Upelelezi wa Jeshi la Polisi ulifanikiwa kuwaokoa wahanga hao tarehe 16 huko maeneo ya Mbezi Beach Kinondoni. Watekaji waliwatake na kudai ndugu wawapw Dola za Kimarekani Milioni moja 20 ili wawaachie huru.
Watuhumiwa wanne wamekamatwa.
Polisi wamewataja watuhumiwa kwamba ni
1. Deng Anqing...
Ni miaka na mikaka sasa bado mnatafuta chanzo cha kwanini WATU wanatekwa na kupoteza
Lakini haitoshi bado mnatafuta nani alimpiga TUNDU LISSU risasi pale Dodoma had kumsababishia ulemavu wa kudumu
Sasa katika hali ya kushtua mbele ya umma wa WATU wa IRINGA WAZIRI MKUU wa JAMHURI ya MUUNGANI WA...
Kushoto ni Polisi wa New York wakiwa darasani kujifunza mbinu za kukabiliana na majanga mbalimbali.
Kulia ni Polisi wa Tanzania wakiwa kwenye maonyesho ya namna walivyo wakakamavu na wanaweza kubeba pikipiki na kukimbia nazo
Historia inajirudia kwa namna ya kutofurahisha wakati mifumo ya usalama inapogeuka kuwa zana za kuangamiza ukosoaji wa kisiasa. Eugene Alexander de Kock, mkuu wa kikosi cha siri cha polisi cha Vlakplaas nchini Afrika Kusini wakati wa utawala wa ubaguzi wa rangi, anafahamika kwa ukatili...
Kaka yangu Nape, mapema mwaka huu aliwahi kusema, kama serikali isipodhibiti matumizi ya nguvu dhidi ya raia, Siku moja wananchi watakikataa chama chetu.
Kila mtu anaweza kuwa na mtazamo wake juu ya hili, lakini mimi napenda kuwakumbusha viongozi wangu uchaguzi wa 2010 Mbeya mjini kati ya Sugu...
Polisi wanataka kujichunguza wakati ndio wenye nyenzo.
Mi navyo mjua kamanda muriro na wengine Ma RPC wanavyopenda sifa za kuita vyombo vya habari kutoa ripoti za matukio mbona kama wapo kimya.
Kwa jinsi jeshi la polisi linavyojipeleka mda sio mchache sijui kama 2030 inafika kuna watu naona...
Wakuu,
Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limetoa taarifa kwa umma leo tarehe 21 Mei 2026, kufuatia sintofahamu na taarifa zilizokuwa zinasambaa mitandaoni tangu jana usiku kuhusu kukamatwa kwa Ndg. David Joseph Mghanja (maarufu kama Djumbe) na watu ‘wasiojitambulisha’ huko maeneo ya...
Mikono ya Jumbe yafunguliwa pingu na Polisi ikiwa imevimba kwa kufungwa pingu Jana Baada ya kutekwa
Jeshi la Polisi limefanikiwa kumfungua pingu msaidizi wa Tundu Lissu, aitwae David Djumbe, aliyekuwa ametekwa na baadae kufanikiwa kutoroka.
Picha zinaonyesha namna ambavyo pingu zilikuwa...
Muache ngonjera za kusema Aliruka na kutokomea akiwa na PINGU.
Ukimfunga Mtu Míkono kwa namna yoyote ile, UMEMUONDOLEA BALANCE YA KUKIMBIA , HIVO HAWEZ KUA NA UWEZO WA KUKIMBIA KWA KASI HATA KUWASHINDA MAASKARI
UHUNI MLOUFANYA KWA POLEPOLE, KWAKUA HAMNA AKILI, NDIO MNAURUDIA ULEULE
Huu hapa chini ndio ujumbe alioutoa Hilder Newton kupitia Mtandao wa X:
Muda huu Jeshi la Polisi limezingira ofisi ya Makao Makuu ya CHADEMA Mikocheni, watu hawaruhusiwi kuingia wala kutoka.
Ikumbukwe asubuhi hii chama kilikuwa kinatarajia kuzungumza na Waandishi wa Habari.
Naibu...
Police in Uganda have arrested a dress belonging to Parliament Speaker Anita Among. The designer outfit, which she wore during President Museveni's recent swearing-in, was reportedly purchased for Ksh. 1.1 million. Among is facing corruption allegations.
Wakili wa Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC), William Maduhu akihojiwa na Wasafi FM leo Mei 20, 2026, amesema hoja za kisiasa zijibiwe kisiasa na sio mwanasiasa atishiwe na kujibiwa na Msajili wa Vyama vya Siasa au Jeshi la Polisi, kwani mfumo wa nchi unaruhusu uwepo wa vyama vingi...
Mali za Spika wa Bunge la Uganda aliyemaliza muda wake, Anita Anneth Among ikiwemo magari yamebebwa na Polisi kuelekea Makao Makuu ya Jeshi la Polisi kuendelea na uchunguzi kufuatia kashfa ya rushwa na matumizi mabaya ya madaraka.
Wakati hayo yakiendelea tayari Spika Among ametangaza rasmi...
Kama serikali ya CCM inavochukulia watanzania ni wasahalifu na nyie inawachukulia hivo hivo sababu ndio mlipotokea.
Sio kwamba jeshi la polisi hakuna watu wanayofurahi haya ila kutokana na mfumo uliojipenyeza mpaka ndani ya polisi.
Mfumo huu ni sababu ya CCM na hipo mifano mikubwa mpaka kwenye...
Mfumo wa kubadilisha umiliki wa magari nchini Tanzania umejaa vikwazo vingi visivyo na ulazima. Hii ndiyo sababu leo utakuta magari mengi yanatumika na watu tofauti kabisa na wale waliopo kwenye umiliki rasmi wa nyaraka. Hali hii inaleta changamoto kubwa kwa vyombo vya usalama, hasa pale...
Anonymous
Thread
fanya
kazi
kikwazo
kufanya
kufanya kazi
magari
moja
polisi
tanzania
umiliki
zao
Jeshi linalotumwa kuwalindia madaraka
Askari mwenye V tatu
Mshahara 625,000 /= baada ya makato
Huna V hata moja 228,000/=
Hii iliongezwa kutoka 215,000/=
Kupanda vyeo labda jeshini, polisi ni nadra
Mkataba wa ajira kama huna nyota moja ni miaka mitatu mitatu tu. Day waka !
Miaka 6 ya...
Jeshi la polisi mkoani Arusha limesema katika kipindi cha Aprili 18, 2026 hadi sasa, watuhumiwa 176 wamehukumiwa vifungo mbalimbali vya makosa ya jinai ikiwemo ulawiti, ubakaji, wizi, dawa za kulevya, pamoja na kupatikana na nyara za serikali baada ya kufikishwa Mahakamani.
Akitoa taarifa hiyo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.