polisi

  1. Roving Journalist

    JamiiForums Tanzania Rais Samia Anahitimisha Mafunzo Ya Maafisa Na Wakaguzi Wasaidizi Wa Polisi Kozi Na. 1/2025/2026

    https://www.youtube.com/watch?v=AsjCN8DKAh0
  2. M

    JamiiForums Tanzania Kombo: Polisi ukimlengea jiwe utaona, general oder yake inamwambia attack first. Tumeshaliponya Taifa acheni chokochoko

    Kombo: Polisi ukimlengea jiwe utaona, general oder yake inamwambia attack first. Tumeshaliponya Taifa acheni chokochoko
  3. Bila bila

    JamiiForums Tanzania Mahmoud Thabit Kombo tutajie kifungu cha PGO kinachosema Polisi akirushiwa jiwe anatakiwa kumpiga risasi mara moja

    Tusiwe tunapelekwa kama mazuzu wakati Vitabu vya sheria na Kanuni vimeandikwa vipo. Ili kujiridhisha na ulichokisema Jana kwenye bunge lenu tuambie ni kifungu gani cha PGO kinachosema Mtu akielekeza jiwe Kwa Polisi he has to shoot at first kama ulivojinasibu Jana. Kama hutataja basi toka...
  4. E

    JamiiForums Tanzania Waziri Kombo: Raia akimrushia jiwe Polisi, general order yake inamwambia 'Attack first'

    Wakuu Jana bungeni Waziri wa diplomasia na mambo ya nje Kombo raia wa Zanzibar anayefanya kazi Tanganyika amesema katiba yetu inataka polisi akirushiwa jiwe ampige risasi haraka raia anayerusha na kilochotokea Oct 29 ni cha kikatiba Yale mauaji yalfanyika kwa sababu polisi walirushiwa mawe...
  5. figganigga

    JamiiForums Tanzania Dar: Polisi yadai eti imewaokoa wale Wachina wawili waliotekwa

    Upelelezi wa Jeshi la Polisi ulifanikiwa kuwaokoa wahanga hao tarehe 16 huko maeneo ya Mbezi Beach Kinondoni. Watekaji waliwatake na kudai ndugu wawapw Dola za Kimarekani Milioni moja 20 ili wawaachie huru. Watuhumiwa wanne wamekamatwa. Polisi wamewataja watuhumiwa kwamba ni 1. Deng Anqing...
  6. P

    JamiiForums Tanzania Jeshi la polisi mnamsikia Waziri Mkuu huko Iringa? Ni wakati wa kumhoji awatajie aliyempiga Risasi Tundu Lissu

    Ni miaka na mikaka sasa bado mnatafuta chanzo cha kwanini WATU wanatekwa na kupoteza Lakini haitoshi bado mnatafuta nani alimpiga TUNDU LISSU risasi pale Dodoma had kumsababishia ulemavu wa kudumu Sasa katika hali ya kushtua mbele ya umma wa WATU wa IRINGA WAZIRI MKUU wa JAMHURI ya MUUNGANI WA...
  7. mirindimo

    JamiiForums Tanzania Picha: Polisi USA VS Polisi wa Tanzania

    Kushoto ni Polisi wa New York wakiwa darasani kujifunza mbinu za kukabiliana na majanga mbalimbali. Kulia ni Polisi wa Tanzania wakiwa kwenye maonyesho ya namna walivyo wakakamavu na wanaweza kubeba pikipiki na kukimbia nazo
  8. Stuxnet

    JamiiForums Tanzania Mafwele soma historia ya Eugene De Kock, polisi katili wa enzi za ubaguzi Afrika kusini

    Historia inajirudia kwa namna ya kutofurahisha wakati mifumo ya usalama inapogeuka kuwa zana za kuangamiza ukosoaji wa kisiasa. Eugene Alexander de Kock, mkuu wa kikosi cha siri cha polisi cha Vlakplaas nchini Afrika Kusini wakati wa utawala wa ubaguzi wa rangi, anafahamika kwa ukatili...
  9. Dr Adam Francis

    JamiiForums Tanzania Sio afya kwa serikali, Jeshi letu la Polisi linapotiliwa mashaka

    Kaka yangu Nape, mapema mwaka huu aliwahi kusema, kama serikali isipodhibiti matumizi ya nguvu dhidi ya raia, Siku moja wananchi watakikataa chama chetu. Kila mtu anaweza kuwa na mtazamo wake juu ya hili, lakini mimi napenda kuwakumbusha viongozi wangu uchaguzi wa 2010 Mbeya mjini kati ya Sugu...
  10. Fbn

    JamiiForums Tanzania Ina maana mpaka zile pingu ni za kisasa zikaenda kufunguliwa polisi.Na kwa nini walipigiwa simu na polisi

    Polisi wanataka kujichunguza wakati ndio wenye nyenzo. Mi navyo mjua kamanda muriro na wengine Ma RPC wanavyopenda sifa za kuita vyombo vya habari kutoa ripoti za matukio mbona kama wapo kimya. Kwa jinsi jeshi la polisi linavyojipeleka mda sio mchache sijui kama 2030 inafika kuna watu naona...
  11. K

    JamiiForums Tanzania Polisi wamekuwa wazugaji

    Watekaji Polisi watafutaji polisi🏃‍♂️🏃‍♂️🏃‍♂️ Watanzania sio wajinga wakasanganye Machawa
  12. McLaren

    JamiiForums Tanzania Polisi: David Djumbe amepatikana, tunachunguza waliomkamata Bunju

    Wakuu, Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limetoa taarifa kwa umma leo tarehe 21 Mei 2026, kufuatia sintofahamu na taarifa zilizokuwa zinasambaa mitandaoni tangu jana usiku kuhusu kukamatwa kwa Ndg. David Joseph Mghanja (maarufu kama Djumbe) na watu ‘wasiojitambulisha’ huko maeneo ya...
  13. M

    JamiiForums Tanzania Mikono ya Jumbe yafunguliwa pingu na Polisi ikiwa imevimba kwa kufungwa pingu Jana Baada ya kutekwa

    Mikono ya Jumbe yafunguliwa pingu na Polisi ikiwa imevimba kwa kufungwa pingu Jana Baada ya kutekwa Jeshi la Polisi limefanikiwa kumfungua pingu msaidizi wa Tundu Lissu, aitwae David Djumbe, aliyekuwa ametekwa na baadae kufanikiwa kutoroka. Picha zinaonyesha namna ambavyo pingu zilikuwa...
  14. Carlos The Jackal

    JamiiForums Tanzania Jeshi la Polisi limlete David Jumbe akiwa HAI, Mashuhuda wanakiri Gari la Watekaji kuingia Moja ya Nyumba hapo Mbweni wakiwa Naye !!!

    Muache ngonjera za kusema Aliruka na kutokomea akiwa na PINGU. Ukimfunga Mtu Míkono kwa namna yoyote ile, UMEMUONDOLEA BALANCE YA KUKIMBIA , HIVO HAWEZ KUA NA UWEZO WA KUKIMBIA KWA KASI HATA KUWASHINDA MAASKARI UHUNI MLOUFANYA KWA POLEPOLE, KWAKUA HAMNA AKILI, NDIO MNAURUDIA ULEULE
  15. S

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Ofisi za CHADEMA Makao Makuu zimezingirwa na Polisi muda huu

    Huu hapa chini ndio ujumbe alioutoa Hilder Newton kupitia Mtandao wa X: Muda huu Jeshi la Polisi limezingira ofisi ya Makao Makuu ya CHADEMA Mikocheni, watu hawaruhusiwi kuingia wala kutoka. Ikumbukwe asubuhi hii chama kilikuwa kinatarajia kuzungumza na Waandishi wa Habari. Naibu...
  16. B

    JamiiForums Tanzania SI KWELI Video: Polisi Uganda wamekamata gauni la kifahari aliyekuwa spika wa nchi hiyo kufuaia tuhuma za rushwa zinazomkabili

    Police in Uganda have arrested a dress belonging to Parliament Speaker Anita Among. The designer outfit, which she wore during President Museveni's recent swearing-in, was reportedly purchased for Ksh. 1.1 million. Among is facing corruption allegations.
  17. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Maduhu: Hoja za kisiasa zijibiwe kisiasa na sio mwanasiasa atishiwe na kujibiwa na Msajili au Jeshi la Polisi

    Wakili wa Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC), William Maduhu akihojiwa na Wasafi FM leo Mei 20, 2026, amesema hoja za kisiasa zijibiwe kisiasa na sio mwanasiasa atishiwe na kujibiwa na Msajili wa Vyama vya Siasa au Jeshi la Polisi, kwani mfumo wa nchi unaruhusu uwepo wa vyama vingi...
  18. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania, JamiiForums Uganda Mali za aliyekuwa Spika wa Uganda, Anita Among ikiwemo magari yamebebwa na Polisi kufuatia kashfa ya rushwa na Ufisadi

    Mali za Spika wa Bunge la Uganda aliyemaliza muda wake, Anita Anneth Among ikiwemo magari yamebebwa na Polisi kuelekea Makao Makuu ya Jeshi la Polisi kuendelea na uchunguzi kufuatia kashfa ya rushwa na matumizi mabaya ya madaraka. Wakati hayo yakiendelea tayari Spika Among ametangaza rasmi...
  19. Fbn

    JamiiForums Tanzania Polisi Tanzania:Hivi mnajua haya yanayo tendeka kuna siku yata kuwa magumu sababu mnayapa uwezo ambao kesho mtashindwa kufika au kufanya kazi zenu

    Kama serikali ya CCM inavochukulia watanzania ni wasahalifu na nyie inawachukulia hivo hivo sababu ndio mlipotokea. Sio kwamba jeshi la polisi hakuna watu wanayofurahi haya ila kutokana na mfumo uliojipenyeza mpaka ndani ya polisi. Mfumo huu ni sababu ya CCM na hipo mifano mikubwa mpaka kwenye...
  20. A

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Mfumo wa kubadilisha umiliki wa magari nchini umejaa vikwazo vingi visivyo na ulazima

    Mfumo wa kubadilisha umiliki wa magari nchini Tanzania umejaa vikwazo vingi visivyo na ulazima. Hii ndiyo sababu leo utakuta magari mengi yanatumika na watu tofauti kabisa na wale waliopo kwenye umiliki rasmi wa nyaraka. Hali hii inaleta changamoto kubwa kwa vyombo vya usalama, hasa pale...
Back
Top Bottom