gharama

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. C

    JamiiForums Tanzania Hizi gharama za uwanja wa ndege Tanzania zinaakisi uchumi wa wananchi?

    Tanzania inaongoza kwa kutoza gharama kubwa ya kusafiri kwenye uwanja wa ndege duniani. Serikali imeongeza gharama hadi kufikia $45 na $90 kwa return ticket wakati nchi tajiri kama USA wanatoka $10, kitu cha ajabu sijasikia vijana wetu wakipongeza Mama kuupiga mwingi. Kabla ziliibuka tetesi za...
  2. Miss Halima

    JamiiForums Tanzania Aomba kupelekwa polisi baada ya kugonga gari la gharama

    Mzozo wa barabarani umejitokeza baada ya dereva wa pikipiki ya miguu mitatu (Toyo) kugonga gari la kifahari, kisha kuomba apelekwe kituo cha polisi kuliko kutakiwa kulipa gharama za matengenezo ambazo hana uwezo nazo. Tukio hilo limetokea baada ya mfumo wa breki wa Toyo hiyo kukatika ikiwa...
  3. O

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mgeni Anataka Kufanya Kazi Kenya? Hivi Ndivyo Work Permit Inapatikana, Gharama na Masharti Yake

    Katikati ya mjadala unaoendelea kuhusu wageni wanaofanya kazi na biashara nchini Kenya, swali moja muhimu limejitokeza: Mgeni anapata wapi ruhusa ya kufanya kazi Kenya, na anahitaji nini? Kwanza, kuruhusiwa kuingia Kenya hakumaanishi moja kwa moja kwamba mtu ameruhusiwa kufanya kazi au...
  4. A

    JamiiForums Tanzania KERO Malipo yaliyokwama kwa Yas kwa zaidi ya saa 24 yananiongezea gharama zisizo za lazima

    Nimelipia huduma za Serikali kupitia Lipa Namba kwa miamala miwili ili kumtoa mgonjwa wangu hospitalini. Nimeelezwa kuwa malipo hayo hushughulikiwa ndani ya saa 24, lakini hadi sasa zaidi ya saa 24 zimepita na bado sijafanikiwa kumtoa mgonjwa kwa sababu malipo hayajaonekana. Sina fedha...
  5. NkomaBakhosi

    JamiiForums Tanzania Gharama ya Kuchosha Vipaji: Kosa la Kimkakati la Yanga kwa Pacôme na Funzo kwa Koacha Manqoba

    Wana Jamvi Karibuni tuangalie Yanga na mustakabali wa ligi kuu Mada: Gharama ya Kuchosha Vipaji: Kosa la Kimkakati la Yanga kwa Pacôme na Funzo kwa Koacha Manqoba Na Ndine A. Wa-Chiuta Mzunguko wa benchi la ufundi pale Jangwani umekuwa wa kasi isiyo ya kawaida katika misimu miwili iliyopita...
  6. Wizara ya Ardhi

    JamiiForums Tanzania Serikali yafanua gharama za upimaji wa ardhi

    Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe. Kaspar Mmuya amesema gharama za kupanga na kupima kiwanja kimoja katika maeneo yaliyoendelezwa zimepunguzwa hadi Shilingi 130,000, hatua inayolenga kupunguza mzigo wa gharama kwa wananchi. Mhe. Mmuya amesema hayo leo Agosti 31, 2026...
  7. baba luno

    JamiiForums Tanzania Msaada wa gharama za ushuru na mapato ya TRA.

    Habari wanajamvi, Naomba kufahamishwa ni gharama kiasi gani za ushuru na mapato ya TRA nitalazimika kulipa endapo nitanunua gari either mpya or used kutoka upande wa pili wa majirani zetu hapo Zambia? Na je inaweza kua nafuu kidogo ukilinganisha na ukiagiza kutoka japani kupitia bandari yetu ya...
  8. Miss Halima

    JamiiForums Tanzania Afunga Wi-Fi ya Bure Usiku Kupata Ulinzi wa Vijana Bila Gharama

    TAMALE, GHANA – Mmiliki mmoja wa jumba kubwa la kifahari (mansion) katika mji wa Tamale nchini Ghana, amegundua mbinu ya kipekee na ya kijasusi ya kuimarisha ulinzi wa nyumba yake kwa kutumia teknolojia ya internet. Mwanaume huyo, ambaye ripoti zinasema alikuwa akikabiliwa na changamoto ya...
  9. O

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Endometriosis Kenya: Maumivu yanayofichwa, gharama zinazobebwa na Mwananchi

    “Period pain ni kawaida.” Kwa miaka mingi, kauli hii imewafanya wanawake wengi kuvumilia maumivu makali bila kujua kuwa huenda kuna tatizo kubwa zaidi linalohitaji matibabu. Simulizi ya Natalie Githinji imefungua tena mjadala kuhusu endometriosis nchini Kenya. Natalie, ambaye amekuwa...
  10. Matunzo 02

    JamiiForums Tanzania Dawa ya jino gharama mia tano imeniponesha

    Nimeteseka sana na maumivu ya jino aiseee nimetumia dawa za hospital na kienyeji siku mbili tatu maumivu yanarudi Siku moja niliabiwa nunua SABUNI YA B29 uwe unaswakia acha kutumia dawa ya meno tumia sabuni. Ni mwaka na nusu sijuwi maumivu ya jino
  11. Robert Heriel Mtibeli

    JamiiForums Tanzania Mwanamke akidai mtoto ni wako yeye ndiye mwenye wajibu wa kuthibitisha na kugharamia gharama za DNA. Ikibainika ni wako, mnagawana gharama.

    MWANAMKE AKIDAI MTOTO NI WAKO YEYE NDIYE MWENYE WAJIBU WA KUTHIBITISHA NA KUGHARAMIA GHARAMA ZA DNA. IKIBAINIKA NI WAKO, MNAGAWANA GHARAMA. Anaandika, Robert Heriel Mtibeli Mwanamke ambaye hujamuoa. Sio mkeo. Ikatokea ulilala naye na bila shaka ni kwa lengo la starehe kwa sababu ingekuwa ni...
  12. Mad Max

    JamiiForums Tanzania Nilitaka kununua Drone kwa matumizi binafsi, ila mbona gharama ya kulipia ni kubwa kuliko za kununua?

    Ata nchi zilizoendelea wanao huu utaratibu wa kusajiri drones, ila zilizo chini ya 250g haziitaji usajili. Ila hapa lazima usajili ata kama ina gram 5. Gharama zake sasa kwa matumizi binafsi, tena Mtanzania 1. Kuisajiri $100 kwa drone (mara moja) 2. Kuitumia kwa siku $5 au kwa mwezi $100 au kwa...
  13. bless on

    JamiiForums Tanzania Jinsi ya kupangilia chumba au sebule yako bila gharama:

    Watu wengi wanaamini kuwa ili uwe na sebule au chumba kinachovutia kama picha za kwenye mtandao, lazima utumie mabilioni ya fedha kununua samani za gharama. Ukweli ni kwamba, siri ya muonekano wa kisasa na wa kifahari (cozy vibe) ipo kwenye mpangilio, rangi, na vitu vidogo vidogo. Kama unataka...
  14. Kicheche mkali

    JamiiForums Tanzania Gharama za ujenzi zinatofautiana

    KWA NINI GHARAMA ZA UJENZI HAZIFANANI? Umeshawahi kujiuliza: Kwa nini nyumba ya 150 SQM inaweza kugharimu tofauti na jengo jingine lenye 150 SQM? Jibu ni hili: SQM PEKE YAKE HAIAMUI GHARAMA YA JENGO. Nyumba ya makazi inaweza kuwa na partitions nyingi, vyumba, vyoo na finishing mbalimbali...
  15. O

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Lamu Yakabiliwa na Kitendawili cha Maendeleo: Nani Atalipa Gharama?

    Waharakati wa Lamu wameitaka Serikali kuhakikisha wakazi wanaoweza kuathiriwa na mradi unaopendekezwa wa kiwanda cha kusafisha mafuta cha Dangote wanalindwa na maslahi yao kuzingatiwa. Waharakati hao wanasema maendeleo ya kiuchumi hayafai kuja kwa gharama ya kupoteza ardhi, mazingira na riziki...
  16. VOICE OF MTWARA

    JamiiForums Tanzania Sealing la ufahamu: unaweza kuongeza siti/viti kwenye van bila kuongezewa gharama za ushuru?

    Kama mjuavyo magari Kama Nissan Caravan van au Hiace super GL hayawi na siti na ushuru wake uko chini ukilinganisha na magari Kama hayo hayo lakini ni Wagon. Swali langu ni je inawezekana kuongeza siti kwenye van bila kuongezewa ushuru wakati wa kubadilisha kadi ya gari? Nb. Title isomeke swali...
  17. A

    JamiiForums Tanzania KERO Responded Serikali inahamasisha matumizi ya nishati safi lakini gharama zake zipo juu sana

    Ninaomba kufikisha kero yangu kwa Waziri wa Nishati. Serikali inahamasisha wananchi kutumia nishati safi kama gesi na umeme ili kupunguza matumizi ya mkaa na kulinda mazingira, lakini gharama za nishati hizi bado ni kubwa kwa wananchi wengi. Gesi nayo imekuwa na bei ya juu, mtungi mdogo...
  18. Vien

    JamiiForums Tanzania Wanao kushauri wanakuonyesha njia tuu, Gharama za kupita utazibeba mwenyewe

    Maisha yanapokuwa magumu, kila mmoja huwa na maoni yake. Unaweza ukawa unapitia changamoto za biashara, mahusiano, kazi, au hata hali ya kifedha. Wakati mwingine unaweza ukahitaji msaada wa fedha ukakosa, ukahitaji mtu akuombee ukakosa, lakini ukakuta watu wengi wako tayari kukushauri. Na hilo...
  19. M

    JamiiForums Tanzania Ardhi na Gharama yake katika Mikoa na Wilaya

    Naomba tushare gharama za maeneo kulingana na
  20. A

    JamiiForums Tanzania KERO Goba tuwekewe Kituo cha Daladala, kutegemea hizi zinazopita kunatuathiri na kutupa gharama kubwa

    Nikiwa mmoja kati ya Wakazi wa Goba, naomba kuwasilisha kilio chetu kuhusu changamoto kubwa ya usafiri wa umma inayotukabili sisi wakazi wa Goba na maeneo yanayotuzunguka. Kwa sasa hatuna magari ya umma ya kutosha yanayotoa huduma moja kwa moja kama daladala za uhakika. Mara nyingi tunategemea...
Back
Top Bottom