Shirika la Utafiti la Pew la Marekani hivi karibuni limetoa ripoti ikionesha kwamba, ikilinganishwa na mwaka 2023, Wamarekani wenye maoni chanya kuhusu China wameongezeka maradufu, na kufikia asilimia 27.
Ikilinganishwa na wakati China na Marekani zilipokuwa na uhusiano wa karibu, kiwango hicho...
Katika hii ziara ambapo Putin ameenda China naona mambo hayakuwa kiofisi tu kama Trump alivyo karibishwa, Xi na Putin wameonekana wakipika pamoja vyakula vya asili vya China, wakinywa pombe , na wamekula pamoja, wamesafiri pamoja kwa treni ya mwendokasi, wameangalia michezo pamoja.
Nimekaa hapa...
Asalam waleku
Wandugu waJF hapa nataka nijulishe kwamba kule china mambo yameenda ndivyo sivyo.
Kwa maana mapatano ya ajenda zote yapo PENDING
Kwa hali ilikuwa kwamba ni mbinu za kimkakati ziliandaliwa kuingia na devices zao kuiba some information na kuzi export kwenye mashine zao ila ngoma...
The top 5 largest banks world largest banks by assets:
1. Industrial and Commercial Bank of China (ICBC) | China
Assets: $7.30 trillion
2. Agricultural Bank of China | China
Assets: $6.80 trillion
3. China Construction Bank | China
Assets: $6.20trillion
4. Bank of China | China...
China imeongeza sana uzalishaji wa umeme wake tangu mwaka 2014.
Katika kipindi cha miaka 10, uzalishaji wa umeme umeongezeka kwa karibu 74%, jambo ambalo ni ongezeko kubwa sana.
Mwaka 2014, China ilizalisha takriban 5,795 TWh ya umeme, na tayari ilikuwa mbele ya Marekani. Kufikia mwaka...
Siku zote tunasema kuwa China haiwezi kukubali kuingia uhasama na USA, jambo ambalo linaweza kuathiri uchumi wa China kwa kiasi kikubwa sana. Kwa nchi ya China, kipaumbele chake kikubwa ni uchumi wa China. Nchi ikiwekewa vikwazo, China inawahi haraka ili kujipatia bidhaa kwa bei nafuu isiyo na...
👉 China imeonekana kutumia mbinu ya kipekee ya kidiplomasia kwa kubadili jina la Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani, kuwa "Marco Lu" ili kurahisisha safari yake ya kuingia nchini humo.
👉 Hatua hiyo imeibua mjadala mkubwa kimataifa kuhusu namna siasa na diplomasia zinavyoweza kubadilishwa...
Feminist na malalmiko katika mkutano kati ya Rais wa China Xi Jinping na Rais wa Marekani Donald Trump. Kwa nini hawana wawakilishi ?
Je, anayo hoja azingatiwe au apuuzwe ?
https://x.com/i/status/2054907301652287954
Huyu feminist ni nani ? Hii hapa biography yake pitia.
Trump amewasili.
Mei 13, kutokana na mwaliko wa rais Xi Jinping wa China, rais Trump aliwasili Beijing kwa ajili ya ziara ya siku tatu nchini China, ambayo ni ziara ya kwanza ya kiserikali nchini China katyika wa muhula wake wa pili.
Katika miaka ya hivi karibuni, uhusiano kati ya China na...
Kila mara Marekani inaposhindana na China kwenye vita vya kiuchumi na kiteknolojia China inakuwa na karata za ushindi dhidi ya Marekani.
Hasa kupitia uwezo wake wa kusafisha na kuchakata (processing/refining) madini muhimu yanayotumika kwenye teknolojia, silaha, magari ya umeme, na vifaa vya...
Wanaukumbi.
Rais wa Marekani Donald Trump anatua Beijing, na pamoja naye analeta Wakurugenzi Wakuu wafuatao kuomba "makubaliano" na Rais wa China Xi Jinping:
– Elon Musk, Mkurugenzi Mtendaji wa Tesla na SpaceX
– Jensen Huang, Mkurugenzi Mtendaji wa Nvidia
– Tim Cook, Mkurugenzi Mtendaji wa...
Kwa China kila goti litapigwa. Trump yuko safarini kuelekea China kukutana na the most powerful person in the world Xi Jinping.
Trump amebebana na CEOs wa makampuni makubwa ya Marekani kwenda China, haijawahi kutokea. This is absolutely insane.
Elon Musk, Tesla and SpaceX CEO
Jensen Huang...
Kampuni ya Samsung hivi karibuni ilitangaza kuwa itaacha kuuza vifaa vyake vyote vinavyotumika nyumbani nchini China. Chapa ya Samsung ilikuwa alama ya vifaa vya kielektroniki vya nyumbani vya hali ya juu na vyenye ubora wa juu zaidi, lakini sasa imeshindwa kabisa na kampuni za ndani za China...
Nisiongee sana
Sababu ni kwamba Waziri Mkuu Netanyahu kapata kisingizio kwamba bila china wangeweza kumaliza vita Iran
Wanamshutumu kwamba China wanatoa msaada wa picha za satelite kuonyesha maeneo ya kupiga
Wanashutumu kwamba China wanawapa Iran makombora ya hypersonic missile
Stay tuned
Tangu 2008 serikali ya Marekani kupitia jimbo la California, iliidhinisha ujenzi wa California High Speed Rail (San Francisco–Los Angeles) mpaka leo miaka 18 mradi haujakamilika. Zimejengwa km 192 tu kwa zaidi ya USD 100 billion.
USD 100 billion China wanaweza kujenga km 1600-4000 ikitegema...
Dunia yabaki midomo wazi! Hii si mito ni mfereji ya China! Maajabu yanayowashangaza wahandisi wengi Duniani.
Mifereji yao ni mikubwa kuliko mito mingi ya asili Afrika. Ukiona utadhani ni bahari zinazopita katikati ya nchi.
China mpaka sasa imetumia zaidi ya dola bilioni 10 kujenga mfereji...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.