teknolojia

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Fbn

    JamiiForums Tanzania Tanzania ni ngumu sana kuimiza teknolojia ambazo kuungwa mkono hata serikali inaweza kugoma ndio maana tunaishia kukimbiwa na wazawa

    Shida ni elimu zetu ndio maana napata tabu sana elimu kuandika ila kwenye sayansi na teknolojia na siasa hapa unidanganyi. Kuna marehemu dada mmoja kipindi cha magufuri aliwahi kufanya research na kugundua ni kama gonjwa ila serikali ili mfanyia figusi na kufuzwa ila alichukuliwa na wenzetu...
  2. R

    JamiiForums Tanzania Ijue teknolojia ya NAS (Network Attached Storage), mbadala wa flash drives na cloud storage

    NAS STORAGE SERVER Hebu wazia NAS(Network Attached Storage) kama "Hard Disk" kubwa, yenye akili, na nguvu nyingi inayokaa nyumbani au ofisini kwako, lakini badala ya kuichomeka kwenye kompyuta kwa kebo/wire, unaunganisha kwenye intaneti au router yako (Wi-Fi). Kifupi cha NAS ni Network...
  3. Fbn

    JamiiForums Tanzania Hivi mjawahi kufahamu teknolojia za urusi ni complicated ukilinganisha na Ulaya na USA,Japan, China ndio maana zimefanikiwa kukubarika

    Leo nilikuwa na rubani tukipata bia nyumbani. Ananiambia hakuna mtu mwenye akili timamu ukaweza kumpa ndege za urusi ambazo zimejaa saa kila kona kiufupi ni vipima vyilivyo kwenye mfumo. Nikabidi niangalie ndege na teknolojia kupitia Google.Ni kweli kabisa yani ndege zao mpaka marubani...
  4. Mjomba Malume

    JamiiForums Tanzania In the Year 2525: Wimbo wa 1969 Uliotabiri Hatari ya Teknolojia kwa Mwanadamu

    Mwaka 1969, Zager and Evans walitoa wimbo uitwao In the Year 2525 ambao uligeuka kuwa hit kubwa duniani. Melody yake ya kutisha pamoja na lyrics zake za kinabii kuhusu mustakabali wa mwanadamu ziliwavutia wengi kiasi cha kushika namba moja Marekani na Uingereza, huku ukuuza zaidi ya nakala...
  5. Teknolojia ni Yetu sote

    JamiiForums Tanzania Google yawapa nguvu content creators wasiojulikana!

    Google imeamua kuwapa Nguvu waandaji maudhui wa mitandaoni 😲. Kama ulikua unasoma tu profile za watu maarufu ulimwenguni kupitia Wikipedia Sasa ni zamu ya Content creator bhana 👋. 🔍 Google imezindua rasmi Mfumo mpya unaitwa Creator Search Profiles!, ambapo watengeneza maudhui (Creators)...
  6. n00b

    JamiiForums Tanzania Wanajaribu kushindana na Teknolojia, wataweza? Hotuba ya Pavel Durov na Somo kwa Tanzania yetu ya VPN!

    Wakuu kwema? Kama wewe ni mtumiaji wa mitandao hapa nchini, basi huna budi kutenga dakika 5 kusikiliza au kusoma uchambuzi wa hotuba ya hivi karibuni ya Pavel Durov (Mwanzilishi na CEO wa Telegram) kwenye mkutano wa Oslo Freedom Forum https://youtu.be/1Yq_5aDdJ24 Durov ametoa hotuba ya...
  7. alpha walk

    JamiiForums Tanzania Huduma za uhakika za ulinzi

    Kulinda kile unachokithamini ndiyo kipaumbele chetu. 💯 Chagua ubora, chagua teknolojia, chagua amani ya moyo. 📞 0622667749 #SmartEyeSecurityServices #YourSafetyOurPriority #SecurityExperts #SmartProtection
  8. M

    JamiiForums Tanzania CCM na vita ya Upepo Teknolojia imekuwa kasi kuliko ukandamizaji, Kwenye video hii umemtambua nani?

    Niliwahi kupost kuwa kukamata mtu kwa sababu ya anachopost mtandaoni ni kufukuza upepo, Tazama namna AI imekuwa
  9. Victor Mlaki

    JamiiForums Tanzania Jamii ya binandamu kusaidiwa kufikiri na akili mnemba(AI) siyo tu ni suala la maendeleo na teknolojia ila ni janga jingine kubwa la kibinadamu

    Maendeleo ya sayansi na teknolojia ni hatua muhimu sana kwa ustawi wa binadamu na ni njia rahisi ya kufikia malengo endelevu ya kidunia "'sustainable development goals" lakini lipo swali la kujiuliza nyuma ya yote hayo. Sayansi na teknolojia imechangia urahisishaji wa maisha ya binadamu kuliko...
  10. L

    JamiiForums Tanzania Mkulima wa Kenya atumia teknolojia ya China kupambana na ugonjwa wa mnyauko wa nyanya

    Kwa karibu mwaka mmoja, Hellen Rono, mkulima kutoka Kaunti ya Bomet magharibi mwa Kenya, amefanikiwa kuzuia ugonjwa wa mnyauko wa nyanya kwa kutumia teknolojia ya kupandikiza iliyoanzishwa kupitia ushirikiano wa kilimo kati ya China na Kenya, baada ya miaka mingi ya kuona mazao yake yakiharibika...
  11. L

    JamiiForums Tanzania CCM Tulimuacha Msigwa ajikaange Kwa Mafuta Yake Mwenyewe na Ndio Maana tulimzungusha Maeneo Mbalimbali Nchini. Ogopa Mungu na Teknolojia

    Ndugu zangu Watanzania, CCM ni chama chenye akili kubwa sana ,ni chama chenye uwezo mkubwa sana wa kijasusi na mbinu za kijasusi na kijeshi . CCM ndio Maana inaitwa chama kiongozi Barani Afrika,ndio maana imeendelea kuongoza Taifa letu kwa miaka mingi na itaendelea kuongoza Taifa hili Mpaka...
  12. X

    JamiiForums Tanzania China yaingia rasmi soko la memory chip (DDR5) na gaming GPU. Samsung, SKhynix, Nvidia, Micron na AMD tumbo joto

    Hivi karibuni China imeandika historia mpya ya teknolojia duniani. Kwa miaka mingi Marekani, South Korea na Taiwan zilikuwa The Big 3 Cartel walitawala GPU na memory chips. Wakiamua supply, wakipandisha bei, na dunia nzima ikalazimika kufuata. Sasa China imevunja ukuta huo. Enzi ya kutegemea...
  13. Fbn

    JamiiForums Tanzania Hivi kama sayansi na teknolojia zingeweza kuwa afrika ingekuwaje kama jambo la kukosolewa na ukweli kwenye mambo ya maisha afrika ni hatari

    Hii mada nitakuwa na rudia sana. Nimeona kuna mdaharo fulani shaikh fulani kaenda kulazima anacho kiamini yeye ,basi jamaa baada ya kumpa fact tena anatoa kwenye kitabu anachokitumia kilicho tokea yule sheikh alimuita chizi na watu wamuondoe. Hii ni kwa Afrika ambapo mambo kama sayansi na...
  14. University of Dodoma (UDOM)

    JamiiForums Tanzania Mafunzo ya AI na DATA analytics Monitoring and evaluation in local government

  15. X

    JamiiForums Tanzania China yaiburuza Marekani kwenye vita vya madini muhimu kwenye ulimwengu wa teknolojia

    Kila mara Marekani inaposhindana na China kwenye vita vya kiuchumi na kiteknolojia China inakuwa na karata za ushindi dhidi ya Marekani. Hasa kupitia uwezo wake wa kusafisha na kuchakata (processing/refining) madini muhimu yanayotumika kwenye teknolojia, silaha, magari ya umeme, na vifaa vya...
  16. N

    JamiiForums Tanzania Je, ni halali kwa vijana wa leo (Gen Z) kuwekeza zaidi katika teknolojia na starehe kuliko kuwekeza katika kilimo na biashara?

    Kumekuwa na ongezeko kubwa la vijana wa kizazi cha 2000 (Gen Z) kuelekeza nguvu, muda, na rasilimali zao katika starehe na teknolojia; ikiwemo mitandao ya kijamii, gaming, mavazi, kamali(kubeti), na ajira za mtandaoni, badala ya sekta za uzalishaji kama kilimo na biashara ambazo zilikuwa uti wa...
  17. N

    JamiiForums Tanzania Mdau je, ni sahihi kumruhusu mtoto kutumia AI kama nyenzo ya kujifunzia?

    Katika ulimwengu unaoendeshwa na kasi ya maendeleo ya teknolojia, matumizi ya Akili Unde (AI) yameanza kuwa sehemu ya maisha ya kila siku, ikiwemo katika malezi na elimu ya watoto. Wazazi na walezi wanakabiliwa na uamuzi muhimu: je, ni sahihi kumruhusu mtoto kutumia AI kama nyenzo ya...
  18. Teknolojia ni Yetu sote

    JamiiForums Tanzania 𝗛𝗶𝗶 𝗮𝗽𝗽 𝗸𝗶𝗯𝗼𝗸𝗼 𝗶𝗻𝗮𝗳𝘂𝘁𝗮 𝗸𝗶𝗹𝗮 𝗸𝗶𝘁𝘂 𝗸𝘄𝗲𝗻𝘆𝗲 𝘀𝗶𝗺𝘂 𝘆𝗮𝗸𝗼

    Tunajua simu zetu zinakuja na apps ambazo haziwezi kufutika sio 😂, Sasa 2026 bhana hakuna kinachoshindikana aiseeh. Leo nakupa app inayofuta kila kitu kwenye simu yako haijalishi hiyo app imekuja na simu au umeikuta tu hata zile ambazo ume download zinakataa kufutika ila kupitia hii apps...
  19. Teknolojia ni Yetu sote

    JamiiForums Tanzania 𝗪𝗵𝗮𝘁𝘀𝗮𝗽𝗽 𝗸𝘂𝗹𝗲𝘁𝗮 𝗰𝗹𝗼𝘂𝗱 𝘀𝘁𝗼𝗿𝗮𝗴𝗲 𝘆𝗮𝗸𝗲 𝘆𝗮 𝗸𝘂𝗵𝗶𝗳𝗮𝗱𝗵𝗶 𝗱𝗮𝘁𝗮 𝘇𝗮𝗸𝗼 𝘇𝗶𝘀𝗶𝘄𝗲𝘇𝗲 𝗸𝘂𝗽𝗼𝘁𝗲𝗮

    Wengi tumezoea ukitaka kuhifadhi data zako zilizopo kwenye Whatsapp lazima uwe na Google Drive au icloud sio 🫢. Jambo linalopelekea ukipoteza email ndo basi Tena huwezi kuzipata data zako kirahisi, Sasa jambo ilo linakwenda kufa. Kwani watumiaji wengi wa Android wanatumia Google drive kuweza...
  20. Thecoder

    JamiiForums Tanzania Mabadiliko ya Teknolojia na Nafasi ya AI katika Software Development.

    Kadri mabadiliko ya teknolojia yanavyozidi kushika kasi, ndivyo yanavyozidi kuleta athari chanya au hasi katika nyanja mbalimbali za maisha ya binadamu. Katika uwanja wa software development, mabadiliko haya yamejidhihirisha wazi wazi, hasa kupitia ujio wa Artificial Intelligence (AI) na ndio...
Back
Top Bottom