kenya

Kenya
Jamhuri ya Kenya ni nchi iliyoko Afrika Mashariki katika ikweta, kando ya Bahari ya Hindi.

Kenya imepakana na Ethiopia (kaskazini), Somalia (kaskazini mashariki), Tanzania (kusini), Uganda na Ziwa Victoria (magharibi), kisha Sudan Kusini (kaskazini magharibi).

Kenya ni nchi mwanachama wa Jumuiya ya Afrika ya Mashariki na wa miundo mingine mbalimbali ya kimataifa.

Mji mkuu ni Nairobi.
  1. M

    JamiiForums Tanzania Isaya Yunge, Kijana kutoka Mwanza, anamuoa binti wa Rais wa Kenya, Charlene Ruto, Hii hapa Cv Yake

    Leo Agosti 8, nchini Kenya tukio kubwa ni engagement ya Charlene Ruto ambaye ni binti wa Rais Ruto. Katika tukio hilo, ametambulisha mumewe mtarajiwa ambaye ni Mtanzania Isaya Yunge. Historia yake si kubwa sana mtandaoni ila nimepata hints hizi. Kwanza jamaa kasoma IFM Bachelor of Science Degree...
  2. F

    JamiiForums Tanzania Inaonekana wazi sasa kuwa Dangote alikimbilia kujenga refinery Kenya baada ya kukataliwa Tanzania

    Ni takribani mwezi mmoja tu tangu bwana Dangote alipotangaza kuwekeza mradi wake mkubwa wa takribani $16 bilioni nchini Kenya. Hayo yalijitokeza baada ya maneno ya rais wa Kenya kwamba walishakubaliana mwanzoni kuwa kiwanda cha kusafisha mafuta (refinery) kijengwe Tanga lakini ilionekana kuwa...
  3. Alexido jz instagram

    JamiiForums Tanzania MTANZANIA kumuoa mtoto wa rais Ruto wa Kenya

    Kijana wa kitanzania issaya yunge, ametambulishwa rasmi kama mchumba wake na Charlene ruto, mtoto wa muheshimiwa William ruto, rais wa kenya. Za chini chini inasemekana kijana huyu, ni mhitimi WA CHUO cha IFM, ni mjasiriamali, na ndio miliki wa soma app. Naendelea kufatilia wadhifa wake na...
  4. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania Mtanzania Isaya Yunge amuoa mtoto wa Rais Ruto wa Kenya, Charlene Ruto

    Mfanyabiashara na mjasiriamali wa teknolojia kutoka Tanzania, Isaya Yunge, amefunga ndoa ya kimila na Charlene Ruto, binti wa Rais wa Kenya William Ruto. Sherehe hiyo ilifanyika Kilgoris, Kaunti ya Narok nchini Kenya, na kuhudhuriwa na viongozi mbalimbali pamoja na wageni mashuhuri
  5. O

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania 2027 Inakaribia, Lakini Je, Kenya Iko Tayari Kuzuia Siasa za Chuki?

    Huku Kenya ikielekea katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2027, wasiwasi kuhusu ongezeko la matamshi ya chuki na uchochezi wa kisiasa unaendelea kuongezeka, huku viongozi kadhaa wakikabiliwa na uchunguzi na hatua za kisheria. Tukio la hivi karibuni linamhusu MCA wa Kuteuliwa wa Makueni, Urbanus...
  6. O

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Miaka Mitatu Bila Malipo: Mfanyabiashara wa Uganda Adai Alitapeliwa Mahindi Aliyouza Kenya

    Mfanyabiashara mmoja kutoka Uganda ameomba msaada wa mamlaka za Kenya kufuatia madai kwamba hajalipwa fedha za mahindi aliyosambaza nchini karibu miaka mitatu iliyopita, licha ya bidhaa hizo kudaiwa kupokelewa na mnunuzi na malipo kufanyika. Mkurugenzi Mtendaji wa Kamaala Enterprises Limited...
  7. O

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ripoti: Kenya yalipa Takriban Shilingi Bilioni 8 kwa Mikopo isiyotumika, Mdhibiti Mkuu wa Hesabu aibua wasiwasi

    Kenya imelipa takriban Shilingi bilioni 7.7 kama ada za kujitolea (commitment fees) kwa mikopo ya kigeni ambayo haikutumika kati ya mwaka wa fedha 2020/21 na 2024/25, kulingana na ripoti za Mdhibiti Mkuu wa Hesabu za Serikali, Nancy Gathungu, na Mdhibiti wa Bajeti, Margaret Nyakang'o. Ada hizo...
  8. Carlos The Jackal

    JamiiForums Tanzania Enyi CHADEMA, Mauaji ya Okt 29 ya CCM, ni sawa na Mauaji ya Kenya 2007 yaliyozaa Katiba Mpya. Komaeni, Pambaneni, Samia na CCM watabana ila Wataachia

    Hatuhitaji Tena Mauaji mengine kuleta KATIBA na Mabadiliko katika NCHI hii, hata hivo ikilazimu Maandamano, tútaandamana kwa kua ni HAKI. Hamna mahali popote pale DUNIANI, Kiongozi akaua watu wake siku za Uchaguzi kwa Maelefu vile, alafu akabaki salama na akatawala na Dunia ikamchekea, Hamnaaaa...
  9. O

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Maelfu Washindwa Kununua Tokeni za Kenya Power Baada ya Kukatika kwa Umeme Nchini

    Maelfu ya wateja wa Kenya Power wamekumbwa na changamoto ya kushindwa kununua tokeni za umeme wa malipo ya awali saa chache baada ya hitilafu kubwa iliyosababisha kukatika kwa umeme katika maeneo mbalimbali nchini. Wateja wengi walilalamika kuwa miamala kupitia huduma za simu na majukwaa...
  10. Dogoli kinyamkela

    JamiiForums Tanzania Kenya nzima IPO gizani, wenda Tanzania ikawa gizani siku 3

    Kenya nzima IPO gizani, wenda Tanzania ikawa gizani siku 3
  11. O

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Five Kenyan Security Officers Killed in Suspected Al-Shabaab IED Attack in Mandera

    At least five Kenyan security officers have been killed after a patrol vehicle struck a suspected improvised explosive device (IED) in Mandera County. The officers, comprising four members of the Special Operations Group (SOG) and one National Police Reservist, were reportedly conducting a...
  12. Kenyan

    JamiiForums Kenya Kenya Teachers Service Commission advertised 20,000 post primary teacher vacancies to support Junior School CBC implementation

    Hello everyone, If you are a teacher looking for employment, or if you know someone who is, the Teachers Service Commission (TSC) has just announced a massive recruitment drive. They are looking to fill 20,000 teaching vacancies in Junior Schools to help with the CBC rollout. Here are the most...
  13. K

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania CCTV zilivyowaumbua Polisi Kenya Mauaji ya Mwanablog Ojwang

    Wiki iliyopita inaweza kuwa siku mbaya kwa Jeshi la Polisi Kenya, baada ya ushahidi wa video za usalama (CCTV) katika kesi ya mauaji ya mwalimu na mwanablogu, Albert Ojwang, kuwaumbua polisi waliodaiwa kujaribu kuficha mauaji hayo. Video hizo zilinasa matukio yote kuanzia Ojwang anafikishwa...
  14. O

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Daniel Adongo, Mchezaji wa Zamani wa NFL, Ahamishwa kutoka Marekani hadi Kenya

    Daniel Ogama Adongo, mchezaji wa zamani wa Ligi ya Soka ya Marekani (NFL) na raia wa Kenya, amehamishwa kutoka Marekani hadi Kenya na mamlaka ya uhamiaji ya nchi hiyo baada ya kukiuka masharti ya visa yake. Kwa mujibu wa mamlaka ya U.S. Immigration and Customs Enforcement (ICE), Adongo...
  15. Fbn

    JamiiForums Tanzania Kuna nchi uchumi wake utegemea kuuza passport na kenya kuna kashifa wanayo ila sio hiyo nchi.

    Kwa jina hiyo nchi imenitoka ila ni kakisiwa ambacho hakana rasilimali yoyote ila kanategemea zamana ya pesa utakayoweka kwao wakupe passport. Ukipata passport yao unaweza kwenda nchi nyingi free ambazo kwa passport yetu free utapata sudani ,somalia na zilizomo hata uwezi kufika na wala hakuna...
  16. M

    JamiiForums Tanzania David Kafulila: Hayati Benjamini Mkapa aliweza kuukuza Uchumi wa Tanzania na kuwa karibu sana na wa Kenya | Endelea kupumzika kwa amani Mzee Mkapa

    SEHEMU YA KUMBUKUMBU YA RAIS MKAPA: MIAKA 6 TANGU ATUAGE Anaandika Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Ubia kati ya Sekta ya Umma na Sekta Binafsi (PPPC), Bw. David Kafulila, kupitia mtandao wa X. Na David Kafulila Julai 24, 2026 Kwa mujibu wa takwimu za Shirika la Fedha Duniani (IMF), ukubwa wa...
  17. Da Dona

    JamiiForums Tanzania, JamiiForums Uganda Town Council Engineer Arrested After Fleeing to Kenya Ahead of Accountability Inspection

    The Engineer of Lwakhakha Town Council in Namisindwa District has been arrested after allegedly fleeing to Kenya ahead of an accountability inspection into the management of public funds. The development was announced on Tuesday by Minister for Local government Balaam Barugahara, who said the...
  18. ROADS OF ADVENTURE

    JamiiForums Kenya 20 Most Famous activities to do in Kenya other than big five Kenya safaris

    When you think of Kenya safari, your mind likely drifts straight to the iconic image of a 4x4 tracking lions across the golden savannah. But look past the binoculars, and you’ll find a country pulsing with a completely different kind of magic. Beyond the traditional safari circuit lies an entire...
  19. O

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Susan Nakhumicha Leads Kenya Delegation at UN Urban Development Meeting

    Kenya's Permanent Representative to UN-Habitat, Ambassador Susan Nakhumicha Wafula, has reaffirmed Kenya’s commitment to advancing sustainable urban development after leading the country’s delegation to the High-Level Meeting on the Midterm Review of the New Urban Agenda in New York. The...
Back
Top Bottom