ajali

Mozaffar Ajali (Persian: مظفر اجلی‎, born 30 December 1962) is an Iranian weightlifter. He competed in the 1992 Summer Olympics.

View More On Wikipedia.org
  1. Miss Halima

    JamiiForums Tanzania Kipa wa Azam SC afariki kwa ajali ya boda boda

    Kipa wa timu ya vijana chini ya umri wa miaka 20 (U20) ya Azam FC, Iddy Salim, amefariki dunia baada ya kupata ajali ya bodaboda. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Azam FC leo Ijumaa Septemba 11, 2026, kipa huyo alifariki dunia jana katika ajali hiyo. “Tunasikitika kutangaza kifo cha kipa...
  2. Jaji Mfawidhi

    JamiiForums Tanzania Chanzo cha ajali ni Ubovu wa Barabara!

    Haijawahi kutokea "mamlaka " ikasema chanzo cha ajali ni miundombinu ya barabara kuwa mibovu. Mitaani na barabara kuu, TANROAD wanapata hela kutoka mafuta tunayoweka kwenye magari, yet hawazibi mashimo. Mitaani wanaweka bumps, lakini hawaweki alama, ajali za kupinduka. Madaraja membamba na...
  3. Miss Halima

    JamiiForums Tanzania Ajali yatishia ndoto za bingwa wa olimpiki

    Bingwa wa Olimpiki wa mbio za kuruka mbali, Tara Davis amelazimika kusitisha msimu wake wa riadha wa mwaka 2026 kufuatia kupata mshtuko mkali wa ubongo uliosababishwa na ajali ya gari. Uamuzi huo unamaanisha kuwa mwanariadha huyo Mmarekani mwenye umri wa miaka 27, hatashiriki katika Mashindano...
  4. Roving Journalist

    JamiiForums Tanzania Basi la Abood lagongana na IST wakati dereva 'aki-overtake', Watu wanne wafariki Dunia

    TAARIFA KWA UMMA AJALI YA BASI KUGONGANA NA GARI NDOGO NA KUSABIBISHA VIFO VYA WATU 04 NA UHARIBIFU WA MAGARI Tarehe 07 Septemba, 2026 saa 07:40 usiku katika barabara ya Bagamoyo eneo la Bunju Sokoni Kinondoni Dar es Salaam basi lenye namba T 235 EMJ aina ya Yutong mali ya Kampuni ya Abood...
  5. Miss Halima

    JamiiForums Tanzania Cape Verde; Wanafunzi 25 wafariki kwa ajali

    Watu 25 wamefariki dunia, wengi wao wakiwa watoto na vijana, baada ya basi lililokuwa limebeba abiria waliokwenda katika ziara kuanguka kwenye korongo katika Kisiwa cha Fogo, nchini Cape Verde. Ajali hiyo ilitokea Jumamosi jioni katika eneo la milimani kaskazini mwa Fogo, ambapo basi hilo...
  6. Miss Halima

    JamiiForums Tanzania Ajali mbaya ya ndege yatokea Miami

    Ajali mbaya ya ndege ya mizigo katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Miami watu watano wamefariki dunia na wengine watano wamejeruhiwa baada ya ndege ya mizigo ya Amazon Prime Air kutua katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Miami (MIA) Jumapili mchana, ikigonga magari kadhaa na kuwaka moto...
  7. RRONDO

    JamiiForums Tanzania KERO TANROAD,Hizi Taa Zitasababisha Ajali.

    Kwenu Tanroads na wahusika wengine wa usalama barabarani. Taa za kuongoza magari katika makutano ya Barabara ya Kilwa na Barabara ya Kawawa zimesetiwa kimakosa. Taa hizi zinaruhusu magari yaa kawaida kunyoosha moja kwa moja na mabasi ya mwendokasi kukata kulshoto na kunyoosha kwa wakati mmoja...
  8. O

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Familia 32 za Wakenya Kupokea Sh11.3 Bilioni Fidia ya Ajali ya Ethiopian Airlines

    Familia za Wakenya 32 waliopoteza wapendwa wao katika ajali ya Ethiopian Airlines Flight 302 mwaka 2019 zinatarajiwa kupokea jumla ya dola milioni 87.3 (takriban Sh11.3 bilioni) kama fidia. Ajali hiyo ilitokea Machi 10, 2019, muda mfupi baada ya ndege hiyo kuondoka Addis Ababa nchini Ethiopia...
  9. mcTobby

    JamiiForums Tanzania Kifo cha Jasusi kwenye ajali ya ndege huko Kenya

    Ipo hivi 😑😑 Taarifa za awali za habari hazikusema jambo moja muhimu kuhusiana na ajali hiyo: Mmoja wa waliokufa hakuwa mtalii. Jina lake lilikuwa Michele Sensi-Contugi Ycaza. Kwa Wakenya wengi, jina hilo huenda halikuwa na maana yoyote. Lakini nchini Ecuador, alikuwa mtu aliyekuwa na ushawishi...
  10. Roving Journalist

    JamiiForums Tanzania Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Shinyanga: Tunamtafuta ndugu wa Mtoto ambaye Mama na Kaka yake walifariki katika ajali ya basi

    TAARIFA KWA UMMA Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Shinyanga inawatafuta ndugu au jamaa wa mtoto huyu wa kiume anayekadiriwa kuwa na umri wa miaka 5, ambaye hajafahamika jina lake. Mtoto huyo alinusurika katika ajali ya barabarani iliyotokea tarehe 20 Juni 2026 eneo la Wendele, iliyohusisha gari la...
  11. Miss Halima

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ajali yaua mkuu wa ujasusi ECUADOR

    Mkurugenzi Mkuu wa Idara ya Usalama wa Taifa la Ecuador, Michele Sensi Contugi pamoja na Mkewe ni miongoni mwa watu saba ambao wamefariki dunia baada ya helikopta kuanguka katika eneo la Mlima Ololokwe, Kaunti ya Samburu nchini Kenya. Duru za siasa za Kimataifa zinapata wasiwasi kuwa huenda ni...
  12. O

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania TANZIA Mkuu wa Ujasusi wa Ecuador Miongoni mwa Waliofariki Katika Ajali ya Helikopta Samburu

    Maelezo zaidi yameibuka kuhusu watu saba waliofariki katika ajali ya helikopta karibu na Mlima Ololokwe, Samburu, huku ikibainika kuwa Mkuu wa Ujasusi wa Ecuador Michele Sensi-Contugi na mkewe Stephany Vásconez walikuwa miongoni mwa wahanga. Sensi-Contugi, mwenye umri wa miaka 44, alikuwa...
  13. Inevitable

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mkurugenzi wa Idara ya Usalama wa Ecuador na Mkewe Wafariki Kwenye Ajali ya Helikopta

    Mkurugenzi Mkuu wa Idara ya Usalama na Ujasusi ya Ecuador (CIES), Michele Sensi-Contugi, pamoja na mkewe Stephany Hollihan, ni miongoni mwa watu saba walipoteza maisha kufuatia ajali ya helikopta iliyotokea eneo la Mlima Ololokwe, Kaunti ya Samburu nchini Kenya. Vyombo na Eneo: Helikopta aina...
  14. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania Idadi ya watu waliofariki katika ajali ya kivuko iliyotokea katika Ziwa Kariba nchini Zimbabwe imefikia 94

    Idadi ya watu waliofariki katika ajali ya kivuko iliyotokea wiki iliyopita katika Ziwa Kariba nchini Zimbabwe imefikia 94, Jeshi la Polisi la Zimbabwe (ZRP) limethibitisha. Polisi wamesema shughuli za utafutaji na uokoaji bado zinaendelea katika eneo la tukio, huku timu zikiendelea kutafuta...
  15. figganigga

    JamiiForums Tanzania Lushoto: Ajali imeua watu 17, Rais ndo mfariji wa kwanza katika Nchi. Anatakiwa atoe pole

    Mkitaka kujua Mkitaka kujua mtu hafai kuvaa viatu vya urais, au roho ya Samia au Samia ni mtu wa namna gani ni pale kwenye Matatizo. Rais ndo mfariji wa kwanza katika Nchi. Anatakiwa atoe pole, na kufariji wafiwa(comforter-in-chief). Pole sana Watanzania.. Mungu atatupa Rais. Watu 17 wanakufa...
  16. mirindimo

    JamiiForums Tanzania Video: Cocobeach ajali ya pili gari inawaka moto hakuna point za fire eneo lote Coco

    JF Video ya sekunde 16 inagoma ku upload hebu na nyie wekeni miundo mbinu yenu vizuri….yaani Video sekunde 16 inagoma ? Wakuu mko serious ?
  17. Soul21

    JamiiForums Tanzania Kuongozekea kwa ajali nani alaumiwe?

    KUONGEZEKA KWA AJALI, NANI ALAUMIWE? Kwanza natoa pole kwa ndugu na jamaa waliopoteza ndugu zao kupitia ajali za barabarani huku nukitambu kiasi gani watoto wamebaki yatima, wajane na pia wazazi kupoteza watoto wao bila kusahau ndugu pia. Mwezi wa kumi na mbili mpaka Januari polisi waliongeza...
  18. dronedrake

    JamiiForums Tanzania Ajali ya basi la Isamilo na Libanika, alfajiri ya leo

    Ajali mbaya za basi la Isamilo linalofanya safari zake Mwanza-Dar kugongana uso kwa uso na basi la Libanika (Dar-Mwanza) iliyotokea alfajiri ya leo, kijiji cha Msembeta, kata ya Nala, wilaya ya Dodoma, mkoa wa Dodoma. Kumekuwa na ripoti za vifo kadhaa na majeruhi wengi Chanzo cha ajali ikiwa...
  19. stabilityman

    JamiiForums Tanzania Ajali zinaua mamia ya watu tuwe makini barabarani

    Kweli kabisa. Ajali za barabarani ni tatizo kubwa linalochukua maisha ya watu wengi kila mwaka, mara nyingi kwa sababu zinazoweza kuepukika. Baadhi ya tahadhari muhimu: Vaa mkanda wa usalama (seatbelt) kila wakati. Usiongee kwa simu ukiwa unaendesha. Fuata mwendo kasi unaoruhusiwa. Usiendeshe...
  20. Lighton

    JamiiForums Tanzania Ajali ya Treni kugongwa na gari imesababisha kifo

    wakuu mmeamkaje, mimi niko salama. Mods naomba mnisaidie kurekebisha kichwa cha habari kama mada haitaendana na nitakachoandika. Majuzi mishale ya saa sita usiku ilitokea ajali mbaya sana ambapo treni iligongwa na gari, maeneo ya kipunguni relini, barabara ya kuelekea moshi bar, kwa wale watu...
Back
Top Bottom