magari

  1. A

    JamiiForums Tanzania KERO Najutia kusoma fani ya Ufundi Magari (Motor Vehicle Mechanics – MVM), Ajira Portal imetusahau kabisa

    Mimi ni mhitimu wa mwaka 2020 katika fani ya Ufundi Magari (Motor Vehicle Mechanics – MVM). Kwa kweli, kuna nyakati najikuta nikijiuliza kwa uchungu sana—kwa nini nilichagua kusoma fani hii, hasa nikizingatia mazingira ya nyumbani kwetu ambapo hatuna uwezo mkubwa wa kifedha. Nasema hivi kwa...
  2. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania, JamiiForums Uganda Mali za aliyekuwa Spika wa Uganda, Anita Among ikiwemo magari yamebebwa na Polisi kufuatia kashfa ya rushwa na Ufisadi

    Mali za Spika wa Bunge la Uganda aliyemaliza muda wake, Anita Anneth Among ikiwemo magari yamebebwa na Polisi kuelekea Makao Makuu ya Jeshi la Polisi kuendelea na uchunguzi kufuatia kashfa ya rushwa na matumizi mabaya ya madaraka. Wakati hayo yakiendelea tayari Spika Among ametangaza rasmi...
  3. A

    JamiiForums Tanzania KERO Tunaojifunza magari VETA Mbeya, magari mengi ni mabovu

    Nimeona andiko la Mdau kutoka VETA kuhusu changamoto ya Forklift upande wa Dar, upande wa Mbeya hali ni hiyohiyo, hali ya masomo ya udereva yamekuwa magumu, magari hakuna kwahiyo Serikali ituangalie. Magari mengi ni mabovu, kwa mfano wiki ya tatu sasa madereva wa malori wanazungushwa mtihani wa...
  4. A

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Mfumo wa kubadilisha umiliki wa magari nchini umejaa vikwazo vingi visivyo na ulazima

    Mfumo wa kubadilisha umiliki wa magari nchini Tanzania umejaa vikwazo vingi visivyo na ulazima. Hii ndiyo sababu leo utakuta magari mengi yanatumika na watu tofauti kabisa na wale waliopo kwenye umiliki rasmi wa nyaraka. Hali hii inaleta changamoto kubwa kwa vyombo vya usalama, hasa pale...
  5. M

    JamiiForums Tanzania Vitu gani vinasababisha Injini za magari kufa haraka?

    Wakuu, ni makosa gani mtu akiyafanya yatashusha umri wa injini ya gari yake yaani itawahi kufa kwa haraka? Kagari kangu haka ka mkopo nataka kukalinda kwa namna sahihi ili injini isiwahi kufa maana ikifa sina namna ya kuweka injini mpya kwa haraka hivyo naomba mnipe kabisa tahadhari ya vitu vya...
  6. J

    JamiiForums Tanzania Mnisamehe wote niliowaona hamjitumi kazini hadi mnashindwa kumiliki magari na nyumba nzuri!

    Zamani nilikuwa najua ukiajiriwa basi tayari unakuwa umetoboa kimaisha. Nikawa nikikutana na mtu ameajiriwa tena serikalini halafu anatembea kwa miguu basi namuona hayupo serious na maisha. Wakati nipo chuo, nikajiapiza eti nikiajiriwa tu nitaanza na gari tena kali kisha nyumba. Lakini hadi...
  7. M

    JamiiForums Tanzania Babu Tale: Muhimbili kuna changamoto ya magari ya Wagonjwa, kuna ushahidi yapo mawili tu

    Akichangia hoja Bungeni leo, Mei 12 MbungeTaletae amesema kuwa Licha ya wagonjwa kuwa wengi katika hospitali ya Taifa ya Muhimbili, ina magari mawili tu ya kubeba wagonjwa.
  8. H

    JamiiForums Tanzania Uchaguzi wa magari, nichukue gari gani kati ya Toyota IST, Rush, Ractis, Raum au Spacio?

    Habari wapendwa, nichukue gari gani kati ya Toyota IST,Rush, Ractis,Raum au Spacio,..apo nazungumzia upande wa upatikanaji wa spaire zake na service
  9. Cute Wife

    JamiiForums Tanzania Kumbe tumefika Namba Q na hamsemi? DJ niletee 'wasiojulikana' mbele... Halafu kuna malegend wasioweka plate kabisa!

    Wakuu, Tumefika lini kwenye Namba Q wakuu, kuna herufi nilikuwa naisubiria hapa kati, kwahiyo ndio basi tena? Huyu mtu anaenda zake kufanya uhalifu, anakukonga anasepa, unatekwa umesukumiwa humo ndani ndo imeisha hiyoo! Kwanini waruhusiwe kutembea na namba hizi? Lengo ni nini? Na ukiangalia...
  10. O

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Finance Bill 2026: Serikali Yalenga Mitumba, Simu na Magari — Je, Mwananchi wa Kawaida Ataumia Zaidi?

    Finance Bill 2026 imeleta mjadala mkali sana miongoni mwa Wakenya, especially kwa sababu inagusa vitu za everyday life kama mitumba, simu na hata juice. Serikali inasema hii ni njia ya kuongeza revenue, lakini wananchi wengi wanaona mzigo unaongezeka. Kwa mfano, wafanyabiashara wa mitumba sasa...
  11. A

    JamiiForums Tanzania KERO Utaratibu wa abiria kupanda Magari ya Mwendokasi kituo cha Ilala-Boma sio mzuri unahatarisha usalama wa abiria

    Katika kituo cha Ilala-Iboma amabacho ndo cha mwisho kwa 'Route' ya Mbagala-Ilala BOma kumekuwa hakuna utararibu mzur wa kuwapanga abiria kwenye foleni ili kusubiri kupannda magari, hali hiyo imekuwa ukisababisha vurugu wakati wa kupanda kwani kila abiria anataka kuwahi kukakaa kwenye siti hii...
  12. Y

    JamiiForums Tanzania Hatimaye Kafulila atekeleza ahadi ya Ubia wa kukagua magari Kidigitali ni wa Sh. Bilioni 300 kwenye mikoa 26

    Ni, Ubia wa PPP wa Dola Milioni 116: Vituo vya Ukaguzi wa Vyombo vya Moto Kujengwa Mikoa 26 === Dar es Salaam – Tanzania imepiga hatua kubwa katika kuvutia mitaji binafsi kupitia ubia wa sekta ya umma na sekta binafsi (PPP), baada ya kusainiwa mkataba wa thamani ya Dola za Marekani milioni 116...
  13. Mad Max

    JamiiForums Tanzania Kuna watu wanasemaga Magari ya Nissan yamekaa kizee zee sana. Ona Nissan Z!

    Nissan Z ni bonge la Sport car, kwa waliojipata. Nasema waliojipata kwasababu hii inafaa kua second car, hauwezi itegemea kaa gari ya familia au ya kupigia misele daily. Hizo kwenye picha za juu ni latest gen ya 2022+ ila kama budget-wise unaweza kucheki gen ya nyuma yake Z370 Z Hii 370Z...
  14. A

    JamiiForums Tanzania KERO Wenye magari ya Serikali wanaowasha ving’ora wao ndio wanaharaka kuliko wengine kila siku?

    Naomba kuuliza swali, Hivi haya magari (basi) ya Taasisi na Serikali yanayowasha taa na ving'ora ili kufanya Wananchi na Watumiaji Barabara, kuwapisha nyakati zote tena hasa wakati wa foleni - je, ni sawa? Wao ndio wana haraka muda wote kuliko Wanachi wengine wa kawaida? Au mimi ndio sielewi...
  15. Mad Max

    JamiiForums Tanzania Lindi Mkoa mzima hakuna mataa yakuongoza magari barabarani!

    Tuachane na mataa. Me nashauri, May Mosi hii Rais badala ya kuongeza mishahara apunguze makato kwenye basic salary na kupunguza kodi kwenye baadhi ya bidhaa, ipunguze ugumu wa maisha.
  16. MANAGER DOCTOR WENGER

    JamiiForums Tanzania Inasemekana kuna showroom ya magari MIKOCHENI imeungua moto je ni kweli?

    Nishazeeka nasikia tu stori sijui kitu wakuu, ninesikia Kuna mtu katajwa nikashtuka, inasemekana ndo mmiliki ila matatizo haya, sijafurahishwa, sababu naijua biashara inavo vuruga unapo pata hasara kama hizi
  17. J

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Wamejaza magari ya washa-washa mitaani kabla ya Ripoti ya Chande kukabidhiwa

    Yaani kuua muue wenyewe kujichunguza mjichunguze wenyewe, ripoti mpike wenyewe na bado mnaogopana wenyewe loh 😂👏👏👏
  18. R

    JamiiForums Tanzania John Heche: Hizi ni kodi na ushuru wa serikali kwa gari ndogo tu Crown

    Hizi ni kodi na ushuru wa serikali kwa gari ndogo tu Crown. Fikiria kijana ambae ameanza maisha hapa Dar, kutokana na adha ya usafiri anajibana ananunua kagari ka usd 6,000 ambazo ni sawa na 14 m. Hiyo gari ikifika inatozwa ushuru mwingine wa 14 m, yaani fikiria ushuru unalingana na ununuzi wa...
  19. M

    JamiiForums Tanzania Kwa nini magari yanayoingia Tanzania hutumia mafuta mengi mizunguko ya mjini kiasi cha kuwaumiza wanunuzi, hadi kuyaita majini au kuyauza?

    Ukipitia page za wauzaji wa magari yaliyofika nchini au waagizaji huwa kuna kigezo muhimu cha makadirio ya matumizi ya mafuta, huwa kuna makadirio ya highway na makadirio ya mizunguko ya mjini (city driving), na haya makadirio ya mjini ndio yatayogusa post hii. ,Mfano Brevis cc 2490 city...
  20. Roving Journalist

    JamiiForums Tanzania Prof. Shemdoe awataka Ma RC na Ma DC kupunguza idadi ya magari kwenye ziara, ampongeza RC Dodoma kutumia gari moja

    Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OWM-TAMISEMI), Prof. Riziki Shemdoe, amewataka Wakuu wa Mikoa na Wilaya nchini kutekeleza maelekezo ya Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan ya kupunguza matumizi ya mafuta kwa kutumia magari machache kwenye ziara za...
Back
Top Bottom