mbona

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Kijakazi

    JamiiForums Tanzania Muslim world na wapenda haki wote wengine, mbona huyu hamumchukii?

    msikilizeni wenyewe akiongelea kifo na kukejeli, we came, we saw, he died, hahahah (akicheka kwa dharau), what a psychopath ... https://www.youtube.com/watch?v=6DXDU48RHLU
  2. NYOLODO

    JamiiForums Tanzania Tulia uko wapi mbona husemu neno?. Mwakalenga jana katapeliwa

    Wakuu kwema? Asee jana nilipata wasaa wa kucheka na kulia kwa pamoja. Pamoja na taarifa kusambazwa na kujadiliwa kila.mahala bado kuna watu wanaendelea kutapeliwa na hawa jamaa wa mikopo online. Tulia trust mikopo wamemtapeli jamaa mmoja muendesha bulldoza hapa Unguja jana. Kalipa laki 3 na...
  3. K

    JamiiForums Tanzania Mbona wanakobadili vyama kwenye uchaguzi ndo tunaenda kuomba?

    Kuna kitu najiuliza mpaka sasa sijapata jibu. Mbona ulaya na Marekani wanakobadili vyama vya kuongoza serikali kwenye chaguzi ndo wanauchumi imara na ndo tunakwenda kuomba? Afrika hatujang'amua kwamba kushikiria chama kimoja miaka hamsini mia ni mkwamo wa maendeleo?
  4. Lycaon pictus

    JamiiForums Tanzania Mali itatoboa kweli? Mbona kama imezidiwa hoi

    Tutegemee kuona nchi mpya kutoka Mali? Maana waasi wa wamepamba moto sana.
  5. idiomer

    JamiiForums Tanzania Hivi wanafunzi mbona hawana exemption kwenye vitu kama nchi nyingine?

    Kwanini mfano Shirika la nyumba lisiweke nyumba kwa ajili ya wanafunzi mfano kwa Dar es Salaam? Mwanafunzi anapanga nyumba sawa na mfanyakazi au mfanyabiashara Kariakooo? Yaan Mwanafunzi anapanga karibu na danguro ? Hostel za magufuli zimeokoa maisha ya wanafunzi wengi kuongeza idadi ya...
  6. mngony

    JamiiForums Tanzania Katibu mpya wa Fedha wa CCM ni Mtanzania halisi? Mbona anaonekana kuzungumza kiswahili kwa tabu

    Nimemsikiliza akiwa katika mkutano wa hadhara wakipokelewa viongozi hao wapya na wanachama wao jijini Dodoma, baada ya kuteuliwa hivi karibuni. Katika mkutano huo alipata nafasi ya kuongea na kuwashambuli viongozi wa vyama vya Upinzani. Hapo ndipo nilipogundua anazungumza kiswahili kama vile...
  7. M

    JamiiForums Tanzania Mungu wetu, Mungu wetu, mbona umetuacha?

    Kungekuwa na angalau bado hata mmoja aliyebaki na chembe ya usafi na aibu, ilitakiwa awashauri wenzie kuwa, ni vema kuyatekeleza kwa vitendo masharti yote ya Commonwealth sasa kuliko kusubiri dakika za majeruhi kufika. Itakuwa ni aibu kubwa mno.
  8. U

    JamiiForums Tanzania Mbona majambazi yamepotea?

    Zamani nikiwa nakua nilikua siishi kusikia matukio ya ujambazi na uporaji..na watu kuuawa na mali zao kuibiwa..lakini miaka zaidi ya 10 au zaidi sasa sijasikia tukio la watu kufanya uporaji wa kutumia silaha au unyanganyi wa kwenye majumba ya watu? Maana zamani ingawa social media zilikua...
  9. A

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Mbona hii V8 ya Mwenyekiti wa Bodi ya Korosho inatumika kwa shughuli binafsi ikiwemo kubeba mkaa na cement

    Kwa zaidi ya mwaka mzima sasa gari ambayo inatakiwa kutumiwa na Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Bodi ya Korosho Tanzania (CBT) kwa ajili ya shughuli za kiofisi badala yake imekuwa ikitumika kwa shughuli binafsi nyingi ikiwemo za masuala ya shamba. Gari hilo lenye namba za usajili SU 42509...
  10. Top Gun

    JamiiForums Tanzania Unakuta mdada ana 35+ anakuuliza "kama hautaki kunioa niambie" sasa unajiuliza hao aliopita tangu akiwa 18 mbona akuwaambia wamuoe akiwa bado kigori

    🤔 Unakuta mdada ana 35+ anakuuliza "kama hautaki kunioa niambie" sasa unajiuliza hao aliopita tangu akiwa 18 mbona akuwaambia wamuoe akiwa bado kigori
  11. Fbn

    JamiiForums Tanzania watumiaji wa mirungi wapo wengi na bangi ila mbona mnazibiti wakati mpaka ikulu wanatumia.

    Mimi na cheka sana yani hapa mjengoni na idara kubwa wanao jifanya pombe sio ila watumiaji wa hivi vitu. Kuna mmoja idara kubwa na tajiri na mpenzi wa mirungi anatumiwa sana . Mbona sheria kama hipo kwa maskini sio kwa wao wenye sheria.
  12. ministrant

    JamiiForums Tanzania Vipi NMB, mbona App yenu inazingua?

    Tokea siku ya juzi kuna changamoto kwenye app yenu ya NMB mkononi, kutoa pesa ni shida na nimekuta nimeandikiwa deni ndani ya account yangu yaani (-Kisha kiasi ninachodaiwa) jambo ambalo sijawahi kuliona hapo kabla. Nimetuma pesa juzi na imerudishwa jana ila nikitaka kununua umeme pia...
  13. N

    JamiiForums Tanzania Wadada warembo ma single mpo kweli humu ?

    wakuu kwema ? Na mimi natafuta mrembo mpole mwenye hofu ya mungu Nina 26yr mtanashati na najielewa, mimi ni mkristo location dar es salaam mishe international businessman + Engineer Ninajua kupika, kufua vizuri 🙏
  14. Top Gun

    JamiiForums Tanzania SHEMEJI: 'Mbona umefadhaika sana?' KIJANA: 'dah, shem, nimepigwa bandiko, acha tu'

    SHEMEJI: bandiko ni kitu gani na inatoka wapi? KIJANA: Si unajua shemu mimi JF ndio napotezea mawazo, sasa nimepigwa ban, siwezi ingia SHEMEJI: ndio maana asubuhi hadi jioni upo na simu tu tena nakuonagaa una type kwa hasira kabisa, ila mbona kazi nakuunganishiaga ufanye kazi eti unasema...
  15. under500

    JamiiForums Tanzania Wakuu mbona h?amkunipa muongozo mzuri?

    Picha linaanza wakuu nimezoea Mafinga ukifika rood unasubili magari yaishe ndo uvuke Leo apah Dar Si nimekaa masaa ma wili nasubili magari ya ishe lakin hayaishi ndo nikaona wat wanavuk TU ivo ivo ndo na mm nikaamua nivuke Yan wakuu amkunipa mwongozo mzur sjui mlikua mnataka nitie aibu kwanza
  16. STUKA M1

    JamiiForums Tanzania ESS kunani mbona haifunguki

    ESS haifunguki Leo kutwa nzima Kuna Shida gani..?
  17. Fbn

    JamiiForums Tanzania Hivi TTCL mbona mnarukia mambo sana

    Fiber yenyewe sehemu za mijini mjakizi sasa mnataka kushindana na google.
  18. Pfizer

    JamiiForums Tanzania Vile vyama Uchwara, mbona havijalalamika kutoshirikishwa Maridhiano ya Zanzibar

    Kuna vyama vilishiriki uchaguzi Mkuu, vinalalamika kwamba CHADEMA Asifanye maridhiano na CCM bali maridhiano yafanywe na vyama vyote. CHADEMA anataka uwajibikaji kabla ya maridhiano na Msamaha. Vyama Uchwara vinadai CHADEMA Wasisikilizwe kwani nao wana haki kama chadema. Sasa mbona Zanzibar...
  19. Dogoli kinyamkela

    JamiiForums Tanzania Kama Yesu anaponya Sasa mbona mnajazana hospitalini na kwa waganga wa kienyeji? Mtachanganyikiwa Hadi muombe msamaha Babu na Bibi zenu waliotangulia

    Kama Yesu anaponya Sasa mbona mnajazana hospitalini na kwa waganga wa kienyeji? Mtachanganyikiwa Hadi muombe msamaha Babu na Bibi zenu waliotangulia.
  20. M

    JamiiForums Tanzania KERO: EWURA mmetangaza kuwa bei ya Mafuta ya petroli na dizeli imeshuka, JE LATRA nao mbona hawatutangazii bei mpya za nauli?

    Moja kwa moja kwenye kero yangu: Nimeona tangazo la EWURA kutangaza kuwa bei ya mafuta ya petroli na dizeli imeshuka kwa sh 96 and 151 kwa mafuta yanayoshushiwa katika bandari ya Dar-es-salaam . Bei mpya Petroli: Sh 3,990 kwa lita Dizeli: Sh 4,182 kwa lita mpaka sasa sijaelewa kwanini mafuta...
Back
Top Bottom