Naaam ni alfajiri safari inaanza,,,gari ishakula nundu ina ambaa ambaa mitaa ya ''Port access'',,,,siku hizi mnaita Mandela road...chombo inapita mitaa ya Ubungo inakata kushoto,,,,kipindi hicho hakuna double road kama sasa,,,ofcoz na magari hayakuwa mengi kama hivi leo,,,
Naam chuma inainuka...