rais

  1. Dennis Robert Shughuru

    JamiiForums Tanzania Nikiwa Rais ntahakikisha wanafunzi wote wa shule za msingi hawakai chini na secondary wanasoma elimu inayowapa skills

    Kuna habari nimeona ya watu wa sinza wanalalamika hawapewi ushirikiano juu ya mradi wa maendeleo wa sinza uliopendekezwa wa kuboresha eneo la sinza binafsi umenifikirisha sana Plus mwezi wa nne kulikuwa na mradi wa kujenga refining Tanga na dangote mara ikawa mombasa na mpaka sasa hivi bado...
  2. L

    JamiiForums Tanzania Waziri Wa Mambo ya Nje Ya Tanzania: Ziara Ya Rais Samia Urussi Imeleta Mtikisiko Wa Dunia. Haijapata Kutokea

    Ndugu zangu Watanzania, Mwenye Wivu ajinyonge Tu Maana habari ndio Hiyo Inayoendelea kutikisa Dunia Nzima . Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Balozi Mahmoud Thabit Kombo amesema kuwa ziara ya Rais Samia Suluhu Hassan nchini Urusi ni ziara ambayo imeleta mtikisiko...
  3. The Palm Beach

    JamiiForums Tanzania Peter Msigwa: Taifa ni kuu kuliko Rais; Mahakama ni kubwa kuliko Jaji Mkuu na Bunge ni kuu kuliko Spika. Uzalendo ni kulipenda taifa sio serikali..!

    Katika demokrasia: 👉Mahakama ni kubwa kuliko Jaji Mkuu. 👉Bunge ni kubwa kuliko Spika. 👉Taifa ni kubwa kuliko Rais. 👉Katiba ni kubwa kuliko chama tawala. Hii ni kwa sababu taasisi zinapaswa kudumu, wakati viongozi ni wa muda. 1. TAIFA NI KUBWA KULIKO RAIS Rais ni kiongozi wa muda. Taifa ni la...
  4. Zack Abdul

    JamiiForums Tanzania Miaka 57 rais Samia avunja ukimya wa urusi na Tanzania

    Mwalimu Julius Kambarage Nyerere, Rais wa Kwanza wa Tanzania alifanya Ziara ya kwanza Nchini Urusi Oktoba 1969, kipindi hicho Urusi ikijulikana kama (Shirikisho la Umoja wa Kisovieti/USSR). Kipindi dunia ikiwa imegawanyika katika kambi mbili kuu za Vita Baridi. Tanzania ilikuwa imeanza...
  5. tpaul

    JamiiForums Tanzania Pascal Mayalla: Nilimuuliza Rais swali gumu wakanifungia kufanya kazi ya uanahabari

    MwanaJF maarufu ambaye pia ni mwanahabari na mwanasheria nguli, ndugu Pascal Mayalla ameonekana akilalamika hadharani kwamba kuna siku alimuuliza marehemu Magufuli swali gumu, akaishia kufungiwa leseni yake ya uanahabari pamoja kufurushwa kwenye ofisi aliyokuwa alifanyia kazi. Mwanahabari huyo...
  6. Idugunde

    JamiiForums Tanzania Kama Mzee Warioba anadai Polisi waliopiga watu risasi Oktoba 29 ndio watuhumiwa namba moja nani aliwapa polisi amri ya kupiga watu risasi?

    Nimemsikia mahala Mzee Warioba Waziri mkuu mstaafu akisema wazi bila kupindisha maneno kuwa tume iliyoundwa kuchunguza matukio ya kijinai ya Oktoba 29 ianze kuwahoji polisi waliopiga na kuua watu. Ameongezea huyu mzee na kudai kuwa Polisi ipate ukweli kuwa hao polisi walioua watu kwa kupiga...
  7. Dr Adam Francis

    JamiiForums Tanzania Rais Samia na dhana ya "Baniani mbaya kiatu chake dawa"

    Tanzania tumeanza utamaduni mbaya sana siku hizi. Yeyote anayelisema zuri lolote la serikali anaitwa chawa, kibaraka na maneno mengine mengi ya hovyo hovyo. Siku hizi ukweli hautokani tena na hali halisi, bali ni chochote kile kinachoonekana kimesemwa na mwenzetu. Jambo hili ni hatari sana...
  8. Troll JF

    JamiiForums Tanzania Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. Samia Suluhu Hassani awasili Nchini kutokea Japan

    Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania ametua nchini na kupokelewa na Makamo wa Rais pamoja na viongozi wa vyombo vya Ulinzi na Usalama akitokea katika ziara yake ya kikazi aliyoifanya nchini Urusi, akiwa huko alifanya mazungumzo na mwenyeji wake Rais Vladimir Putin. Moderators rekebisheni...
  9. instinct desire

    JamiiForums Tanzania Hotuba za Rais Samia Suluhu kimataifa zinatuheshimisha watanzania, lazima UN watafanya nae kazi baada ya Urais kuisha

    Mh. Rais anaongea hotuba ambazo zipo very neutral hazifungamani na upande wowote hotuba zake zinaiishi falsafa ya Non aligned Movement (NAM) NI RAIS anayetumia akili kubwa kujibu hoja, ni Rais anayefatiliwa sana duniani, Leo hii vyombo vyote vya habari vinamtaja Dr Samia. Nadhani UN...
  10. Crocodiletooth

    JamiiForums Tanzania Rais wetu Dr.Samia anafanya mambo mazito kweli huku St.Petersburg

    Salute to madam you did well and excellent
  11. E

    JamiiForums Tanzania Ziara ya Rais Samia Russia: Tanzania itapata nini katikati ya mashinikizo ya EU, Marekani?

    Rais Samia Suluhu Hassan amefanya ziara nchini Russia inayotajwa kuwa na umuhimu wa kihistoria kwa Tanzania na inafungua hatua mpya za ushirikiano wenye manufaa kwa wananchi wa pande zote mbili. Samia anakuwa rais wa pili wa Tanzania kutembelea nchi hiyo, tangu Hayati Mwalimu Julius Nyerere...
  12. Masalu Jacob

    JamiiForums Tanzania Wewe unayetaka na utakaye kuwa Rais 2030

    Habari !. Kwa wewe ambaye unataka kuwa Rais, nipo hapa Waziri wa Viwanda, Uwekezaji na Ajira Muda ukifika utanishtua. Sitagombea Ubunge nakupanga kabisa. Mimi nitapitia zile nafasi 10 sawa mkali. Asalaaam.
  13. Zack Abdul

    JamiiForums Tanzania Pongezi kwa Rais Samia: Vijana Waunga Mkono

    Rais wetu mpendwa Dkt. Samia Suluhu Hassan sisi vijana wazalendo tunapenda kukupa pongezi za dhati kwa namna unavyoendelea kuiwakilisha Tanzania katika majukwaa mbalimbali ya kimataifa kwa hekima busara na ujasiri mkubwa. Safari yako nchini Urusi imeendelea kuonesha kwamba Tanzania ina...
  14. Zack Abdul

    JamiiForums Tanzania Rais Samia na Putin Ikulu ya Kremlin

    Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha na Rais wa Shirikisho la Urusi Mhe. Vladmir Putin katika Ikulu ya Kremlin Jijini Moscow, tarehe 03 Juni, 2026.
  15. Pascal Mayalla

    JamiiForums Tanzania Pamoja na Mapugufu Yake ya Kibinadamu Wito Wanasheria Wote, Kwenye Hili, Tusimame na Rais Wetu wa TLS Wakili Boniface Anyisile Kajujumele Mwabukusi

    Wanabodi TAARIFA KWA WANACHAMA KUHUSU SHAURI LILILOFUNGULIWA DHIDI YA RAIS WA TLS WAKILI BONIFACE ANYISILE KAJUNJUMELE MWABUKUSI KWENYE KAMATI YA KITAIFA YA MAWAKILI (NATIONAL ADVOCATE COMMITTEE) Baraza la Uongozi la Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS) kwa masikitiko makubwa linawajulisha...
  16. tpaul

    JamiiForums Tanzania Uchambuzi: Kutoka kuapa kutokuwa mpinzani bali msaidizi wa rais Samia hadi kuwa Yuda!

    Waswahili husema ukimdekeza mbwa, ipo siku atakufuata hadi msikitini. Hiki ndicho kilichotokea juzi, baada ya mbunge wa Zanzibar kumuita Makamu wa Rais, ambaye ni mtanganyika, jina la Yuda. Hizi zote ni hasira za wazanzibar kulazimishwa kuwa ndani ya muungano wasioutaka! Tangu zamani...
  17. bless on

    JamiiForums Tanzania Kila Rais wa Marekani: Lazima aondoke na kichwa kimoja

    KILA RAIS WA MAREKANI LAZIMA AONDOKE NA KICHWA KIMOJA Unapokuwa rais wa nchi yoyote ile ni kwamba unafuata kile ambacho watu fulani wanataka ukifuate, unaweza kuja na mipango yako na isifanye kazi. Unawekewa mkakati kwamba tunakuweka wewe ila tunataka ufanye hili na lile, unatakiwa kufuata...
  18. Dalton elijah

    JamiiForums Tanzania MPYA Rais wa Ivory Coast Alassane Ouattara, akionekana kupumzika Miongoni mwa Mahujaji Wakati wa Ibada ya Hajj

    Kumekuwepo na picha ambayo inayosambaa kwenye mitandao ya kijamii ususani facebook , instgram na x zamani twitter ikimuonesha Rais wa Ivory Coast Alassane Ouattara, akionekana kupumzika Miongoni mwa Mahujaji Wakati wa Ibada ya Hajj, Akiwatia Moyo Mamilioni ya Watu kwa Unyenyekevu Wake. Picha...
  19. Yoda

    JamiiForums Tanzania Siasa za kumtaja Rais na kumsifia kila mahali hadi kwenye michezo zinaisaidiaje nchi?

    Nimeshangaa kwenye mechi ya Serengeti boys na Senegal watu wanaimba nyimbo za kumsifia mama! Upande wa Senegal hawakuwa wakimuimba Rais wao Faye na wameshinda, Kenya huwa wanafanya vizuri sana kwenye michezo mingi duniani lakini huwezi kusikia wakiimba nyumba za kumsifu Uhuru au Ruto, DRC Congo...
  20. Rashda Zunde

    JamiiForums Tanzania Rais Samia Suluhu awasili Urusi

    ■Atahutubia jukwaa la kimataifa la uchumi la St. Petersburg ■Anatarajiwa kushiriki kongamano la uwekezaji kati ya Tanzania na Urusi ■Atatunukiwa shahada ya heshima, kunadi fursa za dira 2050
Back
Top Bottom