uchaguzi mkuu

The Tanzanian general election of 2015 was the 5th quinquennial election to be held since the restoration of the multi-party system in 1992. Voters elected the president, members of Parliament, and local government councillors. By convention, the election was held on the last Sunday of October and was supervised by the National Electoral Commission (NEC). Political campaigns commenced on 22 August and ceased a day before the polling day.The incumbent president, Jakaya Kikwete, was ineligible to be elected to a third term because of term limits. Chama Cha Mapinduzi (CCM), the country's dominant ruling party, selected Works Minister John Magufuli as its presidential nominee instead of the front-runner, former Prime Minister Edward Lowassa. After failing to secure the CCM's nomination, Lowassa defected to the opposition Chadema party despite it once labelling him as "one of the most corrupt figures in Tanzanian society". This year's election was seen as the most competitive and unpredictable in the nation's history.The government had warned politicians to refrain from engaging in witchcraft, and a deputy minister told parliament that reports linking politicians with the killings of people with albinism could be true as it increases during the election period. A ban on witch doctors was imposed in January 2015, as some of them condone the killings due to superstitious beliefs that the victims' bodies "possess powers that bring luck and prosperity".On 29 October, CCM's Magufuli was declared the winner ahead of Chadema's Lowassa, who has yet to concede amid a dispute.

View More On Wikipedia.org
  1. Stroke

    JamiiForums Tanzania Eti kwakuwa Chadema waliamua wao kutoshiriki uchaguzi mkuu 2025 wanalazimisha kila kitu kuwa ni haramu kwao

    Chadema kwa ujinga wao tu bila kuzuiwa na yeyote waliamua kutoshiriki uchaguzi mkuu wa 2025. Waliamua kutosaini kanuni za uchaguzi, ilhali vyama vingine 18 vilisaini na kushiriki uchaguzi. Baada ya kujinyima haki hiyo wenyewe kwa mahaba yao, wameamua kuita kila kitu ni haramu, Wanataka...
  2. S

    JamiiForums Tanzania Madai ya CCM kutumia helicopter za Jeshi wakati wa kampeni za Uchaguzi Mkuu wa 2025, Msajili aliwahi fuatilia na kuchukua hatua?

    Hili ndio swali langu kwa Msajili wa vyama vya siasa nchini kama anapita humu JF au ana wasaidizi wake wanapita humu
  3. Just Pray

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Jaji Chande: Tume ilipokea ushahidi kuhusu watu kupotea au kutopatikana tangu uchaguzi mkuu

    “...vilevile inawezekana kulikuwa na majeruhi ambao waliamua kutibiwa nje ya mfumo rasmi, na wakafariki bila taarifa zao kufikishwa panapostahili. Tume pia ilipokea ushahidi na madai kuhusu watu kupotea au kutopatikana tangu wakati wa uchaguzi mkuu. Kwa kuzingatia ufafanuzi uliotolewa kwa idadi...
  4. Just Pray

    JamiiForums Tanzania Jaji Chande: Kilichotokea siku ya uchaguzi mkuu hayakuwa maandamano ya amani yalikuwa ni ghasia

    Jaji Chande akiwasilisha ripoti ya uchunguzi wa matukio ya uchaguzi mkuu 2025 anasema hayakuwa maandamano ya amani bali ni ya ghasia. Anasema "Kilichotokea siku ya uchaguzi mkuu, Oktoba 25, hayakuwa maandamano ya amani bali yalikuwa ghasia yaliyoambatana na matokeo ya uvunjifu wa amani...
  5. mirindimo

    JamiiForums Tanzania Wito kwa Gen Z kuanza kujipanga kujilinda kwa ajili ya uchaguzi mkuu wa 2030

    October 29 haitasahaulika mioyoni mwetu kabisa, natoa wito Gen Z wotee tujiunge ili tujiandae na kujilinda dhidi ya CCM na Jeshi la Polisi pindi watakapo taka kuua tena ndug zetu ili wahalalishe uchaguzi feki wa 2030. Tutafanya yafuatayo; Kujifunza ulinzi binafsi na kulinda wengine Kupata...
  6. M

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Human Rights Watch: Raia ambao hawakuwa kwenye maandamano walipigwa Risasi kuanzia Oktoba 29 kufuatia maandamano kwenye Uchaguzi Mkuu

    Human Rights Watch imesema kuwa vikosi vya usalama vya Tanzania vilikandamiza maandamano wakati na baada ya uchaguzi mkuu wenye utata wa mwaka 2025, viliua na kujeruhi watu ambao hawakuwa wakishiriki katika maandamano hayo. Human Rights Watch imethibitisha vifo vya watu 31 ambao hawakushiriki...
  7. M

    JamiiForums Tanzania Mahakama ya Afrika yatupilia mbali shauri la kupinga matokeo ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2020

    Mahakama ya Afrika ya Haki za Binadamu na Watu imetoa uamuzi wake uliosubiriwa kwa muda mrefu kuhusu shauri lililopinga uhalali wa uchaguzi mkuu wa Tanzania wa mwaka 2020. Katika hukumu yake, mahakama hiyo imetupilia mbali kesi hiyo kwa kukosa mashiko ya kisheria na ushahidi thabiti. Wapinga...
  8. M

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Said Mohamed: CHADEMA kutoshiriki Uchaguzi Mkuu imejikwamisha kisiasa, viongozi waliokuwa na ndoto na matarajio wameondoka kwenye chama

    Makamu Mwenyekiti mstaafu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Zanzibar, Said Issa Mohamed akiongea na Waandishi wa Habari, leo Machi 5 akizungumzia mazingira ya kisiasa nchini ameeleza kuwa kitendo cha CHADEMA kutoshiriki uchaguzi mkuu kimepelekea chama kujikwamisha, kwani ili chama...
  9. Chachu Ombara

    JamiiForums Tanzania Pascal Mayala: Tuna changamoto kubwa ya tafsiri ya sheria nchini. Tumefanya chaguzi kwa Katiba batili

    Akiongea katika kipindi cha Jambo Asubuhi, Mwandishi Pascal Mayalla amesema Tanzania kuna tatizo kubwa la tafsiri ya sheria, hata kwenye Mihimili mitatu ya dola.
  10. Kijukuu cha Tanzania

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Uchaguzi Mkuu wa 2025 ulivyoonesha vazi la Demokrasi la Tanzania linavyochakaa kupitia INEC, Vyama vya Upinzani

    Tangu kurejeshwa kwa mfumo wa vyamavingi Mwaka 1992, Tanzania imejengwajuu ya msingi wa kikatiba unaotambuademokrasia, utawala wa sheria na heshimakwa haki za binadamu. Katiba ya Jamhuri ya Muungano inawekawazi haki za msingi, ikiwemo uhuru wakukusanyika na kujiunga na vyama vyasiasa, uhuru wa...
  11. S

    JamiiForums Tanzania Kampeni za Uchaguzi Mkuu ujao, nitawauliza wagombea urais ni hatua gani kali sana dhidi ya Watanzania wenzako unaweza kuchukua ili kuzima madai yao?

    Nina hamu sana ya kuwauliza wagombea Urais wa vyama mbalimbali maswali haya chini ikiwa nitapata nafasi ya kushiriki kwenye mdaharo wa wagombea uraisi; Miaka kadhaa iliyopita, Mwalimu Nyerere akiwa Mwenyekiti wa CCM alishauri Tanzania iingie kwenye mfumo wa vyama vingi japo ni asilimia 20% tu...
  12. Roving Journalist

    JamiiForums Tanzania Kesi za kupinga matokeo ya Uchaguzi Mkuu 2025 Zanzibar, zakutana na kikwazo Mahakamani

    https://www.youtube.com/watch?v=VvgEZ6hch6A Kwa mara nyingine tena, kesi za kupinga matokeo ya uchaguzi wa Zanzibar wa Oktoba 29 mwaka jana zimeambatana na kikwazo baada ya upande wa Jamhuri kuhoji uhalali wa viapo vilivyoandaliwa katika kesi hiyo. Hoja hiyo imewasilishwa mbele ya Jaji Salma...
  13. A

    JamiiForums Tanzania KERO Kijiji cha Mayonje (Sumbawanga), tangu Novemba 2025 hatuna maji baada ya bomba kupasuka

    Ndugu zangu, hali ya upatikanaji wa maji katika Kijiji cha Mayonje, Kata ya Milepa katika Halmashauri ya Sumbawanga Vijijini, imekuwa ya kusikitisha sana, tangu mwezi wa 11, 2025 mwanzoni baada ya Uchaguzi Mkuu mpaka sasa, tumekuwa tukiishi bila huduma ya maji safi. Chanzo cha tatizo ni bomba...
  14. B

    JamiiForums Tanzania Zile nafasi za kazi zilizotangazwa karibia na uchaguzi mkuu zimeishia wapi?

    Habari wana JF. Mtakumbuka mnamo mwaka 2025 karibu kbs na uchaguzi Sekretariet ya ajira ilitangaza nafasi nyingi za kada tofauti. Nafasi zile zilileta maneno sana wengi wakisema ni rushwa kwsbb uchaguzi umekaribia. Wengi tuliomba na deadline ilikuwa Oktoba 31. Cha ajabu hatujaitwa kwenye usaili...
  15. Tlaatlaah

    JamiiForums Tanzania Kama Samia alishinda Uchaguzi Mkuu wa 2025 kwa 98%, ni wazi Nchimbi atashinda kwa 100% uchaguzi mkuu wa 2030

    Kwasababu, ni vizuri kuyaeleza haya mambo mapema ili kuepusha suprise amabazo zinaweza kuleta madhara kwa baadhi ya wanasiasa hasa wa upinzani ambao daima huangukia pua kwa kutegemea public sympathy votes. Katika uchaguzi mkuu huru, wa haki na uwazi uliofanyika mapema Oct.29,2025, mgombea urais...
  16. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Hoja za wabunge wanawake waliotokana na Uchaguzi 2025 nyie wenzangu mnazionaje? Nimemiss kuona type za kina Halima Mdee

    Haya ndugu zangu, Bunge ndo hilo limeanza mmewaonaje hawa wabunge wanawake waliotokana na Uchaguzi wa 2025? Binafsi nimemiss kuona wanawake aina ya kina Halima Mdee bungeni lakini sasa hivi naona wabunge wa sasa hivi wengi machawa Ila ngoja tuone
  17. M

    JamiiForums Tanzania, JamiiForums Uganda Wananchi: Kuzimwa kwa intaneti kote nchini wakati wa uchaguzi mkuu kumeathiri vibaya uchumi na maisha

    Kuzimwa kwa intaneti kote nchini Uganda wakati wa uchaguzi mkuu kumeathiri vibaya uchumi na maisha ya wananchi, hususan wafanyabiashara na vijana wanaotegemea huduma za mtandaoni. Biashara za fedha kwa njia ya simu zilisimama, waendeshaji bodaboda waliopata wateja kupitia programu walipoteza...
  18. Bawabu wa pili

    JamiiForums Tanzania, JamiiForums Uganda Mabeseni kutumika Kama Vyumba vya Siri vya Kupigia Kura Katika Uchaguzi Mkuu wa Uganda je, ni ubunifu au Changamoto?

    Katika uchaguzi mkuu wa Uganda, mbinu ya kipekee imeshuhudiwa ikitumika katika vituo vya kupiga kura, ambapo mabeseni yametumika kama vyumba vya siri kwa wapiga kura wakati wa kuchagua viongozi wao. Beseni hizo zimekuwa zikitumika kuwapa wapiga kura faragha wanapokuwa wanatia alama kwenye...
  19. W

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Na nyie mme-notice wananwake wengi zaidi wanazungumzia siasa baada ya Uchaguzi Mkuu 2025?

    Wakuu, Nilipita sehemu leo (uswahilini) nikakuta wamama watu wazima wanazungumzia kuhusu uteuzi mpya uliofanywa hivi karibuni kwenye baraza la mawaziri Yaani ni wanatoa nondo balaa. Wengine wanasapoti uteuzi uliofanyika wengine wanasema hapana uteuzi haukuwa sahihi Binafsi nimeona kuna mwamko...
  20. figganigga

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 FULL TEXT: Hotuba ya Luhaga Mpina kuhusiana na Uchaguzi Mkuu wa Tanzania wa 29 Oktoba 2025

    Salaam Wakuu, Hapa chini nimewawekea hotuba nzima ya Luhaga Mpina bila kuchakachua kitu. Angalizo, hii Hotuba ilitolewa tarehe 27 Oktoba, lakini Document ya hotuba imetoka leo. Naipost hapa kuweka kumbukumbu sawa kwa Vizazi vijavyo kwa Matumizi ya Shule na kuwajengea watu wa Dunia ufahamu na...
Back
Top Bottom