Habari zenu.
Nitajitahidi kuchambua kwa kina kuhusu hiki kitu ( unaebisha kuhusu uwepo wa uchawi na ushirikina umepigwa upofu, tafuta msaada haraka).
Kati ya mabara 6 duniani, Afrika ndio bara ambalo maisha ya watu wake ni duni kuliko mabara mengine.
Zipo sababu nyingi zinazochangia, moja kati...
Baadhi ya taasisi watumiaji wa daladala kupata shida mfano walimu, madaktari, na wanafunzi kuchelewa kwenye vituo vyao.
Leo asubuhi wasafirishaji wa wanafunzi kutoka mabibo hostel Wagoma
Huwa nashangaa mibaba mzima na mitumo yao na midevu na Mijimama mzima mijitu mzima ya hovyo. Kwa nyege zako umezaa watoto ambao hawakukutuma uwalete duniani kumbe inakuja kuwatesa tu.
Sasa jeuri ya nini kama ulikuwa huwezi kuwalea umewazaa wa nini, ilivyo mijinga sasa inaleta upuuzi na jeuri...
Mara baada ya kumaliza elimu ya chuo kikuu(shahada) nilirudi nyumbani nikiwa mikono mitupu,
Harakati za kutafuta mia mia mbili zilianza nikapata sehemu ya kufanya KAZI na kuingiza 350k kwa mwezi.
Maisha yalienda, baada ya hapo nikakutana na rafiki yangu ambae kwasasa ni mtumishi wa TANAPA...
Mimi ni mdau, nipo Halmashauri ya Wilaya ya Sengerema, naomba kuwasilisha kero kuhusu malipo ya posho za kujikimu katika Idara ya Elimu.
Walimu wameripot kazini lakini hela za kujikimu inakuwa changamoto kupewa kwa muda, kuna walimu wanapewa nusu na wameahdiwa kupatiwa inayobaki..ila hakuna...
Anonymous (d932)
Thread
hali ya maisha
halmashauri
maisha
ngumu
posho
posho za kujikimu
walimu
Ukiachana na msemo " maisha yenyewe mafupi " ni msemo gani mwingine hutumia kujifariji ukitumia pesa nyingi
Kwenye maisha kuna mambo mengi sana, kuna wakati mtu unaamua kujipa kafuraha unatumia pesa, ukistuka kibinda kimeenda kikubwa kiasi unataka kuumia roho ila unatafuta kamsemo ka kujifariji...
🧵 TAFAKURI: Maisha ya Wasanii Nyuma ya Pazia – Kuna Nini Kinaendelea?
Kuna jambo huwa linanikaa kichwani kila mara ninaposikia habari za wasanii kufariki katika mazingira ya kutatanisha. Sio kwa lengo la kuhukumu, bali kujiuliza tu… je, tunawajua kweli hawa watu tunaowashangilia kila siku...
“Kuna siku nishamkuta dada angu kainamishwa na msela akiwekewa mpini ile kitu sijawahi kuheal mpaka leo bahati nzuri ndo kamuoa kubabeki siendagi kwao kabisa 😂👨👩👧👦👨👩👧👦👨👩👧👦”
Oyaaah acha kabisa, wenye dada....
Zinaelekea siku 80 sasa tangu tupokee boom la 2.
Kwa kawaida boom tunapokea ndani ya siku 60 hadi 70.
Kuchelewesha boom la 3 kiasi hiki bila taarifa yoyote kunawaweka wanafunzi wengi kwenye wakati mgumu.
Naomba kuwasilisha.
Nauliza kwa dhati kabisa
Nauliza swali ambalo wengi wanaogopa kuliuliza waziwazi…
Hivi hawa machawa wa CCM wanaishi nchi hii hii tunayoiishi sisi, au wanaishi kwenye dunia yao?
Kwa sababu ukweli hauhitaji kupakwa rangi,
Maisha yamekuwa magumu kupindukia
Vijana hawana ajira
Wananchi wanalia...
Wakati mwingine, watu unaowaamini wanaweza kuwa ndio wanaokuingiza kwenye matatizo makubwa maishani. Musa Makanga, mwendesha bodaboda wa zamani, anasimulia jinsi alivyosalitiwa na mtu ambaye alidhani ni rafiki yake.Jamaa Aliyetumikia Hukumu ya Maisha
Baada ya Kukutwa na Simu ZilizoibiwaMusa...
Salaam jamiiforum forum.
Kwa wakristo wenzangu , hususan Roman katoliki,Leo ni Alhamisi kuu,
Ni bado saa chache tu mkombozi wetu aanze kupitia maumivu.
Kwani tayari Yuda ana Vipande thelathini vya pesa.
Kwa pesa ya Leo kibongobongo unaweza kuta ni milioni 300😂 maana kuuza roho ya mtu Kwa Kwa...
Wakuu,
Kama wewe ni kijana unataka kuondoka nyumbani kwenu uanze maisha ushauri wangu uende ukaishi Goba
Kwanza Goba nyumba nyingi ni mpya na ni bei ndogo. Ukiwa na 100k unapata chumba na sebule na jiko na choo tofauti na eneo kama Sinza au Mwenge ambako utapata single room
Lakini vilevile...
Maisha hakika yana siri haya ukiona mwenyezako anapambana hakika mpe hongera yake
Nina brother yangu kila siku anatuaga kuwa anakwenda kazini anafanya kazi sokoni uko kumbe kazi yake yeye ni kukaribisha wateja na kujichekesha jichekesha kama mpuuzi fulani na uku akikata mauno
Uchambuzi wangu ni huu.. Je kuna nilichosahau?
Maisha ya uswazi" ni msemo unaoelezea mtindo wa maisha katika makazi ya watu wa kipato cha chini au maeneo yasiyopangwa vizuri (slums/informal settlements) nchini Tanzania, hasa katika miji mikubwa kama Dar es Salaam.
Maisha haya yana sifa ya...
Habar za mda huu ndugu
Kuna kitu nimekuwa nikikigundua kuhusu maisha yangu kadiri ninavyozidi kukaa na kujitafakari mimi ni mtu ambaye mara nyingi napenda kuwa busy na kujishughulisha na mambo yangu mwenyewe.
Maisha yangu mengi yanajengwa na nidhamu ya kazi, kujifunza, na wakati mwingine...
Kabla ya kuwa na mtoto hakikisha una mikakati na mipango thabiti kifedha kuweza kumhudumia mtoto. Kumbuka mtoto toka anazaliwa unawajibika kwake maishani mwake. Hata ukitangulia kufa atakutumia kama mzimu wake umsaidie. Kumleta mtoto duniani na kushindwa kumhudumia ni kinyume na haki za...
Kutoa msaada kunaweza kukupa fursa kubwa maishani mwako soma hapa chini
Kutoa msaada kama vile pesa, mali , ushauri n.k kwa ndugu, jamaa na marafiki au mtu yoyote mwenye uhitaji ni sadaka pia,
Unapokuwa mtu wa kusaidia unajijengea baraka au fursa kuzipata bila kutegemea kutoka kwa Mungu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.