Brand deal ya Sh600,000 sasa imegeuka kuwa kesi inayoweza kubadilisha namna Kenyan content creators wanavyoshughulikia music katika paid advertisements.
Actress na content creator Foi Wambui ameshindwa katika jaribio lake la kuondolewa kwenye kesi iliyowasilishwa na musician Mutoriah, anayesema...
Wasusi mbalimbali nchini wameaswa kutumia programu maalumu ya kampuni ya Darling Hair inayojlikana kama ‘Loyalty’ kujiendeleza kutokana na zawadi wanazoshinda.
Hayo yamesemwa katika hafla ya kusherekea miaka miwili ya programu ya Loyalty katika ukumbi wa Sinza Deluxe ambapo wasusi mbalimbali...
Kwa upande wangu mimi kipande cha wimbo kinachoelezea mahusiano yangu hiki: May be this love not for me........ I'm single....I'm Single again by Konde boy
Wewe Je?
Tukiwaambia CCM ndo kikwazo cha maendeleo ya inchi hii muwe mnaelewa. Na tatizo kubwa ni rushwa wanazopata kwa kuwapa tenda wachina hata kujenga jengo tu.
Kama SUMA jkt walijenga ikulu na majengo mengi ya umma kwa viwango bora kabisa na garama ndogo, kwanini baada ya kifo cha magufuli tenda za...
Wakati akiwa kiongozi wa chama chake alionekana ni muungwana,mtu mwenye misimamo na mpenda haki. Wanachama,wananchi na washabiki wa chama chake walimpenda,walimheshimu na walimuamini kupitiliza hadi kila akifanya jambo hawakugundua tabia yake.
Baadhi ya wanachama na washabiki walivuja damu na...
Tumesikia mara nyingi kauli kama
1.Anafanya maamzi kwa mihemko
2.Kukurupuka
3.Kwa kufuata hisia
4.Kwa logic(mantiki)
5.Kwa kufuata upepo(fallacy)
Kwa uelewa wako unatofautishaje kati ya kuamua kwa mantiki na mihemko?
ShesRise_1 Mshana Jr win-one de Gunner Infropreneur et al
Natafuta kijana mwenye uwezo wa kutumia AI vizuri haswa kwenye interior design za majengo.
Kama upo na ujuzi huo nitafute tufanye kazi
Kazi ipo Dar es salaam hivyo ni vizuri ukiwa Dar es salaam kama upo mkoani utanijulisha pia tuone tunafanyaje kazi.
Kazi itakuwa na mshahara wa kila mwezi na...
Hayo yamesemwa leo na Msemaji wa Serikali Gerson Msigwa leo 1, Septemba 2026 kwenye uzinduzi wa Septenba ya Utambulisho
Amesema kuwa,
"Ni kuboresha teknolojia ya kuchapisha vitambulisho. Tumekuwa na maoni mengi kutoka kwa wananchi juu ya uboreshaji wa kitambulisho. Sasa ndugu zangu waandishi...
ni ofisi inayohusika na ukopeshaji wa simu za smartphone..wameniomba wanipe posho kidogo wamsajilie mtu simu ya mkopo vipi mnaojua huwa kuna risk au side effect yoyote kwa namba yangu kutumika?
Barua FEKI, haina hata sifa za kuitwa ni barua ya Makamu wa rais
Nimedokezwa mbinu yao ni ile ile waliyotumia kwa Ndugai. Wamewatumia akina Ayo, Kitenge, na wote wanaosambaza habari kwa malipo ili ionekane ni barua halali. Wanachohakikisha ni kwamba Nchimbi hapati nafasi ya kuzungumza jukwaani...
Unazima moto kuzuia moto usiharibu nyumba inayo waka na kuokoa mali zilizomo ndani.
Tatizo walisahau nyumba ya udongo ukimwagia maji mengi inaporomoka na kuta zake zinaharibika, zinaporomoka kabisa. Baadhi ya Mali zinaharibika pia.
Kuna wakati inaonekana afadhali uache nyumba iungue kisha moto...
Mfano ona hapa majina ya baadhi ya Watoto wa Rais Museveni ni ,
1.Muhoozi Kainerugaba
2.Patrice Rwambogo
3.Natasha Museven Karugire
Kwa sheria za Tanzania unaonekana hauna mtoto sijui mpaka ukaape mahakamani na usumbufu mkubwa sana.
=======
Pastor Patience Rwabwogo, binti wa Rais wa Uganda...
Hii ni taarifa ambayo imekuwepo kwa muda kupitia Asasi zisizo za kiserikali. Ukiwa na elimu unashindwa kuamini haraka kwamba kweli tunaongozwa na watu wadhaifu kichwani kiasi hiki? Yaani huu ndo mwisho wa kufikiri wa wana CCM na serikali wanayaosema ni yao?
Soma hapa...
Habari zenu Wana Jukwaa na Uongozi wa JamiiForums, Tech Team
Mimi ni mmoja wa wadau na watumiaji wa muda mrefu wa jukwaa hili. Lengo la kuleta uzi huu ni kutoa ombi rasmi na rejesho (feedback) kuhusu mabadiliko ya hivi karibuni kwenye mfumo wa App ya JamiiForums.
Kwa siku chache zilizopita...
Wakuu salamu,
Leo naomba tujiambie ukweli mchungu ambao wengi watauchukia, lakini ndio ukweli halisi. Kama wewe ni mwanaume au mwanamke unayeendekeza uzinzi na ngono zembe, sahau kabisa habari ya kufanikiwa kimaisha kwa njia halali ya jasho lako.
Ukiona mtu ni mzinzi wa kutupwa na bado ana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.