gari

  1. Baba mtakatifu91

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania UKIACHILIA NGONO KITU GANI KINAKUFANYA MPAKA UMNUNULIE GARI MKE WAKO?

    Wadau najua maisha ni magumu sana. Sikatai life is not fair kwa wote. Kuna watu wako vizuri kiuchumi. Sasa nini kinakufanya umnunulie gari, umfungulie biashara, uwajengee wazazi wa mkeo nyumba?
  2. N

    JamiiForums Tanzania Vitambulisho vya NIDA vipigwe "photography" kisha muhuri wa serikali ya mtaa kama cards za gari

    It's me JamiiForums member: Nina Akili Ndogo Sana. Kama kadi ya gari inapigwa photocopy pamoja na kuwekwa muhuri (stamp duty) ya TRA, kwanini kitambulisho cha NIDA kisipigwe photocopy na kuwekwa muhuri wa serikali ya mtaa kwa gharama ya 1,000 TZS pekee ili mtu atembee na copy pekee?? Mtu...
  3. M

    JamiiForums Tanzania Tupia picha ya gari yako ya kwanza kununua na utuambie ulinunua ukiwa na umri gani

    Assalam allaykum ndugu zangu Leodogo wenu Nina furaha baada ya kuanza kumiliki gari zangu mwenyewe nilizo kununulia kwa hela yangu. Kuanzia sasa naendesha gari nimezonunua kwa pesa yangu mwenyewe na so gari za familia Tena japo nimebaki na gari tatu mbili zikiwa nilipewa na baba yangu kwenye...
  4. L

    JamiiForums Tanzania Profesa Musa Assad: Mshahara Wangu Ulikuwa Million 7 Na baada ya Makato Ulibakia Million 5 , Gari Zuri V8 na Marupurupu Mazuri.

    Ndugu zangu Watanzania, Aliyekuwa CAG wakati wa Hayati Dkt John Pombe Joseph Magufuli Profesa Mussa Assad Amesema ya kuwa Mshahara wake kabla ya Makato ulikuwa ni Milioni 7 . Ambapo Baada ya Makato alibakiwa na Million 5. Amesifia Nafasi hiyo kwa kusema ni nafasi yenye marupurupu manono,Gari...
  5. Fbn

    JamiiForums Tanzania Gari zinazotumia umeme kujiendesha si rafiki kwa nchi za afrika.

    Teknolojia imekuja kwa kasi ila kasi ya afrika kwenye kuipokea inachangamoto kubwa. Kwa magari ya umeme nimegundua mfumo wake wa betri umewekwa chini na si rafiki kwa nchi yetu. kwa nini sio rafiki?.Embu tuangalie barabara zetu zenye mashimo,mawe,madimbwi,rafu na n.k. Kwa uvumilivu wa betri...
  6. A

    JamiiForums Tanzania HOJA Gari zilizosajiliwa “transit” ni sahihi kubeba mizigo ya local?

    Gari zilizosajiliwa “transit” ni sahihi kubeba mizigo ya local? Tunaomba mamlaka ziingilie kati sisi wamiliki wa malori ya local tunapitia wakati mgumu wa biashara kwani gari za transit zimekuwa zikitoka mfano DR Congo zinarudi bila mzigo zikifika Tanzania zikiwa zinarudi Dar zinapakia mzigo wa...
  7. Ponjoro wa Kinondoni

    JamiiForums Tanzania Hivi kwa bajeti ya laki 7 naweza pata gari gani hata kama kuu kuu

    Naombeni mawazo nataka kumiliki ndinga nina laki 7.
  8. W

    JamiiForums Tanzania Mkuu wa Wilaya ya Siha: Vijana walioweka jeneza juu ya gari walikuwa wamelewa

    Mkuu wa Wilaya ya Siha Mkoani Kilimanjaro Christopher Timbuka, amesema kundi la vijana lililozua vurugu na kuweka jeneza lenye mwili wa kijana aliyefariki dunia juu ya gari lake la kikazi lilikuwa katika hali isiyo ya kawaida kutokana na matumizi ya vilevi. Pia Soma: Jeneza lawekwa juu ya gari...
  9. Bakulutu

    JamiiForums Tanzania Hii ni haki kweli? Nimekuta gari yangu inadaiwa wala sijui kosa, sina taarifa yeyote

    Habari, leo nikiwa na kagua nijue nadaiwa kiasi gani cha maegesho ya gari gafla nakuta na daiwa sh 60000 ya makosa barabani , sijui niliandikiwa wapi na lini ! Huu utaratibu ukoje ? Naweza peleka malalamiko ? Moderator Maxence Melo
  10. Mad Max

    JamiiForums Tanzania Msaada wa Kuelimishwa: Kwanini Namungo FC wanatumia gari la Serikali?

    Au ni team ya serikali?
  11. chakii

    JamiiForums Tanzania Moshi: Kijana wa bodaboda apoteza maisha baada kukimbizwa kugongwa na gari la Polisi akihisiwa kubeba mirungi

    Gari ya polisi Rombo yadaiwa kumgonga dereva pikipiki aliyedaiwa kuwa na mirungi nakuondoka na mwili, barabara yafungwa RPC asema barabara ishafunguliwa Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kilimanjaro, Simon Maigwa amesema barabara ya Rombo na Moshi imefunguliwa tena baada ya kufungwa kwa zaidi ya saa...
  12. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania Ifahamu Toyota Rush. Moja ya gari pendwa sana kwa baadhi ya watu ni kiwemo mimi

    Toyota Rush ni gari aina ya SUV ndogo (compact SUV) inayotengenezwa na kampuni ya Toyota Rush. Inajulikana kwa kuwa ya familia, yenye nafasi na uwezo wa kuhimili barabara mbaya. Sifa kuu za Toyota Rush Injini ya petroli ya 1.5L Ina uwezo wa kubeba abiria 7 Ground clearance kubwa (huisaidia...
  13. The ghost writer

    JamiiForums Tanzania Nilichojifunza: Horse power Haina maana ikiwa gari haina balance wala stamina

    Na hii ndio sababu inayonifanya nivutiwe na Toyota Altezza 3S dhidi ya Crown athletes JZ-GE. Horse power ni nguvu ya kulipuka tu, kama gari Haina stamina Wala balance hiyo gari inakuwa sawa na kelele na moshi tu. Ni kama mwanariadha mwenye misuli mikubwa, unaonekana mkali kwenye picha lakini...
  14. Mad Max

    JamiiForums Tanzania Hivi ni mimi sijui Hesabu au Mabeberu Wana Hela? Apple Pekee ina Thamani Sawa na Bajeti ya Tanzania ya Miaka 200?

    Ni either mimi hesabu za Kihasibu sijui au Hawa jamaa waheshimiwe! Makala inaniambia kampuni la Marekani Apple, wenye iPhone, Mac, na iPads zao, wana net-worthy ya zaidi ya US$4.5 trillion tunavyoongea. Hapo hapo budget yetu kwa mwaka ni US$24 billion. Kwahiyo ukigawa hapo si kwamba Apple...
  15. Mad Max

    JamiiForums Tanzania Good News kwa Wapenzi wa SUV: Mitsubishi wametangaza kurudi kwa Gari yao pendwa PAJERO!

    Leo Tar 29 May, officially Mitsubishi wametangaza ujio wa SUV yao pendwa Pajero, baada ya kuisitisha mwaka 2021 ilipokua 5th generation. Kwahiyo Pajero 6th Gen inakuja mwaka huu 2026, na wamefanya teaser kidogo sana bila kusema sifa za gari. Ikumbukwe Pajero ilianza mwaka 1982 na zimeuzwa...
  16. BigTall

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Responded Mfumo wa TBS unasumbua kutoa gari Bandarini, gharama zinakuwa kubwa na zinaangukia kwa mteja

    Mimi ni mmoja wa wateja niliyeagiza gari kutoka nje ya nchi. Gari langu limefika bandarini tangu wiki iliyopita, lakini hadi sasa halijatolewa kutokana na changamoto kubwa ya mifumo, hususan mfumo wa Shirika la Viwango Tanzania (TBS). Kwa kweli hali hii inakatisha tamaa sana. Tangu mfumo huo...
  17. Mad Max

    JamiiForums Tanzania Gari “Namba D” zimeenda wapi?

    Yaani Namba E kila kona, D kuonekana ni 2 kwenye gari 10. Nayo ni Kirikuu, Land Cruiser, na Corolla. Hapo Namba C ndio tusiongelee kabisa.
  18. B

    JamiiForums Tanzania Kuongelea Gari Used Toyota Crown ndio gari yangu namba moja kwa kupenda

    Formati yake ndani, comfortability is another level. Pia mwonekano safi, hasa hizi Peal White ukipita lazima watu wageuke nyuma. Kiukweli gari yangu next year itakuwa Toyota Crown
  19. zee_latown

    JamiiForums Tanzania Ifahamu CAN Bus kwenye gari

    Naona ni usiku tulivu na mujarabu kabisa kuweza kuelezea hiki kitu kidogo lakini chenye impact kubwa sana kwenye industry ya uhandisi magari. kama tulivyo sisi binadamu, tuna mfumo wa mawasiliano(coordination system) ambayo nodes kadhaa zinaunganishwa na zinakuwa zinawasiliana. Na mfumo wa...
  20. Mtu mbalimbali

    JamiiForums Tanzania VIDEO: Allan Macha (rafiki wa David Djumbe) " David Djumbe alitekwa pamoja na gari yangu".

    Allan Macha (Rafiki wa David Djumbe) aelezea mkasa halisi wa tukio la kutekwa msaidi wa Lissu , David Djumbe.
Back
Top Bottom