Hello Guys,
Najua Mobile users wa JF wanamiss vitu ving sana vya uzuri wa JF. Mfano kuweka Rangi katika Maandishi ya Post yako au Thread.
SASA KAMA UNATAKA KUWEKA rangi katika Post yako kuna...
Simu yangu ya htc ilipasuka kioo, nikatafuta weee, mwisho kuna mtu humu jukwaani akanitajia fundi yupo posta anaitwa sele. nikaenda kufika kaniambua kioo kipo ila bei laki, haipungui wala nini...
Pata kujua jinsi watu wanavyounlock modem unakaribishwa kwa maswali na utasaidiwa.
BAADHI YA MASWALI YALIYOULIZWA NA WADAU KUHUSU JAMBO HILI
Wakuu Habarini!
Nimekwama Hapa Jinsi Ya Ku Unlock Hii...
Habari wakuu,
Kutokana na jukwaa letu kuwa na mada nyingi nzuri japo nyingine za muda kidogo, mada maalum zinazoelezea matatizo ya kitu fulani lakini hazionekani kirahisi na kadhalika nimeomba...
Katika thread hii tutajifunza namna ya kutengeneza application za Android "from the scratch", Japokuwa kuna "platforms" mbalimbali mtandaoni ambazo zinaweza kumsaidia mtu yoyote kuunda apps hata...
Wakuu,
Penye wengi, pana mengi pia. Jukwaa hili pamoja na kuwa na matangazo mengi, lakini wengine ni matapeli wakubwa sana. Tafadhali, tulishatoa angalizo na tunasisitiza tena:
Mnapoamua kufanya...
hapa nimeweka na nitakuwa naweka kwenye uzi huu wallpapers za jamiiforums (submitted by users) ambazo mtaweza kupamba desktop za computer zenu....
pia soon zitakuja za mobile as soon as poassible...
WHO pandemic treaty is about global dominion
Meryl Nass, a biowarfare and epidemics expert, has warned about the globalist agenda to impose a "global dominion by the few and total control of the...
Wakuu nimepata changamoto katika Google pixel 6 yangu kama ifuatavyo, simu yangu baada ya kuifayia factory reset imeleta hio error. Nimejaribu kuwa contact google kwenye email yao kama...
Wakuu nimepata changamoto katika Google Pixel 6 yangu kama ifuatavyo; simu yangu baada ya kuifayia factory reset imeleta hiyo error.
Nimejaribu kuwa contact google kwenye email yao kama...
Swali langu:
Bard angalia hizi data zinaonyesha matokeo ya darasa la saba ya mwanafunzi kutoka Tanzania.
Kiswahili-C, English-D , Maarifa-D, Hisabati-C, Science-C, Uraia-D.
Je kulingana na...
Kutokana na Uhaba wa Vifurushi kwa sasq, vifurushi vizuri vinapatikana Tigo postpaid na Airtel Sme.
Airtel SME.
Tigo postpaid
Namna ya kupata official hivi vifurshi, tembelea wakala wa...
Nina tatizo na external yangu ya Toshiba 1 Tb.
Ukiconnect kwenye laptop unasoma ila ukitaka ku transfer files zinagoma kuingia.
Nimejaribu kuitoa ktk case yake wapi, pia nmechange ule wire pia...
๐ฆ๐ถ๐บ๐ ๐๐ผ๐ฟ๐ฎ ๐๐ฎ ๐๐ป๐ณ๐ถ๐ป๐ถ๐ ๐บ๐๐ฎ๐ธ๐ฎ ๐ฎ๐ฌ๐ฎ๐ฏ
Moja Kati ya kampuni inayokuja kwa Kasi mwaka 2023 ni Infinix ambayo imekua ikitoa simu za aina mbalimbali zenye muonekano mzuri, picha, uwezo , ufanisi nk.
Leo...
Sababu zinazofanya laptop yako kutochaji;
โ Adaptor au power cable ni mbovu.
โ Charger yako haiendani na laptop (charger ya DELL unaitumia kwenye HP).
โ Battery [emoji367] limeharibika.
โ Battery...
Umeshawahi kujiuliza unafanyaje kutengeneza Cable za Ethernet Leo nakujuza kwa kuwa Teknolojia ni Yetu sote.
Najua unaweza kwenda kununua Cable ya Ethernet ambayo imeshatengezwa complete...
Samahani, mi nataka kujua mzigo ukitumwa kwa DHL ni lazima utatozwa gharama za ushuru hata kama ni laptop na ilikuwa labeled as a gift?
Maana niliwahi sikia vitu vya kujifunzia kama laptop huwa...
Wakuu nimepata changamoto katika Google pixel 6 yangu kama ifuatavyo, simu yangu baada ya kuifayia factory reset imeleta hio error. Nimejaribu kuwa contact google kwenye email yao kama...
Kwa wanamaomalizia masomo ya uhandisi kada za Electrical, Electronics , Telecom & computer kama kawaida mwaka wa mwisho mna rungu la project ili kukamilisha masomo yenu ya uhandisi, baadhi...
COMPERATORS (VILINGANISHI)
Comparator ni nini?
Kama jina lake linavyo jieleza comparators(vilinganishi) ni tendo la ulinganish linalofanywa na vifaa vya vya kielectronic...
Part I inapatikana HAPA
JINSI YA KUPATA VOLTAGE INAYO BADILIKA
Huku pia tunatumia voltage divider;Tofauti na ile ya mwanzo ni kwamba Voltage divider ya huku haitumii fixed resistors,Hivyo...
Wakuu habari ya nyie, mi naomba leo niwape promo hawa watu wa SpeedAf kwa kweli wananifurahisha sana.
Tar 5/09/2023 nilipress order yangu, shopping method ilikua ni cainniao global shipping, kama...
Nlikuwa natumia Google pixel 3, nikachukua iphone 14 pro max aloo , camera ya Google pixel bado ni balaa, Iphone camera yake inahitaji sana mwanga ili itoe picha nzuri ila google pixel ni hapo...
Kama Title ya thread inavyosema. Hii ni simple tutorial ya kuonesha jinsi gani utaweza kutumia modes mbali mbali katika game yako ya ETS 2.
Sometimes inafika stage kwenye hili game unakua kama...
Umeshawahi kutumia Ikawa slow mpaka unakereka aisee unatamani kuitupa au kununua nyingine relax Leo nakupa sababu zinazofanya kompyuta kuwa nzito [emoji108]
Kompyuta kuwa nzito usababishwq na...