mbowe

  1. Carlos The Jackal

    JamiiForums Tanzania Yericko Nyenyere hajawahi na hatowahi kua Mwanasiasa, Alikua ni Chawa, along'ang'ania Nguoni kwa Mbowe , Bila Mbowe ,Hapana Yericko!!

    Wenyewe somnaona sasa aina yake ya Maisha na Maandiko yake !! Dhahiro shahiri ni Pro Chawa !!. Bila kubeba, haonekani.
  2. Pfizer

    JamiiForums Tanzania Hai: Lengai Ole Sabaya na Freeman Mbowe Uso kwa Uso. Watoa ya moyoni

    Mkiti msaafu wa Chadema Freem mbowe wamekutana na mkuu wa wilaya ya Hai Mstaafu Lengai Ole Sabaya katika msiba wa Mama yake mbunge wa Hai Saasisha Mafuwe. Katika Msiba Huo,mbowe amesema yeye ameshamsamehe sabaya kwa mambo yote kwa hakuna mwanaadamu mkamilifu. Nae sabaya alipopata nafasi ya...
  3. McLaren

    JamiiForums Tanzania Mbowe: Ole Sabaya tumshamsamehe kabisa watu wa Hai. Maisha lazima yaendelee

    Mwenyekiti mstaafu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe amemwombea msamaha aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai, Lengai Ole Sabaya, akiwataka wananchi wa Hai kumsamehe huku akisisitiza kuwa hakuna binadamu asiye na dhambi. Mbowe ametoa kauli hiyo leo Aprili 23, 2026...
  4. 6 Pack

    JamiiForums Tanzania SAFI SANA, Trump amejishusha na kukubali kusitisha mashambulizi Iran

    Niaje waungwana Kwa mara ya kwanza tangu dunia iumbwe, Iran ndio nchi ya kwanza imeifanya Marekani na Trump watubu na kujutia walichokifanya. Kwanza Iran ndio nchi ya kwanza kuingia vitani na Marekani huku ikiwa imeungana na Israel Pili Iran ndio nchi ya kwanza kushambulia nchi 10 kwa wakati...
  5. Pakome

    JamiiForums Tanzania Kwa jinsi hali ya CHADEMA ilivyo, iko mbioni kumkumbuka Mbowe

    Njia alizokuwa akitumia Mbowe kuongoza CHADEMA zilikuwa za busara Kawaida binadamu anayetumia busara huonekana kama mjinga lakini mwisho mjinga hujulikana baada ya matokeo Kwahiyo tusubiri matokeo ndipo wabishi na werevu watajulikana
  6. upupu255

    JamiiForums Tanzania MPYA Je, ni kweli Mnyika amesema CHADEMA wasipomuangukia Mbowe hawatoboi?

  7. Dalton elijah

    JamiiForums Tanzania SI KWELI John Mnyika amesema 'tusipo muangukia mbowe wanachadema hatutoboi'

    kumekuwepo na chapisho ambalo linasambazwa kwenye mitandao ya kijamii likimunukuu John mnyika kutoa kauli inayosema kuwa tusipo muangukia mbowe wanachadema hatutoboi Baada ya kufanya ufuatiliaji wa kina kwa kutumia njia ya utafutaji wa maneno tumebaini kuwa taarifa hiyo nipotoshi na ina nia ya...
  8. M

    JamiiForums Tanzania Wapuuzeni Msijibu yale matusi ya vijana wa Chaumma waliokimbia Chadema kwa mahaba ya mbowe wana ajenda yao

    Kuna wale vijana waliotoka chadema kwa ridhaa yao na kuhamia chauma baada ya ajenda yao kujulikana. Hawa vijana wanatafta attention kupitia kuitukana chadema na maneno yasiyo na tija mtandaoni! Watu hao wanaotumia kurasa za mitandao ya kijamii kuishambulia zaidi chadema. Wana ajenda kuu...
  9. Nyankurungu2020

    JamiiForums Tanzania Shujaa hayati Magufuli alikataa siasa za Kitapeli. Wanasiasa wote matapeli hakuwa karibu nao ndio maana akina Mbowe na Zitto walimchukia

    Unakuwa na mtu kama Mbowe na Zitto alafu kwa akili zako timamu unasema ni wa wapinzani wanaotaka kuig'oa CCM. Watu ambao wanafanya siasa za biashara. Magufuli shujaa wa Africa alipinga siasa za biashara na kuwahadaa watanzania wanaolipa kodi. Shujaa atakumbukwa sana?
  10. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania Mbowe akiwa na vijana wake wa CHAUMMA

    Mwenyekiti wazamani wa CHADEMA Freeman Mbowe akiwa na vijana na makada wa zamani wa CHADEMA ambapo walihamia kwenye chama Cha CHAUMMA . Vijana wanajichekesha tu wenyewee
  11. The only

    JamiiForums Tanzania Hongera sana Heche umejua kumchezesha bolingo Chawa Mbowe na CCM

    Asee Heche ni mwamba . Baada ya msiba huu mzito ni wazi Ccm wakishirikiana na watu wao Hususan Mbowe na zitto kuwatumia kuhakikisha msiba hauwapi Milage Chadema kwa mbinu mbali mbali .naomba mtililiko ya yaliyojiri - Kipenga kilipigwa kwa mbowe kutumia umkwe kuwa msemaji wa familia ,sisi...
  12. Msanii

    JamiiForums Tanzania Ni maneno mazuri msibani lakini hatuwezi kuacha ipite hivi hivi: Mbowe ni sauti iliyochelewa, au ukweli uliopimwa?

    Msiba wa Mzee Edwin Mtei haukuwa tu tukio la kuaga mwili. Ulikuwa mahakama ya dhamiri ya taifa. Ilikuwa ni mahali ambapo historia, maumivu, hofu, na matumaini vilikutana uso kwa uso. Katika jukwaa hilo, Freeman Mbowe—mwenyekiti mstaafu wa CHADEMA—alisema maneno yaliyotikisa mioyo ya wengi...
  13. O

    JamiiForums Tanzania Mzee Mbowe anawachezea akili vijana wake wa CHADEMA, mwisho wa siku wataangukia kwenye mtego wake

    Baada ya hotuba yake kwenye mazishi ya Mzee Mtei (RIP), vijana wengi wanaonekana kukoshwa na hotuba hiyo, wengine wakimpongeza kwa hashtags kwenye social media. Wengine wanaona kama ni mwelekeo mzuri wa Mbowe kurudisha heshima iliyotetereka ndani ya chama chake cha CHADEMA kwa siku za hivi...
  14. ChekoFagia

    JamiiForums Tanzania Mbowe: Msitoke serikali mkafikiri CHADEMA ni wakorofi sio wakorofi, wameonewa

    Mwenyekiti Mstaafu wa CHADEMA, Freeman Mbowe amesema kelele za chama hicho si kwa sababu ya ubinafsi wa madaraka, bali wanataka kuijenga nchi pamoja.
  15. Idugunde

    JamiiForums Tanzania Kudai katiba mpya ili uchaguzi uwe huru na haki ili taifa likae sawa ni kukosa hoja ? Mbowe bado kibaraka wa CCM

    Nimeona mitandaoni juu ya kauli hii ya Mbowe kuwa CHADEMA ya sasa chini Lissu haijengi hoja kama ilivyokuwa akina Mtei na Bob Makani. Hii sio kweli kabisa. Sasa Hivi Lissu na Heche ndio wanahoja za mashiko. Kwa katiba hii ya CCM ambayo hata mtu hajapigiwa kura anakuwa madarani utaingia ikulu...
  16. upupu255

    JamiiForums Tanzania Mbowe: CHADEMA haijatengwa tusiuchafue msiba wa Mzee Mtei

    Mwenyekiti mstaafu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Freeman Mbowe, ambaye pia ni mwanafamilia wa marehemu Mzee Edwin Mtei, amejibu hoja mbalimbali zilizoibuliwa mitandaoni zikidai kuwa CHADEMA haijapewa nafasi na hadhi inayostahili katika taratibu za kumuenzi muasisi wa chama...
  17. R

    JamiiForums Tanzania Kama ni kweli, Freeman Aikael Mbowe usifike huko

    Anandika Hilda Newton HUJUMA MSIBA WA MUASISI WA CHADEMA MZEE EDWIN MTEI. Nimepata taarifa kutoka chanzo cha kuaminika kwamba Mhe. Mbowe anatumia nafasi yake ya uanafamilia kuihujumu CHADEMA kwenye msiba wa muasisi wetu wa Chama Mzee Edwin Mtei. Sasa iko hivi, imepangwa ratiba ya msiba siku...
  18. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania Hilda Newton: Nimepata taarifa Mbowe anatumia nafasi yake ya uanafamilia kuihujumu CHADEMA msiba wa Mzee Mtei, anataka kumualika Samia

    Nimepata taarifa kutoka chanzo cha kuaminika kwamba Mhe. Mbowe anatumia nafasi yake ya uanafamilia kuihujumu CHADEMA kwenye msiba wa muasisi wetu wa Chama Mzee Edwin Mtei.Sasa iko hivi, imepangwa ratiba ya msiba siku ya Mazishi ambapo CHADEMA itapewa nafasi ya kutoa salam za rambirambi saa tatu...
  19. Q

    JamiiForums Tanzania Isingekuwa Mbowe CHADEMA kingekuwa madarakani tangu 2015

    Kahujumu maridhiano mengi kwa faida binafsi akishirikiana na aliyekuwa Mkurugenzi wa chama Jon Mrema na wenzake waliokimbilia CHAUMMA. Kwenye uchaguzi wa 2015, ulikuwa ni mpango wa Mbowe kumweka Lowassa kugombea urais dakika za mwisho bila mchakato wowote ili kuzima nguvu ya Dr. Slaa aliyokuwa...
  20. kavulata

    JamiiForums Tanzania CHADEMA inarudi kwa Mbowe kama uchaguzi ukifanyika leo

    Chadema imenajisiwa na akina Lissu, Heche na Mnyika. Chama cha waluteri kimeibiwa na wakatoliki na kikaratibu kuichoma nchi kama short cut ya kuipundua serikali; lakini wakashindwa vibaya sana. Butiku na Warioba wamejichimbia humohumo kupitisha ajenda zao. Chadema ya sasa ni kama chaka lenye...
Back
Top Bottom