Makonda. Kwa juu juu, hatua hii inaweza kuonekana kama jitihada za...
  17. Financial Analyst

    JamiiForums Tanzania Hivi ozempic haijatua bongo wajameni?

    Naona mambele wanajidunga na miili inapungua hakuna tena mambo ya mazoezi
  18. A

    JamiiForums Tanzania Wakunyumba tradition’s party ya wangoni yaja bongo

    Sherehe kubwa itakayowakutanisha Watanzania kutoka Kabila la Wangoni inakuja. Itafanyika jijini Dar es Salaam. Lakini pia watu kutoka makabila mengine watapokelewa kuhudhuria. Sherehe hii itakuwa endelevu. Itakuwa ikifanyika kila mwaka katika ukumbi au eneo litakalopendekezwa na kamati ya...
  19. ndege JOHN

    JamiiForums Tanzania Vijana wa Bongo na Ndoto ya Content Creation

    Siku hizi ukikutana na kijana ana laptop, ring light na simu nzuri usidhani ni IT specialist… mwingine anakesha usiku kucha akihariri video ya sekunde 45 huku background kuna motivational music na caption “never give up”. Lakini ukiangalia reality ya game yenyewe unaweza ukaanza kujiuliza… hivi...
  20. Stability

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Group sex inaongezeka kwa kasi hapa Bongo

    Mimi nafikiri haya yote ni madhara ya kuangalia porno sana na ubaya zaidi ni kuwa porno imezagaa katika simu za vijana na kushikamana kama vile pua na mdomo. Sasa hivi watu hawaoni haya kuchukuana kama kikundi na kwenda kufanya sex huku wakipasiana wenza yaani akipiga hapa anaennda kwa mwingine...
Back
Top Bottom