JamiiCheck

A citizen-centered approach in countering misinformation and disinformation Online and Offline by JamiiForums

On JF:

Katika siku za hivi karibuni kumekuwa na ongezeko la machapisho mbalimbali kwenye mitandao ya kijamii. Mojawapo ya machapisho hayo linadai kuwa Heche na Golugwa wamejihusisha na ubadhirifu wa fedha ndani ya Chadema. Chapisho hilo, ambalo limesambazwa katika vikundi na kurasa mbalimbali za Facebook, linadai kuwa viongozi hao wamejilimbikizia fedha taslimu kiasi cha shilingi milioni 250. Je, upi ni uhalisia wa madai hayo yanayosambazwa kwenye mitandao ya kijamii?
📍HECHE AITAKA SERIKALI KUHARAKISHA MCHAKATO WA MARIDHIANO NCHINI Na Mwandishi Wetu Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Taifa, Heche, ameitaka serikali kuharakisha mchakato wa maridhiano nchini, akisisitiza kuwa hatua hiyo ndiyo njia sahihi ya kudumisha amani, utulivu na mshikamano wa kitaifa. Akizungumza leo katika mkutano uliofanyika katika Kata ya Kibamba, Heche amesema kuwa maridhiano ni msingi muhimu wa kujenga taifa lenye umoja na maendeleo endelevu. Alieleza kuwa jamii haiwezi kusonga mbele ikiwa itaendelea kugubikwa na migawanyiko na misuguano ya kisiasa, hivyo ni wajibu wa serikali kuweka kipaumbele katika juhudi za kuleta maelewano miongoni mwa wananchi. “Maridhiano ni njia sahihi ya kudumisha...
Based on the current political landscape in 2026, the statement in the image is inaccurate. While it has been widely circulated on social media platforms like Touch TV, it contradicts recent official party actions. The disagreement stems from internal party divisions following the death of Raila Odinga. Sifuna has publicly questioned the legitimacy of Dr. Oburu's leadership and opposed the party's cooperation with President William Ruto's administration, leading Dr. Oburu to suggest that Sifuna "step aside" if he cannot speak on behalf of the party.
The statement in the image is false and appears to be fabricated. Verification of the Statement There is no credible record of President William Ruto making this specific statement. While he has criticized former President Uhuru Kenyatta for allegedly inciting youth, he has not publicly used the phrase "nitakufunga jela kama goon mkubwa" (I will jail you like a big goon) or used the specific wording regarding "envy" (wivu) shown in the post. Fact-checkers and news outlets have noted that similar posters are often created using artificial intelligence or digital editing to spread misinformation. Origin of the Photo The photo of President Ruto holding a microphone is not new; it has been used in various news reports and social media...
The specific quote in the image threatening physical intervention and mentioning "Bondo"has not been documented as an official statement from Ida Odinga in any reputable news source. It appears to be a stylized compilation of her previous metaphorical defense of Sifuna mixed with the intense political rhetoric surrounding the 2026 ODM party divisions.
Kumekuwepo na chapisho linalosambazwa katika mitandao ya kijamii, hususan Facebook na Instagram, likiwa na nukuu inayoambatana na video inayodaiwa kuwaonesha waandamanaji wakishambuliwa kwa risasi nchini Afrika Kusini. Chapisho hilo linadai kuwa tukio hilo linahusiana na hali ya hivi karibuni ambapo raia wa kigeni wanadaiwa kushambuliwa na kulazimishwa kuondoka nchini humo.
Kumekuwepo na chapisho lililosambazwa kwenye ukurasa wa Facebook likimnukuu mfugaji mmoja nchini Kenya akilalamikia uwepo wa zebra katika eneo lake. Mfugaji huyo anadai kuwa zebra hao wanazaliana na ng’ombe pamoja na punda wake, hali inayosababisha kuzaliwa kwa wanyama wenye madoa yanayofanana na ya zebra. pia kupitia chapisho ambalo limechapishwa na ukurasa wa instagram wa safari podcast lina nukuu kuwa “Ninaiomba Mamlaka ya Wanyamapori ya Kenya (KWS) waje kuwachukua zebra hawa. Wamekuwa wakizaliana na ng’ombe wangu, na tayari kuna ndama aliyezaliwa akiwa na madoa kama ya zebra. Endapo hamtachukua hatua mapema, nitalazimika kuwaua zebra hao. Nawasisitiza mfike haraka kuwaondoa, kwani pia wamezaliana na punda wangu, na kusababisha...
The claim that Winnie Odinga declared James Orengo as her party leader and said ODM was “sold to a thief” is unverified and likely fabricated. There is no credible evidence she made such remarks. While internal differences exist within Orange Democratic Movement after Raila Odinga’s passing, Winnie has maintained she remains in ODM and supports internal reforms—not exit. Verdict: FALSE / MISLEADING
Kumekuwepo na chapisho linalosambaa kwenye mitandao ya kijamii huhusani Facebook likiwa na nukuu ambayo inatoa ijumbe kutoka kwa raisi wa Uganda yoweri museven amesema kuwa afrika ina wajinga wengi sana. Katika chapisho hilo ambalo limewekwa kwenye mitandao ya kijamii lina nukuu ya ujumbe ufuatao '"Afrika Ina wajinga wengi sana, mtu anakunywa pombe na anakula hovyo halafu anakufa akiwa bado na miaka 25 watu wanasema Mungu amemuita!!! Mungu anawezaje kumuita mtoto mdogo namna hiyo?... Mbona wengine hawaitwi?... Mimi sio mjinga siwezi kufa kijinga namna hiyo" - Yoweri Museveni je ni upi uhalisia wa chapisho hilo?
Back
Top Bottom