hizi

Hizi Koyke (1902 – September 1991), born Koike Hisako, was a Japanese singer based in the United States.

View More On Wikipedia.org
  1. Idugunde

    JamiiForums Tanzania Hizi busara za Omar Mahita na Pascal Mayalla zimeanza lini?

    Mzee Mahita ameongea mambo mengi kiasi kwamba jamii haiamini anachosema. Mfano rais mstaafu kutumia vibaya madaraka kwa sababu katiba tuliyinayo ni mbovu na kumteua Said Mwema kuwa Igp kisa tu ameoa kwao. Na keleza namna vyombo vingine vya usalama vinakamata watu na kuwaweka kwenye sero za...
  2. Best home tutor

    JamiiForums Tanzania Viongozi wa Siku Hizi Wanaingia kwa Merit au Kufahamiana?

    Katika jamii nyingi za leo, swali ambalo limekuwa likiulizwa mara kwa mara ni kama viongozi wanaochaguliwa au kuteuliwa kwenye nafasi mbalimbali wanaingia kwa sababu ya uwezo wao halisi au kwa sababu ya kufahamiana na watu wenye nguvu. Hoja hii imeibua mijadala mikubwa hasa pale wananchi...
  3. Zack Abdul

    JamiiForums Tanzania Harakati ni kupambania yale ambayo yanaonekana hayako sawa

    HARAKATI siku zote huwa zina lengo la kupambania yale ambayo tunadhani hayako sawa kwenye jamii na yale ambayo tunadhani yalitakiwa kufanywa kwa mtazamo mwingine kabisa na huwa zinakuwa na lengo la kuikumbusha serikali au watawala juu ya mambo fulani fulani. HARAKATI haiwezi kugeuzwa kuwa ni...
  4. A

    JamiiForums Tanzania Nini kinatokea siku hizi?

    Sasa hija nyumbani Kubwa huko Makka na kutembelea kaburi la Mstafah Habib Muhammad amani iwe juu yake huko Madina Hija ni nguzo ya tano ya Uislamu, Mwenyezi Mungu amewaweka Waislamu katika mwaka wa sita Hijri, moja ya kazi bora zaidi, aliulizwa Mtume wa Mwenyezi Mungu (: Je, kuna jambo lolote...
  5. Best home tutor

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Sababu ya mabinti wa siku hizi kuzaa mapema ni nini?

    Salama. Jamani sasa hivi kwenye miji iliyochangamka mabinti kujitunza imekua uongo kabisa . U can't imagine mabinti wadogo mtoto ana mzaa mtoto ,watoto wadogo wa kike wanakunywa pombe kali ni kama akili imestuck ,wanavuta Sitara na shisha sasa najiuliza ! Mtoto anamleaje ? Will she be a good...
  6. M

    JamiiForums Tanzania Hadhi ya Mwanza na majiji mengine ipo wapi? Tukisema hizi ni dharau tunakosea? Bajeti na mikopo ni kwajili ya miradi ya Dar na Dodoma?

    MIRADI YA MIUNDOMBINU YA MAJIJI – BAJETI YA MWAKA 2026/27 1. JIJI LA DAR ES SALAAM BRT na Maboresho Makubwa ya Barabara I. BRT Awamu ya 3: Maktaba – JNA – Gongolamboto (km 23.3) II. BRT Awamu ya 4: Maktaba – Morocco – Mwenge – Tegeta pamoja na Mwenge – Ubungo (km 30.1) III. BRT Awamu ya 5...
  7. Idugunde

    JamiiForums Tanzania Rais Samia kama ana uchungu na Watanganyika kwanini hamchukulii hatua Afande Mafwele pamoja na tuhuma zote hizi?

    Watanganyika tunaonewa sana. Kwanza kabisa taifa letu lilimezwa na sasa halijulikani lilipo. Tanganyika imemezwa. Tunadanganywa eti kuna Tanzania bara na Zanzibar. Alafu tunaumizwa sana. Maana utekaji umekuwa ukiumiza amani ya mioyo ya watu. Angalia tukio la Sativa. Kwenda kutupwa porini na...
  8. BWANA WANGU

    JamiiForums Tanzania Hipi ni laptop bora Kati ya hizi

    Mambo vp wadau, Nilikuwa natafuta laptop kwa ajili ya kazi ngumu. Kati ya hizi laptop mbili hipi ni bora zaidi. (a) Lenovo think pad X1 Carbon, yenye 32 GB, generation ya 11. (b) Hp z book, yenye 32 GB, generation ya 11. Regardless all the conditions are the same, like pricing etc Thanks...
  9. ShesRise_1

    JamiiForums Tanzania Mpaka Saa Hizi Bado Uko Macho?

    Kawaida usiku huchukuliwa kama muda wa mapumziko muda wa kuipumzisha akili na ubongo ambao pengine umefanya kazi kutwa nzima Ukiacha wale wenye shift za usiku madaktari, wauguzi, walinzi, na wengine ambao kwao muda huu ndio kama kumekucha Lakini kama wewe haupo kwenye kundi hilo halafu mpaka...
  10. Sifi Leo

    JamiiForums Tanzania WATANZANIA kwa hizi Tume mbili haifai tuamini hakutoa amry yamauaji ILA aliujumiwa na hasio wajua?

    Mpaka Leo Samia suluhu hajui aliyetoa amri ya mauaji ni nani, JE watanzania hatuamini yakuwa mama yetu kipenzi hakuusika katika ushenzini huu? Nakutabilia ushindi mama Samia jipange icc court
  11. Lycaon pictus

    JamiiForums Tanzania Hizi SGR watu wanavukaje?

  12. Zack Abdul

    JamiiForums Tanzania Simu Yako Inakutawala? Hizi Hapa Dalili 7

    Dalili 7 Zinazoonyesha Simu Yako Inakutawala (Sio Wewe Kui-control) Unafikiri unaitawala simu yako. Hapana. Ndiyo inayokuamsha asubuhi, kuamua unafikiria nini, na kutumia kila sekunde yako ya bure. Hizi ni dalili 7 zinazoonyesha umekabidhi maisha yako kwa screen na ukaita “connection,”...
  13. DEO mtiifu

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania MCHEZO MPYA WA MADEMU WA SIKU HIZI VIPI UMEUSOMA?

    Tawire tawire Aisee kuna kamchezo kameibuka kanakofanywa na mademu siku hizi, ukiomba namba unapewa kiroho safi chaaaaaap, ila ukimtafuta baaadae kwa kumpigia simu haipokelewi, ukimtext hajibu bac atakufanyia hivyo mpaka utaeliminate namba yake na kughairi mpango na huwa wanafanya hivo...
  14. Tlaatlaah

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Hivi kwa nyakati hizi za sasa, ukiomba kunyandua, unaweza kunyimwa kweli?

    Iwe kwa alie kwenye ndoa, uchumba au mahusiano ya kimapenzi? na, kwanini hakuna anae kataa? Achana na wanaojiuza mitaani kwenye madanguru n.k, nazungumzia ambao hawako kwenye biashara hiyo ya ngono. Ni nini kimebadilika na kuchochea urahisi huo kuelekea kunyanduana? Yaani siku hiyo hiyo...
  15. L

    JamiiForums Tanzania Unahitaji Taarifa Hizi Wakati wa kuomba leseni ya biashara

    Habari mjasiriamali kama wewe umesajiki biashara au Kampuni Brela unahitaji Taarifa Hizi kuomba leseni halmashauri/tausi. 1. TIN Unahitaji TIN number ambayo utaitumia kufungulia akaunti tausi 2. Mkataba wa upangishaji, unaweza kuwa wa ofisi au wa nyumbani kwako. 3. Certificate of...
  16. Zee la madawa

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kwahiyo wakristo wanaruhusu ndoa hizi kufungwa kanisani?

    Klabu ya Chelsea ya Wanawake imetangaza kuachana na Mshambuliaji wao hatari Sam Kerr raia wa Australia ambaye ameifungia magoli 115 klabu hiyo mpaka sasa akiwa ameitumikia klabu hiyo miaka sita na nusu. Miezi kadhaa iliyopita Sam Kerr alizua gumzo baada ya Kufunga ndoa ya Kanisani na Mchezaji...
  17. Financial Analyst

    JamiiForums Tanzania Come on guys! Ni 2026, acheni hizi tabia za kiduanzi

    Acha tabia ya kutembelea ndugu mara kwa mara utafikiri mechi za kila wikiendi, uchumi umebadirika, sasa hivi watu wanaenda na bajeti. Una mwaga mwaga ovyo kila kona, mwishowe ni kuongeza watoto wanaokuja kutaabika kimahitaji na saikolojia hapa duniani, masingo maza na kutopata care maalumu ya...
  18. Robert Heriel Mtibeli

    JamiiForums Tanzania Hizi ni Sheria za ndoa za Watibeli zinazotufanya tuishi Duniani kama tupo peponi. Mkitaka mnaweza kuzikopa zitakazowafaa

    HIZI NI SHERIA ZA NDOA ZA WATIBELI ZINAZOTUFANYA TUISHI DUNIANI KAMA TUPO PEPONI. MKITAKA MNAWEZA KUZIKOPA ZITAKAZOWAFAA. Anaandika, Robert Heriel Mtibeli. 1. Nimeona serikali ikitaka wadau na wananchi kutoa maoni ya Sheria za ndoa. Nikasema, Mimi kama Mtibeli nitoe muhtasari wa Sheria za...
  19. ndege JOHN

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mapenzi ya siku hizi yamekuwa “Trial Version”?

    Hivi siku hizi imekaaje kwenye mahusiano? Mnakutana, mnazoeana haraka, mnachat sana, ndani ya muda mfupi tayari mpo relationship. Baada ya hapo mkifanya mapenzi mara ya kwanza tu, ghafla kila mtu anaanza kupotea kimya kimya. Hakuna ugomvi mkubwa, hakuna drama hata… unaona tu mawasiliano...
  20. Jaji Mfawidhi

    JamiiForums Tanzania Aliyewahi kula hizi chipsi, tupeni uzoefu

    Ukisafiri toka DAr kwenda mkoa ukapita Kituo cha Kibaha Stendi na Pale Picha ya Ndege utaletewa Chips. Je, hizi ni chips au unga wa ngano umewekewa rangi na nyanya chungu? Msamvu je?
Back
Top Bottom