Mpaka leo hii China bara hakuna uwakilishi wa rasmi wa Kanisa Katoliki la Roma, shughuli zao zinafanywa na "underground church" ambalo ni kanisa la mafichoni na lisilotambuliwa na serikali ya China. Kanisa Katoliki la Taiwan ndili linalotambulika rasmi kama kanisa la China japo serikali ya...
Standard ya kupima GDP kati ya China na Marekami ni tofauti
GDP ya China inatumia mfumo wa production au productive sectors. China wanaangalia hasa total output ya kila economic dept kama industrial production, mining, construction n.k minus imports.
Na GDP ya China huwa haihesabu...
Wachumi naomba mnisaidie, china now ni manufacturing super power, kuliko marekani. Lakini ukiangalia GDP ya china na marekani aisee gap ni kubwa mnoo.
Kwa tarifa za hivi Sasa US GDP inaenda $30t na china inaenda around $20t. Yaani tofauti ya almost $10t. Hizo data nimezitoa mtandaoni.
Kwa...
Kwa muda mrefu, betri zimekuwa chanzo kikuu cha nishati katika vifaa vyetu vya kila siku kama simu, kompyuta mpakato, na sensa mbalimbali. Lakini sasa, sayansi imevuka mipaka – kuna betri mpya zinazoitwa betri za nyuklia. Ingawa jina lake linaweza kuwatisha wengi, teknolojia hii inalenga kuleta...
Control ya raia iliyoko China ni kiwango cha kambi za mateso.
1. Ni taifa pekee kubwa duniani linalotumia time zone moja.
2. Ni taifa ambalo raia kutembelea jimbo lingine inabidi kupewa kibali na serikali, tofauti na hapo utakamatwa au hutapata baadhi ya huduma za kijamii.
3. Ni mojawapo ya...
CHINA imechukulia vikwazo vya MAREKANI Kama fursa tukio linalotueleza kuwa MAREKANI ALIKOSEA kuchanga karata zake na ushuru wake wa asilimia Zaid ya 230 kwenye bidhaa za uchina.
Kitu Dunia haikujua ni kwamba Kuna bidhaa nyingi Sana za kimarekani Hasa zile za mavazi na kielectronic huwa...
Mwanaume aliye kwenye picha anaitwa Han Junjia, dereva wa treni kutoka China.
Picha ya kwanza ilipigwa mwaka 1996, ikimuonesha akiwa amesimama mbele ya treni ya mvuke aina ya SY-class.
Picha ya pili ilipigwa miaka 26 baadaye, ambapo anaonekana akiwa mbele ya treni ya kisasa ya mwendokasi...
245% U.S. TARIFFS ON CHINA
This is not policy...this is punishment.
Here’s the raw truth:
1. Death Blow to Chinese Exporters:
A 245% tariff means most Chinese products become unsellable in the U.S. overnight. It’s like pricing them out of the market on purpose and that’s exactly the goal.
2...
Marekani imeongeza ushuru kwa baadhi ya bidhaa kutoka China hadi kufikia asilimia 245. Hii ni kutokana na ushuru wa kulipiza kisasi, ushuru wa bidhaa zinazohusiana na fentanyl, pamoja na ushuru wa ziada chini ya sheria ya kifungu cha 301.
Bidhaa kama magari ya umeme na sindano zimeathirika...
Donald Trump was re-elected as the 47th President of the United States of America with the promise of making America Great Again. It sounds wonderful right? It is true that over years American peoples have suffered a lot from rising costs of living, stagnated wages, rising housing prices and...
Kuelekea Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2025, ninapenda kuzungumzia kipengele kimoja kilichonivutia zaidi katika Ilani ya mwaka 2020-2025 ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA); Sura ya 16, Kifungu namba 16.1 Kipengele b (Ukurasa wa 95) ambacho kinasema:
"Katika kutimiza azma ya kujiendeleza...
Katika umri mdogo ambao wengi hujifunza tu kuhusu dunia kupitia vitabu na mitandao, Darren Jason Watkins Jr, maarufu kama IShowSpeed, amevuka mipaka na kufanya historia kwa macho yake mwenyewe.
Akiwa kijana mwenye ushawishi mkubwa mtandaoni, Ishow Speed amepata kulitembelea taifa la China na...
Kumekuwa na mjadala mkubwa kuhusu taarifa kuwa “China imetengeneza jua bandia”. Watu wengi wamedhani hii inamaanisha jua halisi linang’aa angani, linalotoa mwanga na joto kama jua tunaloliona kila siku. Lakini huu ni upotoshaji wa kisayansi unaotakiwa kusahihishwa.
Kwa kweli, kile kinachoitwa...
China imeonyesha kuchafukwa sasa wameingia kwenye Vita rasmi ya kibiashara sasa wanayanyoosha makampuni ya Marekani kitu ambacho kitasababisha mdororo wa kiuchumi na ukosefu wa ajira huko US.
The trade war:
China has ordered its airlines to halt all deliveries of Boeing jets and stop purchasing...
Mwanzoni nilikua nawaonea huruma sana wabongo wa kariakoo wakilalamika kwanini wachina wamejazana Kariakoo, na walizunguka media mbalimbali kuonesha ubaya wa wachina, kumbe siri wanaijua...
Wachina kule kwao bidhaa ni bei ndogo sana, wakawa wanashangaa kwanini wabongo wanajazana kuja kuchukua...
China imeunda Jua la Kwanza la Bandia duniani. Jua hilo la bandia linaweza kuangaza nchi yao nzima na kugeuza Usiku kuwa Mchana. Tayari wamelijaribu mara mbili na limefanya kazi kikamilifu. Jua hilo la bandia huchomoza wakati wa machweo na kuzama wakati wa mapambazuko.
Kupitia jua hili bandia...
https://www.instagram.com/p/DH3KEkaCXDN/?igsh=NW16cTdtZzR5dHE3
My Take
Kama China wameanza kuamini uwepo wa Mungu ,wale wanasemaga hawaaminu watasimama nani?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.