Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ni nchi inayopatikana Afrika Mashariki. Jina "Tanzania" lilipatikana baada ya nchi mbili; Tanganyika na Zanzibar kuungana.
Alhamisi wiki hii kikao cha mchujo wa kumpata katibu mkuu mpya wa UN, kuchukua nafasi ya Antonio Guterez, kinaanza kufanyika.
Katika mchujo huo Afrika inawagombea wawili baada ya Aliyewahi kuwa waziri wa mambo ya nje wa Uganda, Olara Otunu ( 75) kupendekezwa na nchi yake. Mwingine ni aliyewahi...
Kutakatisha fedha ni mchakato wa kuficha asili ya fedha haramu ili zionekane ni halali. Sheria ya Udhibiti wa Kutakatisha Fedha Tanzania ilitungwa kutokana na shinikizo la Marekani baada ya mashambulizi ya kigaidi, ikilenga kuzuia rasilimali fedha kuwafikia magaidi.
Hata hivyo, biashara kubwa...
Explore our top-rated and most-reviewed Tanzania safari tours with flexible safari packages, led by our certified local safari guides and featuring tailor-made journeys, fully customizable itineraries, and highly rated experiences across Tanzania’s leading safari destinations, all backed by...
Discover unforgettable Tanzania safari tours via WhatsApp at +255 764 415 889 or email sales@africanaturaltours.com. Book skip-the-line tickets, VIP access, and professionally guided safaris with expert local guides while exploring Tanzania’s top wildlife attractions, iconic national parks, and...
Kikao cha 48 cha Kamati ya Urithi wa Dunia (WHC) ya Shirika la Umoja wa Mataifa la Elimu Sayansi na Utamaduni (UNESCO) kilichoanza Julai 19, 2026 kinaendelea jijini Busan katika Jamhuri ya Watu wa Korea.
Mkutano huo unahudhuriwa na takriban watu 3,000, akiwemo Mkurugenzi Mkuu wa UNESCO...
Kuomba pasipoti kwa mara ya kwanza kunaweza kuonekana kuwa ngumu, lakini ukifuata hatua sahihi mchakato unakuwa rahisi na wa haraka.
Katika mwongozo huu wa ChuoSmart, utajifunza:
✅ Jinsi ya kuomba pasipoti mtandaoni hatua kwa hatua.
✅ Nyaraka muhimu zinazohitajika kabla ya kuanza maombi.
✅...
Jeshi la Polisi Tanzania limetangaza kuwa watuhumiwa 36 kati ya 130 waliokamatwa kwa tuhuma mbalimbali za uhalifu wamefikishwa mahakamani na kusomewa mashitaka.
Katika taarifa iliyotolewa Julai 26, 2026, Jeshi la Polisi limesema watuhumiwa hao walikamatwa kwa tuhuma za kupanga na kuhamasisha...
Hata leo usiku, ikiwa chama tawala kitatoka na kuingia chama kingine ili kupata viongozi wapya, taifa hili litaendelea kuwa maskini kama nguvu ya kuzindua raia haitatumika kwa dhati.
Ukweli uliopo ni kwamba mabadiliko ya kweli hayaanzi kwenye kura za sandukuni pekee, bali huanzia kwenye ukombozi...
BARUA YA WAZI KWA MHESHIMIWA DKT. NASRA NASSOR
Mbunge wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Yah: Ombi la Kupata Ufafanuzi Kuhusu Maendeleo ya Utekelezaji wa Sheria ya Baraza la Wataalamu wa Kemia (Chemist Professionals Council)
Mheshimiwa Dkt. Nasra Nassor,
Kwa heshima, naomba nianze kwa...
Karibu miezi miwili sasa nimekumbana na kazia mbovu ya huduma kwa wateja kutoka kampuni ya ndege ya Precision Air.
Tofauti na sera yao ya utaratibu wa kurejesha pesa kwa safari iliyohairishwa na kutolewa report ndani ya wakati ndani ya week 2, jitihada za kuwasiliana na huduma kwa wateja...
ASKOFU MKUU GERVAS NYAISONGA ACHAGULIWA KUWA RAIS MPYA WA AMECEA
Askofu Mkuu wa Jimbo Kuu Katoliki Mbeya Mhashamu Gervas John Mwasikwabhila Nyaisonga, amechaguliwa kuwa Rais mpya wa Shirikisho la Mabaraza ya Maaskofu Katoliki Afrika Mashariki (AMECEA).
Uchaguzi huo umefanyika wakati wa Mkutano...
Ndugu zangu Watanzania,
Nchi ya Venezuela Imejiondoa Rasmi kuwa Mwanachama wa Mahakama ya Kimataifa ya Makosa ya Jinai ya ICC. Mahakama Ambayo Imeendelea kukimbiwa na wanachama mbalimbali kutoka kila pembe ya Dunia kila Uchao.
Kutokana na chombo hicho kukosa muelekeo,kupoteza imani na...
Natumaini japo hatuna machifu rasmi, bado tuna ulewa espesheli vile kuna makabila bado yana heshima ama muendelezo kwa machifu wa zamani na warithi wao.
Binafsi, naona karibu vitu vyote vya kigeni tulivoiga, aidha tumeboronga ama havijafanya kazi ndani ya jamii zetu. Mambo ya siasa, maraisi na...
Tujifikirishe kidogo kwa nini Tanzania ni nchi masikini kwa kiasi hiki kuliko hata Kenya pamoja na rasilimali zake zote hizi.
Tatizo ni utaratibu mbovu wa utawala wetu aka katiba mbaya. Katiba mbaya ni kwasababu ya CCM na walarushwa!
Sasa mnao unga mkono huu mfumo ni sawa na watumwa wanao...
Ukizungumzia wasanii ambao hawajawahi kupewa heshima inayolingana na mchango wao kwenye muziki wa Tanzania, kwangu jina la kwanza ni Rashidi Ziada (KR).
KR alianza muziki tangu miaka ya 90. Amepitia makundi mbalimbali kama GWM, Wachuja Nafaka, hadi kuwa sehemu ya TMK Wanaume Family. Licha ya...
Narudi bongo mwezi august natoa HUDUMA ya kuuza mbegu za kiume Kwa wanawake hii nimeikuta USA nakuja nayo Tanzania mloganzila wanapandikiza wanawake mbegu kama sikosei. Ila kutokana na mazingira ya Tanzania kutokuwa salama kiutekaji hii inakuwa changamoto.
Kuanzia mwaka 2014 mpaka leo nimetembea na wasomi 74.
wadada wa bachelor degree 47, masters 21, PhD 6.
Huenda ni kutokana na mazingira ninayofanya kazi lakini kwa experience yangu msomi wa degree 1 ni rahisi kumpata kuliko mdada wa certificate.
Imetolewa na mkuu wa idara ya uchakataji, MMU...
Ni rahisi kuwateka akili wa Tanzania ukiwaambia mambo ambayo masikio yao yanataka kusikia na ndioomaana Mitume na manabii uchwara wanafanikiwa sana wameshaijua code ya kuchezanayo
📢 Nafasi ya Kazi: Account Manager (Mid Market)
Je, una uzoefu katika mauzo, usimamizi wa wateja wa biashara (B2B) na kujenga mahusiano ya muda mrefu na wateja? Airtel Tanzania inatafuta Account Manager (Mid Market) mwenye uwezo wa kusimamia wateja wa kampuni za kati, kuongeza mauzo na kutoa...
Founding Sales Development Representative (SDR) – Remote (Tanzania)
Join the Founding Sales Team of an Australian Technology Company
Location: Remote – Tanzania
Company: My Wattle (Australia)
About My Wattle
My Wattle is an Australian Software as a Service (SaaS) company developing...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.