Peculiar Enterprises Ltd tunabuni na kutengeneza mifumo ya kisasa kwa biashara, kampuni, taasisi na organizations za aina zote.
Huduma zetu ni pamoja na:
✅ Corporate & Company Management Systems
✅ Project Management Systems
✅ Financial & Business Management Systems
✅ Websites za kampuni na...
Nimesoma sehemu kuwa kampuni za kubeti zinadhulumu watu walioshinda pesa nyingi. Kuwa zinabadilisha betting. Kama uliweka timu fulani ishinde wao wanabadili kuwa uliweka ifungwe kwa hiyo wanachana mkeka ulioshinda. Ukiweka over na kushinda wanabadili kuwa under. Na wengine wanakufutia kabisa...
Kampuni ya Samsung hivi karibuni ilitangaza kuwa itaacha kuuza vifaa vyake vyote vinavyotumika nyumbani nchini China. Chapa ya Samsung ilikuwa alama ya vifaa vya kielektroniki vya nyumbani vya hali ya juu na vyenye ubora wa juu zaidi, lakini sasa imeshindwa kabisa na kampuni za ndani za China...
Kuna ndugu yangu anafanya kazi Kampuni ya HAINAN INTERNATIONAL LTD kwenye mradi wa ujenzi wa Bohari ya Dawa (MSD) mkoani Geita, Wilaya ya Chato pembezoni mwa Hospitali ya Rufaa ya Kanda Chato.
Mradi tangu wameanza ni takribani miezi minne, unaenda mitano sasa lakini hakuna kuingiziwa fedha za...
Anonymous
Thread
kampuni
katika
malipo
mradi
msd
nssf
wafanyakazi
wake
Shida ni kwamba hizi kampuni ambazo zinajihusisha na services za home internet zinakuwa kwanza hazisemiukweli interms of amount ya data unayopata, mfano unaweza kulipa unlimited kwa speed kiasi flani lakini unakuta kumbe limit ni 1tb, so wanakuwa wana advertise uongo na hawajulishi watumiaji...
Anonymous
Thread
data
internet
kampuni
kuhusu
mteja
nyumbani
ukweli
Sasshivi wanamiradi iko Tanga na wanaiuza kwa raia wa Zanzibar, nimekwenda kuuliza endapo wana miradi Zanzibar wameniambia ipo, baada ya kuonesha nia ya kununua wakaniambia siruhusiwi maana mimi ni Mtanzania bara.
Nikawauliza kwanini wananchi wa Zanzibar wananunua ardhi bara, akaniambia hata...
Leo nilikuwa Ofisi ya wauzaji wa viwanja kampuni ya " VIWANJA TANZANIA "
posta mpya
Mtaa wa Ohio, Nyumba ya Maarifa, ground floor. Jirani na IT Plaza, inatazamana na ATCL.
unaweza kuwachek wanaviwanja sehemu mbali mbali ndani na nje ya Dsm
viwanja vya biashara
viwanja vya makazi
sea view...
Nimekuwa nikijiuliza sana.
Nikiweka vocha ya 10,000 napata 10,000 exactly.
Sasa hawa makampuni ya simu wanapataje faida kama wanarudisha hela ile ile?
Au kuna kitu sielewi hapa?
Naomba nieleweshe kwa lugha rahisi maana kichwa changu kimegoma kabisa 😅
Ndio sijakosea kwa Tsh.200,000 Tu utajipatia website ya kisasa ya biashara au kampuni yako.
Ikijumuisha
usajili wa jina la website
Hosting ya mwaka mzima
Utapata emails rasmi za website yako.
Ndani ya siku 3 tu tayari utakuwa umeshapokea kazi yako.
Mfano ya kazi ambazo nimeshatengeneza na...
Kampuni iliyoniajiri inaelekea kufa kwa kukosa uongozi bora, hakuna namna ya kuwawajibisha mabosi sababu ndio wanaomiliki Mifumo ya uwajibishaji
Nafanya kazi kwenye kampuni moja ambayo ina miaka mingi tangu kuanzishwa kwake, imeshakuwa na wakurugenzi kadhaa, ila mara nyingi huwa wanaondoka kwa...
Mfanyabiashara, Rostam Azizi kupitia kampuni yake ya Taifa Gas Tanzania Limited, kwa kushirikiana na Amber Energy Investment L.L.C-FZ, wameingia makubaliano ya kununua biashara ya gesi ya kampuni ya Orca Energy Group nchini Tanzania inayomiliki mradi wa Songo Songo.
Kwa mujibu wa taarifa...
Habari mjasiriamali, kama wewe ni mmiliki wa Kampuni au unatarajia kufungua Kampuni haya ni mambo Matatu ambayo natamani uyajue mapema kuhusu Kampuni
1/3 Ni lazima ku file beneficial ownership ndani ya siku 30.
Beneficial owners ni watu wote ambao ni wanufaika wa Kampuni hata kama sio direct...
Habari wakuu,
Natoa huduma za kitaalamu za kutengeneza website kwa biashara, taasisi na miradi mbalimbali. Ikiwa unahitaji website ya haraka, inayovutia na inayofanya kazi vizuri, hii huduma ni kwa ajili yako.
✅ Website yako itakuwa tayari ndani ya siku 3 tu
✅ Inafaa kwa biashara ndogo...
Kampuni za MM CONNECT na PENT OPTIMISM ambazo zina ubia wa kuendesha maduka ya Vodacom zinachkua vyeti vya kitaaluma vya wafanyakazi wake na kukaa navyo kama udhamini kinyume na utaratibu na kumbana zaid mfanyakazi kuombea Kaz kwingine
Anonymous
Thread
kampuni
kitaaluma
kuendesha
maduka
optimism
pent optimism
ubia
vodacom
vyeti
wafanyakazi
wake
Mimi nilikuwa Mfanyakazi kwenye kampuni ya Wachina inayojihusisha na michezo ya kubahatisha inaitwa BONANZA, ni kampuni maarufu sana na huenda ikawa ya kwanza kuingia nchini, nimefanya kazi takribani miaka 10 na bila mkataba wowote.
Niliahidiwa kusainishwa mkataba kila siku zinapoenda mwisho wa...
Anonymous
Thread
bila
kampuni
kazi
kazini
kosa
kupata
miaka
miaka 10
mkataba
stahiki
wachina
Max Pro Limited ni Kampuni inayojihusisha na utengenezaji na uzalishaji wa bidhaa mbalimbali za Usafi kama vile Tiles Cleaner,Hand Wash Soap,Window Cleaner,Shower gel,Air Fresh,Car Shampoo,Hair Shampoo,Sofa Cleaner,Skin Care Products n.k.ambayo ipo Kigamboni Dar es Salaam.
Max Pro Ltd...
Habari za muda huu Wana Bodi na Great Thinkers wote,
Natumai mko salama na mnaendelea na majukumu ya ujenzi wa Taifa. Leo nimekuja na jambo ambalo linaendelea "chini ya kapeti" lakini lina athari kubwa sana kwa uchumi wetu, usalama wetu, na sera zetu za kuwezesha wazawa.
Kuna mabadiliko...
Betting Codes
Mkamaria anasuka mkeka wake kisha anashare betting codes za mkeka huo, mfano 72HD82. Wateja wengine hawahitaji kusuka mkeka kutoka mwanzo; wanachagua tu code, na mkeka unajisuka moja kwa moja. Ukiweka dau, mkamaria hupata sehemu ya asilimia fulani, mfano 4%. Kwa mfano, ikiwa watu...
boti
code
hivyo
kabla
kamari
kampuni
kichwa
kujiunga
kumbuka
kupitia
kuwa makini
lazima
links
maarufu
makampuni
makini
mikeka
mitandaoni
mkeka
mmoja
moja
pesa
referral
tahadhari
upande
wakubwa
wao
wengi
zao
Vibarua katika Kampuni ya uchimbaji madini ya Ruby International iliyopo Mkoani Morogoro, Wilayani Ulanga wanalalamika kuwa jinsi wanavyosachiwa baada ya kazi ni udhalilishaji.
Maana wanashikwashiwa makalio na muda mwingine wanavuliwa nguo. Kampuni hiyo inamilikiwa na Salim Alaudin Hasham...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.