Walichokifanya China hii ni zaidi ya Mapinduzi ya Teknolojia kwenye huu Ulimwengu wa Dunia,
Kampuni ya kutengeneza Maroboti Toka China XPENG Robotics imeunda roboti mwenye vinasaba vya binadamu.
Angalia video yake sio poa 👇
Kutokana na China kuwa na teknolojia kubwa hasa katika utengenezaji wa bidhaa za high technology imeanza kuwekeza viwanda katika mataifa ya Ulaya kutokana na mataifa hayo kuwa nyuma katika teknolojia hizo.
Hatimaye EU imeona hii ni fursa ya wao kujifunza kutoka kwa Wachina. Ila wanapokosea...
Wakati mwingine tunapigwa changa kwa kujazwa ujinga.
Israel inaaminika iko juu kiuslama na kijeshi. Je ilikuwaje ikashindwa kuwaokoa mateka wake kwenye eneo dogo kama hili tena lisilo na nchi wala jeshi?
Wazungu wamejua kututenda kwa kutujaza ujinga na woga.
Hata wewe unaweza kuproove.
1. Tumia app ya kuedit picha kama Photoshop, unaweza tumia ya online photopea.com
2. Download logo ya chatgpt
3. weka logo 2 za Chat GPT ( Duplicate )
4. Logo ya kulia ipindue juu kwenda chini (Flip Vertical)
Muonekano mpya
5. unganisha...
Oli otya leero?
Watu wengi tunatumia simu katika maisha yetu ya kila siku, kuna watu ambao tunawasiliana nao mara kwa mara lakini wengine hulazimika kutafuta namba zao kwenye contacts au calls record.
Sasa hapa hakupa njia rahisi ambayo unaweza kumpigia tu bila njia yote hiyo.
Nenda kwenye...
Habari wadau wa Jamiiforum! Mimi ni tech enthusiast hapa Dar, na leo nataka kushare thoughts zangu kuhusu technologies zinazotawala Tanzania na how they can help you kufind job au improve in your current one. Kama unajua, global tech na local one ni different sana, especially in developing...
Wakuu,
Teknolojia imeleta mabadiliko makubwa sana ikiwemo kwenye mawasiliano ikiwemo Web 2 ambayo inarahisisha watu kuchangamana na kutoa maoni yao katika mambo kadha wa kadha.
Kupitia maendeleo haya tunategemea kuona wananchi wakitoa maoni yao kwa uhuru na kushiriki katika mijadala mbalimbali...
Akizungumza leo Septemba 5, 2025 mgombea urais kupitia CCM Samia Suluhu Hassan akiwa, Tukuyu (Rungwe) mkoani mbeya katika mwendelezo wa kampeni za chama hicho amesema ''Ni hakika lakini hatutoi kutoka Wilaya moja kwenda nyingine, tunatoa ndani ya Wilaya hiyo hiyo,,,siyo aibu kwa Chama...
Na Mwandishi Wetu.
KAMPUNI ya Mati Super Brands Ltd kupitia tawi lake la Mati Technology imezindua teknolojia mpya ya ndege nyuki (drone) zinazotengenezwa nchini, zenye uwezo wa kuboresha sekta ya kilimo na huduma nyingine za kijamii.
Mkurugenzi Mtendaji wa Mati Group of Companies, David...
Hizi ni Myth 7 za Teknolojia Zinakupotezea Pesa Nyingii Mno
Je, umewahi kuambiwa kwamba lazima ununue cable ya bei ghali ili kupata picha bora kwenye TV yako? Au kwamba kamera yenye megapixel nyingi ndiyo bora zaidi? Ukweli ni kwamba, kuna imani potofu nyingi kwenye teknolojia ambazo...
IoT ni nini?
Internet of Things (IoT) ni teknolojia inayounganisha vifaa mbalimbali kwenye mtandao ili viweze kuwasiliana, kubadilishana taarifa, na kufanya kazi bila uangalizi wa moja kwa moja wa binadamu. Hii inahusu sio tu simu na kompyuta, bali pia friji, magari, mashine za viwandani...
Quantum Computing ni nini?
Tofauti na kompyuta za kawaida tunazotumia sasa (classical computers) ambazo zinategemea bits (0 au 1), Quantum Computers zinatumia qubits ambazo zinaweza kuwa 0 na 1 kwa wakati mmoja kupitia kanuni za Quantum Superposition.
Kwa lugha rahisi, kompyuta ya kawaida...
Hawa watu tunawachungulia wa kawaida sana lakini ni watu muhimu katika mifumo yetu iwe taasisi mbalimbali na wanajua taarifa zetu wakiamua kutoa siri zetu hawashindwi 🤣🤣🤣🤣🤣🤣wanajua hadi kwenye simu yako uwa unachati na nani.....? Nani mchepuko wako.....?
Habari wana JF.
Tumesikia theory nyingi kuhusu namna gani pyramid zilijengwa hasa naongerea zile wanaita great pyramid of giza
Hizi
Kuna wakati huwa naamini ata hicho kizazi kinachosemekana kimejenga hizo pyramid na wao pia walizikuta.
Nashawishika kusema ivo maana hakuna maandishi yoyote...
Kijana anaweza kukaa ndani siku nzima bila kutoka kwenda nje kujichanganya, tena sio nje tu hata humo humo ndani ya nyumba hatoki kujichanganya na wenzake.
Laptop na simu zimekuwa bei rahisi sana na zenye teknolojia ya juu sana, Internet zimeshuka sana bei ukiwa na elfu 70 unatumia internet...
Mamlaka ya Afya ya Mimea na Viuatilifu Tanzania (TPHPA) imezindua teknolojia mpya ya kisasa inayotumia kipimo cha DNA kubaini magonjwa ya wanyama na binadamu, visumbufu vya mazao, na kutoa majibu ya kitaalamu kwa uchambuzi wa kiuchunguzi (Forensic Analysis).
Akizungumza na wanahabari jijini...
Wakati mabadiliko ya kutoka mawimbi ya midwave na short wave,tuliaminishwa kwamba Frequency modulation (FM) itakuwa bora na mkombozi wa wapenzi wa redio.
Ninakubali huenda kwa watu wa miji mikbwa kama Arusha, Mwanza ,Dar , na Dodoma wanaweza kuwa wanasikia vizuri kwa utulivu vituo vingi vya...
Ukikaa ukatafakari kwa nchi masikini kama Tanzania ambayo sio tu ipo nyuma Ila imekwama kwa kila nyanja kuanzia kisiasa ,kiuchumi na kijamii.
Sasa kuna sababu gan ya kuwa na idadi kubwa ya wabunge ambao unasikia kuwa Kazi zao ni kuwawakilisha wananchi.
Mimi nimefatilia sana siasa Ila ukweli...
Habari wanadau,
Naandika kwa tumaini kubwa kuwa wote tunaendelea vizuri. Ni mchana na kuna kajoto hapa Morogoro. Nashukuru Mola kwa nafasi nyingine ya kupigana. Tuendelee kupambana, kwani iko siku.
Mwezi Mei mwaka 2018, nilikaribishwa na mwandishi mmoja maarufu ambaye alikuwa ameombwa na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.