Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
  • Sticky
Hello Guys, Najua Mobile users wa JF wanamiss vitu ving sana vya uzuri wa JF. Mfano kuweka Rangi katika Maandishi ya Post yako au Thread. SASA KAMA UNATAKA KUWEKA rangi katika Post yako kuna...
111 Reactions
6K Replies
415K Views
  • Sticky
All about Satellite tv, both FTA free to air and paytv available in Africa. Sat gear in use plus more....
82 Reactions
36K Replies
5M Views
  • Sticky
Simu yangu ya htc ilipasuka kioo, nikatafuta weee, mwisho kuna mtu humu jukwaani akanitajia fundi yupo posta anaitwa sele. nikaenda kufika kaniambua kioo kipo ila bei laki, haipungui wala nini...
62 Reactions
2K Replies
340K Views
  • Sticky
Pata kujua jinsi watu wanavyounlock modem unakaribishwa kwa maswali na utasaidiwa. BAADHI YA MASWALI YALIYOULIZWA NA WADAU KUHUSU JAMBO HILI Wakuu Habarini! Nimekwama Hapa Jinsi Ya Ku Unlock Hii...
5 Reactions
423 Replies
127K Views
  • Sticky
Habari wakuu, Kutokana na jukwaa letu kuwa na mada nyingi nzuri japo nyingine za muda kidogo, mada maalum zinazoelezea matatizo ya kitu fulani lakini hazionekani kirahisi na kadhalika nimeomba...
19 Reactions
54 Replies
45K Views
  • Sticky
Katika thread hii tutajifunza namna ya kutengeneza application za Android "from the scratch", Japokuwa kuna "platforms" mbalimbali mtandaoni ambazo zinaweza kumsaidia mtu yoyote kuunda apps hata...
48 Reactions
181 Replies
85K Views
  • Sticky
Wakuu, Penye wengi, pana mengi pia. Jukwaa hili pamoja na kuwa na matangazo mengi, lakini wengine ni matapeli wakubwa sana. Tafadhali, tulishatoa angalizo na tunasisitiza tena: Mnapoamua kufanya...
20 Reactions
41 Replies
25K Views
  • Sticky
hapa nimeweka na nitakuwa naweka kwenye uzi huu wallpapers za jamiiforums (submitted by users) ambazo mtaweza kupamba desktop za computer zenu.... pia soon zitakuja za mobile as soon as poassible...
50 Reactions
85 Replies
76K Views
WHO pandemic treaty is about global dominion Meryl Nass, a biowarfare and epidemics expert, has warned about the globalist agenda to impose a "global dominion by the few and total control of the...
0 Reactions
42 Replies
247 Views
Wakuu nimepata changamoto katika Google pixel 6 yangu kama ifuatavyo, simu yangu baada ya kuifayia factory reset imeleta hio error. Nimejaribu kuwa contact google kwenye email yao kama...
1 Reactions
3 Replies
52 Views
Wakuu nimepata changamoto katika Google Pixel 6 yangu kama ifuatavyo; simu yangu baada ya kuifayia factory reset imeleta hiyo error. Nimejaribu kuwa contact google kwenye email yao kama...
1 Reactions
10 Replies
145 Views
Swali langu: Bard angalia hizi data zinaonyesha matokeo ya darasa la saba ya mwanafunzi kutoka Tanzania. Kiswahili-C, English-D , Maarifa-D, Hisabati-C, Science-C, Uraia-D. Je kulingana na...
6 Reactions
40 Replies
1K Views
Kutokana na Uhaba wa Vifurushi kwa sasq, vifurushi vizuri vinapatikana Tigo postpaid na Airtel Sme. Airtel SME. Tigo postpaid Namna ya kupata official hivi vifurshi, tembelea wakala wa...
161 Reactions
8K Replies
942K Views
Nina tatizo na external yangu ya Toshiba 1 Tb. Ukiconnect kwenye laptop unasoma ila ukitaka ku transfer files zinagoma kuingia. Nimejaribu kuitoa ktk case yake wapi, pia nmechange ule wire pia...
0 Reactions
3 Replies
55 Views
๐—ฆ๐—ถ๐—บ๐˜‚ ๐—•๐—ผ๐—ฟ๐—ฎ ๐˜‡๐—ฎ ๐—œ๐—ป๐—ณ๐—ถ๐—ป๐—ถ๐˜… ๐—บ๐˜„๐—ฎ๐—ธ๐—ฎ ๐Ÿฎ๐Ÿฌ๐Ÿฎ๐Ÿฏ Moja Kati ya kampuni inayokuja kwa Kasi mwaka 2023 ni Infinix ambayo imekua ikitoa simu za aina mbalimbali zenye muonekano mzuri, picha, uwezo , ufanisi nk. Leo...
5 Reactions
18 Replies
539 Views
Sababu zinazofanya laptop yako kutochaji; โœ“ Adaptor au power cable ni mbovu. โœ“ Charger yako haiendani na laptop (charger ya DELL unaitumia kwenye HP). โœ“ Battery [emoji367] limeharibika. โœ“ Battery...
2 Reactions
4 Replies
56 Views
Samahani, mi nataka kujua mzigo ukitumwa kwa DHL ni lazima utatozwa gharama za ushuru hata kama ni laptop na ilikuwa labeled as a gift? Maana niliwahi sikia vitu vya kujifunzia kama laptop huwa...
0 Reactions
30 Replies
14K Views
Wakuu nimepata changamoto katika Google pixel 6 yangu kama ifuatavyo, simu yangu baada ya kuifayia factory reset imeleta hio error. Nimejaribu kuwa contact google kwenye email yao kama...
3 Reactions
13 Replies
157 Views
Kwa wanamaomalizia masomo ya uhandisi kada za Electrical, Electronics , Telecom & computer kama kawaida mwaka wa mwisho mna rungu la project ili kukamilisha masomo yenu ya uhandisi, baadhi...
3 Reactions
28 Replies
8K Views
COMPERATORS (VILINGANISHI) Comparator ni nini? Kama jina lake linavyo jieleza comparators(vilinganishi) ni tendo la ulinganish linalofanywa na vifaa vya vya kielectronic...
3 Reactions
6 Replies
4K Views
Part I inapatikana HAPA JINSI YA KUPATA VOLTAGE INAYO BADILIKA Huku pia tunatumia voltage divider;Tofauti na ile ya mwanzo ni kwamba Voltage divider ya huku haitumii fixed resistors,Hivyo...
2 Reactions
2 Replies
4K Views
Wakuu habari ya nyie, mi naomba leo niwape promo hawa watu wa SpeedAf kwa kweli wananifurahisha sana. Tar 5/09/2023 nilipress order yangu, shopping method ilikua ni cainniao global shipping, kama...
0 Reactions
10 Replies
206 Views
Nlikuwa natumia Google pixel 3, nikachukua iphone 14 pro max aloo , camera ya Google pixel bado ni balaa, Iphone camera yake inahitaji sana mwanga ili itoe picha nzuri ila google pixel ni hapo...
1 Reactions
22 Replies
585 Views
Kama Title ya thread inavyosema. Hii ni simple tutorial ya kuonesha jinsi gani utaweza kutumia modes mbali mbali katika game yako ya ETS 2. Sometimes inafika stage kwenye hili game unakua kama...
29 Reactions
5K Replies
266K Views
Wakubwa naombeni mwenye game ya gari loli au basi au ya ndege Thanks in advance
1 Reactions
17 Replies
573 Views
Explore this upcoming technology.
1 Reactions
2 Replies
67 Views
Umeshawahi kutumia Ikawa slow mpaka unakereka aisee unatamani kuitupa au kununua nyingine relax Leo nakupa sababu zinazofanya kompyuta kuwa nzito [emoji108] Kompyuta kuwa nzito usababishwq na...
0 Reactions
2 Replies
108 Views
Back
Top Bottom