Jamhuri ya Kenya ni nchi iliyoko Afrika Mashariki katika ikweta, kando ya Bahari ya Hindi.
Kenya imepakana na Ethiopia (kaskazini), Somalia (kaskazini mashariki), Tanzania (kusini), Uganda na Ziwa Victoria (magharibi), kisha Sudan Kusini (kaskazini magharibi).
Kenya ni nchi mwanachama wa Jumuiya ya Afrika ya Mashariki na wa miundo mingine mbalimbali ya kimataifa.
Mamia ya Wakenya walimiminika katika mitaa ya Nairobi mnamo Juni 1, 2026, kushiriki maandamano ya amani ya kupinga femicide na kuhamasisha hatua za haraka kuhusu ongezeko la watoto wanaopotea nchini.
Wakiwa na mabango yenye ujumbe wa "Stop Killing Women" na "Where Are Our Children?"...
Kenya’s education sector is facing a troubling wave of student unrest, with riots erupting over reasons that often appear bizarre yet carry devastating consequences. At Lenana School, students recently went on a destructive rampage after expressing disappointment with the Maroon Festival, an...
Political leaders from the Mt Kenya region have accused President William Ruto of engaging in ethnic profiling and sidelining the region in key government appointments and development decisions. The leaders, drawn from various political parties allied to former Deputy President Rigathi Gachagua...
Cecilia wanjiku, Binti mwenye umri wa miaka 16, mwanafunzi wa kidato cha tatu.
Baada ya Ajali ya moto kuanza Bwenini, wanafunzi wengine walikimbilia nje, ccecilia aligundua sauti ya wenzake wakiomba msaada, ndipo alipo Rudi, na blanketi alio iloweka kwenye maji, nakujifunika huku akiwakinga...
Mahakama ikiwa huru hata taifa linakuwa huru.
Leo mahakama kuu ya Kenya imezuia kujengwa kituo cha kutunzia wagonjwa wa ebola huko Nanyuki Kenya.
Mikataba ambayo inafungwa kwa ufiche kama ule wa Dp World ilipaswa kupingwa mahakamani na kisha kuzuiwa kabisa.
Tunahitaji katiba mpya na mahakama...
Mwezi Juni kwa kawaida huwa ni msimu wa baridi na wa kupendeza katika maeneo ya uwanda wa juu wa Afrika Mashariki. Lakini wakazi wa Nanyuki katikati mwa Kenya siku hizi wana hasira kubwa. Wamekusanyika katika malango ya Kituo cha Anga cha Laikipia, wakifanya maandamano ili kupinga kuanzishwa kwa...
Kwa mujibu wa Taarifa ya habari ya Radio one ya saa mbili usiku wa leo
Kenya imeajiri waalimu laki moja ndani ya miaka mitatu na inatarajia kuajiri wengine 20,000 kabla ya mwisho wa mwaka huu; kufanya iwe imeajiri waalimu takribani 40,000 kila mwaka kwa miaka mitatu mfululizo. Nafikiri hii...
The outgoing RDU Commandant, Mr. AGGREY MMBOTO SHAMALA, MBS, HSC, AIG, said that discipline was the foundation of every successful officer and institution. He explained that discipline helps people to make the right decisions, respect others, and perform their duties with honesty and...
Rais William Ruto amesema kuwa kuna upinzani kutoka kwa wafanyabiashara wenye nguvu wanaoagiza mafuta dhidi ya mipango ya kuanzisha kiwanda cha kikanda cha kusafisha mafuta kwa ushirikiano na mfanyabiashara bilionea wa Nigeria Aliko Dangote, lakini amesisitiza kuwa mradi huo utaendelea kama...
Wakenya wengi wamekasirishwa na taarifa za mpango wa kuweka Ebola quarantine na treatment facilities nchini Kenya.
Kwa mujibu wa mjadala unaoendelea online, Marekani inasema priority yao ni kulinda raia wao dhidi ya Ebola kwa kuzuia ugonjwa huo kufika nchini humo. Lakini wananchi wengi...
A photo circulating online has ignited heated debate among Kenyans after reports emerged that the United States is supporting the establishment of Ebola containment facilities in Kenya as part of efforts to prevent the deadly virus from reaching American soil.
What has angered many wananchi is...
The U.S. Public Health Service Commissioned Corps is deploying a team of highly trained officers to Kenya to support the care, monitoring, and quarantine of American citizens departing the Democratic Republic of the Congo as part of a coordinated interagency effort with the State Department and...
The United States Public Health Service Commissioned Corps has announced that it is deploying a specialised Ebola response team to Kenya to support the care, monitoring and quarantine of American citizens returning from the Democratic Republic of the Congo (DRC) amid a court suspension.
In a...
Serikali ya Cambodia imetoa tangazo linalowaagiza raia wote wa Afrika, wakiwemo kutoka Kenya, Ghana, Cameroon na Uganda kuondoka nchini humo kabla ya Mei 31, 2026, la sivyo watakamatwa na kushtakiwa kwa mujibu wa sheria za uhamiaji.
Katika taarifa rasmi iliyotolewa na Idara Kuu ya Uhamiaji...
Kuelekea juma tatu ambapo, parade Lita happen uingereza jijini London tayari losha Anza kizungushwa nchi tofauti, ambapo limepita Kenya na litaendelea kwingineko sidhani kama bongo litakuja.
Jamaa yangu Mmoja kanijuza wakenya wana connection kubwa hapa duniani na ndo mana hawakuhitaji...
Law Society of Kenya (LSK) President Charles Kanjama has called on Kenyans to reject a reported proposal by the United States to establish an Ebola treatment centre in the country. Speaking amid growing public debate, Kanjama questioned the transparency and public participation surrounding the...
Kauli ya IGP wa Kenya Kwa Askari wa Kenya
"Now, enforcement officers najua mko na kazi ngumu, but I want to appeal to you that even as you carry out enforcement duties, let us do it with a human heart. Let us be human. We are dealing with human people—human beings, we are dealing with people...
Katika eneo la mashambani lililotanda rangi ya kijani katika Kaunti ya Murang'a katikati mwa Kenya, Jeff Ngigi Mburu alifurahia sana miparachichi yake aina ya Hass, huku akistarehe kwa upepo mwanana wa alasiri.
Mkulima huyo kijana alifurahia kuzungumza na wafanyakazi kadhaa kutoka vijiji jirani...
Kwa karibu mwaka mmoja, Hellen Rono, mkulima kutoka Kaunti ya Bomet magharibi mwa Kenya, amefanikiwa kuzuia ugonjwa wa mnyauko wa nyanya kwa kutumia teknolojia ya kupandikiza iliyoanzishwa kupitia ushirikiano wa kilimo kati ya China na Kenya, baada ya miaka mingi ya kuona mazao yake yakiharibika...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.