Argentina itawasilisha malalamiko ya jinai dhidi ya kampuni ya nishati ya Israel Navitas Petroleum na makampuni mengine yanayohusika katika uundaji wa hidrokaboni karibu na Visiwa vya Falkland vinavyodhibitiwa na Uingereza, na kuongeza mzozo wake wa uhuru na Uingereza. Waziri wa Mambo ya Nje...
TAARIFA KWA UMMA
AJALI YA BASI KUGONGANA NA GARI NDOGO NA KUSABIBISHA VIFO VYA WATU 04 NA UHARIBIFU WA MAGARI
Tarehe 07 Septemba, 2026 saa 07:40 usiku katika barabara ya Bagamoyo eneo la Bunju Sokoni Kinondoni Dar es Salaam basi lenye namba T 235 EMJ aina ya Yutong mali ya Kampuni ya Abood...
NDIO 120,000 TU Kama upo miongoni mwa kampuni au biashara hizi
Tour & Safari Companies
Hotels & Resorts
Lodges & Camps
Travel Agencies
Real Estate Companies
Property Developers
Construction Companies
Architecture Firms
Engineering Companies
Law Firms
Accounting & Audit Firms
Insurance Companies...
Kama namwona Samuya huko aliko akitukana, akisonya, na kuvimbisha mashavu yake.
Mange afungua shauri dhidi ya kampuni ya Meta ambayo ndo inamiliki Instagram, WhatsApp, na kadhalika.
Tazama hiki kipande cha runinga ya Firstpost.
https://youtu.be/5zEttYOuyvA?is=8j15o65At_8zjVQv
Halo vip!
Moja kwa moja kwenye mada husika ni hivi nimesuka mkeka wangu.
Na Ila baada ya timu zote kutoa Na walikuwa wananiletea cash out nakaa.
Sasa wameamua kuchana mkeka wangu kwa makusudi.
Ni hivi Luna match mbili nimeweka 1.5 Na match yakwanza imeisha kwa 1-1 Na match ya pili imeisha...
Nahitaji kufahamu lipo ofisi ya kampuni ya Mozaico jijini Dodoma na mawasiliano ya kampuni ya mabasi ya Mozaico ili wanisafirishie pikipiki kutoka Dodoma kuja Benako Ngara.
Kampuni ya ubanguaji wa korosho ya Sarl Anacard’Or ya Algeria inatarajia kutanua uwekezaji wake kwa kujenga viwanda vitatu nchini Tanzania ili kuongeza zaidi faida yake katika soko la dunia.
Akizungumza na Balozi wa Tanzania nchini Algeria, Mhe. Mobhare Matinyi, wakati wa ziara yake kwenye...
Mimi ni binti mwenye umri wa miaka 20+ naweza kujiita ni muathirika wa tukio ambalo naona linaelekea kuwa la “kitapeli” uliotendwa na kampuni inayojitangaza kutoa fursa za kazi na mafunzo nje ya nchi inayoitwa Star Employment Service Tanzania.
Nilianza mawasiliano na Mkurugenzi wa kamouni hiyo...
Anonymous
Thread
dalili
employment
kampuni
kutapeliwa
naona
service
Kampuni ya Algeria kuwekeza viwanda vya korosho Tanzania
Kampuni ya ubanguaji wa korosho ya Sarl Anacard’Or ya Algeria inatarajia kutanua uwekezaji wake kwa kujenga viwanda vitatu nchini Tanzania ili kuongeza zaidi faida yake katika soko la dunia.
Akizungumza na Balozi wa Tanzania nchini...
Kampuni ya Algeria kuwekeza viwanda vya korosho Tanzania
Kampuni ya ubanguaji wa korosho ya Sarl Anacard’Or ya Algeria inatarajia kutanua uwekezaji wake kwa kujenga viwanda vitatu nchini Tanzania ili kuongeza zaidi faida yake katika soko la dunia.
Akizungumza na Balozi wa Tanzania nchini...
Kwa wanaokumbuka kulikuwa na kampuni za usafirishaji za kila mkoa ambazo zilikuwa na mpangilio na kufuata taratibu.
Kwa mwenye kumbukumbu atutajie kampuni ya usafirishaji ya mkoa anaotoka
Mimi ni mwandishi wa Vitabu (zaidi ni Riwaya). Tena naandika mno!
Changamoto ni moja ambayo ni kuwa, Sina uwezo wa kuchapisha na kuzisambaza kazi zangu kutokana na kipato changu kuwa kidogo.
Naomba msaada wa 'Konekisheni' ya Kampuni ama Taasisi yoyote ambayo inajihusisha na Uchapishaji na...
Usikimbilie kusajili bila kujua tofauti yake! Watu wengi huchanganya Business Name na Company, na mwisho wake wanaweza kuchagua mfumo usioendana na mahitaji ya biashara yao.
Watu wengi wanaanzisha biashara lakini hawajui kama wanapaswa kusajili Jina la Biashara (Business Name) au kuanzisha...
Taarifa zake hizi hapa
RAMADHAN SALUM RAJABU
Anasoma NATIONAL INSTITUTE OF TRANSPORT
Age: 20 YEAR OLD
Mwaka aliopo :SECOND YEAR
Field yake : FREIGHT CLEARING AND FORWARDING
Mawasiliano yake haya hapa
0778928217
Naomba tumsaidie Wana JF
Yupo Daressalaam.
Wafanyakazi wa Kampuni ya Namera Group of Industries (T) LTD kilichopo Gongolamboto, Dar es Salaam wamefanya mgomo na kukusanyika nje ya kiwanda hicho wakilalamikia hatua ya mwajiri wao kubadilisha jina la kampuni hiyo bila kuwalipa stahiki zao na kuvunja mikataba yao ya awali.
Wafanyakazi hao...
Habari, kuna vijana wanaofanya kazi ya kununua mpunga kutoka kwa wakulima katika maeneo mbalimbali kama Morogoro, Mbeya na Kanda ya Ziwa kwa ajili ya kiwanda cha mchele cha Wilmar Rice Tanzania kilichopo Morogoro.
Kuna mmoja kati yao ambaye nimekuwa nikimdai fedha tangu alipofika huku. Alikuwa...
Anonymous
Thread
hawajalipwa
kampuni
kazi
kiwanda
manunuzi
mchele
mishahara
mkoa
mpunga
ndugu
posho
tanzania
vijana
wanaofanya
yangu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.