Kweli mchezo wa soka hautabiriki, Licha ya Barcelona kupewa nafasi kubwa lakini imeambulia kipigo cha magoli 3-1 kwenye Uwanja wa Camp Nou kutoka kwa PSG katika Robo Fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya.
Hivyo, PSG imefanikiwa kuingia Nusu Fainali kwa jumla ya magoli 6-4 kwa kuwa mchezo wa kwanza...
Upo tayari kujua tunachokuletea leo? TECNO ilitambulisha Dynamic 1, mbwa wa AI roboti, katika MWC pale Barcelona mwaka huu wa 2024 Februari 26. Kwa muundo wake rahisi kutumia na vipengele vya kisasa, inawakilisha dhamira kuu ya TECNO iitwayo "STOP AT NOTHING” Dynamic 1 inalenga kufanya maisha...
Kocha wa FC Barcelona, Xavi Hernández amesema ataondoka klabuni hapo mwishoni mwa msimu huu kutokana na matokeo mabaya ya timu hiyo aliyoanza kuinoa Novemba 2021 akitokea Al Sadd ya Qatari.
Ametangaza uamuzi huo baada ya kushuhudia timu yake ikiwa nyumbani kukutana na kichapo cha magoli 5-3...
Full name: Futbol Club Barcelona
Nickname(s): Barça or Blaugrana (Team)
Cules or Barcelonistas (Supportes)
Blaugranes or Azulgranas (Supporters)
Founded: 29 November 1899
League: La Liga
Website...
Klabu ya Barcelona inadaiwa inataka kumsajili winga huyo wa Manchester United katika usajili wa dirisha dogo la Januari 2024 baada ya kutokuwa na uhusiano mzuri na kocha wake, Erik ten Hag.
Barcelona ina uhaba wa idara ya ushambuliaji kutokea pembeni baada ya kumtoa kwa mkopo Ansu Fati kwenda...
Imagine if you, like Franck Kessie, were responsible for the winning goals in the past two Clasicos for Barcelona in your first season at the club.
You would feel like the king of the world, right? But despite your success and the potential to be Real Madrid's kryptonite, you're still not...
Chama cha Mpira barani Ulaya UEFA, inaichunguza timu ya Barcelona juu ya madai ya kuilipa kampuni ya Jose Mara Enriquez Negreira ambaye ni Makamu wa Raisi mstaafu wa chama cha marefa Hispania.
Nyaraka za mahakama zinaonesha kuwa, Barcelona imelipa kiasi cha €7.3m ambayo ni sawa na paundi 6.5m...
Barcelona iliyoundwa na Valdes golini.
Mabeki kama Dani Alves, Puyol, Mascherano na Eric Abidal.
Viungo walikuwepo Sergio Busquets, Xavi na Mtaalam Iniesta.
Safu ya ushambuliaji ikiongozwa na Leo Messi, David Villa na Thiery Henry.
Pia benchi unawakuta akina Pique, Keita, Pedro, Bojan, na...
Mtendaji Mkuu wa Ligi Kuu ya Hispania ‘LaLiga’, Javier Tebas amesema kuwa klabu hiyo haitakiwi kufanya usajili katika dirisha kubwa mwishoni mwa msimu huu hadi watakapofanikisha kuingiza Pauni Milioni 178 (Tsh. Bilioni 496) ili kutimiza Sheria ya Fedha.
Hivyo, Barcelona watatakiwa kuuza...
Beki wa zamani FC Barcelona ameendelea kubaki chini ya ulinzi wa Polisi jijini Barcelona Nchini Hispania kutokana na tuhuma zinazokabili wakati uchunguzi ukiendelea.
Alves (39), anadaiwa kumshikashika na kumpapasa mwanamke mmoja bila ridhaa yake katika ukumbi wa muziki, Desemba 2022, tuhuma...
Feisal ndio mchezaji anae ongoza kwa kupewa sifa ambazo hana..
Mashabiki wa Yanga= Feisal hawezi cheza timu yoyote nje ya Yanga akitoka Yanga anaenda Madrid.
Manara = Feisal sio mchezaji wa nchi hii.
Amunike = Feisal anatakiwa kuchezea Barcelona.
But ndio uhalisia huo? Sio kweli.
Ukweli ni...
EUROPA: MANCHESTER UNITED YAPANGWA KUIVAA BARCELONA
Timu hizo zimepangwa katika droo leo Novemba 7, 2022 ambapo zitakutana katika Hatua ya Mtoano ya UEFA Europa League, Februari 2023.
Ratiba ya mechi nyingine Juventus dhidi ya Nantes, Sporting CP vs Midtjylland, Shakhtar Donetsk vs Rennes...
Beki huyo wa kati wa Barcelona na timu ya taifa ya Hispania amesema anatarajiwa kucheza mechi yake ya mwisho dhidi ya Almeria, kesho Novemba 5, 2022 kwenye Uwanja wa Nou Camp
Uamuzi huo wa ghafla ameutoa miezi mitano tangu avunje uhusiano na Shakira aliyekuwa mpenzi wake kwa muda mrefu...
Klabu ya Barcelona inadaiwa kuwa ipo kwenye mipango ya kufanya mazungumzo ya usajili wa kiungo wa Chelsea, Jorginho kwa ajili ya kumsajili katika dirisha la Januari, 2023.
Kocha wa Barcelona, Xavi anahitaji mtu anayeweza kuziba nafasi ya Sergio Busquets mwenye umri wa miaka 34 ambaye anaelekea...
Huu mpira anaoupiga Mayele sio wa Afrika hii. Kuna namna Yanga wamefanya. Haiwezekani mchezaji hatari kama Mayele achezee timu hizi za Kitanzania.
CAF na TFF waimulike Yanga na ikiwezekana waiadhibu .
Mayele analeta imbalance uwanjani.
Kocha wa Barcelona, Xavi Hernandez ameshindwa kusafiri na timu yake kwenda Marekani kutoka Hispania kwa ajili ya maandalizi ya msimu mpya kutokana na sababu za kiutawala.
Xavi amezuiwa kwa kuwa ameonekana na rekodi ya kuingia zaidi ya mara tatu Nchini Iran (alifanya hivyo wakati akiitumikia...
Klabu ya Barcelona hatimaye imekubaliwa dili la kumsajili mshambuliaji wa Bayern Munich, Robert Lewandowski kwa ada ya Pauni Milioni 42.5.
Kilichobaki ni kukamilisha mchakato wa usajili, akitarajiwa kusafiri leo Julai 16, 2022 kutoka Ujerumani kuelekea Hispania baada ya makubaliano ya klabu...
Tunamfunga yoyote huku tukicheza sex football
Yanga hii inafanana sana na Barcelona bora ya Guardiola ya 2008-11
Yaani nikimtazama Mayele ni Eto'o mtupu, wakati Dickson Job ni Puyol.
Sasa ukija kwa huyu Aucho ni Xavi kabisaaa huku Feitoto akirandana kabisa na Iniesta.
Yanga hii ni bora na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.