Gazeti la The Economist la Uingereza hivi karibuni lilitoa ripoti kuhusu filamu ya China ‘Karibu kwenye Mkahawa wa Dragoni’, ikisema China inatekeleza sera ya kidiplomasia ya Mkahawa wa Dragoni, maana yake ni kwamba China inazingatia zaidi mambo ya kiuchumi na maisha ya watu.
Ukweli ni...
Kila mtu ana mapenzi yake, me napenda sana sedans.
Kusema kweli hizi hapa ndio list ya sedans ninazozipenda.
1. Honda Accord 2023 au Insight 2022 (Japanese)
Hizi ndio cheaper option. Mil 20-40 pamoja na TRA unaweza kupata. Sema Accord iyo expensive.
Hybrid, New Technology, Reliable...
Mmawia tena nimeibuka mshindi pamoja na wale tuliokuwa/ tunao endelea kukubali sana Urusi dhidi ya USA.
Mwanzoni kabisa mwa Vita kati ya Urus na chawa wa USA nchi ya Ukraine nilisema au tulisema kuwa kwenye hii Vita Urus watatoka kidedea.
Leo hii tumeshuhudia kuwa Urusi kaibuka mshindi kwani...
Watu wengi mtandaoni wamekuwa wakipiga kelele wakiamini kuwa China au Marekani zinaweza kusimama peke yake bila kusaidiwa na mtu, au kwamba nchi hizi zinaweza kutengana kirahisi tu. Huu ni upofu wa kifikra unaoletwa na kukosa data na kutazama dunia kupitia vioo vya simu.
1. Kwa nini Marekani...
ANGALIZO
AGUZA=AGIZA
NIKICHOKIONA=NILICHOKIONA
HABARINI MA DADA WAJASIRIAMALI
JANA NIMESHUKA MIKOCHENI B NILIKUWA NAELEKEA MAENEO YA SHULE YA USHINDI KWA NYUMA
NILICHOKIONA NILIUMIA SANA NILIKUTA MADADA WAWILI WANALIA.MMOJA AMESAZA MAVUMBI VIBAYA SANA
BAADA YA MDA NA KUHOJI HAYA NDIO...
Wakati watawala wetu wanahangaika na kina Pipitida, Mwijaku na Dotto Magari Wachina wao wameuamua kuwatrendisha wanasayansi ili kuwahamasisha watoto na vijana wao kujikita kwenye Sayansi zaidi.
LEO KATIKA KUMBUKUMBU
03 Septemba 2024 — Ziara ya China na ushiriki FOCAC
Tarehe 03 Septemba 2024, Rais Dr.Samia Suluhu Hassan aliwasili Beijing, China, kwa ajili ya kushiriki Mkutano wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa FOCAC (China–Africa Cooperation).
▪︎ Hili ni tukio muhimu kwa kumbukumbu...
Takwimu zilizotolewa hivi karibuni na Mamlaka ya Nishati ya Kitaifa ya China zinaonesha kuwa, uwezo wa kuzalisha umeme kwa nishati ya jua nchini China umefikia kilowati bilioni 1.286, ukizidi uwezo wa kuzalisha umeme kwa makaa ya mawe kwa mara ya kwanza, na kuwa chanzo kikubwa zaidi cha umeme...
Unakuta Kuna Jamaa CCM akiongea, anasema 'Sisi tuko kama Wachina".
Pumbafu kabisa, Hivi ukiitazama Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu yà CCM Kuna mwenye Akili pale? Mtu ambaye anaweza kuleta Maono yake na yakafanyika kweli??.
Kamati imejaa watu mbumbumbu, Et Chatanda ?? Wasira, Samia, Kawaida... ...
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
MAOMBI YA VISA ZA CHINA KWA RAIA WA TΑΝΖΑΝΙΑ
Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki kwa kushirikiana na Ubalozi wa Jamhuri ya Watu wa China nchini Tanzania zimeendelea kutoa taarifa za mara kwa mara kwa umma kuhusu mchakato wa maombi ya visa za...
Kuanzia Agosti 19 hadi 21, Beijing ilipokea ugeni mzito kutoka nchi mbalimbali za Afrika. Ugeni huu ulikuja kuhudhuria Mkutano wa 7 wa Ushirikiano wa Vyombo vya Habari kati ya China na Afrika, ambao uliandaliwa na Idara ya Taifa ya Redio na Televisheni, Serikali ya Manispaa ya Mji wa Beijing, na...
China imeanza majaribio ya kutumia roboti kwa ajili ya shughuli za barabarani ikiwa ni pamoja na kuongoza magari. Hata hivyo roboti hao hawana mamlaka ya kumkamata mtu pale anapokosea au kukiuka sheria.
Maroboti hayo yamepelekwa hasa kwenye makutano yenye shughuli nyingi ya barabara katika jiji...
Video ya afisa wa polisi maalum wa China akiwasaidia watalii kupiga picha hivi karibuni imesambaa kwenye mitandao ya kimataifa ya kijamii. Jambo hili lilitokea wakati wa Sikukuu ya Kitaifa ya China mwaka jana. Wakati huo, Uwanja wa Agosti 1 huko Nanchang ulikuwa umejaa watu, na afisa mmoja wa...
Kanisa la Kilokole la Pentekost la Christ Embassy, chini ya uongozi wa Pastor Chris Oyakhilome, limezindua rasmi safu ya magari yanayotumia nishati ya umeme, ikiwa ni sehemu ya miradi yake ya kiteknolojia na viwanda.
Magari hayo yamewasilishwa kupitia njia rasmi za huduma hiyo, huku baadhi ya...
Chakula cha mawe" nchini China ni chakula cha kitamaduni kinachoitwa Suodiu (嗦丢), ambapo mawe madogo ya mtoni yanakaangwa na viungo kisha unanyonya ladha yake na kuyatema bila kuyameza. Chakula hiki kimepewa jina la utani kama "chakula kigumu zaidi duniani" kwa maana halisi ya neno kuliko...
China imezidi kuikalia kooni Marekani kwenye vita ya teknolojia ya AI hivi kwamba Marekani imeanza kuhofia kukosa ushawaishi na kuanza kuyapiga mikwara mataifa mengine duniani
Iko hivi: Kwa mujibu wa Reuters, Marekani inaandaa kuishinikiza takribani nchi 35 zinazohusishwa na mpango wake wa Pax...
Ndugu zangu habari yenu, Ninahitaji msaada wa kampuni isiyo na longo longo ya kusafirisha parcels kutoka China, Lengo ni kununua bidhaa toka Pinduoduo.
Nahitaji inayo kubali kusafirisha parcel ndogo ndogo.
Baadhi ya wanasiasa wa Marekani hivi karibuni walidai kuwekea vikwazo dhidi ya teknolojia ya Akili Bandia (AI) ya China, lakini wamekumbana na upinzani mkali kwanza kutoka kwa makampuni mapya karibu 200 ya Silicon Valley nchini humo, yakishirikiana na makampuni makubwa yakiwemo Meta, Nvidia, na...
Hivi ni lazima wafanyabiashara wote wakawa wanakimbilia china kufata mizigo yao?
Kwanini wengi hawakimbilii usa au europe kufata bidhaa na kuzileta nchini ilihali jeans saivi ya china dukani unaipata kwa 30k. Na jeans kama levi unaipata kwa kuanzia 40k kuendelea?
Tshirt pia nyingi unazipata...
Tazama jinsi roketi ya China ilivyolipuka muda mfupi baada ya kurushwa angani
Roketi ya China, Long March 7A, ilishindwa kuendelea na kulipuka wakati wa kurushwa kwake Agosti 10 huko Wenchang, Hainan, China.
Vyombo vya habari vya serikali viliripoti kuwa hitilafu hiyo ilitokana na "tatizo lisilo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.