Kwaya ya Damu Takatifu ya Yesu, Parokia ya Yohana Mtume na Mwinjili, Tegeta Jimbo Katoliki Bagamoyo wamepata Ajali Mbaya katika Wilaya ya Manyoni Mkoani Singida walipokuwa wakielekea Jimbo Katoliki Singida kwa ajili ya Ziara ya Uinjilishaji.
Hakuna kifo chochote kilichoripotiwa kufuatia ajali...
Hebu tufikirie kwa mfano tu dunia ambayo hakuna kuugua wala kufa kwa magonjwa wala uzee. Kila mtu siku moja atakufa kwa ajali tu, ila hajui ni lini na wapi na kwa ajali gani ajali ya ndege ,gari au meli..natamani kujua maisha yangekuwaje tofauti na yalivyo sasa?
Watu wangekuwa waoga zaidi na...
AJALI NILIYOIPATA NJIANI: SOMO KWA MADEREVA WOTE
Utangulizi
Tarehe 15/06/2026 ni siku ambayo sitaisahau kwa urahisi katika maisha yangu. Nilipata ajali ya pikipiki katika eneo la Butinzya nikiwa safarini kuelekea Ushirombo kutoka Katoro.
Kilichonishangaza zaidi siyo ajali yenyewe, bali mazingira...
👉 Ajali iliyowahusisha wanafunzi wa Shule ya Lucky Vincent mwaka 2017 ni moja ya matukio yaliyoligusa taifa kwa huzuni kubwa. Tukio hilo lilitokea katika Wilaya ya Karatu, Mkoa wa Arusha, na kuacha simanzi isiyoelezeka kwa Watanzania wengi.
👉 Wanafunzi hao walikuwa wakisafiri kuelekea...
Hii ndiyo tiba na huduma ya kwanzaya kuungua iwe na moto au maji au chochote.
Ni baada yakupata hiyo ajali hakikisha haugusi kitu chochote cha baridi. Yaani epuka kutumia maji au kitu chochote cha baridi.
Baada ya hapo tafuta nguo nzito au shuka zito au hata koti zito ni sawa kishachukua hiyo...
Gari la Msafara wa Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga limepata ajali eneo la Usanda wilaya ya Shinyanga barabara ya Tabora - Shinyanga, wakati likikwepa gari aina ya Toyota Harrier na kuingia kwenye mtaro.
Taarifa za awali zinaeleza kuwa watu watano wamejeruhiwa katika ajali hiyo akiwemo Mwandishi wa...
Hivi karibuni tumeona baadhi ya viongozi nanwatendaji wakikemea kuhusu mwendokasi wa madereva lakini ajali bado ni nyingi, tulijaribu kufanya research ndogo kwa nini hasa hii hali. Na dereva mmoja alithibitsha kua vile vidhibiti mwendo katika basi nyingi vimechezewa na Ratra baadhi ya watendaji...
Maeneo ya Posta – Dar es Salaam chemba nyingi hazina mifuniko, juzi nimeshuhudia Bodaboda kaingia kwenye chemba wote na abiria waliumia.
Tukio lingine imekuwa zamu yangu, nimepigisha kichwa kwenye kioo🥲, ni hapa Samora karibu na Kituo cha Mafuta.
Watu wawili wanadaiwa kufariki dunia baada ya kugongwa na gari walipokuwa wakisafiri kwa pikipiki, kufuatia gari hilo kupoteza mwelekeo, kuacha njia na kutumbukia mtaroni.
Wakizungumzia tukio hilo, mashuhuda wamesema lilitokea katika mtaa wa Mpanda Hotel, ambapo waliogongwa ni dereva wa...
Habari wana jukwaa.
Wengi kwa sasa tumekutana na either post or habari kuhusiana na ajari. Kwenye mitandao ya kijamii (insta,facebook n.k just to mention few) tunapoteza wapendwa na nduzu zetu kila kukicha na nyingi zinatokea usiku magaro yanagongana ama kupinduka na katoka mazingota kama...
Dakawa mzani Basi la happy nation namba T 452 EDW limelala. Sababu ni mvua.
Kama ulikuwa unamsubiri ndugu yako pole sana.
Mtandao haushiki na mazingira ni mabaya.. Waruguru wametoa macho kama wanataka kuchomoa beteri🤣🤣
Tusubiri Polisi kwa habari zaidi.
Afu demu awe mcharuko asee unaweza kupungua kilo 2 kwa kila saa.
28 huna mke hujaoa unasubiri nini? Malaya wengi wameongua na hao hao wa mtaani ndio wanaojipanga ikifika usiku.
Kwanini usiende zako kagera ukachukua zako mtoto wa kitutsi ukaenjoy bila stress
Mwisho, wito kwa serikali wazuie...
Utata umeibuka baada ya ajali mbaya katika barabara ya Kisumu–Busia iliyosababisha vifo vya watu watatu.
Mashahidi wa eneo la tukio wanadai kuwa motorcade ya Health CS Aden Duale iligonga tuktuk na kusababisha ajali hiyo mbaya.
Hata hivyo, idara ya mawasiliano ya waziri huyo imekanusha madai...
Hizi ni ajali ambazo hadi leo zimeniachia simanzi na kumbukumbu mbaya kichwani mwangu. Sikupoteza ndugu wala mtu yeyote wa karibu ila ziliniumiza mno.
1. Ajali ya moto kwenye bweni la wasichana Shauritanga sec, Rombo
Hii ajali ilitokea usiku wa tarehe 18 June 1994. Bweni lilishika moto na...
Kila mahali tumezungukwa na hatari za kila aina . Lakini hii Changamoto ya ajali za barabarani limekuwa ni donda sugu.. barabara zetu hizi ni kama zile za kwenye filamu ya kutisha ya Final destination.Watu wanapoteza wapendwa wao kila uchao. Na kinachonisikitisha ni kwamba hapahapa duniani...
Jana niliona kuna member amejadili kuhusu taa hizo, nikapita usiku na kubaini kuwa alichozungumza ni kweli, taa hizo kwenye Jiji la Chalamila zinazingua na ni hatari kwa kuwa zinaweza kusababisha ajali, kwani kila upande unaweza kuhisi upo sahihi.
Mjadala huo wa Clouds FM nimeusikia asubuhi hii...
INASADAKIKA watu zaidi wawili wamefariki kwenye ajili hii iliyodaiwa kutokea tarehe 26 Januari 2026 eneo la Kibiti wakiwa wanatoka kwenye kisiwa cha Mafia.
Kamanda wa Polisi wa Kanda Maalumu ya Rufiji, Protas Mutayoba, amesema boti hiyo ilikuwa imebeba abiria 11 na imepata ajali katika eneo...
Tanroad mbona mnatana tuwafanyie kazi zenu au hadi raia wapange mawe barabarani kuzuia magari ndio mtaelewa ? Ajali maeneo hayo na kama hayo yenye kona zimezidi.....fanyeni utaratibu mupunguzie speed vyombo vya moto.
Pia Polisi kagueni leseni , hawa vijana boda boda wengi hawana leseni kabisa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.