raha

Air Chief Marshal Arup Raha, PVSM, AVSM, VM, ADC (Bengali: অরূপ রাহা) was the 24th Chief of the Air Staff of the Indian Air Force and served from 31 December 2013 to 31 December 2016. He was also the Chairman of the Chiefs of Staff Committee, a post occupied by India's senior-most military officer, who advises the government and ensures jointsmanship in the armed forces.

View More On Wikipedia.org
  1. Bujibuji Simba Nyamaume

    JamiiForums Tanzania Vitu gani vinavyotupa raha?

    Swali hili lina majibu mengi kwa sababu "raha" inaweza kuwa ya mwili, akili, moyo au roho. Kwa mtazamo wa sayansi, raha hutokea pale ubongo unapotoa kemikali kama dopamini, serotonini, oksitosini na endorphins ambazo hutufanya tuhisi vizuri. Baadhi ya vitu vinavyotupa raha ni: Upendo na...
  2. Pekejeng

    JamiiForums Tanzania Raha ya JamiiForums si kushinda hoja... ni kuona watu wakizichapa kwa maneno

    Kuna aina mbili za watu humu JF. Kundi la kwanza linaingia kupambana. Lengo lao ni kushinda hoja, kuthibitisha wako sahihi na kumfanya mpinzani akubali. Halafu kuna kundi la pili... sisi. Sisi tunaingia, tunasoma mada, halafu tunaanza kufurahia comments. 😄 Mtu mmoja anakuja na takwimu...
  3. Fbn

    JamiiForums Tanzania Hivi mnafahamu wenzetu wanamaisha ya raha sana unaweza kuishi na jirani wala usimfahamu kuwa ni kiongozi

    Wenzetu wanamaisha tofauti na huku afrika.Unaweza kupishana na kiongozi mkubwa mtaani wala usimjue kabisa. Wenzetu wamejijengea kutofautisha kazi na nzengo. Sio wote ambao wanafanya hivyo ila wengi wao wanataka kuishi hivyo. Kuna vyeo vinaweza kukufanya kuwa tofauti ila vyeo vingi kwa wenzetu...
  4. ShesRise_1

    JamiiForums Tanzania Unajua kutofautisha kati ya neno furaha, neno utamu, na neno raha?

    Hivi unajua unaweza kuwa na furaha lakini usisikie utamu? Au ukasikia utamu lakini huna furaha? For me, furaha naiona kama ile hali ya moyo kuwa na utulivu na kujisikia vibe fulani hivi yaani ndiyo naiona ni furaha Then raha, naona kama ni ile hali ya kuhisi uko sawa, huna matatizo Exp...
  5. S

    JamiiForums Tanzania Raha ya Sex ni usafi

    Wakuu habari zenu? Nashindwa kufurahia mapenzi siku hizi , sijui niseme sina bahati. Nimetongoza mademu zaidi ya watatu, lakini wote wakati WA mechi hutoa harufu mbaya Kwa sasa nimeamua kuwa Single.
  6. R

    JamiiForums Tanzania JF ina raha yake! Unapata habari yoyote unayoihitaki duniani hasa baada ya kifunguliwa/ kuifungua, maana vpn kilikuwa ni kipengere

    ASANTE Maxence Melo and Team! Raha tupu!
  7. secretarybird

    JamiiForums Tanzania Nimefurahishwa na Serengeti Boys kutotwaa ubingwa, raha tupu yaani!

    Numeona nianzishe Uzi kama huu, maana wenzangu wengi wameshafungua nyuzi za kuipongeza Serengeti Boys kutema ubingwa. Nimeona nami nisibaki nyuma katika hili. Hongera Serengeti boiz 👏👏👏👏.
  8. Alexido jz instagram

    JamiiForums Tanzania BARUA ZINATEMBEA HAPA OFSINI SIO POA, NIOMBEENI, BOSS ANADAI HALI MBAYA, SINA RAHA KABISA, SIKIENI TU, OMBENI YASIWAPATE

    Kama Kuna mtu Nisha mkosea, naomba nisamehewe, mana Kuna uwezekano nikawaangukia any time nipate pakujishikisha, wakuu samahan kama Nisha wahi kumkosea mtu humu, tusamehane sisi ni ndugu. Watu wanatakiwa wapunguzwe, acheni tu Zachariano alexido
  9. Eli Cohen

    JamiiForums Tanzania Kusudi kuu la maisha ni balance (uwiano) na survival. Raha inakuwa fupi kwa maana unajaribu kusavaivu na tabu inakuwa ndefu ili ku-extend uwiano

    Hata ufanye nini asili itakugusa tu, uzembe wa wengine utagusa hata uwe makini kiasi gani, raha itakupata tu kwa wakati fulani na shida itakupata ili wengine wapate raha. LIFE
  10. SweetyCandy

    JamiiForums Tanzania Hii ni raha jamani miaka hii

    Zamani hr wengi ni wanaume basi unakuta ukitaka kazi unatoa rushwa ya ngono unapewa kazi huyo ni mwanamke , sasa mwanaume anatoa hongo ya pesa anapewa kazi . Kwa miaka hii haki sawa wanaume na wanawake hr ni mwanaume na kazi wanataka mwanaume na mwanamke na wote wanatoa rushwa ya ngonoo dah...
  11. Tundusami

    JamiiForums Tanzania Raha ya mdinyano kuangaliana usoni asa kama demu wako hatazamiki shida inaanzia hapo

    Ukitaka kuona raha ya kwichi kwichi muwe mnatazamana usoni namna demu anaugulia na ukijumlisha na uzuri wa sura apo mnara lazima usome 5G na huchoki
  12. Slobodan Mirosovich

    JamiiForums Tanzania Kutoka kwenye Raha, Utukufu, kuogopwa na kunyenyekewa hadi Mbuzi wa Kafara

    Ndugu zangu kamwene, Katika ulimwengu wa madaraka, kuna wakati taasisi inabidi ijioshe ili ipate hewa ya kupumua. Nchi inapokwama kiuchumi kwa sababu ya doa la damu mfumo haulazimishi kila mtu kuwajibika maana kuna uwajibikaji hauna impact hivyo anatafutwa mtu mmoja mwenye uzito wa kubeba...
  13. mwehu ndama

    JamiiForums Tanzania Raha ya pombe ulewa haraka

    Wakuu naandika huu Uzi nikiwa mitungi kinoma noma. Kwa mara ya kwanza katika maisha yangu ya ULEVI na nimepiga nusu glass na kulewa chakariii.. Kuna bia zimetengenezwa na mkono wa jini wa jomba aminini nawaambia , alcohol ndogo ila Busta lake ni barahaaaa!!!
  14. Mshana Jr

    JamiiForums Tanzania Furaha isiyo na raha..! Ama raha isiyo na furaha..hakuna ladha!

    Madomo zege hawawezagi kutongoza wao hutumia kumwaga pesa na kuonesha mikogo ya kila aina.. Ufahari usio kipimo chap Domo zege yuko tayari kunuka madeni ili aoneshe uwezo na ukwasi.. Bingwa wa kukopa mgumu kulipa Ukitaka kuona hasira take muite domo zege kibamia Kitandani hamna kitu pia.. Vile...
  15. JOHNGERVAS

    JamiiForums Tanzania Caesar Nero Alikuwa katili sana alimuua mama yake kwa kumcharanga mapanga, mke na akachoma maadui zake ili tu atawale kwa Raha

    Nero Claudius Caesar aliingia madarakani mwaka 54 BK akiwa na umri mdogo sana, takribani miaka 16. Hakuingia kwa bahati mbaya. Mama yake, Agrippina the Younger, alikuwa mwanamke mwenye ushawishi mkubwa ndani ya siasa za Roma na ndiye aliyepanga kila hatua ili mwanawe apate kiti cha ufalme...
  16. mwehu ndama

    JamiiForums Tanzania Tutengeneze shida ili wasahau mambo ya siasa

    Tuwatengenezee shida ya maji kwa kusingizia mambo ya mvua .Tuzuie vyakula kutoka kwa wakulima kuingia mijini ili tuseme Kuna uhaba wa chakula watu waweke hifadhi za chakula..Tuwakatie umeme makusudi na tufanye mgao katika baadhi ya maeneo. Halafu tukishafanikiwa kuhamisha ajenda za vijana...
  17. tonicimmobility

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Naona damu ya Polepole imeanza kuwalilia, na itawatesa sana hamtakaa mpate raha

    Mambo yameanza kuchangamka! Damu ya Polepole imeanza kuwalilia, sasa hivihivi mnajing'ata ndimi mnajikuta mnalitaja jina lake. Wakati ukifika mtatueleza tu mlimuweka wapi Polepole na mlifanya nini na mtajibia hiyo hukumu
  18. M

    JamiiForums Tanzania Kazini kuna kazi, Hili ndondo linafyekwa kwa umoja

    Wamefanya kosa moja tu la kiufundi, shoo kama hizi hazihitaji VIJIKO,
  19. Mshana Jr

    JamiiForums Tanzania Raha na karaha ya kubaka

    Simulizi ya mkesha wa Christmas 1986 Vijana watatu waliokuwa wanatoka kwenye mkesha walikutana na binti aliyekuwa anakimbia huku akiomba msaada Wakamsimamisha na kumhoji lakini mioyoni mwao wakiwa na nia ovu huku mioyoni mwao wakiwa tayari wameshawaka tamaa Binti alikimbia m'bakaji mmoja...
  20. and 998 others

    JamiiForums Tanzania Kwa VPN unaona Raha zote duniani

    Ndugu zangu tupewe nini tena? Hapa Tungekinya ukishaweka VPN unaona vyote duniani. Huna haja ya kukimbizana na wapiga mizinga ni mwendo wa bundle, sabuni na mkono wako tu
Back
Top Bottom