Ndio hivyo tena biashara ni ushindani ukilala wenzio wanaamka, mwenye frem anachotaka ni kodi hajali aliempangisha anauza nini na anaetaka kupangisha nae atauza nini shida kodi inaingia
Fremu inayofuata kaingia mpangaji mpya ile kufungua ni copy na paste ya bidhaa ninazouza, cha ajabu kaja na...
Moja kati ya jambo ambalo najiulizaga
How Hawa wanaume wenzangu wanafikia Level za kutesa wake Zao au kuwa control na wengine wanashindwa kabisa na matukio ya wanaume wanaamua kwenda kwao
Wanafanya fanyaje 😀😃😄 maana Mimi mwezenu tayari nimedandia mtungi wa vibwengo
Nimeona Kamada wa jeshi (😀😃)...
Sijachanganyikiwa lakini nimefikiria TU maana sielewi kuishi ni bahati au Kuna Nini.
Mbona Toka kuzaliwa kwangu nimezika na kusikia misiba mingi.
Je? Kuishi ni bahati TU.
Maana kama mabasi nimepanda Sana pikipiki boti kutembea Kwa miguu barabarani kuogelea nk.
Kwanini Bado naishi?
Eti Wakuu mnafanyaje?
Nimefanya kila mbinu kuepuka mtego huu wa ku-bet bila kutumia pesa yangu ambayo nimeweka kama akiba ila nimeshindwa, umekuwa ugonjwa wangu karibu kila ninapo suka mikeka yangu.
Hali hii inaniumiza sana na sijui najinasuaje?
Psychology inaonyesha kwamba watu wengi hufichua ukweli wao kupitia reactions, patterns, na emotions kuliko maneno yao.
Watu hupenda kuhisi:
• Wameeleweka
• Wamesikilizwa
• Na wana control
Ukijifunza kuelewa body language, silence, emotions, na communication patterns, utaanza kuelewa watu kwa...
Jamani nawapenda sana.. Nimeamua kuwapa mbinu ya kishinda cheo chochote Tanzania..
Fuata hatua hizi... Msiache kunitumia alkasusu☕ ☕
KAMA UNATAKA KUWA MWANASIASA WA CCM, FUATA HIZI HATUA
Hatua ya kwanza:
Jibadilishe na ujionyeshe kama mtumishi wa wananchi.
Vaa nguo za kawaida, nenda sokoni...
Habari za mchana huu wa kazi wakuu,
Poleni na majukumu ya kujenga taifa. Sote tunajua lile bishano kubwa la ndani ya moyo linalotokea kila ifikapo saa saba hadi saa tisa mchana—pale mwili unapotamani kulala lakini majukumu yanakuambia "amka!"
Hebu tuchangamke kidogo hapa kwa upendo na ucheshi...
Nilimsikia juzi anadai eti baada ya simba na yanga mtu anayeongoza kwa kutajwa ni yeye.
Niwaombe watanzania tukatae huu uzamani na mbinu za kienyeji kutatua matatizo ya watu. Huyu mheshimiwa ni mzito wa kusoma alama za nyakati. Hii mbinu aliitumia na kuipatia sana magufuli lkn hata hivyo...
Shetani anatumia mbinu kubwa 10 kutuangamiza
Maandiko katika kitabu cha Zaburi 119:105, yanasema: “Neno lako ni taa ya miguu yangu, Na mwanga wa njia yangu”.
Hakika tukilifahamu Neno la Mungu, hata tukifungiwa katika chumba chenye giza tukapewa mshumaa na Biblia tu, tutaweza kueleza mambo yote...
Achana na mkeo
2. Nenda ulaya urudi
3. Soma sana
4. Usisome kabisa
5. Jua kuandika
6. Uwe mwongeaji
7. Ujue hotuba za nyerere
8. Hamia mkoa nilioko kwa sasa
9. Usijue soko liko umbali gani
10. Safiri mikoa mingi
11. Ishi hotelini muda mrefu
12. Ishi lodge muda mrefu
13. Pata fedha usisafiri...
Single mother wote wakiingia kwenye mahusiano mapya huwa hawawaongelei vizuri wazazi wenzao. Hauwezi kusikia anasema "baba mtoto yupo anampenda na kumjali sana mwanae" . Mara zote utasikia "hata sijui yupo wapi. Atajua mwenyewe na maisha yake"
Do you think that's coincidence? no, it's a...
Hizi mbinu za Kuficha Bunduki, zinaisaidia CCM au zinaiangamiza? Nani yupo nyumba ya huu mchezo mchafu?
Tuseme vyombo vya dola havijui hawa ni wakina nani? Mafwele matako yako
So kwa akili yao wanajua wanaichafua CHADEMA🤣🤣🤣
CCM chali kifo cha mende
Nakulilia Tanganyika.. Tumefika huku?! 😭😭😭😭...
Mbinu ya CHADEMA YA "Win the crowd, and fate will kneel before you" IPO ASILIMIA 70% KUELEKEA KUIANGUSHA CCM.
Anaandika, Robert Heriel
Mtibeli.
1. Katika Falsafs za siasa. Zipo mbinu nyingi Sana za kuishinda serikali iliyopo madarakani.
2. Elewa, Serikali inaweza kutawala nchi, lakini...
Mpo salama!
1. CCM ni chama Dola, kikongwe na ambacho kimefanyia mambo mengi mazuri nchi yetu ikiwemo Umoja wa kitaifa tangu 1961 mpaka hivi karibuni ambapo kidogo mambo ndio yameanza kukorogana. Umoja wa kitaifa hapa tunazungumzia kiwango kidogo cha Ubaguzi wa kikabila na udini. Kwa hilo CCM...
Mchakato ni kama ufuatao;-
Gas turbine kubwa ya kuzalisha megawatts 100 ni usd million 20 sawa na kama tsh Trillion 40+ kama
Mfano wa gas turbine zinazozalisha megawatts 100+
General Electric (GE) LMS100: A highly efficient aeroderivative gas turbine that produces approximately 100–116 MW...
Nimekua nilitengeneza kanuni ya hesabu kwenye bahati nasibu ( nina background nzuri sana kwenye hesabu takwimu na namba )
Kanuni moja wapo imenionyesha matokeo ambayo sikuyatarajia. Hii kanuni nimekua nikiitengeneza kwa zaidi ya miaka mitatu ambapo nilokua niki i refine
Saivi naweza kusema...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.