Tangu niamie huku kijijini, sizeeki kihasara hasara
Napata maji safi,
Hewa safi,
Kelele nzuri za ndege,
Hakuna msongo wa mawazo,
Napata mayai, nyama, maziwa muda wowote ninaotaka,
Napata vitu vingi bustanini,
Matumizi ya hela ni madogo sana kutokana na vitu vingi kupatikana shambani na kwenye...