Rais Samia Suluhu ameagiza Mawaziri kusimamia fedha za UVIKO-19 ili ziweze kutumika vizuri kwa kuwa mwisho wa matumizi yake ni Juni 2022, kama hazitatumika kwa 90% basi fedha zijazo kwa ajili ya miradi hiyo hazitapatikana au zitapungua.
-
Amesema "Bado nasoma kuna tenda zinacheleweshwa TAMISEMI...
Afrika iko kwenye kipindi cha mpito kutoka kuwa na marais wanaume kwenda Marais wanawake. Baada ya Mama Sarif wa Liberia sasa ni Mama Samia wa Tanzania. Rais Samia na Rais Sarif ndio litmas test kwa wanawake wote barani Afrika kuona kama wanawake wanaweza kuwa marais au hapana.
Kenya kuwa na...
Rais Samia Suluhu Hassan yupo Mkoani Tabora kwa ajili ya kushiriki Ufunguzi wa Barabara ya Nyahua – Chany, leo Mei 17, 2022.
Rais Samia ameanza kuongea
=====
RAIS SAMIA SULUHU HASSAN
Lengo la Serikali ninayoiendesha inalenga kujenga miundombinu ya barabara na madaraja ili kuiunganisha...
Ni muendelezo wa Mama kujali wanae,baada ya kuwapa kicheko wafanyakazi wa Umma sasa ni zamu ya Wamachinga.
Rais Samia atatoa shilingi Mil.10 kwa Machinga kila Mkoa,hongera mh.Rais Kwa kuupiga mwingi kama Benzema.
Ni wakati sasa mh.Rais awakumbuke na Madiwani na Wenyeviti wa...
Rais wa Marekani Joe Biden amrudhia ombi la Waziri wa Ulinzi Lloyd Austin lq kuidhinisha kurejeshwa kwa wanajeshi wa Marekani nchini Somalia kupambana na Al Shabab na kubatilisha uamuzi wa mtangulizi wake Donald Trump mwaka jana wa kuondoa karibu vikosi vyote vilivyokuwa huko.
Kabla ya Trump...
ALICHOFANYA RAIS SAMIA KWA WAFANYAKAZI NI ZAIDI YA KUUPIGA MWINGI.
Na Bwanku M Bwanku.
Leo Jumatatu Mei 16, 2022 kwenye Gazeti la TANZANIA LEO Ukurasa wa 6 nimechambua kiundani hatua ya Serikali ya Rais Samia kukata kiu iliyosubiliwa kwa hamu kubwa na Wafanyakazi kwa miaka 6 kwa kuongeza...
Mwaka 2012, Makamu wa Rais wa Malawi, Joyce Hilda Banda alichukua nchi baada ya kifo cha Rais Bingu wa Mutharika. Waliomuwekea mizengwe kipindi anatakiwa akabidhiwe nchi, alikuja kuwashughulikia alipokuwa Rais. Akawa mwanamke wa kwanza kuongoza Taifa hilo.
Akaingia madarakani, akawa...
Jarida maarufu duniani la 'The New Yorker' lililoasisiwa mwaka 1925 nchini Marekani limeongelea ziara ya Rais Samia Central Park, Marekani. Jarida limemtaja Rais Samia kama Rais wa kwanza mwanamke Tanzania ambae alifika nchini Marekani kuupamba Utalii, kuonana na Kamala Harris na kuhudhuria...
Bunge la Somalia limemchagua Rais wa zamani Hassan Sheikh Mohamud kufuatia upigaji kura uliofanyika jana Mei 15, 2022 katika Mji wa Mogadishu.
Mchakato wa kupiga kura ulifanyika chini ya ulinzi mkali wa wanajeshi wa Umoja wa Afrika wakilinda hema la Afisyone kwenye eneo la Uwanja wa Ndege wa...
Wabunge Nchini Somalia wamemchagua Hassan Sheikh Mohamud aliyekuwa Rais kati ya mwaka 2012 - 2017 kuongoza Taifa hilo. Amepigiwa Kura 214, huku Rais Mohamed Abdullahi Mohamed aliyekuwa anawania Muhula mwingine akipata Kura 110
Rais Mohamed amekubali matokeo ya Uchaguzi na Mohamud ameapishwa...
Huyu mtu mwenye roho mbaya, kisirani number moja kwa jina la Farmaajo, rais wa Somalia amebanduliwa katika uchaguzi uliofanyika jana.
Amefanyia Kenya madhambi mengi sana. Yeye ndio aliban Kenya kuexport miraa to Somalia. Yeye ndio alikataa kuondoa kesi mahakamani na kukataa kunegotiate na...
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Joseph Magufuli amefariki dunia.
Taarifa rasmi iliyotolewa kwa umma na Makamu wa Rais, Samia Suluhu Hassan kupitia Televisheni ya Taifa (TBC) leo usiku Machi 17, 2021 saa 5 usiku imeeleza kuwa Rais Magufuli amefariki dunia leo majira ya saa 12...
afariki
hayati
hayati magufuli
kifo
magufuli
magufuli afariki dunia
magufuli dies
moyo
muda
mzena hospital
rais
tanzania
tanzia
ugonjwa wa moyo
watanzania
Katibu Mkuu Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo Dkt. Hassan Abbasi wakati wa uzinduzi wa Royal Tour Dodoma leo amempongeza Rais Samia kwa kazi kubwa aliyoifanya wakati wa utengenezwaji wa Filamu hiyo "Tumpongeze Rais wetu, nitawapa mikasa miwili"
"Kuna sehemu Rais anavua samaki ilikuwa Pemba...
Wanabodi
Nimepata fursa ya kutembelea baadhi ya maeneo ya Vijijini, deep interior, nikashangaa sana kukuta Barabara za lami hadi Vijijini.
Kuulizia nikaelezwa ni kazi nzuri ya Wakala wa Barabara Vijijini na Mijini, TARURA baada tuu ya Mama Samia kushika nchi, ame I double na ku triple bajeti...
NILIPATA kuandika miaka ya nyuma kuwa Tanzania inateswa na mambo makuu mawili; Ujuaji na ukosefu wa uadilifu.
Mosi; watu wanajua sana. Sehemu yenye kuhitaji utaalamu, yule ambaye fani haimhusu anaweza kuzungumza na kuonekana anajua zaidi.
Mwaka jana, Jumuiya ya Wanasheria Tanganyika (TLS)...
Kwa mwendo huu tu...
======
A shipping line from the Democratic Republic of Congo plans to start its operations from Mombasa beginning June this year.
The state-owned shipping line, the Lignes Maritimes Congolaises (LMC) seeks to channel more DRC imports and exports cargo through the Port of...
Nani alilazimishwa na kuelezea mafanikio ya serikali ya hayati JPM? Kila mtu aliona miundo mbinu ya afya, barabara na hata miundo mbinu ya usafiri wa maji na anga ikiimalika.
Sasa kuwalazimisha wakuu wa mikoa waeleze kwa nguvu haisadii. Maana wananchi hawaoni kwa macho yao.
Tusilazimishe mambo...
Leo mhe Rais umetangaza rasmi nyongeza ya mishahara kwa asilimia 23.3% kwa watumishi wa Umma Kwa hili unastahili pongezi nyingi mno kwani jambo hili lilishindikana takribani miaka sita imepita.Kuna watu wenye roho mbaya,chuki ,husuda na wasio kutakia mema wanabeza hatua hii.Naomba usiwasikilize...