Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

On JF:

  • Sticky
hapa nimeweka na nitakuwa naweka kwenye uzi huu wallpapers za jamiiforums (submitted by users) ambazo mtaweza kupamba desktop za computer zenu.... pia soon zitakuja za mobile as soon as poassible...
50 Reactions
90 Replies
83K Views
  • Sticky
All about Satellite tv, both FTA free to air and paytv available in Africa. Sat gear in use plus more....
88 Reactions
36K Replies
7M Views
  • Sticky
Pata kujua jinsi watu wanavyounlock modem unakaribishwa kwa maswali na utasaidiwa. BAADHI YA MASWALI YALIYOULIZWA NA WADAU KUHUSU JAMBO HILI Wakuu Habarini! Nimekwama Hapa Jinsi Ya Ku Unlock Hii...
7 Reactions
432 Replies
153K Views
  • Sticky
Katika thread hii tutajifunza namna ya kutengeneza application za Android "from the scratch", Japokuwa kuna "platforms" mbalimbali mtandaoni ambazo zinaweza kumsaidia mtu yoyote kuunda apps hata...
57 Reactions
188 Replies
102K Views
  • Sticky
Habari wakuu, Kutokana na jukwaa letu kuwa na mada nyingi nzuri japo nyingine za muda kidogo, mada maalum zinazoelezea matatizo ya kitu fulani lakini hazionekani kirahisi na kadhalika nimeomba...
21 Reactions
56 Replies
53K Views
  • Sticky
Simu yangu ya htc ilipasuka kioo, nikatafuta weee, mwisho kuna mtu humu jukwaani akanitajia fundi yupo posta anaitwa sele. nikaenda kufika kaniambua kioo kipo ila bei laki, haipungui wala nini...
68 Reactions
2K Replies
405K Views
  • Sticky
Hello Guys, Najua Mobile users wa JF wanamiss vitu ving sana vya uzuri wa JF. Mfano kuweka Rangi katika Maandishi ya Post yako au Thread. SASA KAMA UNATAKA KUWEKA rangi katika Post yako kuna...
114 Reactions
6K Replies
524K Views
  • Sticky
Wakuu, Penye wengi, pana mengi pia. Jukwaa hili pamoja na kuwa na matangazo mengi, lakini wengine ni matapeli wakubwa sana. Tafadhali, tulishatoa angalizo na tunasisitiza tena: Mnapoamua kufanya...
22 Reactions
44 Replies
31K Views
Airtel mna customer care mbovu kwenye simu. Okay, nikaona nije dukani kwenu, aisee…! Okay tuache ilo. Sasa hizi 5G router zenu za ZLT X25 zina lifespan ya muda gani? Yangu imeanza kimasihara...
12 Reactions
25 Replies
898 Views
Samsung baada ya kushika soko kwa muda mrefu wakajisahau na kuona wanaweza kufanya wanachojisikia sokoni , google pixel wakaja wakawapiga bao na sasa vijana wengi hupendelea zaidi kuliko Samsung...
8 Reactions
194 Replies
9K Views
Njoo PM tufanye jambo, kila aina ya system natengeneza bei ni kulingana na complexity quality kulingana na bei Karibu
0 Reactions
9 Replies
66 Views
Kwa wale Music enthusiasts wenzangu last Weekend katika kuzurura katika viunga vya M.City i came across duka la Kodtec. Hawa jamaa wanauza appliances zao mbali mbali pale zikiwemo Subwoofers...
61 Reactions
1K Replies
96K Views
Ili kupata uzoefu wa simu za kiwango cha juu (flagship) nchini Tanzania kwa mwaka 2026, Samsung Galaxy S26 Ultra ndiyo chaguo namba moja. Inapatikana madukani kwa makadirio ya TZS 3,500,000 (GB...
4 Reactions
18 Replies
3K Views
Kozi ya Jinsi ya Kutengeneza Simu (Mobile Repair Full Course) ni mwongozo wa kina unaokufundisha hatua kwa hatua jinsi ya kutambua, kuchunguza na kurekebisha matatizo mbalimbali ya simu za...
9 Reactions
15 Replies
263 Views
Kutokana na Uhaba wa Vifurushi kwa sasq, vifurushi vizuri vinapatikana Tigo postpaid na Airtel Sme. Namna ya kupata official hivi vifurshi, tembelea wakala wa mtandao husika wa karibu ukiwa na...
180 Reactions
11K Replies
2M Views
Kati ya iOS,Windows,Blackbery na Android ipi OS unaikubali zaid?
2 Reactions
86 Replies
13K Views
wakuu tumaini ni wazima afya nilikuwa nauliza hivi kuna watu wanaagiza mizigo kikuu nilikiwa nataka kuagiza external driver naona kule 4tb wanauza 35k hivi naomba kujua bidhaa ni Og au
5 Reactions
15 Replies
306 Views
Kama kichwa cha habari kinavojieleza,ni ipi blender nzuri kati ya kenwood au mach one
4 Reactions
21 Replies
312 Views
Habari wakuu, Smart board aina ya SIMI inawaka na kuishia kwenye Logo ya SIMI na Kisha kuzima na kujiwasha Tena, msaada please
0 Reactions
2 Replies
54 Views
Jana kwenye WWDC 2026 Apple wamezindua iOS 27, macOS 27 Golden Gate, iPadOS 27, na watchOS 27. iOS 27 itakua supported na simu zote kuanzia iPhone 11 kuja juu. iPadOS 27 itakubali kwenye iPad...
6 Reactions
6 Replies
111 Views
Habari wakuu, Leo Juni 9, 2026, kampuni ya Anthropic (watengenezaji wa Claude) wamezindua mifano miwili mipya ya akili unde - Claude Fable 5 na Claude Mythos 5. Hii ni habari kubwa kwenye dunia...
3 Reactions
3 Replies
101 Views
Habari. Kuna mtu anauliza taratibu za kuanzisha app kwa hapa tanzania hadi iweze kua downloaded playstore/App store. Je, ni taratibu zipi anahitaji kufuata? Je itahitaji kwenda Tra,Tcra,Brela nk...
7 Reactions
38 Replies
373 Views
Kuna aina nyingi za simu , baadhi zinafanya vizuri sokoni na nyingine hazifanyi vizuri na zikiwa na sababu tofauti . Makala hii itaangazia aina za simu zenye matatizo makubwa ambapo sikushauri...
26 Reactions
72 Replies
14K Views
Mwaka 2014 wakati bwana Zuckerbeg anainunua whatsapp kwa dola za kimarekani 19 B watu waliona kama ni uharibifu wa pesa. Haikuwa clear ni kwa namna gani hii app ya kuchat itaweza kuingiza pesa...
6 Reactions
25 Replies
295 Views
Wakuu kwema ninauza gaming laptop yangu ina speci hizi Core i7 gen 9 ram 16 hp pavilion gtx 1650 vram 4gb ssd 256 ssd sata tb 1 core i7 gen 9 battery 1hours windows 11 bei 680k serious...
1 Reactions
0 Replies
68 Views
Natamani kujua game ambazo zina ongoza kupendwa na watumiaji wa simu za mkononi Tz... Una game zipi kwenye simu yako?
7 Reactions
94 Replies
12K Views
Habari wakuu,,hopefully mko poa..Mimi aysee naomba mnisaidie kitu kimoja wataalamu wa Tech..Nimekuwa Nikinunua Earphones lakini baada ya muda kidogo tu zinaanza kupoteza ufanisi wake..Mfano...
3 Reactions
20 Replies
362 Views
Back
Top Bottom