nataka

Nataka is a village in Mirzapur, Uttar Pradesh, India.

View More On Wikipedia.org
  1. Tujisahihishe Tz

    JamiiForums Tanzania Heche: Nimeambiwa tangu majuzi kwamba na wewe wanataka wakukamate wakubambikie kesi ya uhaini. Nataka nimwambie Samia, nipo tayari sitakimbia

    Ukisikiliza hii hotuba ya mh. Heche utagundua taifa hili tuna rasilimali ya watu wema sana na tunatakiwa kuwatumia kama taifa kwa manufaa yetu sote na Heche kwangu amethibitisha hilo baada ya Tundu Lisdu Msikilize https://youtu.be/0vuyOE2_9GA
  2. Stroke

    JamiiForums Tanzania Nikiwa mkubwa nataka nisaidie maskini.

    Unakuja kukuta maskini wa kwanza ni wewe mwenyewe.
  3. Planet Data bundles

    JamiiForums Tanzania Nataka nianze biashara ya Air BnB mwanza ?? Nitatoboa?

    Kwa msio elewa BnB Ni biashara ya kuazimisha nyumba kama hotel ambayo iko na kila kitu ila classic
  4. M

    JamiiForums Tanzania Kwenye hili, nataka washauri wakongwe tu

    Habari za leo. Katika maisha ya biashara Kuna Muda lazima ufanye mabadiliko . Sasa nimekuwa na mawazo hasa mabadiliko nayotaka kuyafanya kwenye biashara yangu. Ok Mimi ni muuzaji wa vifaa vya umeme vya majumbani ,taa za Urembo na sasa naingia umeme wa viwandani. Hapo awali nilikuwa nauza...
  5. Exotic_Massage

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nataka Mwanume wa kunihudumia Na Mimi Nimpe Penzi, Amani na Heshima

    Hello, Nahitaji mwanaume mtu mzima wa kunihudumia na mature. Akiwa Arusha itakuwa vizuri zaidi. Nitakupa Amani, heshima na penzi zuri baba. Zingatia neno: Uwe Unajua KUHUDUMIA.
  6. K

    JamiiForums Tanzania Nataka kumtoroka mwajiri wangu bila kumuaga

    Huyu mwajiri wangu,tuna mkataba wa mwaka mmoja. Mshahara anatoa tarehe 50 Mshahara wenyewe mpaka mpigane ngumi ndio anatoa. Ana matusi balaa. Nataka nimtoroke..kuna madhara yoyote?
  7. DexterLab

    JamiiForums Tanzania Nataka kusajili laini ya TTCL

    Kama heading inavyojieleza, nasikia hili shirika huko nyuma mtandao wake ni wa ovyo sana, labda mwaka 2026 wamebadilika, vipi niijaribu?
  8. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania Baba Levo: Nataka V8 ya Tsh. Milioni 270 ila siwezi nunua gari hela yote wakati Wananchi nyumba zinaanguka

    Baba Levo amesema anataka V8 ya Tsh. Milioni 270 ila siwezi nunua gari hela yote wakati Wananchi nyumba zinaanguka.
  9. J

    JamiiForums Tanzania Nataka kufanya kilimo Igula - Iringa

    Habari Machief zangu nataka kwenda kufanya kilimo mkoa wa Iringa kijiji cha Idodi - Igula so nisaidieni taarifa zozote zinazo husiana
  10. Gemini Are Forever

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nimeambiwa mahari Millioni 18. Sina Pesa hiyo na nataka kuoa, nifanyeje?

    ‎Ndoa ni utapeli, ndoa ni biashara! Nimekuwa nikikutana na hizi kampeni za kataa ndoa humu jukwaani nikawa nazichukulia kama ni porojo tu, sikuwa nazichukulia kwa uzito hadi leo yamenikuta. Back to the topic, Wakuu, naomba nishirikishe hali yangu na kupata ushauri wenu. Nina binti niliingia...
  11. Kazanazo

    JamiiForums Tanzania Nataka nikusanye kiasi cha million 25, nitumie mbinu gani?

    Kazi ninayofanya inanipa take home ya takriban 500k - 800k per month sasa nahitaji kusave hadi nifikishe kiasi cha sh 25mil kwa ajili ya kutimiza lengo langu (lengo kapuni). Mwaka jana nilijaribu kuhifadhi kwa kucheza kikoba kupitia jina la mama mtoto wangu lakini tuliishia kukopa kwa ajili ya...
  12. amarina

    JamiiForums Tanzania Nataka nimshauri Niffa(mfanyabiashara za kichina na kikorea.)

    ukiwa unafanya biashara yako tangaza lakini ukifanya ibada na kuuonyesha umma unakosea. Niliona kavidi kakitrend ukionyesha sehemu yako ya kuswalia, macho yangu yalitua kwenye ramani nyashi, kifupi ni kama unajidhalilisha tu
  13. Tundusami

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nataka mwanamke mwenye umbile la asili

    Natafuta mwanamke mwenye umbile la asili sio surgery awe na tako kubwa asiwe amejichubua awe mzuri wa sura na tabia njema Asiwe mzanaki, asiwe mvivu wa kufanya kazi Ajue kulea watoto Awe na matumizi ya pesa mazuri Awe tayari kuishi popote hata kijijini Ajue kupika chakula Ajue romansi...
  14. Chizi Maarifa

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Pamoja na kuwa huwa na enjoy lakini nataka kujua haina madhara kweli?

    Huyu demu huwa sometimes akija ofisini kwangu kwa kuwa nakuwa alone hasa jioni basi namchapa nao. Sasa msianze kusema oooooh.... Sijui mikosi sijui nini... Sitaki lecture hapa. Kwanza mikosi gani serikali haiamini ushirikina. Na huku ni nchi za watu. Hayo mambo imani zenu mbaki nazo huko huko...
  15. Dong Jin

    JamiiForums Tanzania Msaada nina milioni 500 hapa ambayo nataka niiwekeze niwe nakula faida tu, wapi kunafaa kwa uwekezaji huu?

    Wazee kwema Katika hustle zangu nilibahatika kupata milioni 500 ambayo kwa sasa naona km nikisema nianze kuitumia au kufanya biashara naweza iharibu yote (si mnajua hela za zali la mentali? 😅) Kuna mtu amenishauri nikaiwekeze sehemu mi niwe nakula faida tu maisha yangu yote. Je, ni wapi ambapo...
  16. comrade_kipepe

    JamiiForums Tanzania Nataka kununua kiwanja Zanzibar

    Hatua gani nifuate nimiliki hata 20 kwa 20 hapo zenji, mimi ni mtu wa kupenda sana maeneo, mashamba, vitu kama hivyo yani. Kwa ukubwa wa 20 kwa 20 meter, zanzibar nnje ya mji inaweza kua shngapi?
  17. MakinikiA

    JamiiForums Tanzania Nataka kununua za kumwagilia mpunga

    Kwa mwenendo huu wa changamoto za maisha huku maporini nahitaji kama 10 zitanisaidia kwenye ukombozi. US$20,000 = 50,000,000tsh
  18. K

    JamiiForums Tanzania Nataka kufungua biashara ya khanga na vitenge naweza wapi kupata kwa Bei ya jumla?

    Habari zenu wadau wa jukwa la biashara. Nakua hapa sintakosasaada wa ombi langu. Ombi langu kwenu ni kutaka kufahamishwa ni sehemu Gani kwa Dar es salaam ambapo naweza kupata khanga na vitenge kwa Bei ya jumla,NAMI kwenda kuuza kwa Bei ya lejaleja. Naomba msaada wenu tafadhari Natanguliza...
  19. Foffana

    JamiiForums Tanzania Nataka kuanza safari yangu ya kuwa Data analyst unanishauri nini katika safari yangu?

    Habari zenu Mabro Mda mrefu sana nimekuwa namatani hii kitu sasa huu mwaka nimedhamiria kabisa niongeze hii skills ya data analysis Ili nikitoboa hili jalamba la Degree hapa niwe vyema kote kote Mwaka huu nimeugawanya katika quarter 4 kila quarter moja najifunza Skills moja na niliyopanga...
  20. Lagertha

    JamiiForums Tanzania Nataka kuhama Dsm, nishauri niende Mkoa gani?

    Salaam wanajamvi, Naombeni ushauri wa kina, nataka kuhama jiji la Dsm je niende mkoa gani? Wenye maisha rahisi, vyakula vya kutosha, niweze kufanya biashara pia kwa maana ya mzunguko wa pesa upo, Tafadhalini mnishauri kwa upendo, nina vidonda vya tumbo.
Back
Top Bottom