Jamhuri ya Kenya ni nchi iliyoko Afrika Mashariki katika ikweta, kando ya Bahari ya Hindi.
Kenya imepakana na Ethiopia (kaskazini), Somalia (kaskazini mashariki), Tanzania (kusini), Uganda na Ziwa Victoria (magharibi), kisha Sudan Kusini (kaskazini magharibi).
Kenya ni nchi mwanachama wa Jumuiya ya Afrika ya Mashariki na wa miundo mingine mbalimbali ya kimataifa.
Huku Kenya ikielekea katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2027, wasiwasi kuhusu ongezeko la matamshi ya chuki na uchochezi wa kisiasa unaendelea kuongezeka, huku viongozi kadhaa wakikabiliwa na uchunguzi na hatua za kisheria.
Tukio la hivi karibuni linamhusu MCA wa Kuteuliwa wa Makueni, Urbanus...
Mfanyabiashara mmoja kutoka Uganda ameomba msaada wa mamlaka za Kenya kufuatia madai kwamba hajalipwa fedha za mahindi aliyosambaza nchini karibu miaka mitatu iliyopita, licha ya bidhaa hizo kudaiwa kupokelewa na mnunuzi na malipo kufanyika.
Mkurugenzi Mtendaji wa Kamaala Enterprises Limited...
Kenya imelipa takriban Shilingi bilioni 7.7 kama ada za kujitolea (commitment fees) kwa mikopo ya kigeni ambayo haikutumika kati ya mwaka wa fedha 2020/21 na 2024/25, kulingana na ripoti za Mdhibiti Mkuu wa Hesabu za Serikali, Nancy Gathungu, na Mdhibiti wa Bajeti, Margaret Nyakang'o. Ada hizo...
Hatuhitaji Tena Mauaji mengine kuleta KATIBA na Mabadiliko katika NCHI hii, hata hivo ikilazimu Maandamano, tútaandamana kwa kua ni HAKI.
Hamna mahali popote pale DUNIANI, Kiongozi akaua watu wake siku za Uchaguzi kwa Maelefu vile, alafu akabaki salama na akatawala na Dunia ikamchekea, Hamnaaaa...
Maelfu ya wateja wa Kenya Power wamekumbwa na changamoto ya kushindwa kununua tokeni za umeme wa malipo ya awali saa chache baada ya hitilafu kubwa iliyosababisha kukatika kwa umeme katika maeneo mbalimbali nchini.
Wateja wengi walilalamika kuwa miamala kupitia huduma za simu na majukwaa...
At least five Kenyan security officers have been killed after a patrol vehicle struck a suspected improvised explosive device (IED) in Mandera County.
The officers, comprising four members of the Special Operations Group (SOG) and one National Police Reservist, were reportedly conducting a...
Hello everyone,
If you are a teacher looking for employment, or if you know someone who is, the Teachers Service Commission (TSC) has just announced a massive recruitment drive. They are looking to fill 20,000 teaching vacancies in Junior Schools to help with the CBC rollout.
Here are the most...
Wiki iliyopita inaweza kuwa siku mbaya kwa Jeshi la Polisi Kenya, baada ya ushahidi wa video za usalama (CCTV) katika kesi ya mauaji ya mwalimu na mwanablogu, Albert Ojwang, kuwaumbua polisi waliodaiwa kujaribu kuficha mauaji hayo.
Video hizo zilinasa matukio yote kuanzia Ojwang anafikishwa...
Daniel Ogama Adongo, mchezaji wa zamani wa Ligi ya Soka ya Marekani (NFL) na raia wa Kenya, amehamishwa kutoka Marekani hadi Kenya na mamlaka ya uhamiaji ya nchi hiyo baada ya kukiuka masharti ya visa yake.
Kwa mujibu wa mamlaka ya U.S. Immigration and Customs Enforcement (ICE), Adongo...
Kwa jina hiyo nchi imenitoka ila ni kakisiwa ambacho hakana rasilimali yoyote ila kanategemea zamana ya pesa utakayoweka kwao wakupe passport.
Ukipata passport yao unaweza kwenda nchi nyingi free ambazo kwa passport yetu free utapata sudani ,somalia na zilizomo hata uwezi kufika na wala hakuna...
SEHEMU YA KUMBUKUMBU YA RAIS MKAPA: MIAKA 6 TANGU ATUAGE
Anaandika Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Ubia kati ya Sekta ya Umma na Sekta Binafsi (PPPC), Bw. David Kafulila, kupitia mtandao wa X.
Na David Kafulila
Julai 24, 2026
Kwa mujibu wa takwimu za Shirika la Fedha Duniani (IMF), ukubwa wa...
The Engineer of Lwakhakha Town Council in Namisindwa District has been arrested after allegedly fleeing to Kenya ahead of an accountability inspection into the management of public funds.
The development was announced on Tuesday by Minister for Local government Balaam Barugahara, who said the...
When you think of Kenya safari, your mind likely drifts straight to the iconic image of a 4x4 tracking lions across the golden savannah. But look past the binoculars, and you’ll find a country pulsing with a completely different kind of magic. Beyond the traditional safari circuit lies an entire...
Kenya's Permanent Representative to UN-Habitat, Ambassador Susan Nakhumicha Wafula, has reaffirmed Kenya’s commitment to advancing sustainable urban development after leading the country’s delegation to the High-Level Meeting on the Midterm Review of the New Urban Agenda in New York.
The...
The government has appointed Lebanese engineering consultancy Dar Al-Handasah Consultants to oversee the implementation of the KSh155 billion modernisation of Jomo Kenyatta International Airport (JKIA), marking a key milestone in the airport's long-awaited upgrade.
The appointment comes barely...
Kenya’s political and historical storytelling has a way of turning even machines into legends, and few vehicles attract as much curiosity as the late President Mzee Jomo Kenyatta’s Rolls-Royce Phantom V. It is remembered not just as a car, but as a symbol of an era when state power, prestige...
Kenya imeendelea kupanua ushawishi wake duniani baada ya kufungua rasmi High Commission mpya mjini Kingston, Jamaica, hatua inayotarajiwa kuimarisha uhusiano wa kidiplomasia, biashara, uwekezaji na ushirikiano wa kitamaduni kati ya Kenya na mataifa ya Caribbean.
Balozi Mwenda Karisa amewasili...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.