wote

  1. H

    JamiiForums Tanzania Watanzania wote tuingie kwenye bima ya afya. Tutaepukana na matatizo mengi sana ambayo tumeyatafutia majawabu ya dharura, - Waziri Mkuu Dkt. Mwigulu

    Watanzania wote tuingie kwenye bima ya afya. Tutaepukana na matatizo mengi sana ambayo tumeyatafutia majawabu ya dharura, lakini yanahitaji yapate majawabu ya kudumu
  2. Tlaatlaah

    JamiiForums Tanzania Uimara na umadhubuti wa CCM unatokana na umoja na mshikamano uliopo miongoni mwa wanachama wake na waTanzania wote kwa ujumla.

    Na hiyo ndio siri ya kustawi na kuimarika kwa nguvu ya CCM kila uchwao, tofauti na upinzani wa Tanzania ambao udhaifu wao kiujumla, unatokana na chuki binafsi baina yao, uhasama baina yao, migawanyiko baina yao, tamaa, ufisadi na uchu wa vyeo na madaraka miongoni mwao, kitu kinachowafanya...
  3. Zack Abdul

    JamiiForums Tanzania Bima ya Afya: Kinga kwa Watanzania Wote

    Watanzania wote tuingie kwenye bima ya afya. Tutaepukana na matatizo mengi sana ambayo tumeyatafutia majawabu ya dharura, lakini yanahitaji yapate majawabu ya kudumu
  4. Zack Abdul

    JamiiForums Tanzania Magari ya Wagonjwa Yawe Tayari na Mafuta muda wote

    Magari ya Wagonjwa yawe tayari muda wote. Tulishanunua magari, yawe na mafuta. Kila wakati yawe na mafuta. Tusichangishe wagonjwa kuweka mafuta kwenye gari ya Serikali kubeba mgonjwa ambaye yuko mautini-Waziri Mkuu Dkt.Mwigulu Nchemba. 📍Ilongero-Singida 🗓️Septemba 06, 2026 ——————- Amesema...
  5. M

    JamiiForums Tanzania Siamini kauli ya keki ni kubwa kwajili yetu wote kwenye biashara yenye ushindani, Biashara ni vita !!

    “Keki ni kubwa kwa ajili yetu wote.” Si amini. Kwenye biashara, kila mtu anataka kuongeza market share. Kila mtu anataka scale. Kila mtu anataka wateja wengi zaidi, branches nyingi zaidi, revenue kubwa zaidi. Wateja wako kuhamia kwao ndio mafanikio ya kibiashara kwe wengine Kuna muda...
  6. Tlaatlaah

    JamiiForums Tanzania Raia wema wote wako salama Tanzania, isipokuwa wahalifu na wakiuka sheria

    Ni muhimu kwa wananchi na waTanzania wote kujitenga na matukio au magenge ya kihalifu, lakini pia kujiepusha kabisa katika kukiuka sheria za nchi na vitendo vya uvunjifu wa amani. Ni vizuri kutii sheria bila shuruti na kuishi na watu vizuri na kwa upendo na amani. Hii itasaidia sana kila moja...
  7. Zack Abdul

    JamiiForums Tanzania Dkt Mwigulu: Serikali kuendelea kutafuta vyanzo vya mapato kuongeza wigo wa wanufaika, Bima ya Afya si TASAFU kwamba kusaidia wasiojiweza

    Bima ya afya ni kwa wote. Maana yake, kila Mtanzania ashiriki kukata bima ya afya, na kupitia programu hii ndipo tutakapoweza kuwa na bima ambayo ni jumuishi, ambayo haitaacha mtu nyuma-Waziri Mkuu Dkt. Mwigulu Nchemba. 📍Dodoma-Tanzania 🗓️ Septemba 03, 2026 Amesema hayo wakati akijibu swali la...
  8. MamaSamia2025

    JamiiForums Tanzania Nataka nifungue mgahawa ambao nitakuwa nikionyesha video za Prof Janabi muda wote kama burudani

    Nimeamua kuja na huu ubunifu. Hela nitapiga. Unapata msosi huku ukitazama video za Prof Janabi akishauri mambo ya afya. Itakuwa ni burudani kwa wateja wangu. Natumaini wateja watafurahi. Una maoni gani kuhusu hii idea?
  9. Miss Halima

    JamiiForums Tanzania Kutana na Kijana Anaishi Kwenye Maji Muda Wote Kama Mamba, Kisa Kizima Hichi Hapa

    Katika kijiji cha Beldanga, kilichopo Wilaya ya Murshidabad nchini India, kuna kisa cha kusikitisha na kinachovuta hisia cha kijana mwenye umri wa miaka 16, Iqbal Sheikh. Kwa miaka mitano sasa, Iqbal anajikuta katika hali isiyo ya kawaida inayomfanya atumie siku kadhaa akikaa ndani ya mabwawa...
  10. Son of Israel from Africa

    JamiiForums Tanzania CCM wote walioko TUNOJUA NI WATANGANYIKA tujitenge tuhamie CDM wotee .

    Wala sina mdaaa Ushauri nii huuu WATANGANYIKA WALIOKO CCM TUHAME TUHAMIE CDM TUKAIPIGANIE TANGANYIKA NAWAHAKIKISHIA ASUBUHI TUU TUNAPATA TANGANYIKA HURUU KABISA. Sitaki ushaurii nimeamua kusema Maana asilimia kubwa ya wanotekwa ni WATANGANYIKA TUU! Ila angalizo akina Lucas Mwashambwa...
  11. Ponjoro wa Kinondoni

    JamiiForums Tanzania Waraka Kwa Wakristo Wote: Yezebeli Kahaba Mkuu ni Hatari LAKINI...

    Nanukuu mafungu yafuatayo toka kwenye kitabu pekee kitakatifu. Ufunuo wa Yohana 2:20 [20]Lakini nina neno juu yako, ya kwamba wamridhia yule mwanamke Yezebeli, yeye ajiitaye nabii na kuwafundisha watumishi wangu na kuwapoteza, ili wazini na kula vitu vilivyotolewa sadaka kwa sanamu. 2 Wafalme...
  12. instinct desire

    JamiiForums Tanzania Namshangaa Mzee Ulimwengu haoni wazee wenzake wote walishaikimbia Chadema yeye ndo anajitokeza mwishoni inamaana hasomi nyakati?

    Huwezi ukawa Mzee mwenye busara halafu ukawa chadema watu lazima wakushangae, kulikuwepo na wazee wenye hekima wote walikimbia baada ya kugundua kuwa chadema ni Chama cha matapeli wasiojali utu wa watu, kwahyo Mzee ulimwengu amekubali kutukanwa na watu chadema. Kwa mfano: Uchaguzi wa ndani wa...
  13. N

    JamiiForums Tanzania Watanzania wote hatuwezi kuwa viongozi. Mwenzako akipata mpongeze. Usimchukie

    NB: Nina Akili Ndogo Sana Major Generals wote hawawezi kuwa CDF au CoS. Graduates wote hawawezi kuwa wafanyakazi wa serikali. Commissioners wote wa Polisi hawawezi kuwa IGP. Wanasiasa wote hawawezi kuwa wabunge, madiwani au Rais. Mwenzako akipata mwambie "Hongera sana dada/kaka yangu. Ninaomba...
  14. Financial Analyst

    JamiiForums Tanzania Kiranga: "Dhana ya kumuomba Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote ni contradiction"

    Mmoja ya vijana wayahudi waliokuwa katika camps za mateso alizokuwa amejenga hitler kwa ajili ya kuangamiza kizazi cha kiyahudi aliandika hivi ukutani "KAMA MUNGU YUPO BASI ANATAKIWA KUNIOMBA MSAMAHA" Wamama wanalia sana katika maombi, wameteswa, vizazi vyao vimeharibika ila watesi wao ndio...
  15. Zack Abdul

    JamiiForums Tanzania BIMA YA AFYA KWA WOTE: KAYA 276,000 ZASAJILIWA

    Hadi Juni 2026, jumla ya kaya 276,000 zimesajiliwa katika mfumo wa Bima ya Afya kwa Wote, sawa na asilimia 100 ya kaya zilizolengwa katika awamu ya kwanza. Hatua hiyo inaendelea kuimarisha upatikanaji wa huduma za afya kwa wananchi.
  16. DogoWaNjombe

    JamiiForums Tanzania ACT Wazalendo: Utekelezaji wa ahadi za siku 100 na Bima ya Afya kwa Wote ni ahadi hewa

    ACT Wazalendo imesikitishwa na taarifa na kauli za Serikali zinazotolewa kupitia vyombo vya habari, majukwaa mbalimbali na Bungeni kuhusu mwenendo wa ugharamiaji wa huduma za afya nchini, hususan utekelezaji wa Bima ya Afya kwa Wote. ACT Wazalendo imefanya tathmini na kubaini kuwa, licha ya...
  17. thegreat1510

    JamiiForums Tanzania Maria Surungi: Deo Ndejembi ni Mzanzibari, Muislamu, pia ana uraia wa Uingereza

    ‼️UASILI WA DEO NDEJEMBI KUMBE UNA UZANZIBARI‼️ Kumbe Mama yake Ndejembi ni Mpemba anayeishi London? Eh watu mna siri! Alafu TISS bana mnamkubalia kimama amteue alafu mnakuja kutulalamikia pembeni Sasa wamemwaga data ila mambo kadhaa muhimu: 👉🏽Deo Ndejembi ni mjukuu wa Mzee Ndejembi ila...
  18. E

    JamiiForums Tanzania ACT Wazalendo Yaituhumu Serikali Kufeli Ahadi ya Bima ya Afya kwa Wote

    Dk Elizabeth Sanga Chama cha ACT Wazalendo kimesema utekelezaji wa ahadi ya siku 100 ya Rais Samia Suluhu Hassan kuhusu Bima ya Afya kwa Wote umeshindwa kuwafikia wananchi wengi, huku kikidai kuwa watu maskini wanaendelea kukosa huduma muhimu za matibabu na vipimo vya kibingwa. Katika tathmini...
  19. de Gunner

    JamiiForums Tanzania Siri ya Utulivu na Mafanikio

    Baada ya kukua na kutambua jinsi watu wanakuwa controlled na hisia. Watu ambao hawajui kuwa less attached na kupannic. Huwa sio kwamba ni wakali au wagai gai by nature. Na pia sio watu wakali by nature, huwa ni so weak. Ila ile reaction ina wa manipulate kudhani wako sahihi. Kadri unavyo...
  20. Keyboard_Warrior

    JamiiForums Tanzania TALMUD: Adamu aliwaingilia kimwili wanyama wote duniani

    Talmud ni kitabu cha mafundisho ya kidini cha Wayahudi. Eti kinasema bwana Adamu aliwapiga nao wanyama wote hapa duniani kabla ya kuletewa bibie Eva. Dunia ina mambo sana. Ila hii inafanya nisishangae ukatili wa Wayahudi, akina Netanyahu. Oyaaaa, Echolima1 Myahudi wa Chanika, hii habari ya...
Back
Top Bottom