njia

Tao-Njia is a studio album by American jazz trumpeter Wadada Leo Smith which was recorded in 1995 and released on the Tzadik Records' Composer Series.

View More On Wikipedia.org
  1. Bin Shaib

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Binti wa Chuo anataka nimuoe na nimvumilie amalize masomo, najiuliza itakuwaje badae?

    Wapendwa katika Kristo, BWANA YESU asifiwe sana,, Asalaam Aleykum kwa Waislam wote ,Twende kwa maada wapendwa,kuna binti yupo kidato cha sita na atamaliza mwaka huu baadae ataenda chuo kama miaka mitatu japo sijajua atasomea nini,huyu Binti tupo nae mtaa mmoja japo kuna umbali kiasi na tunasali...
  2. Mhandisi Mzalendo

    JamiiForums Tanzania Gym "guys" je ni njia gani unatumia kupunguza uchovu baada ya mazoezi kupata matokeo?

    Uzi huu ni kwa ajili ya watu wa mazoezi wanaoenda gym au wale wanaofanya mazoezi makali iwe ya kukimbia, mazoezi ya viungo au high intensity interval training (HIIT) au kunyanyua vitu vizito. Je unatumia njia gani kurecover after mazoezi? Especially kama unafanya siku 3 mpaka 5 kwa week? 1...
  3. D

    JamiiForums Tanzania Ufafanuzi kuhusu video uliosambaa kwamba Watanzania kutoka bara wazuiwa kufanya kazi Zanzibar

    Sijui wanajisikiaje Sasa huko waliko?!! === Baadhi ya Vijana kutoka Tanzania Bara waliodaiwa kuzuiwa kufanya kazi Zanzibar hadi waoneshe vitambulisho vya Uzanzibari, wameeleza kuwa hawakutengwa wala kubaguliwa kama ilivyoripotiwa awali. Vijana hao wamesema taharuki iliyoibuka katika eneo lao la...
  4. youngkato

    JamiiForums Tanzania Biashara ya Kuuza Vinywaji: Fursa Kubwa Kama Utaanza Kwa Njia Sahihi

    Biashara ya kuuza vinywaji ni moja ya biashara zinazoweza kuwa na mzunguko mzuri wa fedha, hasa ukiifanya katika eneo lenye wateja wa uhakika. Vinywaji kama Konyagi, K-Vant, mvinyo, bia, soda, maji na vinywaji vingine vinaweza kuwa na soko kubwa kwenye maeneo ya makazi, karibu na migahawa, baa...
  5. Dalali wa Mjini

    JamiiForums Tanzania Nyumba ya kuishi au kubomoa inauzwa Mbezi njia ya Goba

    Habari maboss Kiwanja chenye nyumba kinauzwa Sqm 300 Docoment serikali ya mtaa Eneo linaangalia barabara ya kwenda mitaani ambayo inapita magari aina yote ispokuwa ya abiria na mizigo mikubwa.Kwa badae Rami itahusika. Kutoka eneo lilipo Hadi BaraBara kuu ya kwenda Goba au Madale kutokea...
  6. Natafuta Ajira

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mwanamke kujitafutia kipato kwa njia ya heshima na halali ni wajibu wa lazima kama mtu mzima

    Siku za nyuma kuna member aliandika kuhusu mabinti wa chuo kikuu ambao wanafanya kazi kwenye mgahawa wa kuuza chakula wakiwa bado wanasoma. Members wengi waliwapongeza lakini ukiangalia cha ajabu haukioni. Kwanza kabisa mabinti wanakosa vipindi. Utaratibu wa wanafunzi kufanya kazi upo hata nchi...
  7. kimsboy

    JamiiForums Tanzania Nashauri Kujengwa kwa Barabara ya Makongo–Kawe kupitia Lugalo Maporini

    Mtu anatoka Makongo anaenda Mbezi Beach, Kawe au Lugalo, kwa nini azungukie Mlimani? Hii ndiyo inayochangia foleni. Nashauri barabara ipasuliwe itokee pale Makongo Sekondari au Super, ili wanaotoka Makongo wawe wanapita moja kwa moja huko badala ya kupita Mlimani. Hii itapunguza kwa kiasi...
  8. A

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Kuna baadhi ya Halmashauri kupitia Mfumo wa Tausi wanatoa muda mfupi sana kulipia viwanja

    Wizara ya Ardhi pamoja na TAMISEMI zinapaswa kulitazama kwa makini suala la uuzaji wa viwanja kupitia mfumo wa Tausi, hususan kuhusu muda unaotolewa kwa wanunuzi kukamilisha malipo. Kwa sasa, baadhi ya halmashauri hutoa muda mfupi sana wa kulipia viwanja hivyo. Kuna maeneo ambapo mnunuzi...
  9. goldcall

    JamiiForums Tanzania Hapa tulipo na hapo ulipo ni kwasababu ya kuicha njia ya kweli

    kichwa cha habari chahusika, tukumbushane kuwa, hapa duniani bila Yesu Kristo na toba ya kweli hatutaweza kushinda, hapa tulipo na hapo ulipo na hapa tulipofika ni kwasababu tumeiacha kweli na kufuata mafundisho ya mashetani, leo hii msomi mzima unaamini miujiza ya maji, mafuta, jiwe na vitambaa...
  10. wa stendi

    JamiiForums Tanzania Je ! Nikifunga plug 2 kwenye wire mmoja nikachomeka kwenye switch socket ya njia 2 nikawa sha nini kitatokea?

    Yaani kwa mfano nikachukua wire labda miter 2 au tatu na top plug 2 nikafunga plug moja huku na nyingine huku alafu nikapachikq kwenye swichi socket ya njia 2 alafu nikawasha je!nini kitatokea?
  11. A

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Responded Mpimbwe, Katavi: Inakuwaje DMO anayechunguzwa kwa ufisadi na matumizi mabaya ya nafasi, anahamishwa kimyakimya?

    Ofisi ya Rais – TAMISEMI imemhamisha aliyekua Mganga Mkuu wa Halmashauri ya Mpimbwe kwenda halmashauri ya Mji Nanyamba huku akiwa na tuhuma za wizi wa fedha za serikali. TAKUKURU wilaya walikuwa tayari wameanza uchunguzi kuhusu tuhuma hizo, lakini cha kushangaza mtuhumiwa amehamishwa kabla...
  12. A

    JamiiForums Tanzania KERO Yadi za malori Temeke zimekuwa kero, magari yanaziba njia, yanakata umeme, maafisa wa TANESCO wakija 'wanapozwa'

    Habari Naomba kutuma kero ya kata ya 14 Temeke Dar-es -Salaam yadi ya malori mtaani ni kubwa, yanapaki magari mbele ya nyumba za watu na magari hayo Hayo yanakata wire za umeme.. Maafisa wa TANESCO wakija hawawasilishi kesi ofisini wanapewa hela na watu hawalipwi, vitu vyao vilivyoungua. Barua...
  13. OMKEIT 93

    JamiiForums Tanzania Je, kushikamana na Sunnah ni Itikadi kali au ndio njia iliyonyooka?

    Shukrani zote anastahiki Allah Mola mlezi wa walimwengu wote Swala na salamu zimshikie kipenzi chetu mtume Muhammad swalallahu alayhi wasalam na jamaa zake na maswahaba zake na watakaowafuata hao kwa wema mpaka siku ya mwisho. Ama baada ya hayo; Katika zama hizi, watu wengi wamekuwa wakiwaita...
  14. Roving Journalist

    JamiiForums Tanzania Serikali yasaini Mkataba wa Ujenzi wa Barabara ya Njia Sita Dodoma–Chamwino Ikulu, Bilioni 241 kutumika

    Waziri wa Ujenzi, Abdallah Ulega, ameshuhudia utiaji saini wa mkataba wa upanuzi wa barabara ya Dodoma Mjini–Chamwino Ikulu yenye urefu wa kilometa 32 kuwa ya njia sita, mradi utakaogharimu takribani shilingi bilioni 241 hadi kukamilika kwake. Mkataba huo umesainiwa kati ya TANROADS kwa niaba...
  15. Robert Heriel Mtibeli

    JamiiForums Tanzania Kofia(boshori) zibauso achia macho zinazoanza kushamiri mitaani sio nzuri kiusalama

    Hamjambo! 1. Siku za hivi karibuni ukipita mitaani na barabarani umezuka mtindo wa vijana kuwaona wakiwa wamevaa kofia boshori funikauso achiamacho aidha wakitembea barabarani au wakipita na bodaboda wakiwa wamepakizana. 2. Mtindo huu sio mzuri kiusalama hasa ukizngatia vijana wengi hawana...
  16. M

    JamiiForums Tanzania Wasira: CCM tulichepuka, tunataka Kurudi Njia Kuu

    Makamu Mwenyekiti wa CCM Tanzania Bara Stephen Wasira amesema CCM imeazimia kujifanyia tathimini kwa kupata maoni ya wanachama wake ngazi za chini kuelekea uchaguzi wa chama hiko kwa lengo la kupata viongozi bora na kushughulikia kikamilifu changamoto za Watanzania. Ameyasema haya mkoani Kigoma...
  17. U

    JamiiForums Tanzania Dangote aipongeza Serikali kwa kuboresha mazingira ya biashara na uwekezaji, pamoja na kutatua changamoto za wawekezaji

    #HABARI Mwenyekiti na Mtendaji Mkuu wa Dangote Group, Alhaji Aliko Dangote, ameipongeza Serikali kwa kuboresha mazingira ya biashara na uwekezaji, pamoja na kutatua changamoto za wawekezaji nchini. Katika taarifa iliyotolewa na Ikulu ya Tanzania baada ya Mfanyabiashara huyo kufanya mazungumzo...
  18. A

    JamiiForums Tanzania KERO Kupanda kwa Nauli Njia ya MBEZI-MSUMI, MBEZI-MPIJI MAGOE, MBEZI-MSAKUZI

    Kabla ya kupanda kwa mafuta nauli za daladala ilikuwa shilingi mia saba 700/= kwa abiria lakini kila ikifika jioni kuanzia saa 1 na kuendelea hupanda mpaka shilingi elfu moja 1000/=, kila abiria atakaye uliza majibu watakayopewa ni kuwa usiku usafiri wa shida gari chache pia barabara za maeneo...
  19. Tanzania Railways Corp

    JamiiForums Tanzania Hekari 25 zafungua njia ujenzi wa kambi ya mkandarasi kipande cha saba

    Wananchi wa Wilaya ya Kasulu mkoani Kigoma wajitokeza kushiriki zoezi la utwaaji wa ardhi ili kupisha ujenzi wa kambi ya mkandarasi Mradi wa Kimkakati wa Reli ya Kisasa (SGR) kipande cha saba kutoka Uvinza hadi Malagarasi. Zoezi hilo ambalo limesimamiwa na timu kutoka Shirika la Reli Tanzania...
  20. A

    JamiiForums Tanzania KERO Watumishi Wapya VETA: Miezi 2 Bila Kazi Wala Mshahara

    VETA Habari za wakati huu. Mimi ni mmoja wa watumishi wapya walioajiriwa na Veta tarehe 19/02. Baada ya kufika makao makuu Dodoma na kukamilisha zoezi la kusaini mikataba ya ajira, tuliombwa kusubiri maelekezo ya kupangiwa vituo vya kazi. Hata hivyo, hadi sasa zimepita takribani miezi miwili...
Back
Top Bottom