tanzania

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ni nchi inayopatikana Afrika Mashariki. Jina "Tanzania" lilipatikana baada ya nchi mbili; Tanganyika na Zanzibar kuungana.
  1. E

    JamiiForums Tanzania Ziara Ya Kombo Marekani: Je, Itaiepusha Tanzania Na Makala ya Muswada wa Marekani?

    Wakati uhusiano kati ya Tanzania na Marekani ukiingia katika kipindi nyeti zaidi katika miaka ya karibuni, Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mahmoud Thabit Kombo, amefanya ziara muhimu nchini Marekani inayobeba uzito mkubwa wa kidiplomasia kuliko inavyoonekana juu juu...
  2. S

    JamiiForums Tanzania D RAX MSANII WA BONGO FLAVA ANAEKUJA KWA KASI NCHINI TANZANIA MWENYE ZAIDI YA WAFUASI LAKI TATU

  3. R

    JamiiForums Tanzania Mkutano Mkuu wa 87 wa Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania TEC unaendelea Makao makuu ya Baraza hilo Kurasini

    C&p Habari ndiyo hiyo. Mkutano Mkuu wa 87 wa Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC) [87th Plenary Assembly - Study Session] unaendelea katika ukumbi wa Amecea uliopo ndani ya Makao Makuu ya Baraza la Maaskofu Kurasini Jijini DSM. Mkutano huo unaongozwa na Rais wa TEC, Mhashamu Baba...
  4. Mad Max

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania CECAFA U-17 Women’s Championship 2026 | Tanzania vs Kenya | 17 June 2026 | 04:00 PM | KMC Dar es Salaam!

    Mashindano ya Mpira wa Miguu kwa Team za Wanawake umri chini ya Miaka 17, Africa ya Mashariki na Kati kwa mwaka 2026 yanaendelea. Leo Tanzania inakipiga na jirani Kenya. Tanzania ilicheza ikampiga Sudani 10 kwa bila. Madogo wako vizuri. Mwanadada Bahati anakipiga hatari, akaibuka WOM...
  5. instinct desire

    JamiiForums Tanzania Baada ya CHADEMA kuruhusiwa kufanya siasa, kuna kundi limeibuka TikTok linatukana viongozi. Vyombo vya ulinzi viwafundishe adabu

    Naomba kusiwe na lelemama kwa mtu yyte anayetukana viongozi mitandaoni, hii tabia imeibuka baada ya chadema kuruhusiwa waanze kufanya shughuli za kisiasa. Tusicheke na hawa vibaka wa chadema wanaotukana viongozi wetu mitandaoni. Mtoto mwenye malezi duni lazima anyooshwe na dunia
  6. Zack Abdul

    JamiiForums Tanzania Diplomacy in Action: US & Tanzania Strengthen Ties

    Interesting timing. As debate continues around S.4577, senior U.S. and Tanzanian officials are meeting to discuss strengthening bilateral relations, preserving shared interests, and advancing commercial deals that benefit both countries. In international relations, active dialogue is often...
  7. University of Dodoma (UDOM)

    JamiiForums Tanzania Kutoka ipcc hadi Udom: Dkt. Chang’a aongoza majadiliano ya mustakabali wa tafiti za tabianchi Tanzania

    Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) na Makamu Mwenyekiti wa Jopo la Kimataifa la Sayansi ya Mabadiliko ya Tabianchi (IPCC), Dkt. Ladislaus Chang’a, tarehe 16 Juni 2026 ametembelea Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM) kwa lengo la kuimarisha ushirikiano kati ya TMA na Chuo hicho...
  8. Dennis Robert Shughuru

    JamiiForums Tanzania Tanzania tunaweza kuwa na viwanja kama vya Marekani, vikubwa na vizuri kama tukiamua sababu uwezo upo

    Kombe la dunia linaendelea watu wengi wamekuwa wakishangaa vile viwanja vya marekani vilivyokuwa vikubwa na vizuri Na hapo pia kuna viwanja vingi sana vya college ambavyo havijatumika mfano kiwanja cha Rose bowl pasadena kilichochezewa fainal 1994 hakipo kabisa kwenye mashindano Kiwanja cha...
  9. Stability

    JamiiForums Tanzania Hivi kwanini kinondoni historically imebakia kitovu cha uchafu wa aina yote tanzania?

    Drugs, madada poa ,makaka poa, matapeli, sex parties, kibao kata, etc
  10. T

    JamiiForums Tanzania Mnaopinga maandamano 7/7 mkae kimya, mtuache sisi tunaopenda Tanzania tuandamane. Na tutaandamana tu

    Jamani naomba sana kwa wale ambao hamtaki maandamano msitutukane sisi ambao tunataka kuandamana kwa ajili ya haki na uhuru wetu. Ninyi mmeshasema mtatuua sasa mtuache basi tuendelee na kupanga maandamano yetu.
  11. M

    JamiiForums Tanzania Duma Truck Tanzania

    Kwa huduma ya kutuma mizigo midogo, ya kati na mikubwa kutoka Mwanza na Dar es salaam, Duma Truck Tanzania tunawakaribisha kufanya kazi nasi. Piga simu sasa 0618480710
  12. n00b

    JamiiForums Tanzania Wanajaribu kushindana na Teknolojia, wataweza? Hotuba ya Pavel Durov na Somo kwa Tanzania yetu ya VPN!

    Wakuu kwema? Kama wewe ni mtumiaji wa mitandao hapa nchini, basi huna budi kutenga dakika 5 kusikiliza au kusoma uchambuzi wa hotuba ya hivi karibuni ya Pavel Durov (Mwanzilishi na CEO wa Telegram) kwenye mkutano wa Oslo Freedom Forum https://youtu.be/1Yq_5aDdJ24 Durov ametoa hotuba ya...
  13. Matovu Godfrey

    JamiiForums Tanzania Free Tanzania - Maandamano 7/7

    Join #MariaXSpaces 📍 🇹🇿 Leo #MariaSpaces tunajadili: 7/7 Maandamano nchi nzima - tupo tayari au maneno tu? Maandamano yametangazwa na madai ni #FreeTunduLissu #Haki za #MO29, #KatibaMpya #SamiaMustGo Na hadi polisi wameanza kuandamana! Je tuko tayari kwa vitendo au maneno tu? Leo saa 2 uck...
  14. J

    JamiiForums Tanzania Pongezi kwa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) katika maadhimisho ya miaka 30 yake

    Katika kuelekea maadhimisho ya miaka 30 tangu kuanzishwa kwa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), napenda kuchukua fursa hii kutoa pongezi za dhati kwa viongozi, menejimenti na wafanyakazi wote wa TRA kwa kazi kubwa na mafanikio yaliyopatikana katika kipindi chote cha miaka hiyo. Kwa hakika, miaka...
  15. Blasio Kachuchu

    JamiiForums Tanzania Vodacom Tanzania Yazindua Maduka Jongefu Yaliyoboreshwa

    • Kupanua Upatikanaji wa Huduma za Kidijitali Nchini Afisa Mtendaji Mkuu wa Vodacom Tanzania PLC, Philip Besiimire (kushoto) akikata utepe ikiwa ni ishara ya uzinduzi wa Maduka Jongefu mapya sita yaliyoboreshwa na hivyo kufikisha maduka jongefu 12 yatakayotumika kupeleka huduma za mawasiliano...
  16. n00b

    JamiiForums Tanzania China imezika Shahada 12,200+ zilizopitwa na wakati kupisha AI. Tanzania bado tumelala? Wasomi wetu wamejiandaa au tusubiri vilio vya 'hakuna ajira'?

    Kuna ukweli mmoja mchungu sana kuhusu mfumo wetu wa elimu ya juu hapa nchini ambao kama tusipoujadili sasa, kwa uwazi na bila kupepesa macho, tutakuja kujuta kama taifa baada ya miaka mitano au kumi ijayo. Wakati sisi hapa Tanzania bado tunapambana kuongeza udahili wa wanafunzi kwenye kozi...
  17. Y

    JamiiForums Tanzania PPPs and Vision 2050: Why Tanzania Needs Broad Public Dialogue Now More Than Ever

    Why public debate may be the missing ingredient in Tanzania’s PPP ambitions Economic development is often discussed through the language of numbers. Governments announce growth targets, economists debate investment flows, and policymakers measure progress through indicators such as GDP...
  18. Lycaon pictus

    JamiiForums Tanzania Maajabu ya Tanzania.

    Nimeikuta hii huko Youtube. https://youtu.be/TdpZMM5cbo4?si=BQFl2tp0WEveObmJ
  19. Troll JF

    JamiiForums Tanzania Ewe uliyoko Tanzania, Usije Ukaratibu, Ukatoka, Ukaandamana tarehe 7-7-2026

    Nawaonya vijana maana nyinyi ndiyo mnashikika masikio kirahisi msije mkajaribu kuratibu, kupanga na kuandamana tarehe 7.7.2026 kutakua kuna show ambayo haijawahi kutokea. Vyombo vya Ulinzi na Usalama vimejiandaa kikamilifu kwani huwa mnakosa tactical na kutangaza mapema mtachafua sana Lami...
  20. Joshua Mbezi

    JamiiForums Tanzania Yawezekana Mkoa wa Kilimanjaro ndio Mkoa mzuri kuliko yote Tanzania

    Katika siku zangu hapa Tanzania nimefanikiwa kuishi mikoa ifuatayo Dar Morogoro Iringa Mbeya Njombe Kagera Manyara Mwanza Lakini katka mikoa hyo sikuona mambo makubwa ya kufurahia mpaka nilipofika mkoa wa Kilimanjaro Aisee huu mkoa n mzuri hali ya hewa yake n nzuri , uchumi mzuri warembo...
Back
Top Bottom