hii

King Kuok "Mimi" Hii (born 23 December 1969) is a chemist whose fields of research include application of catalysis to organic synthesis. She is the Director of Imperial College London's Centre for Rapid Online Analysis of Reactions (ROAR).

View More On Wikipedia.org
  1. mcTobby

    JamiiForums Tanzania Aliyeitengeneza Hii video ya hii ngoma alikuwa hadi kero.

    Sijui ni hansacana au Dr Adam juma wa Visual lab?https://youtu.be/DkoeNLuMbcI?si=rzXCMpXgCfm7y2dl
  2. mcTobby

    JamiiForums Tanzania Aliyeitengeneza Hii video ya hii ngoma alikuwa hadi kero.

    Sijui ni hansacana au Dr Adam juma wa Visual lab?https://youtu.be/DkoeNLuMbcI?si=rzXCMpXgCfm7y2dl
  3. de Gunner

    JamiiForums Tanzania Adui Yangu Anaitwa Simu

    Hii sio kawaida! Am cooked, ninetumia GB 10 za intaneti, just in a day(less than 10 hrs) kwa ku scroll pekee! Youtube Insta Fb Site za wakubwa(twice) Na hapo bado nimeenda kuchek mechi(means Kuna kama masaa sikushika simu) .. Kweli nahitaji social media detox, hii imesababishwa na being...
  4. Mallerina

    JamiiForums Tanzania Hii screenshot ya huyu dada imekaaje ?!

    maamuzi mengine kumpa mtu magumu.... Mimi nimempigia ila kuna maneno kaniambia.. BOyfriend wake line yake inakuaga imezimwa kwa sababu ya madeni ( kwanini azime )red flag sign 2...miezi mitano ata kwa wazazi wa mwanaume hapajui eti alimuahidi biashara hela zipo NMB nikamuuliza ameziona jibu...
  5. Mallerina

    JamiiForums Tanzania Hii screenshot ya huyu dada imekaaje ?!

    maamuzi mengine kumpa mtu magumu.... Mimi nimempigia ila kuna maneno kaniambia.. BOyfriend wake line yake inakuaga imezimwa kwa sababu ya madeni ( kwanini azime )red flag sign 2...miezi mitano ata kwa wazazi wa mwanaume hapajui eti alimuahidi biashara hela zipo NMB nikamuuliza ameziona jibu...
  6. Camilo Cienfuegos

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kwa faulo hii, Messi alipaswa apewe kadi nyekundu

    Messi alimkanyaga mchezaji wa Algeria kutokea nyuma. Wachambuzi wengi wa soka wanadai Messi alitakiwa apewe kadi nyekundu kwa tukio hilo. Chakushangaza hata kadi ya njano haikuwepo. Weka maoni yako…
  7. britanicca

    JamiiForums Tanzania Ubunifu zero kabisa kupeleka makasha kwala, hatunaga watu wa mipango nchi hii

    Yaan unapeleka makasha kwala yaan “Tunayapeleka moja kwa moja Morogoro maana hata yakishuka Kwala bado yatafika Vigwaza na kuendeleza foleni ileile ya kuja Dsm na kuelekea Morogoro. WASOMI NA UPEMBUZI YAKINIFU🤭🤭🤭🤭🤭🤭🤭 Si afadhali kufungua ICD Dodoma ( Halfway to DRC, Burundi , Rwanda na...
  8. MamaSamia2025

    JamiiForums Tanzania Hii mbungi ya Monaban na Mojaa kuhusu shamba imenichekesha sana

    Watu wa Arusha tunawatambua hawa watu wawili kwa CV zao za mambo meusi. Wote wanalalamikiwa na wengi kama watu wasio na mienendo inayofaa. Monaban katajwa mara nyingi kwenye migogoro ya viwanja. Anatuhumiwa kudhulumu. Huku Mojaa naye akitajwa kama jambazi mstaafu. Sasa hapa kesi iliyopo ni...
  9. Etwege

    JamiiForums Tanzania Rais Samia hii miradi imekukosea nini?

    Serikali ya awamu ya 6 inayoongozwa na Rais Samia ina aleji kubwa na miradi ya kimkakati iliyoanzishwa kwa lengo la kumaliza matatizo ya watanzania. Rais Samia amegoma kuuzindua mradi wa bwawa la Nyerere uliojengwa kwa lengo la kukomesha tatizo la umeme ndani ya nchi. Rais Samia amegoma...
  10. Bakulutu

    JamiiForums Tanzania Hii ni haki kweli? Nimekuta gari yangu inadaiwa wala sijui kosa, sina taarifa yeyote

    Habari, leo nikiwa na kagua nijue nadaiwa kiasi gani cha maegesho ya gari gafla nakuta na daiwa sh 60000 ya makosa barabani , sijui niliandikiwa wapi na lini ! Huu utaratibu ukoje ? Naweza peleka malalamiko ? Moderator Maxence Melo
  11. R

    JamiiForums Tanzania Hii kauli hatari sana. Chalamila, kesho utawajibika kwa kauli hii. Kumbuka wewe ni M/kiti wa Kamati ya ulinzi na usalama ya Mkoa. Kauli yako ni AMRI

    Matumizi ya nguvu kupita kiasi mwisho wake ni KUUA WATU KAMA 29.10.2026. BADO HAMJAJUTA! HATA MKIWA KABURINI MTAWAJIBIKA! Soma Pia: RC Chalamila: Wanatamani kuleta chokochoko, nguvu tutakayotumia awamu hii kulinda amani, haijawahi kutokea
  12. Idugunde

    JamiiForums Tanzania Itashangaza sana kama CCM yenye uongozi dhaifu kama hii isipotolewa kwenye dola na CHADEMA hii yenye watu makini na wanaojitambua.

    Sikatai na wala sipingi kuwa CCM ipo madarakani sababu ya kuwa vyombo vya dola vimeikumbatia. Lakini nguvu ya umma ni zaidi ya bunduki na vifaru. Heche na Lissu wamekiheshumisha chama chao. Kwanza kwa kuwa na msimamo wa kutonunulika. Sasa kwa Chama ambacho kina viongozi kama Kihongosi na Ally...
  13. M

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Bunge la Ulaya (EU) lapinga Msaada wa Euro Milioni 156 (Tsh. Bilioni 440+) kwa Tanzania. Wataja Haki za Binadamu na Uchaguzi wa 2025

    Wakuu, Kuna mvutano mzito unaoendelea huko Ulaya kati ya Bunge la Umoja wa Ulaya (European Parliament) na Kamisheni ya Umoja wa Ulaya (European Commission) kuhusu mpango wa kuipatia Tanzania msaada wa kimaendeleo wa kiasi cha Euro Milioni 156 (zaidi ya Tsh. Bilioni 440). Kwa mujibu wa taarifa...
  14. Barakha John

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Usinunue Tena Iphone Kwenye Box Bila Kujua Siri Hii , Utashangaa….

    Asilimia 95% ya simu za iphone ambazo watanzania wengi wanauziwa kwenye box huwa ni simu used…. Je, Ulikuwa unajua hili ? kama hujui basi habari ndio hiyo. ……naona unabisha pengine wewe mwenyewe au rafiki au ndugu ulisha wahi muona amenunua simu mpya kabisa na amefungua kwenye box …sasa...
  15. TheForgotten Genious

    JamiiForums Tanzania Kama unaitetea hii serikali wewe ni mnufaika wa udhalimu

    Kwa namna ambavyo hii serikali imekuwa ya kidhalimu hakuna mtu mwenye roho ya ubinadamu anaweza kuitetea,na hakuna mwenye roho ya utu anaweza kukubali kunyamaza kimya. Wasomi wamekuwa washenzi wakuliangamiza taifa kwa vipande vya pesa mbaya zaidi umri wao wengine umesha kwenda,nguvu ya...
  16. M

    JamiiForums Tanzania Gabo Zigamba afanya filamu ya kisa cha Mkulima Mwamwindi kumuua mkuu wa mkoa Iringa, Dkt. Kleruu

    Mnamo Sikukuu ya Krismasi mwaka 1971, Mkuu wa Mkoa wa Iringa, Dkt. Wilbert Kleruu, aliuawa na mkulima Said Mwamwindi huko Isimani. Tukio hilo lilitokea wakati wa utekelezaji wa sera za serikali za kutaifisha mashamba makubwa, baada ya kuzuka mgogoro mkali kati yao. Mwamwindi alijisalimisha...
  17. R

    JamiiForums Tanzania Nimeipenda hii kutoka X. Watanganyika tukitafakari, kila mmoja kwa dhamira yake

    Wazanzibari wanaungana dhidi ya watanganyika ili kumlinda mzanzibar mwenzao, watanganyika wanauana sababu ya mzanzibar!! Ipo siku wajukuu zetu watatuuliza maswali magumu
  18. TheGreatest Of AllTime

    JamiiForums Tanzania Una kumbu kumbu zipi juu ya hii kitu namna ilivyopelekesha mtaa wakati fulani hivi😁

  19. Teslarati

    JamiiForums Tanzania Hii Retro Tour inadhihirisha Diamond Plutnumz ni moja ya performers wakubwa sana Africa

    Huyu kijana asingejiingiza kwenye mambo ya uchaguzi kwa kauli zile mwaka jana basi angejaza sana kwenye hii retro tour yake. Perfomance nzuri sana, mziki unapigwa live yaani bila chenga wala auto tune. Vifaa sasa wamejitahidi sana, trombone, saxophone, na sauti iko swaafi sana, yaani murua au...
  20. R

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Mahakamani leo: Hii nimeikuta mahali. Mwenye fununu atujuze

    Polisi wametanda hapa Mahakamani utafikiri kuna jambo la uasi linataka kutokea. Kesi ya Lissu haipo leo ila kwa hali hii mashaka ni makubwa sana kwamba wanaweza kumleta Lissu hapa na kumuachia leo na wakampeleka mpaka kwake Tegeta kimya kimya. "ACHA TUUPE MUDA MUDA"
Back
Top Bottom