kisasa

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Red black

    JamiiForums Tanzania Nashauri serikali itenge eneo hata la hekari 700 pajengwe ukuta ambapo raia hawataingia kizembe then kifanyike kilimo cha zao la Bangi kisasa.

    na watu binafsi pia wapewe vibali waanze kilimo hicho kuwepo na mashamba darasa, Zao la Bangi likishaa komaa na kukaushwa liwe processed kidogo then lipelekwe nje direct kwenye viwanda vya madawa ya binadamu. Tz mapori ni mengi sana
  2. D

    JamiiForums Tanzania Habari njema kibaha! Mradi wa kisasa majitaka mbioni kukamilika

    Ujenzi wa mtambo wa kisasa wa kuchakata majitaka katika eneo la Mitamba, Wilaya ya Kibaha mkoani Pwani, umefikia asilimia 50 ya utekelezaji wake huku lengo likiwa ni kuimarisha usafi wa mazingira kwa wananchi. Mradi huo unaotekelezwa na Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam...
  3. B

    JamiiForums Tanzania Vibanda vya biashara vya kisasa

    Vibanda biashara vya kisasa 🔥 Tunatengeneza vibanda vya biashara kwa mbao na bodi. Vibanda ni imara na haviharibiki kwa maji( finishing tunatumia stika hivyo huzuia maji kuingia kwny bodi au mbao pia stika hufanya muonekano wa kibanda kuwa 🔥🔥🔥.. Tupo dar mbagala mikoani tunafika kufanya kaz...
  4. bless on

    JamiiForums Tanzania Kilimo Cha maparachichi ya kisasa utajiri njenje

    Maparachichi ya kisasa kwa Sasa limekuwa zao kubwa sana la kibiashara wateja wanakufuata shambani Maparachichi yanasafirishwa nje ya nchi mti wa parachichi unakaa miaka 60 yaani kama ilikuwa unafikiria ulime nini Lima parachichi la kisasa utakuja kunishukuru usije sema sijakuambiaa.
  5. B

    JamiiForums Tanzania Vibanda vya kisasa vya biashara

    Vibanda vya biashara. Tunatengeneza vibanda vya biashara kwa mbao na bodi. Vibanda ni imara na haviharibiki kwa maji( finishing tunatumia stika hivyo huzuia maji kuingia kwny bodi au mbao pia stika hufanya muonekano wa kibanda kuwa 🔥🔥🔥.. Tupo dar mbagala mikoani tunafika kufanya kaz. 0692477610
  6. Kicheche mkali

    JamiiForums Tanzania 🏗️ Wachimbaji Visima vya Kisasa — Wataalamu wa Kuaminika!

    💧 KELVIN HK BUILDER'S 💧 🏗️ Wachimbaji Visima vya Kisasa — Wataalamu wa Kuaminika! 📍 Temeke, Dar es Salaam | 🌍 Tunahudumia Tanzania Nzima 🔥 OFA YA MSIMU: PUNGUZO LA DHAMANA! 🔥 Tunakuzawadia TANK LA MAJI LA LITA 5,000 BURE! 🎁💦 Chukua hatua sasa! Kwa kila mradi wa kisima tutakaofanya...
  7. Fbn

    JamiiForums Tanzania Ina maana mpaka zile pingu ni za kisasa zikaenda kufunguliwa polisi.Na kwa nini walipigiwa simu na polisi

    Polisi wanataka kujichunguza wakati ndio wenye nyenzo. Mi navyo mjua kamanda muriro na wengine Ma RPC wanavyopenda sifa za kuita vyombo vya habari kutoa ripoti za matukio mbona kama wapo kimya. Kwa jinsi jeshi la polisi linavyojipeleka mda sio mchache sijui kama 2030 inafika kuna watu naona...
  8. Forrest Gump

    JamiiForums Tanzania Asilimia 90 ya wadada nilioachana nao kwa sababu walitaka kunipanda kichwani na kuni-control vile watakvyo. Wadada wa kisasa wamekuwa "control freaks"

    Ingebakia basi wao kupenda pesa na maisha mazuri iishie hapo lakini hawa viumbe ni chupa za chai ambazo hazijai, Yani mtu anapata hivyo vyote na bado anataka akupelekeshe kama bwege kisa tu labda uzuri au wewe kumuonesha unyenyekevu.
  9. H

    JamiiForums Tanzania Unahitaji mfumo wa kisasa kwa kampuni au organization yako?

    Peculiar Enterprises Ltd tunabuni na kutengeneza mifumo ya kisasa kwa biashara, kampuni, taasisi na organizations za aina zote. Huduma zetu ni pamoja na: ✅ Corporate & Company Management Systems ✅ Project Management Systems ✅ Financial & Business Management Systems ✅ Websites za kampuni na...
  10. ufalmedigital

    JamiiForums Tanzania Betting kwa vijana wa kisasa – Je, jamii inaangalia upande mmoja tu?

    Kila siku utaona watu wengi wakisema betting ni kitu kibaya bila hata kuangalia dunia ilivyobadilika. Ukweli ni kwamba vijana wa leo wanaishi kwenye digital generation yenye: ✅ online business ✅ content creation ✅ esports ✅ streaming ✅ affiliate marketing ✅ football analysis na digital...
  11. Kicheche mkali

    JamiiForums Tanzania 🏗️ Wachimbaji Visima vya Kisasa — Wataalamu wa Kuaminika!

    💧 KELVIN HK BUILDER'S 💧 🏗️ Wachimbaji Visima vya Kisasa — Wataalamu wa Kuaminika! 📍 Temeke, Dar es Salaam | 🌍 Tunahudumia Tanzania Nzima 🔍 HYDROGEOLOGICAL SURVEY (Utafiti wa Kisayansi wa Maji Ardhini) Hatuchimbi kiholela — tunafanya utafiti kwanza! 📍 DSM & Pwani: TSh 300,000/= 📍 Mikoa...
  12. ngozimbili

    JamiiForums Tanzania Kenya Inatuingiza Utumwani Afrika Mashariki? Ni Climate Lab Ya Israel , Na Vita Vya Kisasa Ambavyo Wanasiasa Hawavijui

    KENYA KAMA “TROJAN HORSE”? VITA VYA DATA, TABIANCHI NA UTAWALA MPYA WA KIDIJITALI AFRIKA MASHARIKI Katika karne ya 21, vita havitangazwi tena kwa mizinga pekee. Havianzi kwa ndege za kivita wala askari kuvuka mipaka. Vita vya leo vinaanza kwa “ushirikiano wa kisayansi,” “miradi ya maendeleo,”...
  13. B

    JamiiForums Tanzania Mapazia ya kisasa, designing and installation kwa ajili ya nyumba, hotel, offices etc

    UNATAKA NYUMBA, HOTEL AU OFFICE YAKO IONEKANE YA KISASA NA YA KIFAHARI? 🏠✨ Watu wengi hutumia fedha nyingi kwenye furniture, rangi na decoration mbalimbali lakini bado room haipati ule muonekano wa “complete luxury look”. Sababu kubwa mara nyingi huwa ni uchaguzi mbovu wa MAPAZIA. Pazia si...
  14. Y

    JamiiForums Tanzania PICHA: Ushirika wa PPPC na TPSF ni game changer kwenye kujenga Uchumi mkubwa na wa kisasa | Watanzania tuchangamkie fursa huko huko tunakoishi

    Shirikisho la Sekta Binafsi Tanzania (TPSF) kwa kushirikiana na Kituo cha Ubia kati ya Sekta ya Umma na Binafsi (PPPC) wamesaini makubaliano muhimu ya ushirikiano yanayolenga kuimarisha nafasi ya sekta binafsi katika miradi ya ubia (PPP). Hatua hii inatajwa kuwa ni mwendelezo wa jitihada za...
  15. kaisar19

    JamiiForums Tanzania Wafugaji wa kuku wa kisasa tukutane hapa

    Habari wakuu, Khalysh investment tusambaza chakula cha kuku cha aina zote kwa bei ya kiwandani—ubora wa hali ya juu, bei rafiki, na uhakika wa matokeo shambani. 🐔 AINA ZA CHAKULA TUNAZOTOA: 🔹 Kuku wa Nyama (Broilers) ✔️ Starter – kwa vifaranga (ukuaji wa haraka) ✔️ Grower – kuku wanaokua ✔️...
  16. Roving Journalist

    JamiiForums Tanzania TANROADS: Taa za eneo la Tripple A haziwaki kutokana na hitilafu, Tunaomba radhi, tutafunga vifaa vya kisasa

    Jana Aprili 21, 2026, Mdau wa JamiiForums.com aliandika “Taa za Barabarani zilizopo Sakina Triple A / Arusha Technical College hazifanyi kazi kwa zaidi ya miezi minne hali inayoongeza hatari ya usalama wa watumiaji”. Hoja ya Mdau ipo hapa ~ Taa za Barabarani za Sakina Triple A ni zaidi ya miezi...
  17. N

    JamiiForums Tanzania Website ya BRELA ni mbovu sana na haendani na ukubwa wake wala teknolojia ya kisasa

    BRELA inatazamiwa kama kitu kikubwa sana na ukubwa wa juu yenye bajeti nzto sana lakini website yake ndio mbovu hivi maandishi yempandiana pandiana kiasi kwamba inatoa user experience mbovu sana. MDAU Je, unafikiri shida ni bajeti ndogo au wataalamu wa website hawana uwezo ? Vitu vimewekwa...
  18. Prof Phraoh AI

    JamiiForums Tanzania Kwanini Ulimwengu Umeundwa Mahususi kwaajili ya ku support Uhai kama mtu anavyotengeneza banda kisasa ili kuku wakae ?. Vita kali dhidi ya atheist Ep2

    ‎ulimwengu una mipangilio sensitive kama frequency ya redio ( ambapo ukibadikisha kidogo tu huipati channel hiyo ) ambapo kama ulimwengu ungekuwa tofauti kidogo tu hata kidogo sana uhai usingewezekana kabisa. ‎ ‎Mfano mmoja tu wa kuelewa: ‎Nguvu inayoshikilia atom pamoja inaitwa strong...
  19. Dodo86

    JamiiForums Tanzania Fundi wa kukarabati nyumba ya zamani iwe ya kisasa

    Habari. Nina nyumba ina vyumba vitatu vta kulala, dining, siting room na public toilet. Nahitaji fundi anayeweza Kuikarabati iwe ya kisasa kidogo maana lengo langu ni kupata master na jiko moja upande mwingine anitengenezee master jiko na sebule kama itawezekana. Ahsante. Eneo liko Dar es...
  20. Website Tanzania

    JamiiForums Tanzania Huduma za kutengeneza website kwa uharaka – siku 3 tu!

    Habari wakuu, Natoa huduma za kitaalamu za kutengeneza website kwa biashara, taasisi na miradi mbalimbali. Ikiwa unahitaji website ya haraka, inayovutia na inayofanya kazi vizuri, hii huduma ni kwa ajili yako. ✅ Website yako itakuwa tayari ndani ya siku 3 tu ✅ Inafaa kwa biashara ndogo...
Back
Top Bottom