kitu

Kitu (Persian: كيتو‎, also Romanized as Kītū, Kaītū, and Keytū; also known as Geytow and Gīto) is a village in Gol Tappeh Rural District, Gol Tappeh District, Kabudarahang County, Hamadan Province, Iran. At the 2006 census, its population was 313, in 79 families.

View More On Wikipedia.org
  1. M

    JamiiForums Tanzania Uliwahi kununua bidhaa au kulipia huduma kwa ndugu, bestie au mtu wa karibu, halafu ikawa mbovu lakini ukalazimika kukaa kimya ili usiharibu uhusiano?

    Ilikuwaje? Je, uliwaambia ukweli baadaye au uliamua "kuuchuna" tu? Tuambie uzoefu wako kwenye comments. Ndugu Supplier wako wa muda mrefu mtoto wako mwenza wako bestie,
  2. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania Ukiacha pesa, ni kitu gani kingine kikubwa ulichowahi kupoteza ukapunguza kubeti?

    Wawekezaji wenzangu mko poa? Ilikuwa usiku wa fainali ya UEFA, nilipoweka dau la mshahara wangu wote wa mwezi nikiwa na uhakika wa kushinda mamilioni. Baada ya filimbi ya mwisho na timu yangu kufungwa, nilibaki nimepoza macho nikiiangalia simu, huku nikijua sina hata senti ya chakula, kodi, au...
  3. AXIOM APEX VERBOSE

    JamiiForums Tanzania Sisemi kitu Picha yenyewe inajielezea, angalia Picha kisha jaribu kujiuliza ungekua wewe ungefanyaje?

  4. M

    JamiiForums Tanzania Hakuna kitu kinawaumiza vichwa Wakenya kama mpango wa ujenzi wa uwanja wa Serengeti, Ponea yao ni wabunge wetu kina Nasari na Musukuma wanaoupinga

    kwa miaka mingi tume co exist kawaida kushea mbuga hii special duniani, Upande wao inaitwa Masai Mara upande wetu inaitwa Serengeti. watalii wao walishukia Nairobi, wetu wanashukia KIA, Baada ya hapo husafiri kwa magari au kukodi ndege ndogo hadi mbugani. Lakini wameona haitoshi. Wanajenga...
  5. B

    JamiiForums Tanzania Hawa viongozi wetu hasa hasa wabunge ni kana kwamba kuna kitu tuliwakosea, wameamua kutukomoa Watanzania

    Wanajukwaa, nina imani wote mko sawa. Pasipo kupoteza muda, naomba niingie kwenye mada tajwa hapo juu. Binadam kwa kawaida, huwa na hulka ya kulipiza kisasi kwa aliyemkosea au adui yake. Hiki ndicho kinajidhihirisha kwa viongozi wetu, hasa wabunge, maana kila anayesimama anakuja na hoja ya...
  6. technically

    JamiiForums Tanzania Nchi hii inatia hasira bila kwenda road hakuna kitu kitabadilika

  7. Papillon 1906

    JamiiForums Tanzania Je kuna kitu kingine kisicho hai tunachokula zaidi ya chumvi?

    Ni vipi hivyo?
  8. R

    JamiiForums Tanzania Naona Maria spaces leo kizungumkuti kunani? Au ni topic ya màndamano wame block kila kitu

    Mimi siipati kabisa. Kulikoni? Au topic ya màndamano imetisha serikali na TCRA wameziba kabisa mtandao
  9. Sifi Leo

    JamiiForums Tanzania Tishio la Maandamano 😀 wasio vaa uniform no wengi ILA hakuna kitu wanapata maana hizo ni propaganda za Green Gud wa kihongosi.

    Mgeni njoo mwenyeji aponeeeee! Tetesi za maandamano tarehe 07/07/2026, wasio vaa uniform wamejaa hapa ninapo gonga nyagi wanasikilizia nyuzi,kidume nipo jamii forum nabonga na Wana uku nachati na Malaya. Hii nchi pesa zinachezewa green GUD wanakunywa fedha za UMMA maana hapa sioni mjanja...
  10. Fbn

    JamiiForums Tanzania Nchi ya tanzania kila kitu uzinduzi

    Baada ya uzinduzi wa kutakuwa na sheree ya mchana na usiku tutamuita msanii kuburudisha
  11. TheGreatest Of AllTime

    JamiiForums Tanzania Una kumbu kumbu zipi juu ya hii kitu namna ilivyopelekesha mtaa wakati fulani hivi😁

  12. W

    JamiiForums Tanzania Umewahi kukutana na tukio la kuagiza kitu mtandao halafu ulicholetewa ni tofauti na ulichoagiza?

    Mimi niliwahi kuagiza nguo Kariakoo ilikuwa suti niliiona mtandaoni. Itoshe kusema nilichokiona nikakiagiza na nilicholetewa ni vitu viwili tofauti. Ile nguo ikabidi niigawe hata sikuivaa na ilikuwa ni ya tukio. Mpaka leo siwezi kuagiza nguo mtandaoni mpaka nikajihakikishie mwenyewe. Majibu ya...
  13. C

    JamiiForums Tanzania Tangu nijiunge JF nimejifunza kitu kikubwa sana kuhusu wanawake na saikolojia yao kwa ujumla

    Wanawake wanapenda ngono sana sana... nimegundua kwamba, huenda wao ndo wanapenda sana ngono kuliko wanaume. kitu cha kushangaza ni kwamba huku mitaani au sehemu yoyote ukimface wanawake huonyesha kwamba hawapendi, na kwamba wewe ndio unamconvice apende. kwakua huku ni anonymous, wanaonyesha...
  14. Lycaon pictus

    JamiiForums Tanzania Ujinga ni kitu hatari. Huyu mama ntilie anawalisha watu kinyesi cha binadamu

    Kaambiwa na mganga eti ndiyo atavuta wateja. Sijui na kwa mama ntilie wa bongo tunakula vya ajabu vingapi? https://youtube.com/shorts/63gg9mJ6Qug?si=qo837u5581p7h0-q
  15. Fbn

    JamiiForums Tanzania Kuna kitu kinanishangaza. Kwanini watu waliotekwa kisha wakafariki inalazimishwa wazikwe haraka?

    Huu mchezo wa utekaji na kwa mtindo huu unazidi kuwa na nguvu sana. Nilishuudia mkoa X walitekwa watu zaidi ya wanne.Mmoja alipatikana kijiji cha mbele akiwa amefariki ila wanakijiji walipotoa taarifa polisi na polisi ikaamuru kuzikwa haraka bila kuuliza lolote. Ndugu wa marehemu walipojaribu...
  16. Samia atosha tukutane2030

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Katika kitu ambacho sitaruhusu, ni mwanamke kunipanda kichwani

    Mke wangu sasa tuna mwaka wa kumi, ananijua vizuri kabisa. Sijawahi kumpiga na sitampiga kabisa mpaka mwisho wa safari yetu. Ila nishamweleza msimamo na mtazamo wangu tangu tukiwa wachumba. Baadaye tulipoishi pamoja alileta vijitabia vya "nimechoka" kitandani, yaani yeye ndiye anipangie ratiba...
  17. Red black

    JamiiForums Tanzania Tuambie wallet yako ina kitu gani hapo?

    😁
  18. M

    JamiiForums Tanzania Dkt. Mwigulu: Nilishataka kila mmoja ajaze fomu kitu alichonacho, nikaambiwa nitaleta taharuki kwanza hiyo niachane nayo

    Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba leo Juni 5, 2026 akizungumza na wakazi wa Isimani, Mkoani Iringa amesema serikali itaangalia sheria zilizopo kwenye maadili kuhakikisha mianya ya upigaji inazibwa. Mwigulu amesema kuna watumishi wapo kwenye bomba pesa zinapomwagika ila hawalazimishwi kutaja...
  19. mirindimo

    JamiiForums Tanzania Wachezaji under 17, washangiliaji above 40! Upigaji tu ndiyo kitu tunaweza

    Kwa nini hawakupelekwa vijana wadogo kushangilia wale watoto ? Wameshindwa kuchukua hata vikundi vya ndondo cup vikatoe shangwe mnaenda chukua wazee waliojichokea ? CCM kila kitu ni deal
  20. enzo1988

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Duh, kumbe ndege nao hufanya hii kitu!!! Halafu haina madhara kwao!!

    Masturbation among birds is ‘natural’ and should not be punished, say experts Study finds activity is not harmful or caused by stress of captivity – and is in fact more common in wild birds Mon 1 Jun 2026...
Back
Top Bottom