china

  1. Yoyo Zhou

    JamiiForums Tanzania Gharama ya “kujitenga” na China ni kiasi gani? Dola trilioni 23.6 za Kimarekani!

    Ripoti iliyotolewa hivi karibuni na Gazeti la Financial Times la Marekani, imenukuu utafiti uliofanywa na kampuni ya ushauri wa kimkakati duniani Ernst & Young-Brexit, ikisema kama Marekani, Umoja wa Ulaya, na Uingereza zinataka kuondoa kwa kiasi kikubwa utegemezi wao kwa viwanda vya China na...
  2. Amani ya Mungu

    JamiiForums Tanzania Changamoto ya Visa ya China Tanzania: Tatizo ni Madalali, Sio Ubalozi

    Kumekuwa na malalamiko mengi kuhusu ugumu wa kupata nafasi ya kuwasilisha maombi ya Visa ya China nchini Tanzania. Watu wengi huilaumu Ubalozi wa China, lakini kwa mtazamo wangu, tatizo kubwa si ubalozi wenyewe, bali ni mtandao wa madalali na watu wa kati ambao wamejijengea mfumo wa kujipatia...
  3. Roving Journalist

    JamiiForums Tanzania Dkt. Rhimo Nyansaho: Miaka 99 ya Jeshi la China iwe chachu ya kuimarisha ushirikiano wa Ulinzi na Tanzania

    Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa, Dkt. Rhimo Nyansaho (Mb), amesisitiza umuhimu wa kuendeleza ushirikiano kati ya Tanzania na China katika diplomasia ya ulinzi ili kuimarisha usalama, maendeleo na uchumi endelevu wa mataifa hayo. Dkt. Nyansaho amesema hayo tarehe 21 Julai, 2026...
  4. X

    JamiiForums Tanzania China imeachia bomu jingine kwenye ulimwengu wa AI — Kimi K3

    Mkurugenzi Mtendaji (CEO) wa kampuni changa ya Moonshot AI, Dkt. Yang Zhilin (miaka 34), ambaye ni mhitimu wa Chuo Kikuu cha Tsinghua, amezindua modeli mpya ya akili bandia (AI) iitwayo Kimi K3. Kimi K3 imekuwa miongoni mwa modeli za AI zilizozungumziwa zaidi mwaka 2026 kutokana na uwezo wake...
  5. L

    JamiiForums Tanzania Madaktari wa China wanawasaidia wagonjwa kupata nafuu kupitia upasuaji wa uvamizi mdogo

    Kwa zaidi ya muongo mmoja, Khadija Ali Saleh aliishi na maumivu makali ambayo hatua kwa hatua yaliondoa furaha na ubora wa maisha yake. Mwanamke huyo mwenye umri wa miaka 76, mkazi wa Zanzibar, Tanzania, alisumbuliwa mara kwa mara na vipindi vya kiungulia kikali na maumivu kifuani...
  6. L

    JamiiForums Tanzania Timu ya madaktari wa China yasaidia kuimarisha uwezo wa afya nchini Botswana

    Timu za madaktari wa China zimekuwa msaada mkubwa kwa afya ya jamii katika nchi nyingi zinazoendelea, zikiwemo za Afrika. Katika nchi nyingi za Afrika, licha ya changamoto za lugha, madaktari hao wamekuwa msaada mkubwa kwa kuungana na madaktari wazawa katika kutoa elimu ya afya, utambuzi wa...
  7. L

    JamiiForums Tanzania Watu wa Afrika waipendelea zaidi China, huku ushawishi wa Marekani ukipata pigo kubwa

    Kura ya maoni ya hivi karibuni ya Kituo cha Utafiti cha Pew inaonyesha kwamba taswira ya Marekani imeharibika vibaya barani Afrika wakati wa miaka miwili ya kwanza ya muhula wa pili wa rais Donald Trump. Watu waliohojiwa katika nchi za Ghana, Kenya, Nigeria, na Afrika Kusini, tatu kati ya hizi...
  8. Fbn

    JamiiForums Tanzania Kama una graphic Card ya computer kwa sasa China wanaweza kuongeza uwezo utakao

    Hapa naona Nvidia anazidi kuchanganyikiwa na hawa Wachina. Nvidia alijiona kuwa ndio mtu pekee uwezi kubadilisha vifaa vyake uwezo kwenye card. Sasa wachina walichofanya ni kwamba unaweza kununua graphic card ya 8Gb na ukaipeleka 48Gb na ikafanya kazi kama graphic mpya yenye uwezo kama mpya.
  9. bless on

    JamiiForums Tanzania China yabembeleza Uzazi: Kutoka Mtoto Mmoja hadi watatu

    CHINA INAPIGANIA KIZAZI: SERIKALI INAVYOBEMBELEZA WANANCHI WAZAE WATOTO! Unakumbuka enzi zile ambapo China ilikuwa na sheria kali ya "Mtoto Mmoja Tu"? Ukizaa mtoto wa pili enzi hizo unapigwa faini kubwa, unafukuzwa kazi, au kufanyiwa oparesheni za nguvu za kuzuia uzazi. Sasa hivi mambo...
  10. X

    JamiiForums Tanzania Marekani imechapika hapo M.E mpaka Maafisa wa Marekani wanashuku kuwa China au Urusi huenda wanasaidia Iran

    Iran yazidi kuimarisha uwezo wa makombora, ikiweka changamoto mpya kwa mifumo ya ulinzi ya Marekani. Iran imeboresha makombora yake ya ballastic missiles kwa kuongeza uwezo wa mambo mawili muhimu: Kasi kubwa (High Speed) Makombora yanapokaribia shabaha yanaweza kufikia kasi kubwa sana...
  11. Frank Wanjiru

    JamiiForums Tanzania Dogo Paten: Nilizuiwa China kwasababu ya kadi ya Bank

    Msanii wa Singeli Dogo Paten amesema kuzuiwa kuingia Nchini China kulisababishwa na changamoto mbili ikiwemo kutokuwa na kadi ya benki ambayo angeitumia akiwa Nchini humo pamoja na kutokuelewana kwa lugha kati yake na Afisa wa Uhamiaji wa China aliyekuwa akimhoji katika Uwanja wa Ndege wa...
  12. L

    JamiiForums Tanzania Ushirikiano wa kivitendo kati ya China na Afrika unalenga kutokomeza uhaba wa chakula barani Afrika

    Katika kipindi cha kati ya mwaka 1959 hadi 1961 China ilikumbwa na tatizo kubwa la uhaba wa chakula, tatizo ambalo lilisababisha madhara makubwa ya kiuchumi na kijamii na hata vifo kwa watu wengi. Tatizo la uhaba wa chakula nchini China lilitokana na ukame na hali mbaya ya kijiografia, na hata...
  13. L

    JamiiForums Tanzania Mgogoro wa Mashariki ya kati waonyesha China ni kinara wa kutoa masuluhisho kwa nchi za Afrika

    Kuanzia mwanzoni mwa mwaka huu Marekani na Israel zilipozusha mgogoro wa Mashariki ya kati kwa kuishambulia Iran, bei ya mafuta kwenye soko la dunia ilipanda kwa ghafla na kuleta changamoto kwa maisha ya watu wenye mapato ya chini katika nchi mbalimbali duniani. Kati ya nchi zote kubwa duniani...
  14. L

    JamiiForums Tanzania Vijana wa Misri na China wanajenga ndoto za baadaye kupitia mawasiliano ya kiufundi

    Ndani ya karakana iliyojaa watu wengi kando ya pwani ya Bahari Nyekundu ya Misri, Kareem Gaber, meneja wa vifaa katika kampuni ya Jushi Egypt Fiberglass Co., Ltd., amesimama karibu na kigari cha kunyanyua mizigo, akikagua kwa makini vifurushi vya plastiki ya fiberglass. "Kwa siku tunaweza...
  15. L

    JamiiForums Tanzania Maonesho ya ajira kati ya China na Tanzania yawaunganisha vijana na fursa za ajira

    Katika siku iliyojawa na hamasa, mamia ya vijana wa Kitanzania walimiminika katika Chuo Kikuu cha Dar es Salaam katika mji wa kibiashara wa Tanzania. Walikusanyika kwa ajili ya Maonesho ya tano ya Ajira kati ya China na Tanzania, yaliyofanyika kwa siku moja nzima na kuwakutanisha watafuta ajira...
  16. H

    JamiiForums Tanzania Waziri Kombo akutana na Balozi wa China nchini Tanzania

    WAZIRI KOMBO AKUTANA NA BALOZI WA CHINA NCHINI TANZANIA. Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Balozi Dkt. Mahmoud Thabit Kombo (Mb), 14 Julai, 2026 amekutana na Balozi wa Jamhuri ya Watu wa China nchini Tanzania Mhe. Chen Mingjian kwa mazungumzo yaliyolenga kuimarisha...
  17. Fbn

    JamiiForums Tanzania China imeongeza sheria ya PHD ila tanzania PHD hata wasio soma na waliopata F wanazo hapa.

    Elimu ya tanzania imekuwa jalala la wanasiasa watawala yani elimu wanazojipa mpaka imefanya nchi za wenzetu kuanza kuongeza masharti. Kwa nchi ya china sasa kama unataka kupata PHD inatakiwa kubuni kitu ambacho hakitakuwepo na kinaweza kusaidia nchi mpaka dunia ndio unapewa PHD. Huyu masuya na...
  18. Kichuguu

    JamiiForums Tanzania Serengeti Boys Waichapa China 2-0

    https://www.youtube.com/watch?v=AemOB_qdHo0 Pamoja na kukosa penati
  19. Funny boe

    JamiiForums Tanzania Kwa wanaoagiza bidhaa au wanaoishi China; hivi kuna bidhaa ambazo ni original kweli zinazotokea huko?

    Nimekuwa nikiona watu wengi wakizilalamikia bidhaa zinazotokea China kuwa ni feki na hazina ubora unaohitajika, je haya maneno ni ya kweli au kuna bidhaa baadhi ni original? Wajuvi wa mambo haya mtusaidie katika hili. Mad Max adriz de mbusii min -me
  20. X

    JamiiForums Tanzania China yatikisa Teknolojia ya Anga! Yaingia enzi ya Reusable Rockets

    Hatimaye leo 10 July, China imeandika historia nyingine angani! Roketi ya Long March 10B ilirushwa kutoka Hainan, na baada ya kutimiza kazi yake, booster ilirudi duniani kwa kutua wima kwenye jukwaa baharini badala ya kuharibika. Hii ni teknolojia ya roketi zinazotumika tena (reusable...
Back
Top Bottom