rais samia

Samia Suluhu Hassan[a] (born 27 January 1960) is a Tanzanian politician who is serving as the sixth and the first female president of Tanzania since 2021. She is a member of the ruling social-democrat Chama Cha Mapinduzi (CCM) party and the third female head of government of an East African Community (EAC) country.

A native of Zanzibar,[2] Suluhu served as a minister in the semi-autonomous region during the administration of President Amani Karume. She served as the Member of Parliament for the Makunduchi constituency from 2010 to 2015 and was the Minister of State in the Vice-President's Office for Union Affairs from 2010 to 2015. In 2014, she was elected as the vice-chairperson of the Constituent Assembly tasked with the drafting of the country's new constitution.

Suluhu became Tanzania's first female vice-president following the 2015 general election, after being elected on the CCM ticket with President Magufuli. Suluhu and Magufuli were re-elected to a second term in 2020. She briefly served as the second female interim Head of State in the EAC – 27 years after Sylvie Kinigi of Burundi, spanning a period around the end of the year 1993.

View More On Wikipedia.org
  1. tucker carlson

    JamiiForums Tanzania LIVE Rais Samia akimpokea rasmi Rais El Sisi Ikulu, Dar es Salaam leo 18 Julai, 2026

    Rais Samia Suluhu Hassan akimpokea Rais wa Jamhuri ya Kiarabu ya Misri Mhe. Abdel Fattah El-Sisi Ikulu, Dar es Salaam, Julai 18, 2026 https://www.youtube.com/live/Hm1LCMhGUWY
  2. L

    JamiiForums Tanzania Rais Samia Anafanya Kazi Kwa Taifa Hili Hadi Huruma Zinanishika na Kumuonea Huruma Sana. Mungu Aendelee Kumlinda na Kumpatia Maisha Marefu

    Ndugu Zangu Watanzania, Pamoja na Ukweli ya Kuwa Mama yetu Mpendwa Mama Samia Suluhu Hasssan ni Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania. Ni Ukweli kuwa Rais Wetu Mpendwa ni Binadamu kama Tulivyo Sisi wengine , ni Binadamu Mwenye Moyo wa Nyama , Ni Binadamu Anayejisikia na kupatwa na uchovu...
  3. L

    JamiiForums Tanzania Rais Wa Misri Abdel Fattah El Sis kufanya ziara ya kikazi nchini Julai 18, 2025

    Ndugu zangu Watanzania, Rais wetu Mpendwa na Jemedari wetu kipenzi cha watanzania Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan anaendelea kuwa kiongozi Mwenye ushawishi na nguvu ya ushawishi Duniani kote. Anaendelea kuipaisha Tanzania katika anga za Kimataifa. Anaendelea kuiweka Tanzania kama...
  4. Pascal Mayalla

    JamiiForums Tanzania Habari njema kuhusu Kesi ya Uhaini ya Tundu Lissu, Hata akihukumiwa kunyongwa!, Hatanyongwa! Rais mwenye Sifa hizi, hawezi Kusaini Death Warrant

    Wanabodi Angalizo Kufuatia kushuka sana kwa kiwango cha uelewa kwa wana jf wengi wa hii jf ya kisasa, naomba kuanza bandiko hili kwa angalizo la msimamo wangu kuhusu hii kesi ya Uhaini inayomkabili Tundu Lissu ili bandiko hili lisije kuonekana ni mimi nashabikia mtu anyongwe...
  5. F

    JamiiForums Tanzania Legacy ya Magufuli matokeo yake ni rais Samia Suluhu Hasan

    Huwezi kumtenganisha rais Samia na hayati John Magufuli. Kwahiyo rais Samia ni moja ya “legacies “ za Magufuli.
  6. Frank Wanjiru

    JamiiForums Tanzania DC Petro Magoti: Nikifa atakaechukua simu yangu asimtoe Rais Samia kwenye Wallpaper

    "Ninaweza nikasema hapa, wakasema labda anasema hivyo kwa sababu amemteua DC. Mimi hata ukija chumbani kwangu nina bed side mkono wa kulia na kushoto kuna picha ya mheshimiwa Rais. - Nilimwambia mke wangu hata nikifa leo atakayechukua simu yangu, asimtoe Rais kwenye wallpaper aiache hivyo hivyo...
  7. Hismastersvoice

    JamiiForums Tanzania Mwenye kujua kwanini rais Samia hataki kuzifuata nyayo za Ml. Nyerere na rais Mwinyi atufafanulie.

    Barabara ya kurukia ndege haina konakona, Rais amesema atafuata nyayo za Rais Mkapa, Kikwete na Magufuli, sasa kwanini hataki kufuata nyayo za watangulizi wa mwanzo yaani Ml. Nyerere na A.H. Mwinyi!
  8. Sifi Leo

    JamiiForums Tanzania Wahaya, wanasemaga: Bagambila Balinsi baliguru kuurila, Rais Samia Prof Tunakiuka Sio kichaaa msikilize

    Nataka imfikie mh Raisi, wa Tanzania najua ikulu inayo wahaya, wamtafsillie ILA kwa ufupi Prof Tibaijuka Hana Deni.
  9. L

    JamiiForums Tanzania Rais Samia: Sijawahi Kusaini Mtu Kunyongwa

    Ndugu zangu Watanzania, Hofu Iliyo ndani Ya Kifua Cha Rais wetu Mpendwa na Jemedari wetu kipenzi cha watanzania Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan Mama wa shoka, chuma cha reli, shujaa wa Afrika na jasiri Muongoza njia. Imemfanya Kushindwa kabisa kuweka saini Yake ya kuidhinisha...
  10. Idugunde

    JamiiForums Tanzania Tujihoji: Vijana wamepewa sumu kumchukia Rais Samia na serikali yake au utawala wake uliojaa sifa mbovu ndio unafanya achukiwe?

    Nimeoma mahala huko Arusha rais Samia akihutubia kuwa vijana wamepewa sumu ili wamchukie yeye na serikali yake. Nani huyu anayewapa sumu vijana na kumchukia kiasi cha kusema kuwa sio rais aliyechaguliwa kwa kura? Je, sio nepotism, ufisadi na matukio ya kubambikia watu kesi pia utekaji na wizi...
  11. K

    JamiiForums Tanzania Hotuba ya Rais Samia na Lawama za "Mkono wa Nje": Kwanini Mchawi wa Maendeleo Yetu Yupo Ndani ya Mifumo Yetu

    Utangulizi Katika ulingo wa siasa za kimataifa na diplomasia ya kiuchumi, maneno ya viongozi wakuu wa nchi hubeba uzito mkubwa sana. Hivi karibuni, kumeibuka mjadala mpana nchini unaochochewa na hotuba ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan. Katika hotuba hiyo, Rais...
  12. Frank Wanjiru

    JamiiForums Tanzania Rais Samia: Kutumia "Mama Samia" kila mahali inachosha.

    Rais Samia Suluhu Hassan amesema matumizi ya jina 'Mama Samia' katika kila sekta haileti picha nzuri badala yake yatumike pia majina ya watu wengine waliofanya vizuri nchini.
  13. Nyendo

    JamiiForums Tanzania Rais Samia: Nilishamsikia mtu mmoja mkubwa tu wa nchi moja anasema sisi yoyote anayeendelea kimaendelea kwa kasi huyo ni adui yetu

    Rais Samia anasema kuwa "Nilishamsikia mtu mmoja mkubwa tu wa nchi moja anasema sisi yoyote anayeendelea kimaendelea kwa kasi huyo ni adui yetu"
  14. Parabolic

    JamiiForums Tanzania Prof. Anna Tibaijuka amshauri Rais Samia amwachie huru Tundu Lissu

    Waziri wa zamani, Profesa Anna Tibaijuka amemshauri Rais Samia Suluhu Hassan amwachilie huru Mwenyekiti wa CHADEMA, Tundu Lissu aliyeko rumande katika Gereza Kuu la Ukonga kwa Zaidi mwaka mmoja akiendelea na kesi ya uhaini inayomkabili. Profesa Tibaijuka ameandika ujumbe katika mtandao wa X...
  15. M

    JamiiForums Tanzania Rais Samia: Nataka nizungumzie matumizi ya jina Samia, limekuwa linajirudia rudia haipendezi

    Rais Amia amesema kuwa matumizi ya Jina Samia kulipa kwenye Jina la vitu limekuwa linajirudia rudia hadi haipendezi
  16. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania Rais Samia: Kuna wimbi la kuwalaghai na kuwalisha Sumu Vijana ili wahujumu Uchumi wa Nchi zao

  17. mwanamwana

    JamiiForums Tanzania Rais Samia: Waendelee kusema hakuna haki, tunavunja haki, lakini hakuna aliye juu ya sheria

    Rais Samia ameyasema hayo wakati akihutubia katika Mkutano Mkuu wa Chama cha Mawakili wa Serikali katika Ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa Arusha (AICC), Julai 13, 2026 "Kwa upande mwingine, mabadiliko ya sera za kiuchumi, matamko na mwelekeo wa kisiasa duniani unaziweka nchi zetu...
  18. M

    JamiiForums Tanzania Rais Samia: Kuna wimbi la kuwaaminisha vijana wa Kiafrika kuwa serikali zao hazifati haki za binadamu

    Tais Samia amesema kuwa Tanzania wanafuata haki za binadamu kikamilifu. Hayo ameyasema Rais Samia leo, 13 Julai, 2026
  19. Roving Journalist

    JamiiForums Tanzania Rais Samia akifungua Mkutano Mkuu wa Chama cha Mawakili wa Serikali AICC Arusha Julai 13, 2026

    Rais Samia akifungua Mkutano Mkuu wa Chama cha Mawakili wa Serikali katika Ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa Arusha (AICC), Julai 13, 2026. https://www.youtube.com/live/BZ2VYmBPQI4?si=FdG1FMslilQhYK-B
  20. L

    JamiiForums Tanzania Rais Samia Kufungua Mkutano wa Chama cha Mawakili Hapo Kesho Jijini Arusha. Maelfu ya Wananchi wajiandaa Kumpokea Kwa Kishindo Kikuu

    Ndugu zangu Watanzania, Kesho Rais wetu Mpendwa na Jemedari wetu kipenzi cha watanzania Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan anakwenda kuitikisa na kuisimamisha kanda ya kaskazini. Anakwenda kuitetemesha Kaskazini yote hadi Nchi Jirani. Anakwenda kutua jijini Arusha na kupokelewa kwa...
Back
Top Bottom