rais samia

Samia Suluhu Hassan[a] (born 27 January 1960) is a Tanzanian politician who is serving as the sixth and the first female president of Tanzania since 2021. She is a member of the ruling social-democrat Chama Cha Mapinduzi (CCM) party and the third female head of government of an East African Community (EAC) country.

A native of Zanzibar,[2] Suluhu served as a minister in the semi-autonomous region during the administration of President Amani Karume. She served as the Member of Parliament for the Makunduchi constituency from 2010 to 2015 and was the Minister of State in the Vice-President's Office for Union Affairs from 2010 to 2015. In 2014, she was elected as the vice-chairperson of the Constituent Assembly tasked with the drafting of the country's new constitution.

Suluhu became Tanzania's first female vice-president following the 2015 general election, after being elected on the CCM ticket with President Magufuli. Suluhu and Magufuli were re-elected to a second term in 2020. She briefly served as the second female interim Head of State in the EAC – 27 years after Sylvie Kinigi of Burundi, spanning a period around the end of the year 1993.

View More On Wikipedia.org
  1. Pascal Mayalla

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Jaji Chande, Alidhamiria Ripoti Yake Iwe Public. Kwa Vile Rais ni Wetu, Ripoti Yetu!, Kwa Heshma na Unyenyekevu Tumuombe Rais Samia Ripoti Yetu? Au...

    Wanabodi, Hii ni makala yangu kwenye gazeti la Mwananchi la leo ambapo tunatuma maombi kwa Rais Samia, aiweke hadharani ile Ripoti ya Jaji Chande, kwasababu hata Jaji Chande Mwenyewe, alidhamiria iwe public. Mamlaka kuu au Boss wako, akikuomba kitu, hata kama atatumia lugha ya kistaarabu na...
  2. Stroke

    JamiiForums Tanzania Rais Samia piga marufuku watoto chini ya miaka 5 kuwa nje kuanzia saa 11 asubuhi kwa ajili ya masomo

    Wakuu nipo barabarani muda huu, Ama kwa hakika maisha yamebadilika. School buses zipo busy kuchukua wanafunzi. Wazazi wanakwena makazini na watoto wao. This is pure madness, there is no control. Rais wangu, weka miongozo kupitia wizara ya elimu, No child at this hour , wanahitaji kupata...
  3. The Palm Beach

    JamiiForums Tanzania Ni kwanini Samia anaunda Tume kuchunguza vurugu badala ya mauaji? Anajaribu kukwepa nini?

    Ni kipi kinaanza...? Hebu tuashumu kuwa, kweli kulikuwa na vurugu kabla, wakati na baada ya 29/10/2025 ambazo ziliishia kwenye mauaji ya maelfu ya raia wasio na hatia.... Sasa ni kipi kinapaswa kuchunguzwa na Tume yoyote iwe ya ndani au nje ya nchi...? Je, tutachunguza chanzo cha vurugu...
  4. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania Rais Samia azungumza na aliyekuwa Mkurugenzi Mkazi wa Benki ya Dunia

    Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye mazungumzo na aliyekuwa Mkurugenzi Mkazi wa Benki ya Dunia anayesimamia nchi za Malawi, Tanzania, Zambia na Zimbabwe, Bw. Nathan Belete, Ikulu Jijini Dar es Salaam tarehe 18 Mei, 2026. Bw. Belete ambaye kwa sasa...
  5. U

    JamiiForums Tanzania Dangote aipongeza Serikali kwa kuboresha mazingira ya biashara na uwekezaji, pamoja na kutatua changamoto za wawekezaji

    #HABARI Mwenyekiti na Mtendaji Mkuu wa Dangote Group, Alhaji Aliko Dangote, ameipongeza Serikali kwa kuboresha mazingira ya biashara na uwekezaji, pamoja na kutatua changamoto za wawekezaji nchini. Katika taarifa iliyotolewa na Ikulu ya Tanzania baada ya Mfanyabiashara huyo kufanya mazungumzo...
  6. Zack Abdul

    JamiiForums Tanzania Rais Samia akutana na Aliko Dangote Ikulu

    Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akizungumza jambo na Mwanzilishi na Mmiliki wa Dangote Group, Alhaji Aliko Dangote, Makamu wa Rais wa Dangote Group anayeshughulikia Mafuta na Gesi Bw. Edwin Devakumar pamoja na Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Uwekezaji na...
  7. Zack Abdul

    JamiiForums Tanzania Rais Samia Akutana na Aliko Dangote Ikulu

    Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha na Mfanyabiashara kutoka nchini Nigeria ambaye pia ni Mwanzilishi na Mmiliki wa Dangote Group, Alhaji Aliko Dangote, Ikulu Jijini Dar es Salaam tarehe 16 Mei, 2026.
  8. Zack Abdul

    JamiiForums Tanzania Picha: Rais Samia na Aliko Dangote Ikulu

    Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha na Mfanyabiashara kutoka nchini Nigeria ambaye pia ni Mwanzilishi na Mmiliki wa Dangote Group, Alhaji Aliko Dangote, Ikulu Jijini Dar es Salaam tarehe 16 Mei, 2026.
  9. Zack Abdul

    JamiiForums Tanzania Rais Samia na Aliko Dangote Wakutana Ikulu

    Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye mazungumzo na Mfanyabiashara kutoka nchini Nigeria ambaye pia ni Mwanzilishi na Mmiliki wa Dangote Group, Alhaji Aliko Dangote pamoja na Ujumbe wake, Ikulu Jijini Dar es Salaam tarehe 16 Mei, 2026.
  10. Zack Abdul

    JamiiForums Tanzania Rais Samia Akutana na Aliko Dangote Ikulu

    Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye mazungumzo na Mfanyabiashara kutoka nchini Nigeria ambaye pia ni Mwanzilishi na Mmiliki wa Dangote Group, Alhaji Aliko Dangote pamoja na Ujumbe wake, Ikulu Jijini Dar es Salaam tarehe 16 Mei, 2026.
  11. Roving Journalist

    JamiiForums Tanzania Rais Samia akutana na Dangote leo Mei 16, 2026

    Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha na Mfanyabiashara kutoka nchini Nigeria ambaye pia ni Mwanzilishi na Mmiliki wa Dangote Group, Alhaji Aliko Dangote, Ikulu Jijini Dar es Salaam tarehe 16 Mei, 2026. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania...
  12. Pascal Mayalla

    JamiiForums Tanzania Manabii wa Uongo Wapo!. Angalia Nabii huyu wa uongo wa Kenya Unabii Wake wa Uongo kuhusu Tanzania!, Adai Urais wa Samia Tanzania, Haufiki 2030!

    Wanabodi Kiukweli Shetani yuko busy sana kupitia manabii wa Uongo na Unabii wao wa Uongo kuihusu Tanzania!. Hii ni bandiko la kutoa angalizo kwa Watanzania wanaolitakia mema taifa letu kuwa makini na hila za mwovu shetani, anawatumia manabii wa ongo kama Nabii huyu wa uongo wa Kenya akitoa...
  13. L

    JamiiForums Tanzania Rais Samia Amefanya Kila Mtoto Wa Kitanzania Kuwa Na Uhakika Wa Kupata Elimu Mpaka Chuo kikuu na Kutimiza Ndoto zake

    Ndugu zangu Watanzania, Ili Taifa liendelee na kupata Maendeleo ni lazima watu wake wawe na Maarifa, Elimu vichwani mwao pamoja na ujuzi . Siyo Wingi wa Rasilimali ama malighafi unaoipatia utajiri Nchi. Mataifa ya ulaya, Marekani na kwingineko katika Nchi za Ulimwengu wa kwanza na hata zile...
  14. Zack Abdul

    JamiiForums Tanzania Rais Samia anavyo jenga Diplomasia ya uchumi kwa weledi mkubwa

    Na Dr.Zack, Dar es salaam Wakati Rais William Ruto atakapohutubia Bunge la Tanzania Mei 5, 2026, akiwa kiongozi wa kwanza wa Kenya kufanya hivyo, wengi wataona tukio la kihistoria. Lakini kimsingi, hili ni zaidi ya historia. Ni ushahidi wa jitihada za utekelezaji wa diplomasia ya uchumi lengo...
  15. R

    JamiiForums Tanzania Kihongosi: Inasikitisha Viongozi kugeuka kuwa na kiburi cha Madaraka, Rais Samia anaishi matendo mema ya Baba wa Taifa

    Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Kenani Kihongosi, amewataka viongozi wa chama na serikali kuepuka kiburi cha madaraka na badala yake kuzingatia misingi ya upendo, umoja na mshikamano iliyoasisiwa na Baba wa Taifa, Mwalimu...
  16. Zack Abdul

    JamiiForums Tanzania Rais Samia aongoza Mapinduzi ya Sekta ya Mifugo, zaidi ya Mifugo Milioni 50 yachanjwa Kitaifa

    Kufuatia uzinduzi wa Mpango wa Kitaifa wa miaka mitano wa Chanjo na Utambuzi wa Mifugo uliofanywa na Samia Suluhu Hassan tarehe 16 Juni 2025 mkoani Simiyu Region, Wizara imeendelea kuimarisha udhibiti wa magonjwa ya mifugo nchini kupitia kampeni hiyo ya kitaifa. Hadi kufikia Aprili 2026, jumla...
  17. M

    JamiiForums Tanzania Rais Samia avunja bodi ya Wadhamini ya Mfuko wa hifadhi ya Jamii ya watumishi wa Umma (PSSSF)

  18. L

    JamiiForums Tanzania Rais Samia Ataongoza Taifa Hili Katika Hali ya Amani Na Utulivu Kuliko Wakati Mwingine wowote ule Tangia Kupata Uhuru wake

    Ndugu zangu Watanzania, Rais wetu Mpendwa na Jemedari wetu kipenzi cha watanzania Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan Ataongoza Taifa hili katika hali ya utulivu na amani kuliko wakati mwingine wowote ule katika historia ya Taifa letu. Taifa litaendelea kutamalaki kwa amani ,utulivu...
  19. Roving Journalist

    JamiiForums Tanzania Rais Samia avunja Bodi ya Wadhamini ya Mfuko wa Hifadhi ya Jamii kwa Watumishi wa Umma (PSSSF)

    Dar es Salaam 14 Mei, 2026 YAH: KUVUNJWA KWA BODI Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, amevunja Bodi ya Wadhamini ya Mfuko wa Hifadhi ya Jamii kwa Watumishi wa Umma (PSSSF). Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Dkt. Moses Kusiluka...
  20. Zack Abdul

    JamiiForums Tanzania Heche: Sina Tatizo Binafsi na Rais Samia

    Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Taifa, John Heche amesema hana tatizo binafsi na Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan. Heche ameyasema hayo jijini Mwanza wakati akizungumza kwenye kongamano la Wasomi wa Vyuo Vikuu lililoandaliwa na Mtandao wa Wanafunzi wa...
Back
Top Bottom