1 Septemba 2024 — Maadhimisho ya miaka 60 ya JWTZ
Rais Mhe Dr. Samia SuluhuHassan, akiwa Amiri Jeshi Mkuu, alihudhuria kilele cha maadhimisho ya Miaka 60 ya Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) katika Uwanja wa Uhuru, Dar es Salaam.
Katika hotuba yake, alisisitiza mchango wa JWTZ...