barcelona

  1. Mad Max

    JamiiForums Tanzania Sir. Lewis Hamilton ameshinda Barcelona Grand Prix leo baada ya kupitisha races 45 bila kua kinara!

    Zimepita siku 708, au Grand Prix 45 tokea Sir Lewis Hamilton ashinde Grand Prix (P1). Ilikua ni Sikukuu ya 7, 7 2024 (British GP), akiwa na Mercedes Benz. Ila leo tarehe 14, June, 2026 amevunja mkosi kwa kushinda Barcelona GP. Hongereni team Ferrari.
  2. Inside10

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mtanzania Barka Seif ajiunga na Academy ya Barcelona (La Masia)

    Kinda wa Kitanzania Barka Seif Mpanda amejiunga rasmi na academy ya klabu ya Fc Barcelona ya nchini Hispania akitokea Fc Damm ya nchini humo Kiwango bora alchokionesha akiwa fc Damm ambapo kwa msimu uliopita aliibuka mfungaji bora kwa kufunga magoli 41 katika michezo 28 ya ligi za vijana...
  3. Waufukweni

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Robo Fainali UEFA: Liverpool na Barcelona kufanya 'Comeback' dhidi ya PSG na Atletico leo?

    Liverpool na Barcelona usiku wa leo zinakabiliwa na kibarua kigumu cha kujaribu kufanya mapinduzi (comeback) katika michezo yao ya marudiano ya robo fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya (UEFA). Timu zote mbili zinaingia uwanjani zikiwa na deni la mabao mawili, hali inayozilazimu kushinda kwa...
  4. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Klabu bingwa Ulaya: Robo fainali Barcelona Vs Atletico Madrid, PSG Vs Liverpool

    Usiku wa leo, Aprili 8, burudani kutoka UEFA Champions League inaendelea 🔥 Mashabiki wa soka duniani wanasubiri kwa hamu mechi hizi kali: FC Barcelona 🆚 Atlético Madrid Paris Saint-Germain 🆚 Liverpool FC Ni vita ya vigogo, mbinu kali na presha ya hatua za mwisho! Je, ni nani kuibuka mbabe...
  5. Pdidy

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania PASTA HANANJA MASHABIK WA BARCELONA NA ARSENAL TUNAOMBA MAOMBI YAKO USIKU HUU WENGINE KITANDA HAKILALIKI

    BABA MTUMISHI ZA ASBH KWANZA NAJUA HAIJAFIKA INAKARIBIA NIMEONA SEHEMU VIJANA MUAMKE.MAOMBI YA USIKU MAISHA YAMEKUWA MAFUPI SANA TUMJUE MUNGU AMEN KUONGEZEA USIKU WA LEO KAMA UJALA MASHABIKI WA BARCELONA NA ARSENAL WANAOMBA MAOMBI YAKO WAPATE AMANI NA FURAHA MAISHAN MWAOO AMEN
  6. Pdidy

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Barcelona kala 4 tayari huko msilale dk ya 52 kha

    HAKIKA WEMA NA FADHILI ZITANIFWATA....AMEN SHIKAMOO MHINDI
  7. Powell Gonzalez

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Barcelona 1 - 2 PSG kuna watu wanasema goli la pili ni offside

    Barcelona 1 - 2 PSG, kuna watu wanaamini goli la pili ni Offside kwamba hadi VAR imefanya makosa! Ushabiki wa hovyo kabisa!
  8. M

    JamiiForums Tanzania Nchi za wazungu ngumu: Dani Alves ameachiliwa kutoka gerezani baada ya kubainika alisingiziwa, mwanamke aliyemshitaki yupo huru

    Dani Alves alihukumiwa kwa kosa la KUBAKA (RAPE). Kapoteza zaidi ya siku 800 jela Mke alimkimbia Kapoteza deals za udhamini na endorsement kapoteza heshima yake alipoteza kazi yake Mwanamke aliyemsingizia hatakabiliwa na adhabu yoyote na sheria inamlinda asijulikane hadharani. Hio ndio...
  9. M

    JamiiForums Tanzania Hii ni sawa na Barcelona vs Toto Africa ya Mwanza

    Uchaguzi wa mwaka huu ni sawa na mechi kati ya Barcelona vs Toto Africa ya Mwanza
  10. Ritz

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Meli za misaada kutoka maeneo mbalimbali za flotilla zinaanza safari Barcelona kuelekea Gaza.

    Wanaukumbi. Flotilla iliyobeba misaada ya kibinadamu na wanaharakati, ikiwa ni pamoja na mwanaharakati wa hali ya hewa wa Uswidi Greta Thunberg, wanatarajiwa kuondoka kutoka Barcelona Jumapili kujaribu "kuvunja kuzingirwa haramu kwa Gaza", waandaaji walisema. Meli hizo zitaondoka katika mji wa...
  11. Damaso

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Klabu ya YF JUVENTUS yavaa jezi za BARCELONA

    Mashabiki walishangaa ikiwa ni baada ya YF Juventus, klabu ya mjini Zurich inayocheza katika Swiss 1. Liga Classic, kuingia uwanjani wakiwa wamevaa jezi zinazofanana kabisa na zile za FC Barcelona msimu wa 2022/23 (jezi ya tatu). Ndiyo, umesoma vizuri—muundo ule ule wa samawati wa jezi ambazo...
  12. FK21

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mchezaji mwenye kipaji kikubwa sana pale Barcelona (most talented Barcelona player)

    huyu ataimbwa sana next season
  13. Sema kama nenga

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania BARCELONA : Ter Stegen refused to terminate his contract .

    Ter Stegen have not been a positive for the team since he came back from the injury, he forcing flick to play in UCL semi final even though he was injured whole season and szczęsny was doing better. Even after la liga win the players and captain needs to talk with press and Ter Stegen being the...
  14. Dalton elijah

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Barcelona ndiyo Mabingwa Wa Ligi kuu ya Hispania 2024/2025

    #LaLigaEASports Barcelona ndiyo mabingwa qa ligi kuu ya Hispania 2024/25. Hili ni taji lao 28. FT': Espanyol 0-2 Barcelona
  15. JanguKamaJangu

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kipa wa Barcelona, Wojciech Szczesny asema anasubiri jibu la mkewe kama asaini mkataba mpya au aachane na soka

    Kipa wa FC Barcelona, Wojciech Szczesny, amesema anasubiri mwongozo wa Mkewe na Familia yake kabla ya kusaini Mkataba mpya wa kuendelea kubaki Klabuni hapo au kuondoka. Kipa huyo wa zamani wa Arsenal, alisajiliwa Oktoba 2024 ikiwa ni Mwezi mmoja tangu atangaze kustaafu akitokea Juventus...
  16. Arsenal Gunner

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Hivi Kuna timu kubwa duniani kuzidi Barcelona na Liverpool natafuta fundi anaeweza kuchora nembo za hizi timu kwenye nyumba yangu

    Aisee hizi timu zinatisha maana Kwa boli linalopigwa na usajili wao mbingu na ardhi aisee mungu anipe nini mimi maana msimu huu Kila mwisho wa wiki mama watoto namuambia apike pilau Ili tujiburudishe natafuta fundi anaeweza kuchora nembo ya Barcelona na Liverpool kwenye nyumba yangu forca barca...
  17. Greatest Of All Time

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania FT: Barcelona 4-3 Real Madrid | Laliga | Estadio Olimpic Luis Companys | 11.05.2025

    Muda mchache ujao, El Clasico inapigwa. Ni Barcelona Vs Real Madrid katika mchezo muhimu wa La liga ambao utatoa picha ya mbio za ubingwa. Ikumbukwe ni El Clasico ya mwisho kwa Carlo Ancelloti kabla ya ujio wa Xabi Alonso pale Real Madrid. Ancelloti amefungwa mechi zote alizokutana na...
  18. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mambo 10 Niliyoyaona Jana Nusu Fainali Inter Milan vs Barcelona pale Giussepe Meaza

    1. Kama hukuangalia gemu ya jana baina ya Inter Milan vs Barcelona basi umekosa raha ya dunia, it was a real outstanding kama alivyokuwa akisema commentator.Gemu ya kasi sana, uwezo, ufundi, ujuzi na mbinu za hali ya juu zilizopelekea gemu kwenda extra time. 2.Nimejifunza kuwa timu hata...
  19. Mstahiki Mea

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania FT: Barcelona 3-2 Real Madrid | El Classico - the World Class Derby | 26.4.2025

    Ule mtanange wa kukata na shoka Real Madrid Vs Fc Barcelona
  20. Wakusoma 12

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Tetesi: Barcelona wamepanga kuweka dau kubwa la kutaka kumnunua tena Messi

    Barcelona wamepanga kuweka dau kubwa la kutaka kumnunua tena Lionel Messi kabla ya msimu wa 2026/27, kwa mujibu wa ripoti kutoka nchini Argentina. Messi alihudumu Barcelona kwa zaidi ya miongo miwili huko Catalonia kuanzia mwaka 2000 mpaka msimu wa joto wa 2021, akijiunga na Paris Saint-Germain...
Back
Top Bottom