magari

  1. RRONDO

    JamiiForums Tanzania Gen Z Mnakimbiza sana Magari!

    Hello petrol heads! Gen Z mnakimbiza sana magari. Mnahatarisha maisha yenu na maisha ya watumiaji wengine wa barabara. Hata sisi tulipokuwa vijana tulikuwa tunakimbia kiasi ila nyie mmezidi. Mbaya zaidi mmejifunza magari vichochorlni hamfuati wala kujua sheria na tahadhari za barabarani...
  2. L

    JamiiForums Tanzania Biashara ya kuuza magari used hapa TZ inahitaji mabadiliko makubwa sana

    Nimekuwa nikifatilia matangazo ya magari kwenye platforms mbalimbali na kuna jambo ambalo linahitaji mabadiliko makubwa. wauza magari hawatoi taarifa muhimu za magari, kwenye tangazo wanaongea maneno mengi ambayo hayana umuhimu, na kwenye muda wote wanaoongea vitu vya muhimu kuhusu hilo gari...
  3. othuman dan fodio

    JamiiForums Tanzania Mke wangu anapanda sana lifti za magari ya wapangaji wenzangu, mimi sina gari

    Ipo hivi tumepanga maeneo ya ushuhani kidogo hapa darisalama, sasa asubuhi tunavyoenda kibaruani wife huwa anawahi kidogo kuliko mimi. Sasa kila anapotoka huwa namchungulia dirishani namuona akipanda gari la mpangaji mwenzangu kama lifti akielekea kazini na mimi nikitoka napiga kwa mguu mpaka...
  4. de Gunner

    JamiiForums Tanzania Dotto Magari: Chawa au Mshawishi Hatari?

    Hivi doto magari anajielewa kweli? Yaani unakuwa chawa na kuomba hela kisa kupamba watu na mafanikio yao kweli? Sasa Maybach sio yako, unasifia wanaume wenzako na bado, unatambia wanaume wengine kwa kusikia wanaume... Na wamatumbi tu bwana.. Na msanii wake jamaa linamdhalirisha mbele ya...
  5. Hismastersvoice

    JamiiForums Tanzania Mhe. Chalamila umelazimisha kugeuza ajenda ya msongamano wa magari barabarani, haujatusaidia waathirika wa malori yenu.

    Wakazi wa wilaya ya Temeke ni waathirika wakubwa wa msongamano unaosababishwa na malori ya bandari kavu zilizozagaa mitaani wilaya ya Temeke. Barabara za Temeke na Mbagala hazipitiki kutokana na malori ambayo unasita kuamuru yaende Kwala Kibaha, huu ni uhujumu uchumi. Serikali imejenga reli ya...
  6. Miss Halima

    JamiiForums Tanzania China yaanza kutumia roboti kuongoza magari barabarani

    China imeanza majaribio ya kutumia roboti kwa ajili ya shughuli za barabarani ikiwa ni pamoja na kuongoza magari. Hata hivyo roboti hao hawana mamlaka ya kumkamata mtu pale anapokosea au kukiuka sheria. Maroboti hayo yamepelekwa hasa kwenye makutano yenye shughuli nyingi ya barabara katika jiji...
  7. Miss Halima

    JamiiForums Tanzania Kortini wakidaiwa kuiba magari yakipelekwa bandari kavu

    Mahakama ya Wilaya ya Temeke mkoani Dar es Salaam imewapandisha kizimbani washitakiwa saba, wakidaiwa kuiba magari mawili wakati yakipelekwa Bandari kavu ya Vingunguti. Washitakiwa hao ni Isack Natus, Samson Mwamoto, Daniel Noah, Adam Sufian, Michael Marwa, Fadhil Munisi na Tusho Kalambire...
  8. Meneja Wa Makampuni

    JamiiForums Tanzania Walokole Wazindua Brand Mpya za Magari yao ya Umeme kushindana na Elon Musk na BYD

    Kanisa la Kilokole la Pentekost la Christ Embassy, chini ya uongozi wa Pastor Chris Oyakhilome, limezindua rasmi safu ya magari yanayotumia nishati ya umeme, ikiwa ni sehemu ya miradi yake ya kiteknolojia na viwanda. Magari hayo yamewasilishwa kupitia njia rasmi za huduma hiyo, huku baadhi ya...
  9. Candela

    JamiiForums Tanzania Wauza magari wa bongo, wengi hawapaswi kuwa car dealers hawayajui magari kabisa

    Kuna mtu kaposti gari namuuliza hii ina injini gani? Ananijibu huoni nimeandika injini cc 2000 boss 🤣🤣🤣. Nikaona sio kesi nikamwelewehaa mfano toyota kuna 1GD kuna 1HZ na zinginezo. Sasa hii BMW unayouza ina engine gani N47 au B47. Hapo sasa akanivunja mbavu, akasema boss gari imenyooka injini...
  10. M

    JamiiForums Tanzania Haitoshi kulipenda gari lichunguze linachukuliwaje na jamii, kuna magari ambayo yamejipatia umaarufu kutumika na watu tofauti na ulivyo

    Toyota IST, Raum - Moja kwa moja unaonekana ni mtu unaebana sana pesa, kama huna taabu kuonekana hivyo si mbaya ila ndivyo utavyochukuliwa Toyota Altezza - gari iliyojipatia umaarufu kutumiwa na vijana wadogo hasa miaka 18 hadi 26 wanaopenda drifting, kelele nyingi na kukimbiza barabarani, hawa...
  11. Tech Max

    JamiiForums Tanzania Kama unahitaji fundi mitambo / mechanical technician ( magari, ac, lathe machine,milling machine, freezer, fridges)

    Kama unahitaji fundi mitambo / mechanical technician ( magari, ac, lathe machine,milling machine, freezer, fridges) nipo funding full set natengeneza vitu hivyo magari, kuendesha machine za lathe na air conditioning (HISENSE) nicheki WhatsAp/sms/piga 0756704145 (kwa ajira/kazi)
  12. J

    JamiiForums Tanzania KERO Ameripoti katika Kituo cha Kazi na kuambiwa vitendea kazi ni vichache hivyo hawezi kufanya kazi hapo. Hii ni sawa?

    Ndugu yangu ameitwa kazini kama Afisa Usafirishaji na katika barua yake ya ajira ameagizwa kuripoti Dodoma. Alifika mapema katika kituo alichopangiwa na kuanza taratibu za kuripoti kama alivyoelekezwa. Hata hivyo, alipofika katika kituo hicho, aliambiwa kuwa kituo kina magari machache na hivyo...
  13. dvj nasmiletz

    JamiiForums Tanzania Tunauza magari kwa Tsh 200,000 tu. Ni ya kuchaji

    Tunauza magari ya watoto kuanzia miezi 6 hadi miaka 15 tupo dar es salaam... yapo ya rangi na size/muonekano tofautitofauti.. Unachaji siku masaa 12 na pia yanatumia rimoti,na mengine yana muziki kabisa piga 0627474141/0773474141 MNUNULIE MWANAO ZAWADI HII NZURI HASA MSIMU WA LIKIZO ATAENJOY...
  14. N

    JamiiForums Tanzania KERO Barua ya wazi wa Mkuu wa Usalama Barabarani kuhusu uendeshaji hatarishi wa vyombo vya moto kwenye barabara ya Mbeya - Tunduma

    MADEREVA WA PIKIPIKI NA BAJAJI – MBEYA Barabara ya Mbeya–Tunduma 12 Agosti 2026 Kwa: Afisa Mkuu wa Usalama Barabarani S.L.P 260 Mbeya YAH: OMBI LA HATUA DHIDI YA UENDESHAJI HATARISHI KWENYE BARABARA YA MBEYA–TUNDUMA Ndugu Afisa Mkuu wa Usalama Barabarani, Sisi, waendesha pikipiki na bajaji...
  15. didy muhenga

    JamiiForums Tanzania Elimu ya magari

    Naombeni mwenye maoni au ushahuri kuhusu magari autoe haswa kwa sisi ambao hatuyajui kabsa kwa kutowahi kuyamiliki lakini tunatarajia kuyamiliki. Ushauri unaweza kuwa tutembelee website gan kuyajua magari? Jinsi ya kuagiza? Faida na hasara za kununua gari showroom? Gari gani nzuri kwa...
  16. backbenchers

    JamiiForums Tanzania KERO Masoko ya M'buyuni na Manyema ya Moshi Mjini hamna parking ya magari

    Katika pitapita zangu mjini hapa, nimegundua kuwa kuna kero moja inayofumbiwa macho na Manispaa ya Moshi Mjini, masoko ya hapa Moshi mjini, hususani soko la M'buyuni na Soko la Manyema, yana ufinyu au hayana kabisa maegesho ya wateja kuegesha magari yao ili wakapate huduma sokoni. Kero hizi...
  17. N'yadikwa

    JamiiForums Tanzania Sijui ndio tuwaite washamba au limbukeni wa magari?

    Asubuhi ya leo nimetoka nyumbani Mapinga kuelekea kazini. Kama kawaida nikakunjia Boko Magengeni kuelekea njia ya Mbweni JKT ili nikatokee Ununio hadi Kunduchi kuelekea Mwenge kwa njia ya kuingilia Clouds Media. Nilikuwa na Escudo langu edition ya Singapore, niko kwenye mwendo wangu wa kawaida...
  18. Jobless_Billionaire

    JamiiForums Tanzania Ni kwanini Media za Bongo zinatoa sana airtime kwa mambo yasiyo na tija kwa jamii kuliko yale ya msingi? Nimeamini kupitia sakata la Doto Magari

    Habarini wakuu.. Siku za hapa karibuni kumekuwa na mambo ya ajabu ajabu yanayotembea sana mitandaoni kuhusiana na hawa machawa. Kuna sakata la yule wa kuitwa Doto Magari kusambaa kwa taarifa zake kuwa ni muathirika na kumekuwepo na kurushiana maneno kati yake na waanzilishi wa hizo tuhuma jui...
  19. Teslarati

    JamiiForums Tanzania Kati ya yote alioongea Cherry juu ya dotto magari hili la waviu kuwa na vidoti kwenye vikanyagio miguuni kafungua code mpya.

    Aisee, zamani nilikuaga naangalia kiuononi kwanza kama kuna mkanda wa jeshi, ila kumbe miguuni napo kuna alama. Nimekumbuka miaka ya zamani kidogo nikiwa migodini huko chunya nilipata kabinti keupe kazuri sana, ila sasa ile tumezagamuana na mie style zangu za kukunja kunja nikafikia hatua...
  20. peno hasegawa

    JamiiForums Tanzania Je, Magari yanayotolewa na mbunge wa Moshi Mjini, Ibrahim Shayo, Kuwahudumia Wananchi Moshi Mjini ni Mali ya Serikali au Bado ni Mali yake Binafsi?

    Ni jambo jema kwa viongozi, taasisi na wananchi kuhakikisha kuwa mali zinazotumika kwa ajili ya kutoa huduma za umma zinasimamiwa kwa uwazi na kwa kuzingatia sheria na taratibu za Serikali. Kutokana na taarifa zilizotolewa kuhusu magari yaliyokabidhiwa kwa ajili ya kuhudumia wananchi wa Jimbo...
Back
Top Bottom