habari

  1. L

    JamiiForums Tanzania Kusaga TV kwa sasa Hana mpinzani kwa habari za matukio na kijamii jijini Arusha

    Nimekuwa namfuatilia Sana kwenye platform ya TikTok na YouTube...huyu jamaa nimemkubali Sana kwenye habari za MATUKIO ya kijamii ya hivi karibuni hususani MATUKIO mawili yaliyotokea hivi karibuni ya Kiongozi wa Serikali kumpa maua yake na lile tukio la Mama mpita njia akiwakataza wananchi...
  2. R

    JamiiForums Tanzania JF ina raha yake! Unapata habari yoyote unayoihitaki duniani hasa baada ya kifunguliwa/ kuifungua, maana vpn kilikuwa ni kipengere

    ASANTE Maxence Melo and Team! Raha tupu!
  3. BLACK MOVEMENT

    JamiiForums Tanzania Page ya Russian Today (RT) haina habari ya ujio wa Rais Samia. Jamaa wanatudharau pia?

    Hii hapa page yao na habari zao muhimu. Hapo hakuna habari. Pia hapa.
  4. idiomer

    JamiiForums Tanzania Hapa kwetu habari za kila siku ni ajali labda na teuzi. Wenzetu ni ubunifu na tafiti za kusaidia dunia

    Je hili mamlaka inaliona au ndio utamaduni wetu.
  5. Pascal Mayalla

    JamiiForums Tanzania Be The First To Know: Habari Njema Toka Vatican, Litania ya Bikira Maria: Imeongezwa Vifungu Vitatu vya : Huruma! Matumaini na Faraja!.

    Wanabodi, Hii ni ile the JF Advantage of "Be The First To Know", kuna habari njema kutoka Vatican City, ile sala ya Litania ya Bikira Maria ambayo huwa inasomwa kwenye Jumuiya Ndogo Ndogo zote za Katoliki kwa mwezi mzima wa May na October, imeongezwa vifungu vipya vitatu vya Huruma! Matumaini...
  6. U

    JamiiForums Tanzania Naombeni kazi, ndani ya miezi miwili nipate milioni 1

    Niende kwenye mada samahani Mimi niko Dar pls nahitaji kama kuna mtu anaweza kunisaidia kazi au kibarua nataka zile kazi ngumu lengo nataka nimake ndani ya miezi miwili nipate milioni moja so kama kuna mtu anaweza kunipa connection nitatoa hela ya maji pindi tu nikianza kazi nataka kazi...
  7. Blasio Kachuchu

    JamiiForums Tanzania JAB Yasema Uhuru wa Habari Uende na Uwajibikaji

    Na Mwandishi Wetu DAR ES SALAAM — Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Bodi ya Ithibati ya Waandishi wa Habari (JAB), Wakili Patrick Kipangula, amesema uhuru wa uhariri ni nguzo muhimu katika taaluma ya habari na unapaswa kulindwa ili vyombo vya habari viweze kutekeleza majukumu yake kwa weledi...
  8. tucker carlson

    JamiiForums Tanzania Rais wa Senegal atoa msamaha kwa Mwandishi wa Habari Rene Capain Bassene aliyekuwa amehukumiwa kifungo cha Maisha jela

    Rais wa Senegal ametoa msamaha kwa mwandishi wa habari, Rene Capain Bassene, aliyekuwa amehukumiwa kifungo cha maisha jela kuhusiana na mauaji ya watu 14 yaliyotokea mwaka 2018 katika mkoa wa Casamance. Mnamo Januari 2018, watu 14 waliokuwa wakikata mbao (loggers) walivamiwa na kuuawa katika...
  9. de Gunner

    JamiiForums Tanzania Kukata Mawasiliano na Familia: Miaka Haina Habari

    Imenishangaza kuona mtu anaondoka kwao, gafla anakata mawasiliano. Inapita hata miaka bila wao kujua yuko wapi, anafanya Nini. Ujasiri wa namna hii sio wa kawaida. Ila pia inanifanya nifikiri kuhusu familia, malezi, tamaduni na utandawzi. Kweli zama zimebadilika.
  10. Roving Journalist

    JamiiForums Tanzania DC wa Chakechake, Zukhra: Wanahabari acheni woga, andikeni habari zenye tija

    Waandishi wa Habari wametakiwa wasiwe waoga bali waendelee kuandika habari zenye ukweli na zenye kuzingatia maadili, ambazo zitaleta maslahi kwa Umma. Nasaha hizo zimetolewa na Mkuu wa Wilaya ya Chakechake, Zukhra Mgeni Othman wakati akizungumza na wandishi pamoja na wadau wa habari katika...
  11. M

    JamiiForums Tanzania Shinyanga: Gari lililokuwa limebeba Waandishi wa Habari lapata ajali

    Gari la Msafara wa Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga limepata ajali eneo la Usanda wilaya ya Shinyanga barabara ya Tabora - Shinyanga, wakati likikwepa gari aina ya Toyota Harrier na kuingia kwenye mtaro. Taarifa za awali zinaeleza kuwa watu watano wamejeruhiwa katika ajali hiyo akiwemo Mwandishi wa...
  12. UMUGHAKA

    JamiiForums Tanzania Kwasasa ni Arsenal na Chadema ndiyo Habari ya mjini,Nyie wengine subirini kwanza!

    Nawashukuru sana Arsenal baada ya miaka 22 kusubiri hadi kuwa mabingwa wa kombe lenye hadhi kubwa ulimwenguni la EPL (ENGLISH PREMIER LEAGUE) Nimefurahi mnooooo! Arsenal imechukua ubingwa wakati ambao Chadema wanaenda kuwa mabingwa na viongozi wakuu wa nchi ya Tanzania Ahsante Chadema...
  13. C

    JamiiForums Tanzania Humu ukisoma habari mchanganyiko unachanganyikiwa akili

    ukipita unakutana na anonymous anaeleza kero, ukishuka kidogo unakuta luca anasifu, ukishuka unakutana na story za kina binti wa zamani, ukishuka chini unakutana na habari za ukraine binafsi huwa nikipitia new posts hua kichwa kinachanganyikiwa sana
  14. BigTall

    JamiiForums Tanzania PEMBA: Waandishi wa Habari watakiwa kukaa karibu na Watafiti ili waibue matatizo ya Jamii

    Wandishi wa Habari wametakiwa kuzitumia Tafiti wakati wanapoandika habari zao, ili kuibua changamoto zinazoikabili jamii na kupatikana kwa ufumbuzi wa jambo husika. Ushauri huo umetolewa na commissiona wa ufuatiliaji na tathmini kutoka Tume ya Mipango Zanzibar zuhura Mohd Abdallah kwa niaba...
  15. K

    JamiiForums Tanzania From the Pitch to the Pillars of Power: Evaluating the Mismatch of Media Scrutiny in Tanzania

    This critique originates from the deeply frustrated perspective of an ordinary citizen—a passionate observer who is tired of watching immense intellectual talent and public influence squandered on sports debates while vital national assets are bargained away in silence. Day after day, Tanzanians...
  16. JOH CARLOS

    JamiiForums Tanzania Habari kwa wafanyabiashara na ma-contractors!

    Je, unatafuta namna ya kuomba zabuni za serikali na taasisi mbalimbali kupitia mfumo wa NeST bila makosa? Usipoteze fursa ya kushinda tender kwa sababu ya makosa madogo ya kimfumo au upungufu wa nyaraka. Sisi tunakuhakikishia huduma bora ya: Kuandaa Documents Zote: Tunasaidie kuandaa nyaraka...
  17. R

    JamiiForums Tanzania Msigwa: Mimi ndiye Mwandishi wa habari wa kwanza Tanzania kutuma stori kwa Internet

    Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo ambaye pia ni Msemaji wa Serikali, Gerson Msigwa akifanya mahojiano na Bongo FM leo Mei 15, 2026 ameeleza namna alivyopambana wakati anafanya kazi na Radio Tanzania Mkoa wa Songea
  18. R

    JamiiForums Tanzania Jitu kama hili halina habari na Liberation struggles za Tanganyika. FLUINISHING

    Kilichotuumiza ni FLUINISHING
  19. R

    JamiiForums Tanzania Askofu Nzigila: Vyombo vya habari vya kanisa tangazeni ukweli, Ukweli utabaki kuwa kweli hata watu wakiukataa

    Vyombo vya habari vya Kanisa Katoliki vimetakiwa kusimamia ukweli na kuepuka kujiingiza katika mtego wa kusambaza habari za uongo au zinazopotosha ukweli kwa maslahi binafsi na kutafuta umarufu wa kupata wasikilizaji na wasomaji au fedha. Wito huo umetolewa na Mwenyekiti wa Kurugenzi ya...
  20. Nyankurungu2020

    JamiiForums Tanzania Rais Samia hana washauri? Habari ya kupata Katiba Mpya inahitaji elimu ya miaka mitatu inatoka wapi? Tume ya Jaji Kisanga na rasimu ya Jaji Warioba?

    Nimeshangaa kusikia anasema eti ili mabadiliko ya katiba mpya wananchi wanatakiwa kupata elimu kwa miaka mitatu . Wajue nini kinafaa ndani ya katiba hii ya sasa na nini hakifai. Iliundwa tume ya Jaji Kisanga mwaka 1998 ikakisanya maoni ya Wananchi kupitia White paper. Serikali ya CCM chini ya...
Back
Top Bottom