Katika Kumbukumbu la Torati 30:19, twasoma "Nazishuhudiza mbingu na nchi juu yenu hivi leo, kuwa nimekuwekea mbele yako uzima na mauti, baraka na laana; basi chagua uzima, ili uwe hai, wewe na uzao wako"
Niwazi kuwa Mwenyezi Mungu ametupa uhuru wa kachagua hatima yetu kama mtu mmoja mmoja...