maisha

  1. Equation x

    JamiiForums Tanzania Maisha mema yanapatikana kijijini

    Tangu niamie huku kijijini, sizeeki kihasara hasara Napata maji safi, Hewa safi, Kelele nzuri za ndege, Hakuna msongo wa mawazo, Napata mayai, nyama, maziwa muda wowote ninaotaka, Napata vitu vingi bustanini, Matumizi ya hela ni madogo sana kutokana na vitu vingi kupatikana shambani na kwenye...
  2. O

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Msanii wa Kenya afariki kwa kujiua, miezi baada ya kusema “nitajiua"

    Kifo cha msanii wa Arbantone Stoopid Boy kimeibua mjadala kuhusu afya ya akili nchini Kenya. Taarifa za awali zinaeleza kuwa msanii huyo alifariki kwa kujiua Agosti 27, 2026. Miezi kadhaa kabla ya kifo chake, Stoopid Boy alikuwa amezungumza hadharani kuhusu depression, matumizi ya pombe na...
  3. Alloyce PR

    JamiiForums Tanzania Yapende maisha uliyonayo

  4. B

    JamiiForums Tanzania Vodacom Tanzania Yagusa Maisha ya Wanafunzi Ihowanja wilayani Malinyi kwa Kuboresha Mazingira ya Usomaji.

    Mkuu wa Kanda ya Kati wa Vodacom Tanzania PLC, Chiha Nchimbi (kulia), akikabidhi dawati kwa Diwani wa Kata ya Kilosampepo, Boniventure Killian Mwanga (kushoto), dawati hilo ni mojawapo ya madawati 30 yaliyokabidhiwa katika Shule ya Msingi Ihowanja, Malinyi mkoani Morogoro, kupitia mpango wa...
  5. Red black

    JamiiForums Tanzania Alhamdulilah naenda kuanza maisha mapya kwaheri ubachela

    Familia ni muhimu. Cc Seran
  6. M

    JamiiForums Tanzania Hizi hasira za baadhi ya vijana wa Tanganyika ni wivu na chuki ya kuona kijana kama wao kapewa cheo chenye uhakika wa maisha mazuri hadi kifo

    Ni kijana mdogo tu kisiasa na kaweza kupata cheo namba 2 kikubwa nchini kinachomuhakishia uhakika wa maisha safi hata baada ya kustaafu MAFAO BAADA YA KUSTAAFU Pensheni ya kila mwezi: 80% ya mshahara wa Makamu wa Rais aliye madarakani. Kiinua mgongo: 50% ya jumla ya mishahara yote aliyopokea...
  7. O

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Katiba ya Kenya ya 2010 yatimiza miaka 16: Je, imebadilisha maisha ya Mwananchi wa kawaida?

    Kenya leo inaadhimisha miaka 16 tangu Katiba ya Kenya ya 2010 ilipotangazwa rasmi tarehe 27 Agosti 2010, chini ya uongozi wa Rais wa wakati huo, Mwai Kibaki. Katiba hiyo ilileta mabadiliko makubwa katika mfumo wa utawala nchini, ikilenga kupeleka mamlaka karibu na wananchi, kulinda haki zao na...
  8. Traxtion

    JamiiForums Tanzania Tanga: Said Yunusu (20) ahukumiwa jela maisha kwa kumlawiti mtoto (11)

    Mahakama ya Mkoa wa Tanga imemhukumu Said Yunusu maarufu kama Big Sela (20), kifungo cha maisha jela baada ya kupatikana na hatia ya kumlawiti Mtoto mwenye umri wa miaka 11. Akisoma hukumu hiyo, Hakimu Mwanaheri amesema Mahakama imeridhishwa na ushahidi uliowasilishwa na Upande wa Mashtaka...
  9. K

    JamiiForums Tanzania Kumbukumbu ya Maisha ya Dolly Parton: Malkia wa Muziki, Muunganishaji wa Jamii na "Nyumba Aliyoijenga Whitney Houston"

    https://www.youtube.com/watch?v=GnLITwQf8s8&list=RDGnLITwQf8s8&start_radio=1 https://www.youtube.com/watch?v=3JWTaaS7LdU&list=RD3JWTaaS7LdU&start_radio=1 Wana-JF, Leo tunamkumbuka mwanamuziki wa kipekee, mfanyabiashara, na mwanaharakati wa kimyakimya wa haki za binadamu, Dolly Parton...
  10. A

    JamiiForums Tanzania Dr. Alex Malasusa unajua VC wa TUMA hajalipa mishara mpk leo wakati yeye akiwa anakula maisha?

    Yule bwana Faustine Mahali siyo mtu, amemtoa mtoto wake sadaka akiwa ana uhusiano na binti moja wa KIBENA ndg wa mke wake anaitwa KISAVYAKE. Mpaka leo hajalipa mishahara akiwa nje ya ofisi anakula maisha. Mwaka jana kuanzia mwezi wa 8 mpk wa 12 hakulipa mishahara. Hv kanisa KKKT ni la...
  11. wa stendi

    JamiiForums Tanzania Hivi kwa mfano Rais ghafla akapoteza maisha nchi inaongozwaje

    Sory naomba kujua kwa kuwa makamu ameshatangaza kujiudhulu na Rais akapokes barua yake ya kujiudhulu akadhibitisha.alafu hapo hapo au siku kadhaa kabla Rais hajateua Makamu wake ghalfa ikatokea(japo hatuombei itokee)Rais nae akafariki je!tutapiga kura upya kumpata Rais mwingine au nchi...
  12. Nestory Semeni

    JamiiForums Tanzania Maisha Yanapokuwa Magumu:

    Huenda wewe ni mfanyabiashara, Mwajiriwa, Au umeniajiri, Huwa unafanya ninibunapoona gafla mambo yamebadilika? kipindi hicho unafanyeje usikate tamaa na uendelee kupambana? Mimi natumia njia hii; - Kujitenga na kuliangalia swala kwa undani - kujua kwa nini limetokea na mimi...
  13. K

    JamiiForums Tanzania Uchambuzi wa Wimbo wa "Mizele" wa Mayaula Mayoni: Sanaa, Simanzi na Maisha

    Utangulizi: Kutoka Uwanja wa Fisi na Yanga hadi Jukwaa la Muziki Fred Mayaula Mayoni (1945–2010) alikuwa msanii wa kipekee na mwenye historia ya kuvutia iliyounganisha mataifa ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo na Tanzania. Katika ujana wake mnamo miaka ya 1960, Mayaula alikuja na kuishi...
  14. Baba mtakatifu91

    JamiiForums Tanzania Maisha Bila Mazoezi: Mnakabiliana Vipi na Stress?

    Wakuu nisiwachoshe msinichoshe leo nina swali dogo tu kwenu. Ivi msiofqnya mazoezi huwa mnakabiriana vipi na 1.Msongo wa mawazo na sonona 2.Tatizo la nguvu za kiume 3.Kusosholaizi na watu 4.Ukakamavu 5.Credibility Mnaishije???????
  15. M

    JamiiForums Tanzania Hizi ndizo sababu ambazo hupelekea wakati mwingine umeme kukatika katika

  16. Robert Heriel Mtibeli

    JamiiForums Tanzania Tundu Lissu kwa maisha ya zamani sasa hivi tungemsoma kama Nabii mkubwa

    Hamjambo! Bila kuwa na maneno mengi. Ni hakika katika nchi yetu kama ingekuwa zamani basi leo hii tungekuwa na Nabii aitwaye Tundu Antipas Lissu. Anatimiza vigezo vyote vya kuwa Nabii. Nimewasoma kina Daniel, Ezekiel, Kina Yeremia, kina Isaya na wengineo. Kwa mambo anayoyafanya Lisu ni wazi...
  17. M

    JamiiForums Tanzania Muendelezo wa miujiza ya Mungu kwenye maisha yangu.

    Habari wakuu,mara ya mwisho nilisimulia hapa jinsi ambavyo nilipitia kipindi kigumu kwenye maisha yangu baada ya kupoteza kazi ikafika kipindi nakosa hata shilingi 100 ndani na nina familia ila baada ya kuattend maombi ya fulani mambo yakafunguka hapo hapo Story yenyewe hii hapa...
  18. R

    JamiiForums Tanzania Kuna maisha baada ya na maisha kabla ya

    Maisha yanafikirisha sana Mim ni form 4 point 29 enz hizo 2011 .Kichwani nipo empty kiasi chake Yote ni mipango ya Mungu .ckuwa na wazazi mambo ni mengi Tena hayaelezeki, Wabongo. wanasema mambo ni meng mda mchache, Kuna huu msemo 'AIBU UTAONA WEWE'- msemo wenye maana kubwa na fikrishi sana...
  19. livingroom_espionage

    JamiiForums Tanzania Kitambaa cheupe, sijui ni nini kinaendelea ila wakati mwingine Maisha ni Bahati tu

    Sijawahi kikutana na huyu Dada, ila nakumbuka tokea enzi za fastjet, mpaka ki grocery kwenye frame moja pale tabata, mpaka baa kubwa, Tabata, sinza na mbagala, Mara kuna ile microfinance, mara ile biashara ya Real estate na kadhalika. Sijui ila kimpangia mtu maisha sio vyema nadhani huyu Dada...
  20. ChoiceVariable

    JamiiForums Tanzania Wanaodai kwamba Jiji la Dodoma Linaongoza Kwa Maisha Ghali Hawajawahi Ishi Arusha.Dar level ya Maisha unapanga mwenyewe kuanzia ya chini Hadi Juu.

    Mtu hajatembea harafu anafika conclusion.Tafureni pesa acheni kulalamika.
Back
Top Bottom