JamiiCheck

A citizen-centered approach in countering misinformation and disinformation Online and Offline by JamiiForums

On JF:

Wakuu hii taarfa inasambaa sana kupitita mitandao ya kijamii uhalisia wake ni upi? Just 6 days before the World Cup kickoff, N’Golo Kanté’s French wife announced she was filing for divorce, believing that under French law their assets would be split 50/50 regardless of the circumstances. However, during the court proceedings, it was later revealed that Kanté had no assets in France, while his properties and wealth in his home country were registered in the names of his twin children. As it stands, Kanté is now the one entitled to receive a share of her assets. After hearing the outcome, she immediately wanted to call off the divorce, but the verdict had already been passed
Wazee wa chadema wameamua kujitoa sababu Amina viongozi wa chadema wana Mipango michafu nda ya taifa letu, ni dhahiri Mipango waliyonayo ni ya Liguria nchi yetu sababu ya tamaa zao ndio maana hata wazee wa chama wameona hawawezi kuwa sehemu ya uchafu wanaoupanga Pia ukumbuke kuwa ndani ya chadema kuna wizi na upigaji wa pesa za michango ambazo viongozi wa chadema wanagawana na kwenda kuzifanyia anasa night club na madem
A graphic circulating on social media claims that U.S. President Donald Trump warned Kenyans against opposing the establishment of an Ebola isolation centre in Kenya, allegedly stating: “I have ordered the U.S. Army to set up an Ebola quarantine facility in Laikipia, Kenya within one week. My administration will not hesitate to take decisive action against any Kenyan who attempts to oppose or obstruct this project.” The claim is not supported by credible evidence. Although the United States recently announced plans to establish a quarantine facility for U.S. citizens at a military base in Nanyuki, Kenya, and pledged approximately US$13.5 million (about KSh1.7 billion) to support Kenya’s Ebola preparedness efforts, there is no evidence...
Baada ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, kufanya ziara ya takribani siku tatu nchini Urusi, kumeendelea kusambaa taarifa zinazoeleza kuwa Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) kwa sasa linashika nafasi ya 15 au 20 barani Afrika na kwamba halipo miongoni mwa majeshi 100 bora duniani kwa mujibu wa viwango mbalimbali vya tathmini ya kijeshi. JWTZ linatajwa kuwa na uwezo thabiti wa kiulinzi na nidhamu ya hali ya juu. Aidha, jeshi hilo linajulikana kwa mchango wake katika operesheni za kulinda amani katika maeneo mbalimbali, ikiwemo Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC), pamoja na uwezo wake wa kukabiliana na vitisho vya kiusalama vya ndani na vya mipakani. katika kile ambacho kipo chapisho hilo...
Claim: A Social media post circulating on X by a Ugandan @Humanrights256 alleges that Pastor Aloysius Bugingo is selling olive oil at UGX 100,000 per bottle and claiming it can cure Ebola amid Uganda's current Ebola outbreak. The Post: "UPDATE: Pr. Aloysius Bugingo has introduced olive oil that cures “Ebola” Each bottle costs “100k” at Canan Land House of prayer ministries international." By the time Jamiicheck intervened, the post had attracted over 2,688 views , 7 reposts and 28 likes. Tunachokijua •The pastor: Aloysius Bugingo is a prominent Ugandan born-again pastor, businessman, and founder/leader of House of Prayer Ministries International (HPMI, also known as Canaan Land) in Kampala. He owns Salt Media (radio/TV). He is...
Kumekuwepo na picha ambayo inayosambaa kwenye mitandao ya kijamii ususani facebook , instgram na x zamani twitter ikimuonesha Rais wa Ivory Coast Alassane Ouattara, akionekana kupumzika Miongoni mwa Mahujaji Wakati wa Ibada ya Hajj, Akiwatia Moyo Mamilioni ya Watu kwa Unyenyekevu Wake. Picha hiyo ambayo imesambaa sana katika mitandao ya kijamii ikimwonyesha Rais huyo akipumzika chini miongoni mwa mahujaji wenzake wakati wa Ibada ya Hajj iliwavutia watu wengi sana mtandaoni kutokana na cheo alichonacho mtu huyo. Picha hiyo imesamabzwa kupitia viungo hivi hapa, hapa hapa,hapa, hapa, hapa Je ni upi uhalisia wa picha hiyo?
Picha ambayo baadhi ya watu wanadai kuwa inamuonyesha raisi wa Urusi Vladimir Putin akitoa mafunzo kwa wapigania uhuru kusini mwa Afrika ilisambaa na kutumiwa na baadhi ya watu kuhalalisha kuwa nchi za kiafrika zinapaswa kuunga mkono Urusi katika vita vya Ukraine. Picha hiyo ilisambazwa sana mtandaoni baada ya kuchapiswa katika blogu za Zibwabwe mwishoni mwa mwaka 2018, machapisho hayo yalidai yanamuonyesha Putin katika mafunzo ya kijeshi ya Tanzania kwaajili ya harakati za kupigania uhuru katika nchi za Afrika mwaka 1973.
SINEMA INAENDELEA : Mwanaharakati Maria Sarungi, Hilda Newtown na Twaha, walivyokutwa kwenye kikao cha siri huko Nairobi cha kutengeneza sinema ya kupotea kwa kijana msaidizi wa Tundu Lissu ambaye hafahamiki hata na familia ya Tundu Lissu. CHADEMA wala waje na kitu kingine ila hili la kujiteka, ni sinema kama sinema nyingine na Watanzania washazishtukia.
Kumekuwepo na chapisho linalosambazwa kwenye mtandao wa kijamii wa X likidai kuwa aliyekuwa Spika wa Bunge la Tanzania, Anna Makinda, aliwahi kusema kuwa bunge aliloliongoza lilikuwa na wabunge wenye uwezo mkubwa wa kufikiri na kuchambua masuala mbalimbali. Chapisho hilo linadai kuwa wakati wa kupitia baadhi ya kanuni bungeni, wabunge wengi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) walitaka kanuni hizo zipitishwe bila kufanyiwa marekebisho, lakini Makinda alikuwa akisisitiza umuhimu wa kumsikiliza Mbunge wa zamani wa Singida Mashariki, Tundu Lissu, kutokana na mchango wake katika mijadala ya bunge. Aidha, chapisho hilo linamnukuu Makinda akidaiwa kusema kuwa mara nyingi Lissu alikuwa akisaidia kutatua changamoto zilizokuwa zikijitokeza wakati wa...
Niaje waungwa Kitendo hili kimenikumbusha msemo wa mtegemea cha ndugu hufa masikini 🤣🤣🤣 Netanyahu si anajifanyaga ana file la Trump! Aliweke sasa hadharani tuone 🤣🤣🤣 Trump kamwaga mboga na yeye amwage ugali tuone. Laiti Israel isingekuwa inategemea msaada wa silaha, jeshi na ulinzi kutoka Marekani, haya matusi yote na dharau visingemkuta Netanyahu. Ona jinsi walivyoiingiza Marekani kwenye hasara kubwa ya vita. 1. Kambi zimeunguwa 2. Meli za kijeshi zimechomwa Moto 3. Ndege zilizokuwa zinasemekana hazionekana kwenye radar zimetunguliwa kama embe 4. Wanajeshi wameuwawa 5. Majeneral wakubwa wamejiuzulu 6. Hormuz imewashinda kuifungua 7. Iran imewashinda kukidhibiti Halaf mtu kama Netanyahu anaambiwa aache kuendelea na vita...
Tunachokijua. A magnitude 4.5 earthquake centered near Nakasongola in Central Uganda at 21:19 local time on May 31, 2026, Multiple seismic agencies confirmed a 4.4-4.5 magnitude shallow quake in the East African Rift zone, which was widely felt across central, northern, eastern, and western Uganda including Kampala, with no reported damage or injuries. Mapeera house is a prominent 19 story sky scrapper located on kampala road the central Bussiness District of Kampala Uganda. It serves as the main headquaters and the main branch of centenary Bank. Claim: A tiktok Video circulating on different social media platforms show that Mapeera house the headquaters of Centenary Bank in Uganda was destroyed following yesterdays strong...
Back
Top Bottom