wizara ya elimu

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Fascinating

    JamiiForums Tanzania Wapi zitaenda Trilioni zilizoombwa na Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia — 2026/27? Kuna chochote cha kutarajia?

    Wakuu, Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia imeomba jumla ya Shilingi za Kitanzania Trilioni 2.4 kwa ajili ya kutekeleza majukumu yake kwa mwaka wa fedha 2026/27. Hii ni moja ya bajeti kubwa zaidi kati ya wizara zote nchini. Tutegemee nini? Fedha Zitatumikaje? Bajeti imegawanywa katika...
  2. A

    JamiiForums Tanzania KERO Kero ya Wanafunzi kulazimishwa kusoma tuition shule za Serikali

    Habari wana Jamii Forums, Naomba kuwasilisha hii kero kwa umma na taarifa hizi zifike TAMISEMI na Wizara ya Elimu. Kuna utaratibu mbovu sana kwa wanafunzi wanaosoma shule ya msingi Tandika iliyoko wilaya ya Temeke mkoa wa Dar Es Salaam. Wanafunzi wamekuwa wakilazimishwa kusoma masomo ya...
  3. LIKUD

    JamiiForums Tanzania Hongera Serikali na Wizara ya Elimu kwa kufuata ushauri wa Likud. Mmebakiza kitu kimoja sasa malizieni na hicho mapema iwezekanavyo

    Niliwahi kuleta nyuzi zaidi ya tano ( campaign) hapa JF nikiiomba serikali ifanye marekebisho ya sheria ya kanuni za Adhabu Tanzania ( Penal Code) kwa kushusha umri wa ridhaa ya kufanya mapenzi ( Age of Consent) kutoka Miaka Kumi na nane iliyopo sasa hadi walau miaka Kumi na Sita. Faida za...
  4. S

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Udanganyifu wa mitihani Paradigms

    Chuo cha Paradigms institute kilichopo kimara Dar es salaam pale wanaandaa waiting wa hovyo kwenye sector ya afya hasa course ya clinical medicine. Yani wanafunzi wanatajiwa majibu ya mitihani tena mitihani ya afya procedure book zinafojiwa mitihani ya cats ya wodini hawafanyi yani hakuna chuo...
  5. matunduizi

    JamiiForums Tanzania Wizara ya Elimu inaruhusuje watoto wanateswa hivi ili shule zionekane inafanya vizuri kimatokeo

    1: Watoto wadogo kabisa wanakatisha usingizi na kuamka saa 11 asubuhi wamejipanga kusubiri school bus. Hapo kurudi ni saa 11 jioni utadhani mzazi katoka kwenye utafutaji. Hapa haijalishi hata kama ni chekechea au darasa la kwanza. 2: Kibaya zaidi ikifika muda wa mitihani ya kitaifa darasa la...
  6. Minjingu Jingu

    JamiiForums Tanzania KERO Waziri Wizara ya Elimu, Ustawi wa Jamii, Wizara ya Maendeleo Wanawake na Watoto, Katibu Mkuu, Necta, Nacte, Tie. OKOENI HAWA WATOTO TUTAWAPOTEZA

    https://harvardea.sc.tz/index.php Mimi ni mzazi mwenye mtoto ambaye anasoma shule moja ipo huko Tabata inafahamika kama HARVARD EAST AFRICA NURSERY AND PRIMARY SCHOOL. Hii shule imekuwa na maamuzi ya kibabe kwenye mambo muhimu yanayohusu mustakabali wa watoto wetu. Mwaka jana waliitisha kikao...
  7. H

    JamiiForums Tanzania Dkt. Mwigulu akutana na Prof. Mkenda na timu ya wataalam ya wizara ya elimu

    DKT. MWIGULU AKUTANA NA PROF. MKENDA NA TIMU YA WATAALAM YA WIZARA YA ELIMU Waziri Mkuu, Dkt.Mwigulu Nchemba leo Januari 15, 2026 amefanya kikao cha kazi na Waziri wa Elimu , Sayansi na Teknolojia, Profesa Adolf Mkenda (wa pili kulia), Naibu Waziri wa Elimu , Sayansi na Teknolojia, Wanu Hafidh...
  8. Ileje

    JamiiForums Tanzania Pole Prof. Adolf Mkenda kwa ugumu wa mazingira ya kazi

    Katika mawaziri wanaofanya kazi katika mazingira magumu ni Prof. Adolf Mkenda, Waziri wa Elimu, Sayansi na Technolojia. Eti Wanu, mtoto wa Samia ndiye naibu wako! Wanu ambaye upeo wake wa kufikiri umeishia kumuwaza mumewe Mchengerwa na mama yake Samia! Hivi Wanu atamsaidia Mkenda katika...
  9. DuaZaMama

    JamiiForums Tanzania Wizara ya Elimu yasisitiza shule zote kufunguliwa Januari 13,2026 na si vinginevyo

    Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia imeona taarifa potofu kupitia mtandao mmoja wa kijamii kuhusu kutokufungua shule Januari, 2026. Tunapenda kuutaarifu umma wa watanzania na wadau wote wa elimu kuwa kalenda ya mihula ilishatolewa na Wizara kupitia Waraka wa Elimu Na. 5 wa Mwaka 2025 na...
  10. Insidious

    JamiiForums Tanzania Kuna nini mahafali ya baadhi ya vyuo kuahirishwa mpaka 2026?

    Wakuu kwema? Nina swali la kwamba; kwanini baadhi ya vyuo vimehairisha mahafali (graduation)mpaka 2026 kwa wanafunzi wote undergraduate na postgraduate na wamemaliza masomo mwaka huu 2025? Mfano ni kama ifuatavyo; a)chuo cha diplomasia (Centre for Foreign Relations) graduation imesogezwa mbele...
  11. Carlos The Jackal

    JamiiForums Tanzania Vyuo vikuu vya UDSM/DODOMA/MBEYA KUMTUNUKU WANU HAFIDH SAMIA PhD ya Heshima Kwa Mchango wake katika Wizara ya Elimu 🤣🤣

    Ndivo vyombo vya habari Vitakavyoripoti !! Huyu Maza na watoto wake, Elimu zao ni za hapa na pale, ni za kuunga unga sana , Ugonvi wao na Elimu unaanza Wakifika Kidato Cha Nne. Dec 9 ni maandamano makubwa kwelikweli hayajawahi kutokea yaan ni makubwa Mnoo, ALAFU TUNAWAONYA MAPOLISI...
  12. DuaZaMama

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Rais Samia amteua Binti yake Wanu Hafidh, kuwa Naibu Waziri wa Wizara ya Elimu

    Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan amemteua Wanu Hafidh Ameir kuwa Naibu Waziri wa Eimu, Sayansi na Teknolojia. Wizara itasalia kuwa na Prof. Adolfu Mkenda kama waziri akisaidiwa na Wanu Hafidh. Pia Soma: Mchengerewa ateuliwa kuwa waziri wa Afya
  13. Inside10

    JamiiForums Tanzania Ethiopia Wanasiasa Marafuku PhD Za Heshima

    Wizara ya Elimu nchini Ethiopia imetoa Mwongozo mpya unaopiga marufuku Viongozi wa Serikali na viongozi wa Kisiasa nchini humo kutunukiwa Shahada za Heshima (Honorary Doctorate). Agizo hilo ambalo limetiwa saini na Waziri wa Elimu Nchini Ethiopia Profesa Berhanu Nega kuwasilishwa kwa Vyuo vikuu...
  14. T

    JamiiForums Tanzania Pendekezo Rasmi kwa Wizara ya Elimu – Kitengo cha MitaalaYahusu: Umuhimu wa Kutenga Somo la Maadili (Ethics) kama Fani Inayojitegemea

    Mimi, kama mwalimu wa shule za sekondari, ninapenda kutoa maoni yangu kuhusu mtaala mpya wa elimu kuanzia shule ya msingi hadi sekondari. Baada ya kupitia kwa makini, nimebaki na hofu kubwa kwamba kutokuwepo kwa somo la Maadili (Ethics) kama fani inayojitegemea kutaathiri malezi na mwongozo wa...
  15. tonicimmobility

    JamiiForums Tanzania Mkuu wa shule azawadiwa gari na halmashauri kwa kuinua ufaulu

    Halmashauri ya Jiji la Mwanza imemzawadia Mkuu wa Shule ya Sekondari ya Wavulana Nsumba, Denis Mwakisimba, gari aina ya Toyota IST kutokana na mchango wake mkubwa katika kuinua kiwango cha ufaulu wa shule hiyo, ambayo imeendelea kufanya vizuri kwa mfululizo. Soma pia: Wakuu wa shule...
  16. proff g

    JamiiForums Tanzania Tusipo tekeleza tathimini ya awali tutakosea pakubwa wizara ya elimu.

    Katika kuangazia maswala yetu ya elimu kuna mambo kadhaa yamefanyiwa mabadiliko kwenye utekelezaji wa sera ya elimu ya 2014 toleo la 2023. utekelezaji wa mabadiliko hayo umeendelea katika ngazi mbali mbali kwa mfano 1. Mabadiliko ya kozi mbali mbali (kwa ngazi ya vyuo vikuu na vya kati) 2...
  17. Wakusoma 12

    JamiiForums Tanzania Wizara ya Elimu, elimu yetu inachezewa sana, baadhi ya shule wanafunzi wanaosoma masomo ya sanaa hawafundishwi somo la hesabu

    Hivi ni baada ya kufanya utafiti kwa baadhi ya shule ambapo wanafunzi wanaosoma masomo ya sanaa (Arts) wamekuwa wakizuiliwa kusoma somo la Hesabu. Kwa ujumla huu ni ukiukwaji mkubwa wa sera ya elimu na mfumo mzima wa elimu kwani somo hili ni muhimu sana kwa maendeleo ya taifa. Wizara na...
  18. Wakusoma 12

    JamiiForums Tanzania Vyuo Vikuu visiwe chini ya Wizara ya Elimu

    Kwanza wizara ya elimu inapaswa ijishughulishe na maswala ya elimu ya msingi, secondary na taaluma za kielimu kama vyuo vya elimu na vyuo vya kati. Elimu ya juu inapaswa kusimamiwa na taasisi ya maswala ya elimu ya juu pekee. Kipindi cha rais Mkapa pamoja na JK tulikuwa na wizara ya elimu ya...
  19. Carlos The Jackal

    JamiiForums Tanzania TCU ya Wizara ya Elimu unapofuta KOZI kwenye Vyuo Vikuu, toa sababu , Jamii izipime kama Zina mantiki au Uhuni tu wa Siasa dhidi ya KANISA !!

    Nina Wasiwasi sana Sababu za Kisiasa Dhidi ya KANISA ndio zinaweza kua Nyuma ya TCU kufuta baadhi ya KOZI chuo Kikuu cha SAUT !. Kwa sababu hizohizo KOZI bado zinaendelea kutolewa kwenye Vyuo Vikuu vingine Nchini . Kuichomekea UDOM, ili tuone na Chuo Kikuu Cha Serikali nacho kimeguswa, ni...
  20. T

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Wizara ya Elimu na taasisi zinazosimamia elimu ya juu: Kueni makini na maelekezo ya muda mfupi, ikiwemo kufungia programu mbalimbali

    Ni jambo la kusikitisha na la kushangaza kuona jinsi ambavyo Wizara ya Elimu na baadhi ya taasisi zake zimeanza kuingilia kwa nguvu na pupa maandalizi ya mitaala ya vyuo vikuu, ikiwemo hatua ya kufungia baadhi ya fani au programu kwa kutoa maagizo ya ghafla yasiyozingatia muda wa kitaaluma...
Back
Top Bottom