video

  1. Davidmmarista

    Je hili tukio ni kweli au ni Igizo Tazama hii Video

    Kiranga Infropreneur
  2. X

    Bwana Misosi akiwa bado underground aliwezaje kuwapata wasanii wakubwa walioonekana katika video yake "Nitoke vipi?"

    Kati ya matukio ya kisanii ya Bwana Misosi ambayo hatakuja kusahau, akiwa bado mchanga kisanii na ndio ametoa hit song yake ya kwanza "Nitoke Vipi." Ni love aliyoonyeshwa na wasanii wakubwa wa wakati huo ambao wengi aliwataja kwenye ngoma yake na wakajitokeza kwenye video. Kwa msanii...
  3. Eronda

    FALSE Video circulating showing Bobi wine is back in Uganda

    A video clip circulating on different social media platforms including X and TikTok shows Hon. Robert Kyagulanyi aka Bobi wine together with his wife claiming to have returned to Uganda at Entebbe Airport. The video is however misleading as it does not stem from 2026, It was recorded way back...
  4. Traxtion

    Al Jazeera wameshare video za wahamiaji wakipigwa South Africa

    I think kama hii kitu iko on the rise basi ni muda wa kurudi nyumbani. Like seriously how can you live with these people 🥷 Watu wavivu, masikini wasiopenda kufanya kazi, wanasingizia matatizo yao yote kwa foreigners Huwezi kukuta Msouth Africa aliyefanikiwa kimaisha akifanya huu ujinga. It's...
  5. Streetot

    EFCC Chairman Olukoyede declares “Pastor Jerry Eze is a righteous man" in a viral video

    The Chairman of the Economic and Financial Crimes Commission (EFCC), Ola Olukoyede, has revealed that the agency investigated Jerry Eze, founder and lead pastor of Streams of Joy International, for six months. Mr Olukoyede, who spoke on Wednesday at the Jerry Eze Foundation Business Grant Award...
  6. O

    Viral video yageuka Mtego: DCI washika mshukiwa kwa Hate Speech

    Mambo yanazidi kuwa moto mtandaoni baada ya Directorate of Criminal Investigations (DCI) kumkamata mshukiwa anayehusishwa na video iliyosambaa sana kwa madai ya hate speech. Kwa mujibu wa DCI, mshukiwa huyo alikamatwa baada ya detectives kufanya review ya hiyo video na kubaini kuwa ilikuwa na...
  7. tpaul

    Video: Hawa wanapasha kiporo tu au wamerudiana mazima?

    Mapenzi yana wenyewe na wenyewe ni wapendanao. Ndivyo unavyoweza kusema. Waweza kuwafitini wapendanao au wakakuletea kesi ukawa biased kwenye usuluhishi, lakini elewa kwamba mwisho wa siku wenye ufunguo wa uhusiano ni wapendanao wenyewe. Kumuambia binti yako kuwa ukoo fulani ni wachawi usikubali...
  8. B

    SI KWELI Video ya Pikipiki inageuka kuwa ndege ya kivita

  9. Just Pray

    Jaji Chande Uchunguzi wa matukio ya Oktoba 29 asema 'picha baadhi zilikuwa halisi nyingine zilitengenezwa kwa akili unde'

    Jaji Chande akiwasilisha ripoti ya Uchunguzi wa matukio ya Oktoba 29, anasema "Jumla ya picha mjongeo 450, picha mjongeo 880, zilikusanywa kwa njia mbalimbali na baadhi zilikuwa zimesambaa mitandaoni kwa zaidi ya mara moja. Picha hizi zilipatikana na ziliwasilishwa na mashuhuda wa matukio...
  10. Archival Sense

    Ankole Residents Oppose Sovereignity Bill

    Concerned citizens in the Ankole sub-region have called on Members of Parliament to reject the proposed Protection of Sovereignty Bill, warning that it could have far reaching economic and social consequences. The call was made during a “Bin That Bill” protest where participants comprising...
  11. Archival Sense

    Mbarara Resident Accuses Police Officer of Torture During Interrogation (VIDEO : viewers may find these images distressing. VIEWER DISCRETION ADVISED)

    A resident of Mbarara City has accused a police officer attached to Katete Police Post of subjecting him to torture during interrogation over a motor vehicle theft case. Junior Musa, a resident of Katete Central, claims he was physically assaulted by a junior officer who allegedly beat him for...
  12. Archival Sense

    Lira City bans holiday lessons

    Authorities in Lira City have banned holiday lessons and ordered an adjustment of nursery school hours, citing growing concerns over the mental health and well-being of young learners. The directive was announced on Tuesday by the City Education Officer, Jane Obeny, following a stakeholders’...
  13. ChoiceVariable

    Video : Baba Levo Alivyomtilia Shoti Waziri wa Tamisemi Kwenye Familia Yake

    Mtu kaumbuka huku Hadi akalazimika kujitetea hadharani Ili Mke wake asiliamshe timbwili 😂😂😂😂👇👇 https://www.threads.com/@radiomaarifatz/post/DXKlIPljjqq?xmt=AQF0S1U-gBF5xxJ8wC0Ju0Or1znu4YiRDB5E_9pbsApAIoQokX9KopbCuzwusbMZynTJaZxd&slof=1 My Take Mambo binafsi ya kifamilia hayapaswi kuongelewa...
  14. B

    SI KWELI Kifaa cha Artemiss II chasafirishwa kwa msafara

    Wakuu nimekutana na hii video inadaiwa kuwa ni kifaa cha Artemiss II kikisindikizwa na msafara baada ya kutua kutoka mwezini. Uhalisia wake ni upi? === Witnessing history Artemis II Orion capsule escorted in a powerful convoy—America’s journey back to the Moon
  15. J

    SI KWELI Video watoto wakicheza kwenye kimbunga

  16. M

    Video: meli ya kivita ya USA ikionywa Iran

    https://x.com/i/status/2043323988626006518
  17. M

    Aibu ya Propaganda: Baada ya kushindwa kudanganya kifo cha Netanyahu, Iran wamekuja na nyingine ya Marekani kuwalipa Dola Bilioni 6.

    Taarifa zinazosambaa kwamba Marekani imekubali kuilipa Iran dola bilioni 6 ni propaganda za zinazorejelea tukio la zamani lililotokea Septemba 2023 kipindi Biden akiwa Rais wa Marekani. Dola Bilioni 6 zilikuwa sehemu ya makubaliano ya kubadilishana na wafungwa, ambapo Marekani ilitoa ruhusa...
  18. Parabolic

    Lissu alivyokamatwa Aprili 9, 2025 (Video)

    Umepita mwaka mmoja tangu Mwenyekiti wa CHADEMA, Tundu Lissu alpoikamatwa na polisi Aprili 9, 2025 wilayani Mbinga Mkoa wa Ruvuma. Hivi ndivyo ilivyokuwa... https://www.youtube.com/live/U5Dn7KGBPkk
  19. Inside10

    Video: Wanu Hafidh Ameir, Naibu Waziri Wa Elimu Akieleza Mikakati Ya Serikali Kuhusu Teknolojia Ya AI Katika Elimu

    Naibu Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Wanu Hafidh Ameir, amefafanua Mikakati mbalimbali ya Serikali kuhusu Matumizi ya Akili Unde (AI) kwenye elimu akibainisha kuwa kuna mikakati iliyopo na ambayo tayari imeanza kutekelezwa kwenye ngazi mbalimbali za elimu. Naibu Waziri ameeleza...
  20. TODAYS

    Kwa Mlioangalia na Kusikia: Hii Video ni ya Kweli au AI?

    Humo amesema Europe bei ya mafuta ni Euro elfu sita 6000 kwa lita ambayo kwa Tzs ni milioni 16+ Akaongeza kwa USA bei ya mafuta ni dola elfu 8000 ambayo ni sawa na Tshs 20mil.
Back
Top Bottom