gari

  1. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania Trafiki atembezewa kichapo na Mwananchi Mwenge, Mwanajeshi aingilia Kati. Sasa itakuaje?

    Tukio linalodaiwa kutokea maeneo ya Mwenge, Dar es Salaam, ambapo askari wa usalama barabarani anadaiwa kuchomoa ufunguo wa gari la dereva baada ya kutokea mabishano, linaibua maswali muhimu ya kisheria na kiutendaji. Je, askari wa usalama barabarani ana mamlaka ya kisheria kuchomoa ufunguo wa...
  2. Kijakazi

    JamiiForums Tanzania Barabara zote ni za serikali, polisi wanaweza kukuzuia kuweka gari lako barabarani!

    watanzagiza tunaishi kwa mazoea sana, serikali ndiyo mwenye barabara zote tunazotumia i.e hakuna mtu binafsi anayemiliki barabara tanzagiza ukiondoa labda ya kuingia nyumbani kwako kama hata kwanza una hati miliki ya hiyo nyumba unayoishi ambayo unasema ni yako lkn hiyo ni mada nyingine hata...
  3. Echolima1

    JamiiForums Tanzania Gaidi aliyemchoma kisu raia na kutoroka na Gari anaswa na kuangamizwa huko Israel!!

    Leo kulikuwa na shambulio la kisu la Gaidi la kiarabu alimchoma kisu Myahudi wa Israeli. Mtu aliyechomwa kisu alikuwa Natanel Jacobs na hapa anaelezea jinsi alivyopigana na Gaidi Hilo baada ya kuchomwa kisu alipiga picha Gari la Gaidi huyo na kuwajulisha IDF ambao walilifuatilia gari hilo kwa...
  4. Miss Halima

    JamiiForums Tanzania Bibi alietembea kwa miguu ampe Rais zawadi ya kuku apewa gari

    Mwanamke mwenye umri wa miaka 52, Maggie Sapatu, kutoka Mwinilunga nchini Zambia, amezawadiwa gari baada ya kutembea kwa miguu karibu kilomita 1,000 hadi Lusaka kwa lengo la kumshukuru Rais Hakainde Hichilema. Maggie alianza safari hiyo Agosti 15, 16, akiwa amebeba kuku wawili wa kienyeji...
  5. nzalendo

    JamiiForums Tanzania Akimbia baada ya gari yake kukutwa na mwili na bunduki, cash 600m na mihadarati

    Naam katika mitaa ya jiji la Dar. Siku zote tunawasihi vijana kuacha tamaa. Fanyeni kazi halali. Huyu dogo kawaliza watu wengi sana,,, machozi ya watu nuksi. Alisoma CBE. Kapanga bonge la jumba Kunduchi...Shughuli anazo fanya huwa hazieleweki, Mara kadhaa anajinasibu kwamba yeye ati ana...
  6. Ndagullachrles

    JamiiForums Tanzania Diwani Mamba Myamba Same mbaroni kwa kuendesha gari kwa uzembe na kusababisha kifo cha mwendesha boda boda

    Jeshi la Polisi Mkoa wa Kilimanjaro linamshikilia Diwani wa Kata Myamba wilaya ya Same, Greyson Kyondo Fue (42), kwa tuhuma za kuendesha gari kwa uzembe na kumgonga mwendesha pikipiki maarufu kama boda boda aliyetajwa kwa jina la Daudi Kibwengo (24), mkazi wa Kijiji cha Myamba na kusababisha...
  7. M

    JamiiForums Tanzania Wakuu niambie sifa za gari Suzuki swift old model 2005

    Wakuu niambie sifa za gari Suzuki swift old model 2005
  8. Nyani Ngabu

    JamiiForums Tanzania Amekuwa kama mbawala aliyemulikwa na taa za gari gizani

    Hakika yajayo yana mwelekeo wa kutufurahisha. Samia keshachanganyikiwq huyo. Huku bado kukiwa na wingu kubwa jeusi likiwa limetanda kutoka ICC… Huku bado bunge la Marekani likiwa halijakamilosha maamuzi yake dhidi ya wauaji wa Oktoba 29… Huku bado tukiwa tunasuburi maamuzi ya jumuiya ya...
  9. Titicomb

    JamiiForums Tanzania Waliouwa Oktoba 2025 walikwenda kuzima nyumba ya udongo kutumia gari ya maji ya zimamoto

    Unazima moto kuzuia moto usiharibu nyumba inayo waka na kuokoa mali zilizomo ndani. Tatizo walisahau nyumba ya udongo ukimwagia maji mengi inaporomoka na kuta zake zinaharibika, zinaporomoka kabisa. Baadhi ya Mali zinaharibika pia. Kuna wakati inaonekana afadhali uache nyumba iungue kisha moto...
  10. othuman dan fodio

    JamiiForums Tanzania Mke wangu anapanda sana lifti za magari ya wapangaji wenzangu, mimi sina gari

    Ipo hivi tumepanga maeneo ya ushuhani kidogo hapa darisalama, sasa asubuhi tunavyoenda kibaruani wife huwa anawahi kidogo kuliko mimi. Sasa kila anapotoka huwa namchungulia dirishani namuona akipanda gari la mpangaji mwenzangu kama lifti akielekea kazini na mimi nikitoka napiga kwa mguu mpaka...
  11. U

    JamiiForums Tanzania MTU mfupi kwenye gari anabidi kuendesha na sio kuendesha.

    MTU mfupi kwenye gari ni vyema akaendeshwa.
  12. A

    JamiiForums Tanzania Gari ya Town Ace pickup 4W ipoje? Nataka kuijua kabla sijafanya maamuzi ya kuinunua?

    Nahitaji gari town Ace pickup 4W mpya au used naomba msada kwa mwenye uelewa nazo anipitishe kwenye darasa kabla sijachukua hatua yeyote ya manunuzi. Asante 🙏🏾 Naishi Lindi.
  13. nzalendo

    JamiiForums Tanzania Gari jipya,,mileage mfukoni,,,,

    Naaam ni alfajiri safari inaanza,,,gari ishakula nundu ina ambaa ambaa mitaa ya ''Port access'',,,,siku hizi mnaita Mandela road...chombo inapita mitaa ya Ubungo inakata kushoto,,,,kipindi hicho hakuna double road kama sasa,,,ofcoz na magari hayakuwa mengi kama hivi leo,,, Naam chuma inainuka...
  14. M

    JamiiForums Tanzania Biashara yakukodisha gari ALPHAD

    Wakuu ushauri wenu tafadhali nataka kununua gari aina ya ALPHAD kwa ajili ya biashara yakuwakodishia watu wenye safar zakifamilia kama kwenda kwenye harusi,misiba,shughuli binafsi, Wazoefu hii biashara ikoje
  15. M

    JamiiForums Tanzania Haitoshi kulipenda gari lichunguze linachukuliwaje na jamii, kuna magari ambayo yamejipatia umaarufu kutumika na watu tofauti na ulivyo

    Toyota IST, Raum - Moja kwa moja unaonekana ni mtu unaebana sana pesa, kama huna taabu kuonekana hivyo si mbaya ila ndivyo utavyochukuliwa Toyota Altezza - gari iliyojipatia umaarufu kutumiwa na vijana wadogo hasa miaka 18 hadi 26 wanaopenda drifting, kelele nyingi na kukimbiza barabarani, hawa...
  16. Rango_snake

    JamiiForums Tanzania Nahitaji gari ya tani 10 ya kubeba mbao na vigogo maporini

    Habari za muda huu wadau. Nahitaji gari ngumu tani 10 ya kubeba mbao na vigogo maporini. Kwa yeyote mwenye nayo au anaefahamu sehemu ipo nzima na haina changamoto yeyte naomba tuwasiliane. Ahsante 0765645793
  17. U

    JamiiForums Tanzania Kwa nini wafanya biashara wengi wa dala dala wamepaki gari zao? Je, hii biashara hailipi?

    Ukipita hapa mjini na ukiangalia maeneo ya kupaki magari na vituo vya mafuta utakuta dala dala nyingi ziko hoi. Wengi wamepaki na zimeharibika. Tatizo ni nini???
  18. M

    JamiiForums Tanzania Natafuta gari la kutembelea budget yangu ni TSH 5M

    Mimi nipo Zanzibar Kwa muda natafuta gari la kutembelea liliko kwenye hali nzuri budget yangu ni maximum Tsh 5M Nawasilisha!
  19. Teslarati

    JamiiForums Tanzania Kwenu Madalali wa magari kuna mdogo wangu ana 15m cash hapa anataka gari yake ya kwanza ili apate siti kwenye meza ya wakubwa zake akina sie

    15m tu, hazidi hapo. Kanisumbua sana ila mimi sinunuagi used za TZ, kwa hio sina cha kumsaidia zaidi ya kuwashirikisha wanaJF wenzangu. Isiwe baby woka, iwe gari ambayo akipaki tunapopaki wakubwa zake angalau mtu asipite na kuuliza "mkokoteni wa nani huu" Please usije inbox, wewe mwaga sera...
Back
Top Bottom