JamiiCheck

A citizen-centered approach in countering misinformation and disinformation Online and Offline by JamiiForums

On JF:

Tunachokijua Claim A viral TikTok video posted by Comedian HON DR T-Amale claims that the Uganda Communications Commission (UCC) and another Organization - TCCU have shut down the TikTok account of National Unity Platform (NUP) President Robert Kyagulanyi Ssentamu (Bobi Wine) for allegedly spreading hate speech. The video also claims that other NUP-affiliated accounts, including @HalfLondon, would also be closed at 6:00AM today , the 17th of July citing the same reason. What we know •A review of Bobi Wine's Official Tiktok account shows that it remains active and publicly accessible, with over 3.4 million followers. There is no indication that the account has been suspended or closed. •The claim also names @HalfLondon, a prominent...
SANAMU YA DHAHABU YA RAIS TRUMP KUWEKWA IRAN KWA HESHIMA YAKE! . Wafuasi sugu wa rais trump wanapendekeza sanamu ya dhahabu ya Trump iwekwe mjini Tehran siku chache baada ya "kulikomboa" taifa hilo kutoka kwa utawala wa Kiislamu, ikiwa ni ishara ya amani mpya kati ya Washington na Iran. #MAGA HARDLINERS propose a GOLDEN STATUE of Trump be placed in Tehran days after “liberating” the country from the Islamic regime, as a symbol of renewed peace between Washington and Iran.
Msemo huu kuwa ulaji wa Karoti unaongeza uoni wakati wa usiku uekuwa maarfu sana miongoni mwa watu lakini je uhalisia ni upi? Makala iliyochapishwa na Medical News Today inataja faida mbalimali zitokanaz0 na ulaji wa karoti kutokana na wingi wa virutubisho ilivyo navyo. “Karoti zina vitamini, madini na viambata vya kuzuia uharibifu wa seli (antioxidants). Kula karoti kama sehemu ya lishe bora husaidia kuimarisha kinga ya mwili, uponaji wa vidonda, afya ya mfumo wa mmeng’enyo wa chakula na inaweza kupunguza hatari ya baadhi ya saratani.” Kwanini karoti inatajwa kuwa nzuri kwa afya ya macho? Karoti zina beta-carotene, kirutubisho ambacho hubadilishwa na mwili kuwa vitamini A. Vitamini A ni muhimu kwa afya ya macho na husaidia kuona...
Kumekuwepo na taarifa zinazosambazwa kupitia mitandao ya kijamii, hususan Facebook, zikidai kuwa Ridhiwani Jakaya Kikwete ametangaza kuwa atagombea uraisi na kuwatumikia watanzanai mwaka 2030. Hata hivyo, uchunguzi uliofanywa kwa kutumia vyanzo mbalimbali vya taarifa, umebaini kuwa madai hayo ni ya kupotosha. Hakuna ushahidi unaoonyesha kuwa Ridhiwani Kikwete amewahi kutangaza nia ya kugombea urais mwaka 2030 au kusema kuwa atachaguliwa kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Aidha, kwa mujibu wa ratiba ya uchaguzi nchini Tanzania, uchaguzi mkuu ulifanyika Oktoba 2025, na uchaguzi mkuu unaofuata unatarajiwa kufanyika mwaka 2030. Hata hivyo, mchakato rasmi wa kuwapata viongozi wanaogombea nyadhifa mbalimbali hutangazwa na INEC...
Ikiwa ni siku chache tangu chombo cha habari cha kimataifa cha BBC News kuchapisha makala iliyomhusu Mwenyekiti wa CHADEMA, Tundu Lissu, zimeendelea kusambaa taarifa kwenye mitandao ya kijamii zikidai kuwa Rais mstaafu wa Awamu ya Nne wa Tanzania, Jakaya Mrisho Kikwete, ametoa kauli ya kutaka BBC Swahili ifungiwe kufanya kazi nchini Tanzania. Chapisho hilo, ambalo limesambazwa kupitia Facebook, linaambatana na nukuu isemayo: "Baada ya BBC Swahili kuchapisha video yenye habari ya Tundu Lissu kuhoji demokrasia ya Tanzania, Kikwete atoa tamko kuu kwa TCRA kuifungia BBC Swahili." Hata hivyo, uchunguzi wa taarifa mbalimbali za umma, ikiwemo hotuba, mahojiano na taarifa rasmi zilizochapishwa na Rais mstaafu Jakaya Kikwete, haukubaini...
Kumekuwapo na madai mengi kuhusu radi ambayo mengine si ya kweli, yafuatayo ni madai 10 pamoja na uhalisia wake. Dhana Potofu 1: Radi haipigi sehemu ileile mara mbili. Uhalisia: Radi inaweza kupiga sehemu ileile mara nyingi, hasa ikiwa ni eneo lenye kitu kirefu, chenye ncha kali na kilichojitenga. Kwa mfano, jengo la Empire State Building hupigwa na radi takribani mara 25 kwa mwaka, na wakati mwingine zaidi ya mara 10 ndani ya dhoruba moja. Dhana Potofu 2: Radi hupiga vitu virefu pekee. Uhalisia: Radi inaweza kupiga popote. Inaweza kupiga ardhi, gari, maegesho ya magari au sehemu nyingine, si lazima kitu kiwe kirefu zaidi. Dhana Potofu 3: Ukiwa nje wakati wa radi, ni salama kujikinga chini ya mti. Uhalia: Hii ni mojawapo ya sehemu...
Baada ya Afrika, bara la Amerika Kusini ndilo lenye watu weusi wengi zaidi wakikadiriwa kuwa zaidi ya milioni 170 huku Brazil ikiongoza ikiwa na watu weusi takriban milioni 120. Nchi ya Argentina inatajwa kuwa mpaka sasa watu weusi ni chini ya laki mbili wakiwa takriban asilimia 0.5% kutoka asilimia 48% miaka ya 1800. Inadaiwa watu weusi baada ya kuisaidia Argentina kupigana vita na maadui zake, watu weusi waliosalia waliwekwa kwenye maeneo maalumu ambayo kwa kipindi hicho kulikuwa na ugonjwa wa hatari unaosababishwa na bacteria “Plague” ambapo serikali iliwanyimwa huduma muhimu hivyo upelekea vifo vyao. Zitto kupitia ukurasa wake wa Twiiter aliwahi kumhoji jamaa kuhusu kuishabikia Argentina, nanukuu 'Una support argentina ambayo...
Nimekutana na hii video Insta wanasema, "wanachadema haujawapatia majibu ya million 900 zilipoenda kwa ujasiri Unakuja mbele za watu eti unaomba mil 30 kwaajili yako zikupe motisha, motisha gani akati umeshawaibia wanachadema mil 900 na hutaki kusema zilipo Kwa tunavokufahamu wewe ingekua sio kweli lazima ungesema kuwa sio kweli ila badala yake unafukuza wote wanaohoji ili uwanyamazishe, wewe na mnyika wote ni wezi wakubwa"
Katika siku za hivi karibuni, kumekuwa na machapisho mbalimbali yanayosambaa kwenye mitandao ya kijamii kuhusu viongozi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA). Mojawapo ya machapisho hayo yanadai kuwa mjumbe wa Kamati Kuu ya chama hicho, Godbless Lema, amesema kuwa kwa sasa anaonekana kama msaliti ndani ya chama. Chapisho hilo, lililosambazwa kupitia Facebook, limenukuu kauli inayosema:"Asante Lema, usikubali kuchafuka kizembe wakati ukweli wa jambo unao wewe mwenyewe! Sema ukweli wote wa ufisadi wa Makamu Mwenyekiti Heche bila kuogopa, umma uko pamoja na wewe." je, ni upi uhalisia wa chapisho hilo ambalo limeonekana kusambazwa kwenye mitandao ya kijamii huku klikiwa na graphic ya chombo cha habari cha Jambo Tv ?
Tunachokijua A manipulated image purporting to show the front page of the June 16, 2026 edition of New Vision has been circulating on Whatsapp. The altered version replaces one of the newspaper's top headlines with the words "Lukwago Playing Hide and Seek, What We Know So Far." The rest of the front page closely resembles the genuine edition, making it appear authentic at first glance. In response, New Vision issued a public statement on its official X account warning readers that the image is counterfeit. The newspaper clarified that the genuine front page carried the headline "Lukwago Arrested: What We Know So Far" and not "Lukwago Playing Hide and Seek." In its statement, New Vision said: Click here to see the post. A comparison...
Tunachokijua(What we know) MTN Uganda is the country’s largest telecommunications network, a major taxpayer, and is listed on the Uganda Securities Exchange. Gen Muhoozi Kaiberugaba Is Ugandas Chief of Defense Forces(CDF)and a Presidential Advisor on Special Operations. Claim: A viral post attributes a statement to Gen. Muhoozi Kainerugaba, alleging that MTN Uganda will be blocked within two weeks and replaced by Uganda Telecom. Findings: Jamii Check found out that there was Misquotation of Gen. Muhoozi: The viral post falsely attributes words to Gen. Muhoozi. There is no record of him making such a statement in any official speech, press release, or verified communication. No official confirmation: Neither State House, the...
Back
Top Bottom