Kila mchapaji nikimpa publisher atakaa na kitabu kile... kitabu kizuri sana lakini m siwezi kukichap kitabu... Haya mambo uliyoandika huyu bwana matatizo."
Kuhusu madai ya kuwa na "obsession" na familia ya Sykes: "...watu wengine wanasema Mohamed una obsession... na family ya kina saambia ni...
Mimi nsingebonyeza kabisa. Maana nisingekuwa na uhakika kama ntarudi kuwa hapa nilipo na ku enjoy life. Hiyo button ningesema iondolewe nisije nika press hata kwa bahati mbaya.
Kumbuka unapokuja anza unaanza upya kila kitu lets say unaanzia miaka 5 au 18. Then unaanza kila kitu upya kabisa...
Wakuu, inakuwaje?
Wikiendi hii jiji la Dar es Salaam limetawaliwa na kile kinachoweza kuitwa "vurugu za makombe mtaani." Kwanza tuliona Paredi la Yanga SC la kusherehekea Ubingwa wao, likiongozwa na Rais wao Eng. Hersi Said aliyeibuka juu ya gari la wazi akidunda na mataji mbele ya mitaa ya...
Kuna wale jamaa huwa wanapenda kutusema sana sisi wana wa kamtungilei, lakini maisha yao kila kukicha ya jana yanakuwa na afadhali kuliko ya leo....kuna jamaa yangu mwingine huwa anapenda kunisema kuhusu mambo ya mtungilei alijichanganya akaenda kuchukua mkopo wa laki nne kwenye taasisi za...
Salama
Sheikh mwaipopo ni nani? Nani anamtuma kila siku anakuja front na watu waliovaa ninja anasema ana vikosi vya mbwa mwitu vya kuvamia na kuua
Sasa kama ni strategy ya kuzuia maandamano ni ya kizamani lakini mtu binafsi anamilikije kikundi cha watu wenye mafunzo na wakimaliza kazi yao hiyo...
Habari!
Baada ya kuwa mbali na mtandao kwa muda, nimerudi tena nikiwa na mtazamo mpya wa maisha.
Natafuta mwanamke mwenye heshima, uaminifu, maadili mema na nia ya kujenga uhusiano wa kweli unaoweza kuishia kwenye ndoa. Umri ninaopendelea ni miaka 20 hadi 32.
Ninaamini uhusiano mzuri huanza...
1) one in a milion- Aaliyah
2) tease me- chaka demus and plies
3)send it on - D' Angelo
4) hallo-Beyonce
5)shawty- plies
6)Lollipop- lil' wayne
7) yako wapi mapenzi- rubby
8) masogange- belle 9
9) fu-gee-la- fugees
10) let me hold you- bow wow ft omarion
11) if you realy wanna know- mac dosley...
Ciao,
Kuna baadhi ya watu humu jukwaani wamevurugwa na maisha kwa iyo wasikusumbue akili.
Utawajua kwa hizi komenti 👇
"Jiandae urudi shule"
"Kwan shule zimefungwa?"
"Hama apo kwa shemeji yako 😁"
"Unahitaji kumeza dawa zako"
"Tafuta hela"
"Njoo pm"
"Mwanaume mzima unawaza mapenzi?"...
Katika wodi za uzazi, sauti za uchungu na matumaini hukutana. Wakati mwingine, dakika chache ndizo hutenganisha uhai na mauti. Ndipo upasuaji wa dharura unapokuwa tumaini la mwisho. Lakini nyuma ya kila uamuzi huo, kuna swali lisiloepukika: je, hatua hiyo imechukuliwa kwa sababu sahihi za...
Hivi unajua kuwa viwanda vyote vya Coca-Cola duniani (ikiwemo hapa kwetu Tanzania) havijui fomula halisi ya kinywaji hicho? Hapa ndipo akili kubwa inapopiga pesa duniani kote kupitia mbinu hizi:
Viungo vyote vya siri vinachanganywa na kupikwa Marekani pekee ili kutengeneza kioevu kizito...
Mimi ni kuhusu kutomuamini mlevi - maisha yamenifundisha kutomuamini mlevi kabisa, hasa akiongea wakati kalewa!
Pili, maisha yamenifundisha mafanikio yanakuhitaji wewe moja kwa moja bila kutegemea msaada kutoka kwa mtu yoyote ili tu akushike mkono uinuke hapo ulipo, sio kweli.
Maisha haya...
."Usijenge maisha ya kuonekana vizuri mbele ya watu, jenga maisha ambayo yatakufanya ujiheshimu ukiwa peke yako."
1.Jifunze kila siku — mtu anayekua kila siku hawezi kubaki sehemu moja.
2.Chagua mazingira yako — watu unaokaa nao wanaweza kukuongezea nguvu au kukupotezea muda.
3.Heshimu muda —...
Kwa miaka mingi, nchi za Ulaya, hususan Uingereza (UK), zimekuwa kivutio kikubwa kwa watu wanaotafuta maisha bora. Wengi huamini kuwa huko kuna ajira nyingi, mishahara mikubwa, huduma bora za afya na elimu, pamoja na fursa za kujenga maisha yenye utulivu. Hata hivyo, swali la msingi ni: Je...
Maisha ya mkoani shikamooo
Hakuna connection
Hakuna dili za kutosha
Kazi ngumu malipo hafifu
Sasa nakuja Dar es salaam kutafuta
Nipe connection ushauri nk
Karibu
Salaam to everyone,
Its my hopes that wote mna weekend njema.
Kuna jambo limekuwa likinitafakarisha sana hivi karibuni kuhusu namna sisi vijana wa kiume tunavyoendesha mahusiano yetu ya kimapenzi. Well, kuwa kwenye mahusiano sio kitu kibaya na hata kumpenda mtu kimapenzi sio kitu kibaya...
Tuache kudanganyana na kupotezeana muda. Maisha haya tunayoishi ni maigizo makubwa sana ambayo tumeyakuta yameshaandaliwa. Hakuna hata mmoja wetu aliyeulizwa anataka nini kabla hajaja hapa duniani.
Sote tumezaliwa tukiwa uchi, hatuna nguo, hatuna dini, wala hatuna jina. Lakini kabla hata...
Hakuna cha majaliwa
Hakuna cha riziki
Hakuna cha nyota
Hakuna cha kudra
Hakuna cha ipo siku yangu tu
kile kinachokuathiri either positively au negativeluly ni matokeo ya uhalisia wa mienendo yako na mienendo ya wengine ambayo haiko chini ya uwezo wako.
Hivi kuna nchi yoyote duniani ambayo ni rahisi kuwa maarufu kama Tanzania maana kwa uchunguzi wangu nadhani tanzania inaweza kuwa Top ya nchi ambazo wananchi wake wana feed taarifa nyingi sana kuhusu maisha binafsi ya watu maarufu.
Mtu hajaamka bado yupo kitandani alfajiri tayari anajua...
unaamka asubuhi, unatumia pesa, muda na nguvu kwenda sehemu fulani kusikiliza mtu akikuambia mambo ambayo tayari unajua.Unaenda kanisani, mchungaji anasema tuwe waaminifu, tusameheane, tusiibe, tusizini na tupendane. Unatikisa kichwa kwa nguvu huku ukisema "Amen!" wakati ukweli ni kwamba hayo...
Hey people,
Good evening
Umeshawahi kukata tamaa ya maisha? Sababu ilikuwa ni ipi?
Naanza,
Wakati nasoma niliwahi kupendana na mtu ambaye alikuwa mwanaume wangu wa kwanza, baadae akaja niambia ati tuachane na mbaya zaidi akaanza kupendana na mdada mwingine pale pale class(ilisemekana hivyo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.