kutumia

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. O

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania KSh600K Brand Deal Yageuka Copyright Battle: Foi Wambui Abaki Kortini kwa Kutumia Wimbo wa Mutoriah

    Brand deal ya Sh600,000 sasa imegeuka kuwa kesi inayoweza kubadilisha namna Kenyan content creators wanavyoshughulikia music katika paid advertisements. Actress na content creator Foi Wambui ameshindwa katika jaribio lake la kuondolewa kwenye kesi iliyowasilishwa na musician Mutoriah, anayesema...
  2. T

    JamiiForums Tanzania Katuga: Ni haki au sio haki kwa mtu yeyote aliyehamasika na Hotuba ya Mwenyekiti kuchagua njia yake kutumia njia yoyote kuuvuruga uchaguzi?

    Mwana JF wewe ulichagua njia gani zaidi ya hizi za Mwanasheria wa serikali?
  3. Pfizer

    JamiiForums Tanzania Wasusi waaswa kutumia program ya Darling Hair kujiendeleza

    Wasusi mbalimbali nchini wameaswa kutumia programu maalumu ya kampuni ya Darling Hair inayojlikana kama ‘Loyalty’ kujiendeleza kutokana na zawadi wanazoshinda. Hayo yamesemwa katika hafla ya kusherekea miaka miwili ya programu ya Loyalty katika ukumbi wa Sinza Deluxe ambapo wasusi mbalimbali...
  4. T

    JamiiForums Tanzania Orodha ya maneno na misemo ya kutumia msibani - Ukienda tofauti unaweza pelekwa jela

  5. M

    JamiiForums Tanzania Tuambie hali ya mahusiano yako kwa kutumia kipande cha wimbo

    Kwa upande wangu mimi kipande cha wimbo kinachoelezea mahusiano yangu hiki: May be this love not for me........ I'm single....I'm Single again by Konde boy Wewe Je?
  6. Kyambamasimbi

    JamiiForums Tanzania Leo nmeshuhudia utitiri wa watu kutumia teknolojia ya ai kwenye mitandao ya kijamaa wakitracy maisha ya miaka ya 80,s

    Ukweli teknolojia imekua nmeona watu na cerebraters wengi wakipost maisha ya miaka hiyo,ukweli nmefurahi sana nmekumbuka mbali sana.
  7. kagoshima

    JamiiForums Tanzania Mpango wa kutumia SUMA JKT kandasasi za ujenzi uliishia wapi?

    Tukiwaambia CCM ndo kikwazo cha maendeleo ya inchi hii muwe mnaelewa. Na tatizo kubwa ni rushwa wanazopata kwa kuwapa tenda wachina hata kujenga jengo tu. Kama SUMA jkt walijenga ikulu na majengo mengi ya umma kwa viwango bora kabisa na garama ndogo, kwanini baada ya kifo cha magufuli tenda za...
  8. Kigongoi kwetu

    JamiiForums Tanzania Ni mwanasiasa wa kutumia fursa kwa maslahi binafsi

    Wakati akiwa kiongozi wa chama chake alionekana ni muungwana,mtu mwenye misimamo na mpenda haki. Wanachama,wananchi na washabiki wa chama chake walimpenda,walimheshimu na walimuamini kupitiliza hadi kila akifanya jambo hawakugundua tabia yake. Baadhi ya wanachama na washabiki walivuja damu na...
  9. Baba mtakatifu91

    JamiiForums Tanzania Kwa uelewa wako nini maana ya kutumia mantiki (logic) vs mihemko (emotions)?

    Tumesikia mara nyingi kauli kama 1.Anafanya maamzi kwa mihemko 2.Kukurupuka 3.Kwa kufuata hisia 4.Kwa logic(mantiki) 5.Kwa kufuata upepo(fallacy) Kwa uelewa wako unatofautishaje kati ya kuamua kwa mantiki na mihemko? ShesRise_1 Mshana Jr win-one de Gunner Infropreneur et al
  10. Gwele

    JamiiForums Tanzania Kijana mtaalamu wa kutumia AI

    Natafuta kijana mwenye uwezo wa kutumia AI vizuri haswa kwenye interior design za majengo. Kama upo na ujuzi huo nitafute tufanye kazi Kazi ipo Dar es salaam hivyo ni vizuri ukiwa Dar es salaam kama upo mkoani utanijulisha pia tuone tunafanyaje kazi. Kazi itakuwa na mshahara wa kila mwezi na...
  11. Design Your Idea

    JamiiForums Tanzania Wakuu kun benki inaweza nikopesha kwa kutumia kiwanja cha 45m x 65m kama collateral?

    Karibuni Nina biashara ,ila nataka kuongeza bidhaa, benki ipi ina sera za kuwapatia wateja mikopo kwa kutumia hata kiwanja?
  12. M

    JamiiForums Tanzania Serikali kuanza kutumia teknolojia ya mionzi kuchapisha taarifa katika tabaka kwenye kitambiulisho cha Taifa

    Hayo yamesemwa leo na Msemaji wa Serikali Gerson Msigwa leo 1, Septemba 2026 kwenye uzinduzi wa Septenba ya Utambulisho Amesema kuwa, "Ni kuboresha teknolojia ya kuchapisha vitambulisho. Tumekuwa na maoni mengi kutoka kwa wananchi juu ya uboreshaji wa kitambulisho. Sasa ndugu zangu waandishi...
  13. DEO mtiifu

    JamiiForums Tanzania Wanahitaji kutumia NIDA yangu kumsajilia mtu mkopo wa simu.

    ni ofisi inayohusika na ukopeshaji wa simu za smartphone..wameniomba wanipe posho kidogo wamsajilie mtu simu ya mkopo vipi mnaojua huwa kuna risk au side effect yoyote kwa namba yangu kutumika?
  14. robinson crusoe

    JamiiForums Tanzania UVCCM wameandika barua kwa niaba ya NCHIMBI ikasambazwa kwa kutumia pesa, Nchimbi kanyimwa nafasi ya kukanusha.

    Barua FEKI, haina hata sifa za kuitwa ni barua ya Makamu wa rais Nimedokezwa mbinu yao ni ile ile waliyotumia kwa Ndugai. Wamewatumia akina Ayo, Kitenge, na wote wanaosambaza habari kwa malipo ili ionekane ni barua halali. Wanachohakikisha ni kwamba Nchimbi hapati nafasi ya kuzungumza jukwaani...
  15. Titicomb

    JamiiForums Tanzania Waliouwa Oktoba 2025 walikwenda kuzima nyumba ya udongo kutumia gari ya maji ya zimamoto

    Unazima moto kuzuia moto usiharibu nyumba inayo waka na kuokoa mali zilizomo ndani. Tatizo walisahau nyumba ya udongo ukimwagia maji mengi inaporomoka na kuta zake zinaharibika, zinaporomoka kabisa. Baadhi ya Mali zinaharibika pia. Kuna wakati inaonekana afadhali uache nyumba iungue kisha moto...
  16. ChoiceVariable

    JamiiForums Tanzania Nafurahishwa na Utaratibu wa Kuita Majina Watoto Bila Kulazimika Kutumia jina la Ukoo la Baba kama Anavyofanya Rais Museven na Diamond

    Mfano ona hapa majina ya baadhi ya Watoto wa Rais Museveni ni , 1.Muhoozi Kainerugaba 2.Patrice Rwambogo 3.Natasha Museven Karugire Kwa sheria za Tanzania unaonekana hauna mtoto sijui mpaka ukaape mahakamani na usumbufu mkubwa sana. ======= Pastor Patience Rwabwogo, binti wa Rais wa Uganda...
  17. Wakili wa shetani

    JamiiForums Tanzania Ni ukatili sana kutumia hii meme

    Siyo uungwana na ni ukatili mkubwa kutumia hii meme.
  18. robinson crusoe

    JamiiForums Tanzania BGR Group: Serikali ya Tanzania Inahangaika Kujisafisha Kimataifa kwa Kutumia Pesa za walipa kodi

    Hii ni taarifa ambayo imekuwepo kwa muda kupitia Asasi zisizo za kiserikali. Ukiwa na elimu unashindwa kuamini haraka kwamba kweli tunaongozwa na watu wadhaifu kichwani kiasi hiki? Yaani huu ndo mwisho wa kufikiri wa wana CCM na serikali wanayaosema ni yao? Soma hapa...
  19. baharia 1

    JamiiForums Tanzania Ombi kwa Uongozi/Tech Team: Rudisheni au Wekeni Hiari ya Kutumia App ya Zamani (Legacy API

    Habari zenu Wana Jukwaa na Uongozi wa JamiiForums, Tech Team Mimi ni mmoja wa wadau na watumiaji wa muda mrefu wa jukwaa hili. Lengo la kuleta uzi huu ni kutoa ombi rasmi na rejesho (feedback) kuhusu mabadiliko ya hivi karibuni kwenye mfumo wa App ya JamiiForums. Kwa siku chache zilizopita...
  20. Gospel KTV

    JamiiForums Tanzania Kama Unafanya Uzinzi Sahau Kufanikiwa Maisha (Labda kwa Kutumia Waganga au Utapeli)

    Wakuu salamu, Leo naomba tujiambie ukweli mchungu ambao wengi watauchukia, lakini ndio ukweli halisi. Kama wewe ni mwanaume au mwanamke unayeendekeza uzinzi na ngono zembe, sahau kabisa habari ya kufanikiwa kimaisha kwa njia halali ya jasho lako. Ukiona mtu ni mzinzi wa kutupwa na bado ana...
Back
Top Bottom