kenya

Kenya
Jamhuri ya Kenya ni nchi iliyoko Afrika Mashariki katika ikweta, kando ya Bahari ya Hindi.

Kenya imepakana na Ethiopia (kaskazini), Somalia (kaskazini mashariki), Tanzania (kusini), Uganda na Ziwa Victoria (magharibi), kisha Sudan Kusini (kaskazini magharibi).

Kenya ni nchi mwanachama wa Jumuiya ya Afrika ya Mashariki na wa miundo mingine mbalimbali ya kimataifa.

Mji mkuu ni Nairobi.
  1. R

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Viongozi wa Upinzani washiriki Maandamano Nairobi

    Wanaharakati na Vongozi wa upinzani nchini Kenya washiriki kumbukumbu ya Maandamano ya Gen Z Jijini Nairobi. Miongoni mwao ni kiongozi wa chama cha PLP Martha Karua, Jaji Mkuu Mstaafu David Maraga, kiongozi wa DAP-K Eugene Wamalwa, kiongozi wa Wiper Kalonzo Musyoka, pamoja na wanaharakati...
  2. instinct desire

    JamiiForums Tanzania CHADEMA, ni nani anayewalisha akina Hilda Newton, Pambalu na Viongozi wengine waliokimbilia Kenya?

    Wote tunajua ugumu wa maisha unayoikumba Kenya hasa kwa Mwananchi asiye na ajira yyte. Ni vema viongozi wa chadema wakatoa ufafanuzi wa nani anafadhiri maisha ya viongozi wao ambao walikimbilia Kenya Toka waka Jana, nani anawatunza? Je? Nani amewapangia nyumba ya kuishi? Nani anawalisha? Ni...
  3. O

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania DCI Arrests Embakasi East MCA, Recovers Illegal Firearm

    The Directorate of Criminal Investigations (DCI) has arrested Embakasi East Member of County Assembly (MCA) Patrick Karani alongside two other suspects following the recovery of an illegally held firearm during a police operation in Nairobi. According to the DCI, detectives raided the MCA's...
  4. M

    JamiiForums Tanzania Kwanini wabunge wachache wanaopinga uwanja wa Serengeti wanatumia nguvu kubwa sana kutetea maslahi ya Kenya, wananufaika vipi kuitetea Kenya ?

    Wakenya wanajua uwanja wa Serengeti ukijengwa tunaenda kuwapiga gap kubwa wanalijua hilo Hivi sasa wakenya wameshaanza ujenzi wa uwanja wa ndege wa kimataifa karibu na Masai Mara, hii ni mbuga iliyoungana na Serengeti, kwa lugha iliyorahisishwa ni serengeti inayoendelea upande wa Kenya Lakini...
  5. Mwanga wa Jua

    JamiiForums Tanzania Kenya Vs Tanzania: Wenzetu Kenya baada ya kuzidiwa na madeni hii ndio njia mpya walioichagua kujenga uchumi wao.

    SASA KENYA INAJIELEKEZA KWENYE SEKTA BINAFSI ZAIDI KATIKA UJENZI WA TAIFA LAO, Mfano, Katika bajeti ya Kenya ya mwaka wa fedha 2026/27, serikali imeweka mkazo mkubwa wa kimkakati kwenye Ushirikiano wa Sekta ya Umma na Binafsi (PPP). Hali hii inatokana na kubana kwa nafasi ya kifedha kutokana na...
  6. Yesha

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kenya Denies Reports Linking Zimbabwean Businessman Wicknell Chivayo to JKIA Expansion Deal

    The Kenyan government has denied reports that a company linked to Zimbabwean businessman Wicknell Chivayo was awarded a contract to expand Nairobi's Jomo Kenyatta International Airport (JKIA). Zimbabwean media reports had claimed that IMC Construction, a company associated with Chivayo, was...
  7. Mad Max

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania CECAFA U-17 Women’s Championship 2026 | Tanzania vs Kenya | 17 June 2026 | 04:00 PM | KMC Dar es Salaam!

    Mashindano ya Mpira wa Miguu kwa Team za Wanawake umri chini ya Miaka 17, Africa ya Mashariki na Kati kwa mwaka 2026 yanaendelea. Leo Tanzania inakipiga na jirani Kenya. Tanzania ilicheza ikampiga Sudani 10 kwa bila. Madogo wako vizuri. Mwanadada Bahati anakipiga hatari, akaibuka WOM...
  8. O

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania G7 Leaders Pledge Debt Reforms and Greater Support for Developing Nations

    Leaders attending the 2026 G7 Summit in Évian-les-Bains, France, have pledged to strengthen efforts aimed at addressing rising debt burdens facing developing countries. In a joint declaration issued at the summit, the world's leading economies committed to supporting reforms that would improve...
  9. n00b

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Chivayo aiweka Kenya mfukoni? Kampuni yake yapewa dili la Dola Bilioni 2.9 kuboresha Uwanja wa Ndege wa Jomo Kenyatta (JKIA)

    Kama mnavyojua, linapokuja suala la miradi mikubwa ya miundombinu (mega projects) katika ukanda wetu wa Afrika Mashariki, mambo huwa hayaishi vituko. Baada ya kelele nyingi, migomo ya wafanyakazi, na kesi mahakamani zilizopelekea kufutwa kwa ule mkataba tata wa uendeshaji wa Uwanja wa Ndege wa...
  10. upupu255

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania FALSE Prophet Owuor says God told him in a dream, every Kenya will die if we do not vote for Ruto in 2027

  11. R

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kenya politics is at Next level: Gachagua to Ruto: Kama mtu anahara huwezi shona makalio, you have to deal with the real issues in the stomach

    You have to deal with the real issue within the stomach, not kushona makalio. Huwezi kutuzuia kwenda Kakamega kufanya mkutano kwa kuweka GSU, you have deal with the real issue in the stomach, not stitching the anus! Stool Itapenya tu!
  12. O

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania "Tumechoka Kusubiri!" Student Challenges Area MP Over Classrooms Without Windows

    A young student has sparked conversation after boldly calling on the area MP to address poor learning conditions in local schools. Speaking during a public event, the learner highlighted the struggles faced by students who continue to study in classrooms without windows. "Tumechoka kusubiri,"...
  13. The Watchman

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania FALSE Bolt stops its operations in Kenya

  14. Fbn

    JamiiForums Tanzania Zamani nilipokuwa South Africa, leo na gundua kwamba wa Zanzibar wakiwa huku wanajiona ni watu Kenya toka Mombasa

    Watu Zanzibar kama mjawahi kukutana nao unaweza kujua ni watanzania. Ila hawa watu wapo kwa vyovyote kujionesha sio watanzania hata kuvaa bendera za kenya. Ili jambo sikuwahi kufikiria miaka nyuma sana ila leo kwa kauli zao zinaonesha ukweli. Kuwa muungano huu mkilazimisha kinachofata...
  15. figganigga

    JamiiForums Tanzania Waziri: Wanaojiuza Zanzibar wanatoka Tanzania bara na Kenya

    Akijibu swali bungeni, Waziri amesema kuwa serikali ina mkakati madhubuti wa kufanya operesheni za mara kwa mara katika maeneo yanayodhaniwa kuwa na viashiria vya biashara ya ukahaba. Amesema operesheni hizo hufanyika kupitia Jeshi la Polisi kwa kushirikiana na idara maalum, ambapo watu...
  16. O

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mbadi: Kenya to Depend on Local Borrowing to Fund KSh4.84 Trillion Budget

    The Kenyan government will primarily rely on domestic borrowing to finance its 2026/27 budget, Treasury Cabinet Secretary John Mbadi has announced. Speaking during the presentation of the KSh4.84 trillion budget, Mbadi said the government plans to borrow approximately KSh684 billion from the...
  17. O

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mbadi Defends KSh4.84 Trillion Budget as Kenya Adopts Zero-Based Spending Model

    Treasury Cabinet Secretary John Mbadi has defended Kenya's 2026/27 national budget, saying every expenditure included in the spending plan was thoroughly justified before approval under a new budgeting approach. Speaking ahead of the presentation of the KSh4.84 trillion budget, Mbadi revealed...
  18. F

    JamiiForums Tanzania Waburundi nchin Kenya

    Wamejaa wanauza njugu na kahawa mapato yao inabidi watu watano waishi chumba. Jee wako Tanzania?
  19. Crocodiletooth

    JamiiForums Tanzania Arena inayokusudiwa kujengwa Kenya si ya kitoto,Tujenge zaidi ya hii

    Fedha imekuwa ngumu sana natamani nijiunge na chadema maana wao lissu amehaidi akiwa rais hali itakuwa bora. =========== Kenya imekuwa na mipango ya kujenga arena kubwa ya kisasa inayolenga kuimarisha sekta ya michezo, burudani na matukio ya kimataifa nchini humo. Mradi huo unatarajiwa kuwa...
  20. Stability

    JamiiForums Tanzania Bien wa Kenya amekuwa mfalme wa East Africa karibia 6 mfululizo, tatizo ni kuwa vijana wa Nasib na genge lenu ni wabishi mno

    Bien kutoka Kenya ameendelea kuthibitisha ubora wake katika muziki wa Afrika Mashariki kwa kutawala kwa takriban miaka sita mfululizo. Tatizo ni kwamba baadhi ya mashabiki wa Nasibu Abdul (Diamond Platnumz) na kundi lenu bado ni wabishi kukubali ukweli huo licha ya mafanikio yanayoonekana wazi.
Back
Top Bottom