Kadri umri unavyozidi kusogea, nimekuja kutambua ukweli mzito kuwa no one knows who you are.
Unazaliwa, unapewa jina, unaanza kufunzwa emotionally, matukio yatokeayo na namna ya kurespond. Unapata ufahamu unaenda shule, unamaliza unapata kazi, uaoa au kuolewa, unazaa then na wewe unaanza...