kenya

Kenya
Jamhuri ya Kenya ni nchi iliyoko Afrika Mashariki katika ikweta, kando ya Bahari ya Hindi.

Kenya imepakana na Ethiopia (kaskazini), Somalia (kaskazini mashariki), Tanzania (kusini), Uganda na Ziwa Victoria (magharibi), kisha Sudan Kusini (kaskazini magharibi).

Kenya ni nchi mwanachama wa Jumuiya ya Afrika ya Mashariki na wa miundo mingine mbalimbali ya kimataifa.

Mji mkuu ni Nairobi.
  1. Dalton elijah

    MPYA je? ni kweli meri ya Marekani ipo mpakani mwa bahari ya Tanzania na Kenya ikielekea mashariki ya kati

    kumekuwepo na chapisho lililosambazwa na mtumiaji wa mtandao wa Facebook likidai kuwa meli ya kivita ya Marekani, USS George H. W. Bush, inapitia katika Bahari ya Hindi. Kwa mujibu wa Marine Finder, meli hiyo inadaiwa kuwa iko karibu na mpaka wa Tanzania na Kenya, ikielekea Mashariki ya Kati...
  2. figganigga

    Eti Kenya wana Nyambizi 150 wakati Tanzania kuna nyambizi 0?

    Hii ni ajabu. Kenya wametoa wapi nyambizi? Kama wana Nyambizi, basi Tanzania tujitafakari.. Samia acha kupamba na CHADEMA. kama una uwezo ondoa njaa Nchini Tanzania
  3. Waziri Mayai Wa Maradhi

    Commander Kenya Air Force Major General Bernard Waliaula Inducted Into International Honor Roll

    Major General Bernard Waliaula, Commander of the Kenya Air Force, has been inducted into the International Honour Roll at Air University in Montgomery, one of the United States Air Force’s most prestigious recognitions for distinguished international graduates. The International Honor Roll...
  4. M

    MWIJAKU LAWANI NCHINI KENYA

    https://youtube.com/shorts/mtMrVj0S8O0?si=ytV4I13fhDCwaHYq
  5. O

    Frustrated Coffee Farmers in Gichugu Fix Roads Themselves as Poor Access Forces Sales to Brokers

    Coffee farmers in Gichugu, Kirinyaga County, have taken matters into their own hands, repairing a dilapidated road that has long hindered access to markets and cut into their earnings. The farmers say the key road connecting Mururi to the Mwea–Embu highway has become nearly impassable...
  6. O

    Kenya Seeks Urgent World Bank Loan as Middle East War Sends Fuel Prices Soaring

    Kenya has formally applied for an emergency loan from the World Bank as it seeks to cushion its economy from the ripple effects of the ongoing Middle East conflict. The war, particularly tensions involving Iran, has disrupted global oil supply chains, triggering a sharp rise in fuel prices...
  7. Waziri Mayai Wa Maradhi

    Kenya Requests World Bank Funds To Cushion Iran War Shock

    Kenya has requested rapid financial support from the World Bank to help it manage the shocks from the war in Iran, its central bank governor ‌told Reuters on Thursday. Like other nations that are heavily reliant on energy imports, the East African country is scrambling to stave off shortages of...
  8. Waziri Mayai Wa Maradhi

    Chinese National Jailed In Kenya For Attempted Smuggling Of 2,200 Ants

    A Kenyan court on Wednesday mandated that a Chinese individual pay a fine of 1 million shillings ($7,746) and sentenced him to 12 months in prison for attempting to smuggle live ants out of the country. The magistrate in the case stated that a severe penalty was necessary to deter others...
  9. O

    Fuel Prices Drop , Relief ama Serikali PR Tu?

    Wakenya wamepata good news kidogo baada ya Energy and Petroleum Regulatory Authority (EPRA) kutangaza kushuka kwa bei ya mafuta kuanzia April 16 hadi May 14, 2026. Kulingana na taarifa, bei ya Super Petrol imeshuka kwa KSh 9.37 per litre na Diesel kwa KSh 10.21 per litre ndani ya Nairobi. Hii...
  10. O

    Meli yenye Bendera ya Kenya yazuiliwa Tanzania, KMA yathibitisha uchunguzi unaendelea

    Mamlaka ya Usafiri wa Majini Kenya, Kenya Maritime Authority (KMA), imethibitisha kuwa meli yenye bendera ya Kenya imezuiliwa nchini Tanzania, huku uchunguzi ukianzishwa kubaini chanzo cha tukio hilo. Katika taarifa rasmi, KMA ilisema meli hiyo, inayojulikana kama M/V Sea Mfalme, inashikiliwa...
  11. O

    Earn in Dollars, Pay in Kenya? New KRA Ruling Sparks Debate

    A landmark court ruling has opened the door for the Kenya Revenue Authority (KRA) to tax foreign earnings made by Kenyan remote workers—triggering debate among freelancers, digital professionals, and the wider public. The ruling affirms that income earned by Kenyan residents, regardless of where...
  12. M

    Chama cha Wamiliki wa Matatu chaongeza nauli kutokana na gharama za uendeshaji kupanda

    Chama cha Wamiliki wa Matatu (MOA) kimetangaza rasmi ongezeko la nauli nchi nzima, kikieleza kuwa gharama za uendeshaji zimepanda kwa kiasi kikubwa ambacho hakiwezi kuhimiliwa na wasafirishaji pekee. Rais wa chama hicho, Albert Karakacha, amebainisha kuwa dizeli ndiyo nishati kuu inayotumiwa na...
  13. Waziri Mayai Wa Maradhi

    A Rise In Active Taxpayers In Kenya

    The number of engaged taxpayers in Kenya has surged to an all-time high, indicating a consistent expansion of the country's tax base over the past seven years. As per the most recent statistics from the Kenya Revenue Authority, there are now an estimated 9.87 million active taxpayers...
  14. Waufukweni

    Matonya aendelea kusota rumande Kenya, amlilia Diamond Platnum amsaidie

    Wakati Msanii mkongwe wa Bongo Flava kutoka nchini Tanzania, Sefu Shabani, maarufu kama Matonya akiendelea kushikiliwa na mkono wa sheria huko nchini Kenya, ndugu wa karibu anayefahamika kama Omary ambaye yuko nchini Kenya ameelezea kukwama kwa mawasiliano na kuomba msaada wa haraka kutoka kwa...
  15. Waziri Mayai Wa Maradhi

    Bongo Fleva Sensation And Vaileti Hit Maker Matonya Charged With Rape In Kenya

    Tanzanian musician Sefu Shabani, better known by his stage name Matonya, has been detained in Kenya after being accused of rape. According to a statement released on X by Kenya's Director of Public Prosecutions (DPP), the 43-year-old disputed the charge when he appeared in court in the seaside...
  16. Waziri Mayai Wa Maradhi

    Four Suspects Arrested Over Murder Of Scottish Businessman In Kenya

    The murder of a Scottish businessman whose body was discovered in a sack in Kenya has led to the arrest of four men. On February 24 of last year, Campbell Scott, 58, was discovered dead in Makongo Forest, roughly 60 miles (96.5 km) from Nairobi, where he had been residing. The four suspects...
  17. M

    Mwandishi Kenya: Serikali ya Tanzania inaniwinda sababu haipendi tunavyofanya

    Serikali ya Tanzania inaniwinda mimi binafsi, kwasababu haipendi tunafanya na tunasema ukweli, Serikali ile ya Tanzania ni ya kiimla haikuchaguliwa na Wananchi wa kweli, ni serikali ambayo imeiba kura na wakaua watu. Sisi kama Maskani tukiangazia wanatuwinda, wametutumia mpaka mademu...
  18. O

    Kenya Starlets On Fire! India Wamechapwa Je, Australia Watazima Moto Fainali Wednesday?

    Hii si mchezo bana! Harambee Starlets wameonyesha wako serious kwa FIFA Series 2026 Wameichapa India 2-0 clean, mchezo ukaanza na pressure ya juu kama rent ya Nairobi. Dakika ya 2 tu, boom! Martha Amunyolet anafungua score mapema India hawajapumua. Kenya wakacontrol tempo, defense iko solid...
  19. Red black

    Iani Dialo from kenya Radio presenter wangu Bora wa muda wote huyu jamaa ana IQ kubwa sana.

    Aliwahi kufanya kazi EA redio katika kipindi cha EAST AFRICA DRIVE ndinga mpya town akiwa na David rwenyagira. Jamaa ana madini sana.
  20. A

    Ndugu zetu wa Kenya wanataka integration ya software kama Haki za binadamu sio hardware kama passport

    Ndugu zetu wa Kenya wanataka integration ya software kama Haki za binadamu sio hardware kama passport au mambo ya common market, hayo yatakuwa Tu yenyewe tukiwa, tunataratibunnzuri za maisha.
Back
Top Bottom