Wakuu habari,
Nina iPhone 14 ambayo imeacha kuchaji kabisa. Nikiweka cable kwenye charging port haichaji kabisa. Nimejaribu njia zote lakini bado haichaji.
Kwa wenye uzoefu na iPhone 14, tatizo kama hili linaweza kuwa nini?
Naomba msaada hasa kwa mtu aliyewahi kukutana na tatizo kama hili na...
My Take
Sasa je huu ndio utakuwa mwisho wa wachuuzi na kuuzia shambani au?
Ngoja tuone
https://www.instagram.com/p/DciLX__irBz/?igsi=MW5ka3N4dmJoNnpybg==
My Take
Kwa bei hizi za hovyo zisizo na maana Kwa mkulima Kuna haja gani ya mnada...
Wakuu mimi ni mgeni katika sekta ya pesa mtandaoni, ila Meta kwa sasa wananitaka kuweka payout details, kwa uchunguzi mdogo nilioufanya nimegundua kuna mbinu 3 hivi
1-Kupitia Payoneer
2- PayPal
3-Direct kuja bank zetu hizi
Lengo langu pia ni kutunza hivyo vijisenti vikiwa katika Dollar make...
Hawa viumbe, mbali na changamoto zao mbalimbali, wana baadhi ya sifa ambazo kwa kweli zinaweza kuwasaidia sana kimaisha.
Sifa ya kwanza: Wanawake wanajipenda.
Kihisia, kiuchumi na hata kwenye mazingira yanayowazunguka. Mara nyingi wanajipa kipaumbele kwenye mambo yanayowahusu na wanajitahidi...
TAG wameonesha ukomavu wa kiroho kwa kuamua kuachilia na kusamehe mali zake ambazo mahakama ilikuwa imetoa uamuzi zirejeshwe TAG.
Ifahamike kuwa EAGT pia ina mgogoro na makanisa mengi tu yaliyojimega toka EAGT yakienda na majengo na mali za EAGT. EAGT wamekuwa wakidai mali hizo na baadhi yake...
Laiti kama serikali ingekuwa inamfuatilia Tundu Lissu na kuisoma akili yake ingegundua siyo mtu wa kumtishia na kesi. Siyo mtu wa kumtishia na jela, mahabusu wala hukumu ya kunyongwa. Upo msemo kwamba ukimjua adui yako ndiyo unaweza kumshinda. Njia ya kesi na jela ilizaa matunda kwa Freeman...
Baada ya kumsema mtu kwa mabaya akianza kung'ara wanaanza kukaa kimya
Nimefatilia sana ile issue ya juma jux..
Ila nikajifunza kitu kimoja kikubwa sana, na hata mondi(japo simjubali) aliweza kujua kukitumia..
Ni kutumia maneno ya watu kama Kiki ya wewe kufanya makubwa...
Jux katoa bonge la...
Wabunge wameidhinisha Muswada wa Kenya Roads (Amendment) Bill, 2024, unaolenga kuanzisha njia maalum za waendesha baiskeli na watembea kwa miguu nchini.
Muswada huo, uliowasilishwa na Mbunge wa Samburu West Naisula Lesuuda, uliidhinishwa na Bunge la Kitaifa Alhamisi, Agosti 13, 2026.
Iwapo...
Wanaume Wengi ni wazembe wa kujitaftia maarifa ila ukitaka kuweka confidence na kuweka ego au aura !
1. Soma sana makala , vitabu na majarida ya topic kadhaa hii ni tabia yangu toka shule Mpaka nikaitwa encyclopedia ya
shule (Britanicca) dawati langu lilijulikana hata kwenye hoja za kikanda na...
Ukarabati unaoendelea kwenye Barabara ya Kasarani–Mwiki umeibua maoni tofauti kutoka kwa wakazi, huku wengi wakitaka serikali kuweka kipaumbele katika kutengeneza barabara yenyewe kabla ya kuwekeza katika miundombinu mingine. Wakazi wanasema licha ya kazi za ujenzi kuendelea, changamoto kuu...
Maisha yanapokuwa magumu, kila mmoja huwa na maoni yake. Unaweza ukawa unapitia changamoto za biashara, mahusiano, kazi, au hata hali ya kifedha. Wakati mwingine unaweza ukahitaji msaada wa fedha ukakosa, ukahitaji mtu akuombee ukakosa, lakini ukakuta watu wengi wako tayari kukushauri.
Na hilo...
Mwaka jana, mwezi wa 4 nikiwa katika harakati za kueneza kampeni ya kataa ndoa hapa mtaani, alitokea bishoo mmoja na kusema, "bro wewe unajifanya kataa ndoa kumbe jogoo lenyewe haliwiki, unajifanya kataa ndoa ili kuficha ugumba wako.....hivi wewe unaijua raha ya ndoa?".
Aisee! Ile kauli...
Ukiona mtu anafanya kazi ya kumlaumu Heche, lakini hajawahi kuyakemea/ kuyasemea haya listed below, ujue katumwa na mbogamboga kumchafua Heche. Mfukuze kama ana kadi ya chama
1. Akiambiwa kuna tone tone haongei chochote
2. Akiambiwa free Tundu Lissu haongei chochote
3. Akiambiwa viongozi wa...
Baraza la Taifa la Elimu ya Ufundi na Mafunzo ya Ufundi Stadi (NACTVET) limetoa taarifa kuwa limefanya maboresho ya mawasiliano yake kwa njia ya simu ili kuongeza ufanisi katika kuwahudumia wadau wake.
NACTVET imeeleza kuwa mbali na namba za simu za Makao Makuu, maboresho hayo yamejumuisha...
Hili la kusema hivi then kesho kutwa tunawaona wote kwenye adhimisho flani hatuwez kukubali..
Hizi mbanga unaongea hivi then kesho unasema tena mpo pamoja na Mkulu hatuwez kumuanini 100%
Tupo Zama za NYEUSI NYEUSI, NYEUPE NYEUPE.
POLEPOLE alikuja kuungwa Mkono na kusamehewa makosa yake yote...
Wote ni mashahidi miji ya Tanzania ina sifa moja mingi ina squatter zifuatazo ni njia ambazo ntazitumia kuondoa hizi squatter zilizopo kama sehemu ya kuifanya nchi kuwa nzuri kama nchi zilizoendelea
Mwanasiasa mkongwe ambaye pia ni Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara Stephen Wasira, amesema kuwa katika siasa za ulimwengu hakuna njia za mkato za kuleta amani isipokuwa maridhiano na kuzungumza.
Katika mahojiano maalumu na TBC, Wasira amesema kuwa jambo hilo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.