maendeleo

Maendeleo is an administrative ward in the Mbeya Urban district of the Mbeya Region of Tanzania. According to the 2002 census, the ward has a total population of 3,704.

View More On Wikipedia.org
  1. Lycaon pictus

    JamiiForums Tanzania Maendeleo ya refinery ya Dangote.

    Dangote ameiheshimisha sana Afrika. Refinery yake kwa sasa inachakata mapipa 700,000 kwa siku. Kwa miezi sita ya mwanzo ya mwaka huu imetengeneza faida ya dola 1.8 bilioni. Kwa mwezi huu na mwezi ujao watauza hisa. Inaingia sokoni kama kampuni ya gharama zaidi kuwahi kuuza hisa Afrika. Gharama...
  2. DodomaTZ

    JamiiForums Tanzania Changamoto ya Barabara Kijiji cha Kidemeni ni kubwa, inarudisha nyuma mwendo wa maendeleo

    Kidemeni ni miongoni mwa vijiji vinavyopatikana katika Wilaya ya Chake Chake, Mkoa wa Kusini Pemba, wananchi wake wana kilio cha kutokuwepo kwa barabara ya uhakika, hivyo kudai inachangia kudumaza maendeleo yao. Kwa miaka kadhaa sasa, Zanzibar imeendelea kushuhudia mabadiliko makubwa ya...
  3. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania Kihongosi: Mtu anayesema Maendeleo Hayafanyiki Anapotosha, Miradi Yote ya Kimkakati Inaendelea

    Katibu wa Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Kenani Kihongosi, akizungumza katika kipindi cha Medani Kuu cha Star TV, amesema Serikali ya Rais Samia Suluhu Hassan imeendelea kufanya kazi kubwa ya kuwaletea maendeleo wananchi. Kihongosi amesema kuwa watu wanaodai kuwa...
  4. J

    JamiiForums Tanzania David Kafulila: Utajiri wa taifa lolote duniani si vitu, ni ubora wa watu wake

    Mkurugenzi wa Kituo cha Ubia nchini Tanzania (PPPC), Bwana David Kafulila, akiwa katika Tengeru Institute of Community Development (TICD) jijini Arusha, amekaririwa akisema kuwa “Kwa mujibu wa sheria, mradi wa ubia ni mali ya umma kabla, wakati na hata baada ya utekelezaji wake. Lengo kuu ni...
  5. Jaji Mfawidhi

    JamiiForums Tanzania Waislamu tuendelee Kuchangia Maendeleo, Hata kama zinaliwa!

    Waumini hawamchangii mwanadamu, wanamchangia Mungu na huduma yake. Mwanadamu akizila na kununulia kobasi na kuongeza wanawake, sisi hatuhusiki. RITA naomba muende na Minaaninii mingine kufanya ukaguzi.
  6. Y

    JamiiForums Tanzania Shaka Hamdu Shaka: Dkt. Samia na Ndejembi turufu mpya ya maendeleo kwa watanzania

    Na Cde Shaka Hamdu Shaka Jumatano, Agosti 26, 2026 ilikuwa siku ya kihistoria. Halmashauri Kuu ya CCM Taifa ilifanya maamuzi magumu yenye kubeba maslahi mapana ya Taifa letu. Maamuzi hayo yakapata baraka na kukamilika Jumamosi, Agosti 29, 2026 - siku ambayo vizazi vijavyo vitaisoma kwenye...
  7. life255

    JamiiForums Tanzania Maendeleo ya uanachama: Usidharau hatua ndogo ulizofikia

    Wakati mwingine tunaweza kuona maendeleo yetu kuwa ni madogo kwa sababu tunaangalia sana watu walioko mbele yetu. Unaweza kujiuliza: “Bado sijafika kule ninapotaka, kwa hiyo kuna maendeleo kweli?” Jibu ni NDIYO. Maendeleo hayamaanishi lazima uwe umefika mwisho. Maendeleo yanaanza pale...
  8. H

    JamiiForums Tanzania DKT MWIGULU: SERIKALI KUENDELEA KUSHIRIKIANA NA TAASISI ZA DINI KATIKA MAENDELEO YA TAIFA

    DKT MWIGULU: SERIKALI KUENDELEA KUSHIRIKIANA NA TAASISI ZA DINI KATIKA MAENDELEO YA TAIFA Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba, amesema Serikali itaendelea kushirikiana kwa karibu taasisi za dini likiwemo kanisa Katoliki katika kuimarisha huduma za kijamii, maendeleo na ustawi wa wananchi...
  9. H

    JamiiForums Tanzania Serikali inatambua mchango wa Kanisa - Waziri Mkuu Nchemba

    Serikali inatambua mchango wa Kanisa na baba Askofu. Kila tunapotaja maendeleo ya nchi yetu, kuanzia mwanzo mpaka hapa tulipofika, hatuwezi kuyataja kwa kina maendeleo hayo bila kutaja mchango wa Kanisa - Waziri Mkuu Dkt. Mwigulu Nchemba 📍Mpanda - Katavi. 🗓️ Agosti 30, 2026. ————————————————...
  10. Crocodiletooth

    JamiiForums Tanzania Nchi yetu inapoelekea kwenye maendeleo makubwa,ni lazima ilindwe kwa nguvu kubwa,lakini kwa uwazi mkubwa!.....

    ••Kwenye uwazi na ukweli ndipo tunapokosea, ••Mambo ya siri,mikataba ya siri ndilo tatizo kubwa. ••Wakati taifa letu likielekea kwenye uchumi mkubwa the way ndipo tunapojiongezea maadau wengi zaidi wa kiuchumi,maadui hawa wengi ni miongoni mwetu sisi wenyewe kwa kutumika na walio nje wenye...
  11. Zack Abdul

    JamiiForums Tanzania Mradi wa JNHPP: Fursa Mpya za Maendeleo Tanzania

    Samia Amkosha, Mbowe JNHPP! JNHPP ni mradi wa kihistoria na fahari ya Tanzania. Ni hatua kubwa itakayoongeza fursa za uzalishaji, uwekezaji na ajira kwa Watanzania. “Ndoto imetimia,” Rais Samia amesema, akisisitiza umuhimu wa mradi huu katika kuchochea maendeleo ya Taifa.
  12. Yoda

    JamiiForums Tanzania Kabla ya maendeleo ya mitandao watu dini bongo walikuwa na chai za ajabu sana za kutisha watu

    Tukiwa Sekondari enzi mitandao ya kijamii haijasambaa sana Wanafunzi Waislamu maustadh kutoka Dar walileta kwa ushupavu mkubwa shuleni story ya watoto waliobadilika na kuwa mijusi wakubwa au viumbe wa ajabu baada ya kukojolea Quran. Walikuja na picha kabisa za hao viumbe waliobadilika kuwa...
  13. M

    JamiiForums Tanzania KERO Chuo cha Maendeleo ya Jamii Tengeru (TICD) kinachelewa kupitisha matokeo ya Level 6 kwenye mfumo wa NACTVET.

    Mimi ni mwanafunzi niliyemaliza Diploma (Level 6) mwaka huu katika Chuo cha Maendeleo ya Jamii Tengeru (TICD), Tengeru, Arusha. Matokeo ya mitihani yetu yalitolewa tangu tarehe 12 Agosti 2026, lakini hadi sasa chuo hakijayawasilisha NACTVET ili tuweze kupata AVN Number. Namba hiyo ni muhimu kwa...
  14. O

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Lamu Yakabiliwa na Kitendawili cha Maendeleo: Nani Atalipa Gharama?

    Waharakati wa Lamu wameitaka Serikali kuhakikisha wakazi wanaoweza kuathiriwa na mradi unaopendekezwa wa kiwanda cha kusafisha mafuta cha Dangote wanalindwa na maslahi yao kuzingatiwa. Waharakati hao wanasema maendeleo ya kiuchumi hayafai kuja kwa gharama ya kupoteza ardhi, mazingira na riziki...
  15. O

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ama Homa Bay Iko Yemen? Barabara Zafichua Hali Halisi Ya Maendeleo

    Baada ya msafara wa Linda Mwananchi kuingia Homa Bay jana, hali ya barabara katika baadhi ya maeneo ya Suba imeibua mjadala mkubwa mitandaoni. Msafara huo ulilazimika kutumia njia mbadala zenye vumbi na mashimo, baada ya barabara kadhaa kuu kuzuiwa kwa mawe na kuchomwa kwa matairi wakati wa...
  16. A

    JamiiForums Tanzania Kizimkazi Festival 2026: Tamasha Linalogeuza Utamaduni Kuwa Nguvu ya Maendeleo

    * Kizimkazi Festival 2026 imeendelea kuthibitisha kwamba tamasha linaweza kuwa zaidi ya burudani. Ni jukwaa la kuunganisha utamaduni, utalii, uwekezaji, biashara na maendeleo ya wananchi. Likibeba kaulimbiu “Kizimkazi Kumenoga!”, tamasha la mwaka huu limekuja katika wakati muhimu wa kuonyesha...
  17. Zack Abdul

    JamiiForums Tanzania Rais Samia: Amani ni Msingi wa Maendeleo

    RAIS: TUENDELEE KUTUNZA AMANI ILI TUPATE MAENDELEO ZAIDI "Nisisitize kwamba uwepo wa miradi hii tumeweza kuijenga na kuileta kwa sababu nchi yetu ina amani. [...] Niombe sana ndugu zangu, tuendelee kutunza amani yetu ili tupate maendeleo zaidi." - Rais Samia Suluhu Hassan akizindua mradi wa...
  18. R

    JamiiForums Tanzania Rais Samia: Mapinduzi yalishafanyika, sasa mapinduzi ni ya maendeleo

    Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, akihutubia Wananchi wa Kizimkazi, Zanzibar leo Agosti 13, 2026, wakati akizindua rasmi Mradi wa Maji wa Kizimkazi, amesisitiza wananchi kulinda amani ili kuwepo maendeleo. "Na vile vile nisisitize kwamba uwepo wa miradi hii tumeweza...
  19. Capital

    JamiiForums Tanzania Bila kuiondoa CCM, watanzania msahau kabisa maendeleo.

    Wana JF. Mosi, naomba moderator usiunganishe huu uzi na nyuzi zingine zinazoongelea CCM. Huu ni uzi mahsusi. Facts: 1. Tanzania ni nchi maskini sana katika viwango vya kimatataifa licha ya kujaaliwa na kila aina ya raslimali 2. Uchumi wa Tanzania unadhibitiwa na watu wachache sana licha ya...
  20. O

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mashimo bado yapo, lakini njia za baiskeli zinajengwa—Je, haya ndiyo maendeleo?

    Ukarabati unaoendelea kwenye Barabara ya Kasarani–Mwiki umeibua maoni tofauti kutoka kwa wakazi, huku wengi wakitaka serikali kuweka kipaumbele katika kutengeneza barabara yenyewe kabla ya kuwekeza katika miundombinu mingine. Wakazi wanasema licha ya kazi za ujenzi kuendelea, changamoto kuu...
Back
Top Bottom